#TANZANIA: Mrisho Mpoto awaponda waliokuwa wanapinga Mkataba wa Bandari na Kampuni ya DPW, TEC wabaki na mshangao, "waliokuwa wanapinga wamekuja na tutakula nao mchana"
Пікірлер: 290
@nestor3849 ай бұрын
Huyu bwana nikiwa mdogo nilijuaga smart kumbe ni bwege tena bwege kweli.. Pumbavu kabisa!
@csato94159 ай бұрын
Nchi yetu imekumbwa na uchawa mwingi vijana kwa wazee, hata wenye taaluma zao huziweka pembeni ili wamridhishe mwenye mamlaka ya kuteua.
@richardnganya23119 ай бұрын
Posho ...
@omaryyusuph78779 ай бұрын
Zuzu
@dicksonulotu74279 ай бұрын
Huyu jamaha kapoteza usanii wake kabisa,yaani kawa wa ovyo kweli, alafu eti wanamshangilia daha,haya bana.
@chrispinboniface33299 ай бұрын
huyu ashakuwa zuzu siku izi amekuwa kama bwa anayekula makombo
@DeogratiusAndrew-zi7zv9 ай бұрын
Usitusemee mpoto kuwa watanzania wote tuna muamini mama yako huo ni uoongo wako utusemee, kuwa na akiba ya maneno, wanosema amekosea kutusemea naomba like zenu, nahuyu anataka cheo sio muda,
@fredrickmwakalinga63909 ай бұрын
Mtopo si lolote si chochote vipande vya fedha ni shida nafikiri hta uwezo wa akili umeshuka sana ni mpumbavu tu
@user-im9my8wk2d9 ай бұрын
Yani wazungu wanatushangaa asee mpoto anatoa ufafanuzi bandari kweli !!! Atufafanulie vipengele vya mkataba mama IGA tuone sio kushangilia tu kuna kesho
@ayubukanani6489 ай бұрын
Yani mpaka tunaona aibu kweli hii akili ndogo kuhutubia akili kubwa
Kweli waafrika tuna laana.Mungu ndio maana anazidi kuwabariki wazungu hata peponi sidhani kama watu weusi tutaingia kwa unafiki wetu.Viongozi wa Afrika Trump yuko sahihi sana.
@hoseakamchapekaponya35029 ай бұрын
Tatizo la mpoto, kichwa kikubwa akili ya kijiko kimoja
@EliaoniTerry9 ай бұрын
Bado Senga, joti, na wale wengine wa comedy nao watakuwa wasaidizi wa Rais wakiongozwa na mpoto mrisho.
@hassanrwitita25039 ай бұрын
Mibangi imemwacha kama yeye
@fredrickmwakalinga63909 ай бұрын
Nchi inawatu wa ajabu zaidi ya mazombi
@johnkamwendo38679 ай бұрын
Nakubaliana na wewe kabisa.
@akimuabdallah80395 ай бұрын
Na ww mwenyewe ni zombi Tena zombi lisilo na mfano
@helencyprian87459 ай бұрын
Hovyooooo kabisa sasa mpoto utajilinganisha na TEC, we empy tu
@nickjuma60209 ай бұрын
hata mpoto na uchawa wake anafahamu kabisa kabisa hali siyo nzuri! ni njaa tu ndo inamsukuma kusifia!🙈🙈
@eliakanyika49219 ай бұрын
Kabisa🎉
@hashimchaoga95669 ай бұрын
Anajua kwamba siku hizi watu wanazawadiwa vyeo kwa uchawa na unafiki
@eliasmedutieki75789 ай бұрын
Yaani unaweza kua na mwili mkubwa kumbe bure tu yaani huyu anatuona wote ni mabwege tu
@joejoshua77919 ай бұрын
Akaoge kwanza
@user-mp7zk7dk7f9 ай бұрын
Njaa haijawahi kumuacha mtu salama
@eleneokaguo68679 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@EliaoniTerry9 ай бұрын
Njaa njaa, kusanya hicho ukale mihogo.
@user-cw7xy8jh2e9 ай бұрын
Unafurahia maokoto Mungu anakuona hata babu yako alikuwa kijana na Leo ni mzee itafika wakati hizo hela hazina maana kama hakuna utu nilikuwa nakuheshimu kumbe bure
@annakanga659 ай бұрын
Mpoto jitu jinga sana
@user-lt1bi5nr1x9 ай бұрын
Mjinga ni yule asieelewa kama wewe
@user-yd8sp1qj3w9 ай бұрын
Halafu nilijuaga anaakili sana,kumbe ni debe lisilokuwa na kitu.hala inaonekana amekalilishiwa maneno.
@clarencelazaro96009 ай бұрын
Ukimwacha mjinga akufundishe basi nawewe unakuwa mjinga hili jamaa jinga kweli
@filbertkumburu80159 ай бұрын
Du huyu kweli mpoto mpotoshaji kwani wote wakina Tec huko ndani walipinga au walikuwa wanashauri raslimali nchi zetu? Kweli hapo huyo mpoto anawazodoeni maana hajatenda nidhamu na utumbuizaji wake hata kidogo, alafu anawamaliza wakuja watakula nao chakula pamoja na mpoto ebo!
@epimackjohn4619 ай бұрын
Ukikaa barabarani ukamuona kichaa anapita anaimba na kucheza utaona Hana TOFAUTI na huyu tunayemsikiliza hapa .
@iddynjonjo9 ай бұрын
Tunakujua ww ni chawa wa viongozi hujawahi kuikosowa serikali huna jipya
@user-uq7iw9id8m9 ай бұрын
Baba utapata uenyekiti wa kijiji Acha ujinga kula hizo help za wezi na were ni mwizi Huna maana
@raphaelmacha11739 ай бұрын
Tatazo si lako unafikiria kwa kutumia tumbo
@tumaini_nkinda9 ай бұрын
Wachumia tumbo acheni kudanganya watanganyika! Hilo limkataba halifai ni lakilaghai.
@ej.football9 ай бұрын
😢 poleni sana Maaskofu ,,
@bsmonline84829 ай бұрын
Mungu atakujibu siku si nyingi mjomba sisi Watanzania kilio cha uonevu wa watawala wetu ni Mungu ndio anatusaidia sasa we jiamini na huo mwili kwa Mungu we ni mwepesi sana
@allanmbilinyi48269 ай бұрын
Mpoto ni mpumbavu kama wapumbavu WENGINE.manufaa mnayajua kuliko wasomi waliobobea sheria.TUMEPIGWA NAKITU KIZITO WATANGANYIKA HATUTASAHAU YATAKAYO TUKUTA.
@samsonkatigiri23449 ай бұрын
mzee kinana hajamwelewa kabisa mpoto,ni kama anasema huyu bwana vipi tena? hii ni aibu kwa Taifa ,ccm tunakwama wapi jamani.
@samweldenis16819 ай бұрын
Ndugu yangu umesoma mashariti ya mkataba????. Unachokiongea umekifanyia utafiti???. Sifahamu kiwango cha elimu elimu lakini kama ni maokoto yanakusababishia hayo yote. Nikupe poleee.
@erastomapunda14449 ай бұрын
unazani ataongea nn kashapewa baasha yake wapuuzi niwengi tuu.
@antonyelias8669 ай бұрын
Huyu jamaa taira kabisa
@zakabonifas21449 ай бұрын
Mpoto nilikua nakuamin lakin kwa leo umeniangusha au unanjaa?!!
Hela zetu mnazigawa fanyeni hivyo ila mungu anawaona na nguo zenu kijani yaani mpoto ndio mwalimu au ndo msemaji wa serikali?mungu tusaidie
@user-mi8bw4gv4c9 ай бұрын
Nyie maaskofu wangu mmeenda kufedheheshwa na shog?kweli
@user-lt1bi5nr1x9 ай бұрын
Njaa zao kwani wamelazimishwa. Zinazoenda Vatican ni ngapi
@jonathanmallan48119 ай бұрын
Huyu ni chawa kama chawa wengine. Hana uelewa.
@user-rn2dl8cf4t9 ай бұрын
Hayo mawzo Yako mfupi hitatokea wote milioni 61 kuana na Imani sawa.
@LaurentWeremaPaul-oj3mq9 ай бұрын
Kwani Huyu ndie Waziri wa Bandari? Au
@geraldluiso67929 ай бұрын
Usipotumia akili ,ukazingatia tumbo lifikiri IPO siku utaarisha na kufa bila sababu.
@benjaminmwaipungu2799 ай бұрын
Mpoto ni mjukuu wa wapotoshaji waliopotoshwa zamani sana na Ibilisi Shetwani mpotoshaji mkuu.
@EliaoniTerry9 ай бұрын
Kama hata mpoto ana kusaidia Rais basi mawaziri wajiuzulu
@edsonnelson44649 ай бұрын
Kweli
@rosemuhandoofficial56769 ай бұрын
Maaskofu wanaimbishwa mmh!!!
@franciscarsongea79488 ай бұрын
Maaskofu hawajaimba bwana wanashangaa maneno ya Mpoto hawajayakubali hâta mualiko hawakujua unahusu Nini walijua mkutano tu
@eliasmedutieki75789 ай бұрын
Yaani rais kwa kupitia mpoto amewadhalilisha viongozi wote wa dini waliokubali mwakiko wake na wangekataa a angesema wamemdharau sasa kupitia kwa hili lijitu amewadhalilisha wote poleni sana waaskofu wetu
@MathewNathan-yb2bz9 ай бұрын
Ikulu pamegeuka kuwa sehemu ya kupigana vijembe yaani uniite unisute.
@user-rs4vz2vt9z9 ай бұрын
Hivi viongozi wetu wajuu wa serekali mmekosa katiyenu wasomi maprofesa wakutueleza mpaka mkamtumia mpoto kuwasemea kuhusu bandari?,mnafanya lionekane la kisani wakati ni swala nyeti kwa nchi mpoto anajua nini na mnataka nasisi tumisikilize?!!!!!!!!!!,this is shame,who is mpoto in this country?.
@raphaelkorio24359 ай бұрын
Waalikwa hawana furaha kabisaaa😢
@alexandermutakha8828 ай бұрын
Kazi ieendelee
@StevenGendo-vx9jo9 ай бұрын
We mbwa unabweka, unaimba au unahotuba? Sijakuelewa kabisa na hayo magaun yako kilaza kwel kwel
@user-vl7yy8gz9k9 ай бұрын
Huyu jamaa unajiuliza haya maneno aliyatoa wapi Maana mikataba na Siri Ujanja wa mpoto
@iddynjonjo9 ай бұрын
Hee vp hiyo ccm
@edsonnelson44649 ай бұрын
Hivi Pdr Kitime naye alikuwepo kwenye kusaini hiyo mikataba na alikuwepo hakujua alichoitiwa maana yule nimwelewa mzuri na tangu mwanzo alikuws nahoja kuendesha wrnyewe
@mariapopitolo54089 ай бұрын
Sijui limelewa
@alfredmtundu95589 ай бұрын
Hivi kweli nyie mliekaa hapo mmeitwa kusikiliza mapambio ya mpoto,!? serikali inakosa msemaji mahiri ila mpoto!? Mimi naona ni dharau kwa baadhi ya waliohudhulia hasa ndugu yangu Pd Kitima, maaskofu, na wasomi. Huku hela zichangwa toka ccm zikienda mpoto!!
@paschalpaul38629 ай бұрын
Pesa pesa pesa ni asili ya kumtoa mtu utu
@mabondolawrence18129 ай бұрын
Ninachojua Mimi tatizo ni ndani ya mkataba siyo magati, Warioba, Mwambukusi, Shivji name wataalamu wengine wa Sheria hawajaongelea magati. Ni vema taaluma zikae ziijadili kweli maana matokeo yake wasanii wanaanza kufundisha Sheria na kuelekeza huku wamesuka nywele!
@omaryramdhani98239 ай бұрын
BIG UP
@rugebwemo17689 ай бұрын
Njaa tupu
@csato94159 ай бұрын
OMG... huyu askofu hapo amesikitika na kushika tama kwa maneno hayo ya propaganda ya huyu chawa, ila wakijani wanashangilia na kumtuza, ee Mungu okoa hili taifa na wapotoshaji wa huyu SSH.
@user-ej8kd4og1c9 ай бұрын
Mmeumbuliwa msingeenda,mbona vyama vya upinzan vnapoalikwa kwenye hafla visivyoafk havihudhurii? That's shame
@filbertkumburu80159 ай бұрын
Vipande vya fedha ni hatar sana,em cheki huyo mpoto anavyosema kwa msisitizo utadhania amesoma na kulielewa hilo limkataba la IGA, fedha ni mbaya sana. Ila Mungu alishatuangaliza nayo,"shina la kila aina ya maovu ni kupenda fedha...1timotheo 6:10
@meshacknyandongo5779 ай бұрын
Watanzania ni wanafiki kweli wachumia tumbo mpoto ni mpumbavu Momoja tu nchi hii hakuna viongozi wenye maono watanzania ni watumwa wa fikra
@filbertkumburu80159 ай бұрын
Yaani,hata mie nilikuwa nahisi ni mwanamashairi msimamo,kumbe bwege ananunulika tu...yaani anawajaza watu msimamo wake wa uelewa feki utadhani ndio ameusoma mkataba,aiseee..anajiona kama profesa shivji,kumbe mpoto njaa tumboni
@fredrickmwakalinga63909 ай бұрын
Huyu mama wa kambo anaiuuza Tanganyika anachukuwa wenye taa ya pesa kama huyu jukha kumsifia upumbavu mtupu
@leonardalphonce89249 ай бұрын
TATIZO UNAFKI UMEZDI SI WATANZANIA HATUJA KUBALI WE NDO UMEKUBALI MWENYEWE
@eligidiusmakaka99759 ай бұрын
Huyu ni sawa na Yuda na laana ya hii bandari itamfata mpaka kizazi Cha nne.
@surajatul7329 ай бұрын
Amina. Na iwe hivyo hakika
@patrickKitambo7 ай бұрын
huyu mpoto ni mnafiki sana wakati fulani akiwa ughaibuni alipewa hela akiri kua kilimanjaro na kiswahili ni vya wakenya
@user-hu1ev9pt8q9 ай бұрын
Big chawaz😂😂 yani simuelewagi huyu jamaa, anasifia mpaka anapotea😂😂
@user-mi8bw4gv4c9 ай бұрын
Hao watu weupe app wanatuna machoko kweli
@festokemibala58329 ай бұрын
Sasa hapa ni katika mkutano Mkuu wa ccm, mbona visamvu ndo naona vinashangilia tu?
@stevenmarunda43539 ай бұрын
Siku zote anaye Cheltenham msafara ning'ombe wambele ila anachapwa wanyuma mpoto ww ni ng'ombe
@tumaini_nkinda9 ай бұрын
Wachumia turbo acheni kusaport uuzwaji wa bandari. Hilo jambo la utiaji sailini halijafuata sheria zetu, bali sheria zetu zimevunjwa ili hilo limkataba lisainiwe, halafu mnasifia hivyii, mnaakili kweli?
@malindimalindimerinyo16329 ай бұрын
Mpoto alikuwa mzalendo was kweli enzi zile Leo haoni Tena ukweli ....tulipenda Kwa uzalendo wake Leo hii amekuwa kibaraka haoni Tena amegeuka mlamba miguu
@florianakhweso57498 ай бұрын
Waheshimiwa Maaskofu mgetakiwa muondoke hapo baada ya maneno ya huyo mshenzi alotumwa
@edwardmizambwa2378 ай бұрын
Ppoto sijui mpoto ni lipumbavu sana. Linapewa mapesa hovyo hovyo na Serikali limelewa
@SarahShao-jw1up9 ай бұрын
Mpoto wakati WA Mkapa alikuwa anaonekana mzalendo . Kumbe ni nyoka ndani ya ngozi ya kondoo
@NgambilabalinziBaliguluk-os3ln9 ай бұрын
Huyu mpoto hamna kitu Ni mchumia tumbo ndomaana amekosa Akili Ya kutambua faida Ya kuvaa kiatu mguuni mwake hawezi kuhanasisha ujinga wakutembea peku hii inaonyesha Ni jinsigani anasapoti ujinga.
@paulowilly78649 ай бұрын
Wambie wezi wenzako ndo maana hapo unafanya maigizo kwenye maisha ya watanzania umenunuliwa kusema hayo halafu unakejeli watu hatukulaumu Kwa ujinga wako tunamlaumu aliyekuagiza useme huo ujinga unatafuta cheo
Kwanni Mwabukusi ni mwenzao? Hawa wanaalikana menyewe kwa menyewe, alla!?
@michaelabrshamsaidimu3679 ай бұрын
Mpoto kwa namna hiyo ya kuongea naRais huku unafanya kuokota hela badala ya wanaokutuza wakufuàte kidogo umejiabisha japo hujui kumbuka ulikua unazungumza mbele ya Ràis
@eliamtinda72228 ай бұрын
Njaa mbaya 😢. Aibu kwa maaskofu!
@raphaelkorio24359 ай бұрын
Yaani maprefessor, madaktari, watu wenye knowledge zao wamekaa kumsikiliza huyuu😢 shame, speak fact and not nonsense
@gordiansoko91139 ай бұрын
Huyu Mpoto ni mbwa kasoro mkia anafaa kuishi porini na mafisi na mbweha njaa inamsumbua.Kafie mbele paka shume we.
@cyprianpetetmbonde63749 ай бұрын
Duh! Bonge la mpumbavu. Puumbavu sana yaani.
@JosephMsonga-wj4ol9 ай бұрын
Wanatuona nyani tu
@stewartdyamvunye-wz6rn9 ай бұрын
Cha mlevi huliwa na mgema. Walevi, wale waliotuza, mgema, Mpoto! Na siku zote mgema ana akili kuliko mlevi. Mpoto kawashinda akili. Je, ni ya kweli hayo kwamba watanzania 61 milioni wamekunaliana!
@akimuabdallah80395 ай бұрын
Tukana hao walizoea kubebelezwa miaka ya nyuma huku wakitumia mwanya huo kuiba na kufanya unafiki. Sasa kumekucha piga kazi mama. Hao achana nao waliwapinga hata mitume wamelaaniwa na bado tunataka kujenga nchi
@ChristerShao9 ай бұрын
Jamani hizo pesa wapeni watoto wa mazingira magumu wagonjwa hospital wanahitaji msaada.
@paulowilly78649 ай бұрын
Wambie wanaccm wenzako ambao kila kitu ccm mbele kwa mbele hata kama kuna shimo wao ni mbele na wao sio watanzania ni waneck ccm
@BernadethaSimba-qi4dw9 ай бұрын
Kwani mpoto ni nani mbona anajigamba hebu akapimwe Afya ya Akili yupo sawa kweli anasema milioni 61 amekubali kweli au kwa vile yeye anakula na marupurupu kibao hana maana kabisa mngejua mmewaudhi wananchi
@michaelabrshamsaidimu3679 ай бұрын
JAMANI WOTE MLIOCHANGIA AU WENGI WENU UCHANGIAJI WENU UNAONYESHA MRISHO MPOTO NI KAMA KAATHIRIWA NA JINA? MPOTO_+ SHAJI mi simo ila uchangiaji wenu
@florianakhweso57498 ай бұрын
Hili limpoto kama lichawi yaani.☹️☹️😟😟😟
@ObediKinkusha-gq8fw9 ай бұрын
UJIKO UJIKO UJIKO MM SIMWAMINI RAIS SAMIA KABISA marais watano hawakuona hilo? Ila mm hata nikipewa bahasha watashangaa sintakuwa tayari kushabikia ujinga TEC hawajakubali
@csato94159 ай бұрын
Kabisa unaona hao maaskofu nyuso zao si za furaha hata kidogo.
@leahnzali49339 ай бұрын
Mbona wanaotaoa pesa kwa Mrisho ni CCM tu
@raphaelmacha11739 ай бұрын
Wachumia tumbo bado wako subiria ukuu wa wilaya uteuzi ujao
@alexchawe-ln7dq9 ай бұрын
Kumsikiliza hy mbwaa anaharisha maneno maneno yake nisawa na kupeleka gunia mtoni halafu utalajie litajaa maji ni ujinga
@shijahlaurent31009 ай бұрын
HUYU SI NDIYO ALITEMBEA INCHI NZIMA ANASEMA NYUMBA NI CHOO NA BAKITA WAKAA KIMYA,ETI LEO MNAMKABIZI KUONGELEA JAMBO KUBWA KIASI HICHI KWELI NIMEAMINI SELIKALI HII HAMNAZO.
@eliphasmlengu63319 ай бұрын
Huyu jamaa anamfokea nani? Tanzanian kweli haya bwana
@gorettimtungwe90119 ай бұрын
Tuna shida sisi, tunaishi kwa amani ya kula Ila akili yetu haiko huru
@paulowilly78649 ай бұрын
Kwani mrisho yeye ni nani bandarini chawa na kawaida chawa ni mdudu mchafu na anakaa kwa mtu mchafu
@danielmanko91649 ай бұрын
Chawa wa nguvu! ati gati 3 tuu. IGA je? Mbona huiongelei UBOVU na UTATA wa IGA????
@KelvinMtavangu-ow8yo9 ай бұрын
Kuna baadhi ya watu wata laaniwa wao na ukoo wao wote. Hii di shule bali ni kebehi kubwa?
@catherinemhule65199 ай бұрын
Kumbe huyu baba ni poyoyo? nilkuwa namweshimu Sana. Sasa Hv staki tena kumsikia