TANZANIA BARA 0-2 KENYA: HIGHLIGHTS & INTERVIEWS ( FINAL: CECAFA WOMEN CUP - 25/11/2019)

  Рет қаралды 474,332

Azam TV

Azam TV

4 жыл бұрын

Kenya wameibuka mabingwa wapya wa michuano ya CECAFA kwa wanawake mwaka 2019, wakiwapokonya tonge mdomoni, Tanzania Bara.
Ubingwa huo ni baada ya kushinda mabao 2-0 kwenye mechi ya fainali iliyochezwe leo jioni Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Jijini Dar es Salaam.
Jahazi la Tanzania Bara, limezama kwa magoli mawili yaliyofungwa na mshambuliaji hatari, Jentrix Shikangwa, katika dakika ya 71 kwa mkwaju wa penati na dakika ya 88 kwa shuti kali.
Hivi ndivyo mechi ya fainali ilivyokuwa, na kisha Kenya wakakabidhiwa kombe, wakiivua Ubingwa Kilimanjaro Queens, ambayo ilikuwa imetwaa mara mbili mfululizo.
Mara baada ya mchezo, Kocha wa Kenya David Ouma akaeleza kilichowapa ushindi leo, azungumzia sababu ya kumuanzishia benchi mshambuliaji wake Jentrix Shikangwa katika kila mechi.
Kwa upande wa Tanzania Bara Kocha wa Kilimanjaro Queens Bakari Shime akieleza kilichoiangusha timu yake, awaomba radhi Watanzania akiwataka wasivunjike moyo huku akilia na mwamuzi "Ni fainali bora iliyokosa mwamuzi bora".
#CecafaSeniorWomensChallengeCup

Пікірлер: 179
@izoomwenyewe7840
@izoomwenyewe7840 4 жыл бұрын
Kitu nimeona ni kuwa Hata watangazaji hawajui sheria za mpira...referee ako sawa sana hapa..best referee I've ever seen
@ramadhanmusa2878
@ramadhanmusa2878 4 жыл бұрын
Charaza wao Tanzania magufuli nyumbani kwao... 🇰🇪 Hooe 🏆
@jeffk4342
@jeffk4342 4 жыл бұрын
Kenya we do it twa twa twa....congrats Starlets
@abdalahfarida2074
@abdalahfarida2074 4 жыл бұрын
We lost the title because of CCM politicians. They are only thinking about flights. They don't think of young generations. Magufuli and CCM only motivate those who use them in campaign. Footballers,runners, are not essential to them. We are paying a lot of tax players should be treated well. Viongozi wa Tanzania acheni Siasa za maji taka. Hata wenzenu mnawanyima kuchagua viongozi na tunajenga nchi moja. Hizi Siasa za Magufulification mbovu sana ni za kujenga uhasama. Magufuli ameigawa nchi na imekuwa na Makundi. Magufuli, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Kinana, Makamba, Nape kila mtu kundi lake. Nchi ya Makundi na mwisho wake ni vita vya wenyewe kwa wenyewe.
@mainagithambo833
@mainagithambo833 4 жыл бұрын
This lady commentator was a true patriot of Tz but Kenyans are always tough.
@lawrencekiniti336
@lawrencekiniti336 4 жыл бұрын
OUR KENYAN GALS HAS SHOWN US WHAT THEY DO BEST. CONGRATULATIONS
@jamesokello9812
@jamesokello9812 4 жыл бұрын
Jentrix Shikangwa! Wonderfull, Beutifull etc
@dastonamichaels1854
@dastonamichaels1854 4 жыл бұрын
Mchezo wa hali ya juu sana kutoka Africa mashariki...
@lennyalega1559
@lennyalega1559 3 жыл бұрын
That second goal was a painful Twaaaaa! To the keeper.
@wilsonmn136
@wilsonmn136 4 жыл бұрын
Commentators were not fair to the starlet's but walijua hawajui. Twa twa
@dhakomodherooherokoko6037
@dhakomodherooherokoko6037 4 жыл бұрын
Walijua hawajui🤣🤣
@djhoodieKe
@djhoodieKe 3 жыл бұрын
Especially the lady!!...lakini alinyamazishwa na the 2nd goal😂😂
@gideonotieno9246
@gideonotieno9246 3 жыл бұрын
The lady waaaaah
@lennyalega1559
@lennyalega1559 3 жыл бұрын
Najivunia kuwa Mkenya. I also love u Tz our good neighbours
@ramadhanibanyeke1189
@ramadhanibanyeke1189 2 жыл бұрын
Mungu azidi kudumisha ujilani wetu 🤲🤲
@kereto20
@kereto20 8 ай бұрын
sema na kiswahili waelewe
@alfredmazanza7116
@alfredmazanza7116 4 жыл бұрын
Congrats our girls for making Kenya Proud! Wanasiasa ndio wanaturudisha tu nyuma hii nchi yetu.
@silkonspecialboy3585
@silkonspecialboy3585 4 жыл бұрын
Ukweli bro..
@peterwaywela896
@peterwaywela896 4 жыл бұрын
Naomba hiki kikosi cha Kenya kiende vile kilivyo Uropa 3/3/2020 wasiache mtu inje is the best team
@getrudewanyonyi4598
@getrudewanyonyi4598 3 жыл бұрын
Wonderful memories reawakened; congratulations Harambee Starlets.
@danbitali713
@danbitali713 4 жыл бұрын
Jentrix angeanzishwa Tanzania ingeumizwa💥
@wambuimoses5676
@wambuimoses5676 4 жыл бұрын
Goli la pili kweli ilikuwa ya kimataifa... Mchezaji mzuri kweli...
@Don-fq3yg
@Don-fq3yg 4 жыл бұрын
boss, tuongee sheng yetu
@thevipers4727
@thevipers4727 2 жыл бұрын
@@Don-fq3yg aache umbwakni 😂😂😂😂
@alhadrynassir1757
@alhadrynassir1757 2 жыл бұрын
🤣😂😂
@yupinikipkoech5408
@yupinikipkoech5408 2 жыл бұрын
@@thevipers4727 mujitume kuwesa kufuzu kuigia katika ligi kubwa kule parani iji sa kigeni kujioyesa mumeshinda kwa jia ya utaratibu na watakia mema
@qerysir4410
@qerysir4410 3 жыл бұрын
Commentator: Kenya wakipata wanapiga mbele wakimbizane huko huko... Jentrix Shikangwa.. goal getter huyu... piga shuti mbali lileee... G.O.O.O.A.A.L!
@wallenpilrapt6679
@wallenpilrapt6679 3 жыл бұрын
Nyinyi watangazaji mnaegemea upande mmoja na hata hamjui sheria za mpira (kenya rules😍✌)
@Kny-tn1mg
@Kny-tn1mg 4 жыл бұрын
Timu zote nzuri. Hongera kutoka Kenya
@marienicholus6528
@marienicholus6528 4 жыл бұрын
i can't stop watching this game mwa stalets
@omarkhamis9514
@omarkhamis9514 4 жыл бұрын
Wembe ni ule ule wa Misri, safari hii watasema Emunike hayupo, asiyekubali kushindwa..........🤩
@eddymtoro2778
@eddymtoro2778 4 жыл бұрын
jamani mnaona kama mimi!! goli la pili naona kama badala ya kurukia mpira yeye kainama na kukaa chini
@mildredlibendi2542
@mildredlibendi2542 3 жыл бұрын
Hongera🇰🇪🇰🇪
@MARK-nh4hx
@MARK-nh4hx 3 жыл бұрын
Kiwanja high class napongeza tz pia kazi nzuri cameraworks...Kenya hatujafika hapo...hongera TZ.
@Excuvation04
@Excuvation04 2 жыл бұрын
Unless haujui Kenya
@peterchege6657
@peterchege6657 2 жыл бұрын
Sasa hiki n kiwaja Cha kulingia😂😂😂😂
@serahkalunde7440
@serahkalunde7440 3 жыл бұрын
Proud of my fellow Kenyans,,,,how can I join you I'm good in this section.
@paulanzioki554
@paulanzioki554 3 жыл бұрын
Me too
@mediacare6744
@mediacare6744 2 жыл бұрын
I hope you guys found clubs.
@virussella9979
@virussella9979 4 жыл бұрын
Hii timu ya wanawake inapiga mpira mtamu sana kuzidi wanaume watt wanapiga sambusa zenye nyama na iriki
@amounanyale9220
@amounanyale9220 4 жыл бұрын
😁 😁 😁 😁 😁 Bajia vitumbua
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 5 ай бұрын
Kweli kabisa❤
@digitalcyber8170
@digitalcyber8170 4 жыл бұрын
They only concentrated on TZ's moves and passes, unaeza dhania Kenya hawakua na ball. Anyway ushindi ulikua wetu
@magnusbugingo7471
@magnusbugingo7471 4 жыл бұрын
deonisia my lovely one forever
@harunmugweru7002
@harunmugweru7002 4 жыл бұрын
You can't get bored watching all this beautiful jewelries play and score great goals. Wanaenda mbali. Great future here indeed
@lakishatoili6479
@lakishatoili6479 2 жыл бұрын
Nani yupo hapa from Kenya na confarm to
@user-ic5yl7mz4d
@user-ic5yl7mz4d 2 ай бұрын
Ball position kenya hatumo kabisa😂😂😂 hatujatulia Ball control hamna😂😂 But congratulations to Kenya Coaches mfanye kazi muache uzembe
@ameeraaljassim4138
@ameeraaljassim4138 4 жыл бұрын
Wote wako sawa hapo ilikua simchezo from kenya
@neymarkkinyua8421
@neymarkkinyua8421 4 жыл бұрын
TWA! Ball ya kwanza.TWA ,ball ya pili ,Tanzania wakazaa.Kenya forever na sihamii
@georgemwendwa1520
@georgemwendwa1520 3 жыл бұрын
Hawa wawili (commentators) ni wabinafsi sana
@Kelvin_njengak
@Kelvin_njengak 4 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 twa twa
@chinuruhchinuruhbae2254
@chinuruhchinuruhbae2254 2 жыл бұрын
Hawa commenters ni wabinafsi sana,,but kubali tu we are de best
@mainagithambo833
@mainagithambo833 3 жыл бұрын
Kenyan ladies are superb
@fadhilmohamoud
@fadhilmohamoud 4 жыл бұрын
Daaaah nimeumia kishenz
@dhakomodherooherokoko6037
@dhakomodherooherokoko6037 4 жыл бұрын
Na bado.....tuliwapiga Afcon tena tukawapiga kwenu...heshima ya mpira idumu.
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 4 жыл бұрын
Ibrahim Were umesahau kuwa umetolewa CHAN wapi eti??
@saheelameir4313
@saheelameir4313 4 жыл бұрын
Mm mzanzibar funga hao watanganyika 100
@jayramadhan4584
@jayramadhan4584 4 жыл бұрын
@@mnzavachris5423 chan ilikua penalties hamuku wafunga kwenye 90 mints
@aminkeyali3854
@aminkeyali3854 2 жыл бұрын
harambe star well play i am so happy for our lady extremely fantastic
@ibrahimomary8484
@ibrahimomary8484 4 жыл бұрын
Wanao sema awa mademu wazuri kuliko wanaume uyo fara
@mudmohamed6911
@mudmohamed6911 3 жыл бұрын
Nikweli mademu wanazidi wanaume kwani uwongo fatilia mechi utajua
@brodricksbaruni3645
@brodricksbaruni3645 3 жыл бұрын
am proud of country kenya big up
@dadysteve9096
@dadysteve9096 4 жыл бұрын
Congratulations harambee starlets
@janenjenga5639
@janenjenga5639 4 жыл бұрын
Comments are interesting twa twa mpaka viwanjani
@allanmwangi4843
@allanmwangi4843 6 ай бұрын
Big congratulation to a girls for making Kenya proud
@peterotieno3992
@peterotieno3992 8 күн бұрын
Hii game Kenya walicheza vibaya
@Josephmakokha-pn9mu
@Josephmakokha-pn9mu 8 ай бұрын
Congratulations 👏👏👏👏 Kenya proud of being a Kenyan citizen by birth much love.
@eliasogutu1432
@eliasogutu1432 8 ай бұрын
😊
@r..6842
@r..6842 3 жыл бұрын
Kenya tunakalianga hao watanzania sana 😂😂
@abdallaahmed9032
@abdallaahmed9032 4 жыл бұрын
Viva Tanzania 👍👍👍👍👍
@rarefootball10
@rarefootball10 2 жыл бұрын
These are biased highlights. Kwani Kenya haikua na attacks before wapate mabao"?
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 4 жыл бұрын
Hongera Kenya twastahiki kushinda, Tanzania wametuzoea vibaya mda mrefu sana
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 4 жыл бұрын
Kijana Hodari na CHAN mna deni
@user-vm9me9jr5n
@user-vm9me9jr5n 6 ай бұрын
Congratulations kenya imeenda hiyo tumebeba
@jmidunga82
@jmidunga82 4 жыл бұрын
TWA!!TWA!!
@benmzuri
@benmzuri 4 жыл бұрын
THIS TEAM IS THE TRUE HARAMBEE STARS. NOT STARLETS. That name diminishes their power. They are more powerful than Kenya Mens Team.
@saheelameir4313
@saheelameir4313 4 жыл бұрын
Haaaahaaa safi sana nmefurahi mno
@nooornoor120
@nooornoor120 9 ай бұрын
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 hongera❤❤❤❤❤
@dribros3754
@dribros3754 4 жыл бұрын
Kwani team ya kenya hawakai wanawake hata hawana titi
@josephwafula7558
@josephwafula7558 3 жыл бұрын
Ni mavazi rasmi ya soka siyo kuingia uwanjani Na sindiria kucheza soka!
@qerysir4410
@qerysir4410 3 жыл бұрын
Ndio maana wamewabaka wenzao!!
@azmanaman5503
@azmanaman5503 3 жыл бұрын
hata wewe uko na recism
@peterchege6657
@peterchege6657 2 жыл бұрын
Nimegudua hivi majuzi kua tz katika mechi za riadha wao hushida diamond na Platinum 😂😂😂😂😂
@canon5059
@canon5059 8 ай бұрын
Jez ya Kenya nayo huwa top notch. Nimeona ya Tz inakaa kws😂
@davidmanyasa5848
@davidmanyasa5848 3 жыл бұрын
Kitu mnatushindia ni kiswahili tu
@danielodongo2417
@danielodongo2417 8 ай бұрын
Amazing keep the good work❤❤❤
@stvkun8438
@stvkun8438 4 жыл бұрын
Luv 2 b a Kenyan indeed
@EvansMzito-xt4zj
@EvansMzito-xt4zj 7 ай бұрын
Mpira mzuri kweli 🔥🔥
@richardjuma7584
@richardjuma7584 4 жыл бұрын
Good luck and congratulations starlet
@davidongeng3631
@davidongeng3631 4 жыл бұрын
These young ladies are great
@zakiazubery2055
@zakiazubery2055 4 жыл бұрын
Gaucho ni mchoyo sana
@saint_j7263
@saint_j7263 4 жыл бұрын
Tunafanyaje sasa ndo washachukua shemeji zetu😭😭😭😭😭
@dhakomodherooherokoko6037
@dhakomodherooherokoko6037 4 жыл бұрын
Mmetosheka na kombe.Wacha tuliweke Nairobi.
@mbishkulala567
@mbishkulala567 4 жыл бұрын
Nyinyi wasubirini ZANZIBAR Ndio Muwaonee
@mohammedalimohammed9322
@mohammedalimohammed9322 8 ай бұрын
Ww mtagazaji wakike hana mana huchocheya tu kazi yke😊
@listerkongola6872
@listerkongola6872 4 жыл бұрын
Simuelewi kocha wetu,kwanini alibadilisha kikosi kilichocheza kwenye makundi??? Tukakoswakoswa na Uganda,tumekuja fungwa na Kenya! WHY CHANGE A WINNING TEAM???
@aliimwasiri2764
@aliimwasiri2764 4 жыл бұрын
Pengine wawashinde kwa kudanga ila kimpira aaahhh subuuutu
@machakurijr3090
@machakurijr3090 3 жыл бұрын
😂😂😂 hii madharau
@jacobomondi6471
@jacobomondi6471 7 ай бұрын
Congratulations Kenyan ladies
@mohamedalawy6172
@mohamedalawy6172 8 ай бұрын
1981 Kenya iliwafunga Tanzania Final kwao . 1982 Kenya ikawafunga Uganda Final kwao . 1983 Kenya ikawafunga Zimbabwe Final Nairobi .
@paulondiek1345
@paulondiek1345 3 жыл бұрын
Kenya is not a joke
@DaughterofUbuntu1988
@DaughterofUbuntu1988 3 жыл бұрын
Nithamu chaii, anyways proudly Kenyan
@luigipellegrini9221
@luigipellegrini9221 2 ай бұрын
Kwa kandanda wajaluo ndio hubeba Kenya ❤
@mylekaka4630
@mylekaka4630 2 ай бұрын
Luhya and luo
@mubecomedyofficial7720
@mubecomedyofficial7720 2 жыл бұрын
kama uko hapa ju a national anthem ya kenya tujuane
@sammynjuguna9658
@sammynjuguna9658 3 жыл бұрын
Uyo namba 10 ni kuoa tu
@raphaelkatanga5335
@raphaelkatanga5335 3 жыл бұрын
Kenya tanzania uwani nduggu
@jamesmulwa1137
@jamesmulwa1137 8 ай бұрын
Suluhu daughters wamesuluhiswa
@fredgomes8639
@fredgomes8639 3 жыл бұрын
Kumbe kenya women kwa football ni wazuri.
@mohamedalawy6172
@mohamedalawy6172 8 ай бұрын
Mechi hii inanikumbusha Final ya Senior Challenge Cup 1981 Kenya ikiifunga Tanzania moja bila uwanja wa Taifa Dar es Salam mfungaji James Jacaranda Ouma . Timu ya Kenya ikiwa na wachezaji kina Mahmoud Abbas , Hussein Kheri , Peter Otieno Bassanga , Bobby Ogolla , Josphat Murila , Sammy Tabu , Aggrey Evayo , Wilberforce Mulamba , James Ouma , Nashon Mahila
@user-lp7dq3hf1p
@user-lp7dq3hf1p 8 ай бұрын
Good job ladies🎉
@kensimiyu5926
@kensimiyu5926 8 ай бұрын
Kenya pongezi ijapokuwa watanzania majirani wapenndeza muno
@marienicholus6528
@marienicholus6528 4 жыл бұрын
walikiona kweli, walijua kweli samaki harusingi reverse
@judaspantaleo9779
@judaspantaleo9779 4 жыл бұрын
Refer was not good in the final that's why Tanzanian team has became the desprined team in the tournament
@izoomwenyewe7840
@izoomwenyewe7840 4 жыл бұрын
What do you mean by being disprined
@kunusyakevin1712
@kunusyakevin1712 Жыл бұрын
Ok
@kahindisimba8406
@kahindisimba8406 3 күн бұрын
Hata iyo taida stars wanaitambua harambee sisi ni wale wabaya
@johnMorris...4032
@johnMorris...4032 2 жыл бұрын
Huyu commentator anafaa viboko😂😂😂🥲
@wonjadenno974
@wonjadenno974 4 жыл бұрын
wanacheza ngoma ya NASA TIBIM tanzania wametii
@bobtalksseries650
@bobtalksseries650 4 жыл бұрын
Twa TWA Twa nation ...uzito
@Ochieng-eh3hg
@Ochieng-eh3hg 8 ай бұрын
Wonderful
@peterkyalo8569
@peterkyalo8569 7 ай бұрын
Nice to kenya
@mediacare6744
@mediacare6744 2 жыл бұрын
WaTZ wamejaa maziwa daa!
@peterwaywela896
@peterwaywela896 4 жыл бұрын
Wanacheza better than Harambee stars wanaume
@RajabuMajidi-lm7gv
@RajabuMajidi-lm7gv 8 ай бұрын
Aisee refarii alikuwa upande wa Kenya bila kificho kabisa na alidhamiria Kenya awe bingwa
@georgemtelela2973
@georgemtelela2973 4 жыл бұрын
wachezaji wa kikosi cha kwanza kama watatu kwa nn wameanzia benchi
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 4 жыл бұрын
George Mtelela kama?
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 5 ай бұрын
Na mm najiuliza ivo ivo
@user-zp2vw4tw1d
@user-zp2vw4tw1d 8 ай бұрын
Lakini tazania wakona game nzuri
@alhajmakungu8014
@alhajmakungu8014 4 жыл бұрын
Hahahahaha kenya safi sana mm mzanzibar. Ila wenzetu wana maneno mabaya sana hata fea hawana ila niwape honger tz pia kwa nafasi ya pili
@jumanneabdi9875
@jumanneabdi9875 4 жыл бұрын
Mshaanza eeeh
@luigipellegrini9221
@luigipellegrini9221 2 ай бұрын
Samia Suluhu must be fuming at this 😂😂😂😂
@valaryawour6016
@valaryawour6016 3 жыл бұрын
Wao
@hodanmohamud9880
@hodanmohamud9880 3 жыл бұрын
woman soccer kenya vs men Kenya play International friendly stadium
@jeffchurum1431
@jeffchurum1431 4 жыл бұрын
Inauma lakini itabidi mzoee
@trucillahgesare9501
@trucillahgesare9501 3 жыл бұрын
2021 still
@gideonobongo8641
@gideonobongo8641 3 жыл бұрын
the tz keeper looks shady way he conceded the second goal
Would you like a delicious big mooncake? #shorts#Mooncake #China #Chinesefood
00:30
Как быстро замутить ЭлектроСамокат
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 13 МЛН
LEO STEVE KAYAKANYAGA KWA KERVIN  AMEYATIMBA
14:18
Mweusi Family
Рет қаралды 574 М.
KENYA 3-0 ETHIOPIA U17 WORLD CUP QUALIFIERS FULL EXTENDED HIGHLIGHTS
18:02
Веселое в мма
0:58
Ицюань | Школа Оздоровления и Самопознания
Рет қаралды 10 МЛН
Art of Time Wasting in Football😅
0:19
SkillerHome
Рет қаралды 3,5 МЛН
Самый Худший Поступок Спортсмена
0:33
Голову Сломал
Рет қаралды 2 МЛН
За ЧТО БРАТА ХАБИБА ВЫВЕЛИ ИЗ АРЕНЫ UFC #shorts
0:32