Wanaowasainia si mnawajua? Kwanini uhangaike na aliyesainiwa?
@hassanshareef6572Ай бұрын
Mbona hamjadili kwanini hao walim wanataka kuhama? Kinawahamisha kitu gani?? Kwanini ifike wakati watoe mpaka pesa ili wahame?? Ebu kwanza mkiwakamata kabla ya kuwafingulia shtaka waulizeni maswali hayo Maana huo uwalim sio kazi ya kusema wanapata mamilioni mpaka wao waogope kuachishwa,
@DokesaSaimon-ng5fbАй бұрын
Vema
@NyorokaNyengeАй бұрын
Unachokisema ni sawa.lakini kumbe haya mambo ya kugushi nyaraka bado ipo.na dunia hiii ya technology. Kumbe tatizo siyo waalim.tatizo ni serikali. Msiwaadhibu watumishi kwa makosa ya serikali. Vip kama ungekuwa ni wewe.naomba.kabla ya kuwahukum watumishi. Serikali ijitathmin kwanza imefeli wapi.
@DamilesMichaelАй бұрын
Yani mtu anavyoongea yupo serious kakaaza na fuvu kbs ajira hamtoi mnaongelea upumbavu, Kujiamini kote huko unakuta anapigwa na mkewe