No video

Mwigulu Nchemba: Tunakopa Sababu Sisi Ni Matajiri

  Рет қаралды 1,089

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amesema kwamba Serikali ya Tanzania inakopa si kwa sababu ni maskini bali ni tajiri, inakopesheka na inao uwezo wa kulipa.
Akitoa mrejesho wa mjadala wa bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/25 Mwigulu amesema kuwa Serikali inakopa kwa ajili ya kufanya shughuli za maendeleo na sio kwa ajili ya matumizi ya kawaida.

Пікірлер: 36
@fahamnitwahir9249
@fahamnitwahir9249 Ай бұрын
Wazir wa hovyo kuwah kutokea tz
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur Ай бұрын
Lingine Mwiguru fedha nyingi zinaibwa na watumishi hizi zote ni kujenga uchumi
@MathewsSikazwe-up4qd
@MathewsSikazwe-up4qd Ай бұрын
sasa ayo makofi ya nni sasa pumba tupu
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 Ай бұрын
Tajiri hakopi hata siku moja. Utakopa ulichonacho😢
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha Ай бұрын
Huyu ana akili timamu kweli? Kweli kuna changamoto ya akili nchini hasa kwa hawa machawa. Nonsense.
@HellenMacha
@HellenMacha Ай бұрын
Report ya CAG ingekuwa inapewa kipaumbele watu wasingingepigwa makod ya namna hiii...issue sio mapato tu...na matumiz pia!
@ExecutiveHouseKeeperElewana
@ExecutiveHouseKeeperElewana 21 күн бұрын
Waziri hopeless kuwahi kutokea Tz. Ingekuwa ni Enzi ya Nyerere usingekuwa waziri. Kukopa cyo tatizo, tatizo ni walafi ni wengi sn sn sn
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl Ай бұрын
Acha bana, kwahiyo kama nitajiri unakopea nini ??,na kama mwenye uchumi wajuu duniani mkopaji mkuu,,jee anakopa kwa nani ,au anakòpa kwamasikini wachini zaidi ,sijaelewa vizuri
@rashidabasi7940
@rashidabasi7940 Ай бұрын
Tukiliamsha tunanza na huyu Bumunda. Nchi zinakopa lkn pesa zinaonekana zinafanya kazi gani. Ninyi mnakopa then mnaongeza kodi si ujuha huo? Reli imejengwa kwa mkopo kias gani mbona hadi leo mnakopa kwq mrad huo huo na haukamiliki.? Anatoq sababu za kijua na za mzaha. Anajua anaongea na waTanzania majuju.
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv Ай бұрын
Mulisha tufanya kama chozi la samaki ambalo huenda na maji ila MUNGU wetu yupo atatupigania tuna amini na itakua ivo yani inchi inakopa kwakua ni tajili wkat madeni ni utumwa daaaaa! Sawa mwigulu
@niazonbukoke1964
@niazonbukoke1964 Ай бұрын
Hayo yanayopiga makofi ni majinga kias gan??
@smallscaleminingsupplies9670
@smallscaleminingsupplies9670 Ай бұрын
Huyu waziri hamnazo, kwani nani analipa TRA si mwananchi, na mkikopa nani analipa si mlipa kodi
@josephwilliammnyune5464
@josephwilliammnyune5464 Ай бұрын
Hamna siku mtanzania atadaiwa nuymbani kwake. Kwa sababu madeni ni ya serikali. Hiyo serikali inapata wapi fedha za kulipa hayo madeni, kama si wananchi????
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo Ай бұрын
Chawaaaa
@Rumishael
@Rumishael Ай бұрын
Tujifunze kutoka Kenya
@NanaMaembe
@NanaMaembe 21 күн бұрын
WEWE MWIGULU NI MPUMBAVU SANA WA MWISHO..... UNATAKA TUISHI KWA MIKOPO CHOKO WEWE?
@georgempogomi7329
@georgempogomi7329 Ай бұрын
Ukila wewe ukashiba unaona ni tajiri sijaona mtu mbaya kama wewe pumbavu kabisa watu hata mlo mmoja ni shida wewe umeiba hela zote za Kodi unajiona tajiri na unafikiri wote
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 Ай бұрын
Huyu anaongea nn deni limeongezeka sasa Tanzania inapoteza pesa nying kwenye ufisadi lakn hatuna hatua chura kiziwi yupo tu
@febby8308
@febby8308 Ай бұрын
Tupigwa 2
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo Ай бұрын
Hahaaaaa tz tumatajiri huku tunalala njaa
@AugustKisaka-qy7kl
@AugustKisaka-qy7kl Ай бұрын
Pato lataifa linakuwa ,na kama linakuwa ,je pato la wananchi na lenyewe linakuwa??
@SurprisedAutoRace-ib8nf
@SurprisedAutoRace-ib8nf Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 hata haujishangai na mnakopa kwa shida zenu hatupo karne ya70s na kila mtu anaelewa
@robertnkyalu3241
@robertnkyalu3241 Ай бұрын
Upumbavu wa hali ya juu
@juliethpetro8763
@juliethpetro8763 21 күн бұрын
Mbona maneno yake yana kigugumizi?
@josephfrancis9943
@josephfrancis9943 Ай бұрын
Mnakopa mnagawana wenyewe nchi inadaiwa mpaka kku mnatuachia shida ndo mana unapendekeza fain milion kumi na tano msenge ww huna akili
@andrewchihwalo8937
@andrewchihwalo8937 Ай бұрын
Ubongo wa makamasi eti waziri aibu sana wallah 😡😡😡😡
@user-mw7xl2zc8f
@user-mw7xl2zc8f Ай бұрын
😢😢😢Mungu wangu!Nini hii
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 21 күн бұрын
Hak ana mahana
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku Ай бұрын
Ahhh mm ngoja nicheke tu
@clethbarnaba923
@clethbarnaba923 Ай бұрын
Kangara kweli
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur Ай бұрын
Hapo sijakuelewa unawezaje kuenda kuomba msaada kwa mtu alafu umbiye kuwa Mimi tajili
@georgempogomi7329
@georgempogomi7329 Ай бұрын
Kafie kuzimu bumunda
@Andy-ez9jo
@Andy-ez9jo Ай бұрын
Asimilia 20 ya bajeti ya Tanzania ni mikopo. Kama mkikosa mkopo hamwezi endesha nchi. Kuna hela gani iliyokopwa nchi hii imezalisha hela hela ya kulipa hayo madeni yanatoka wapi zaidi ya kuongeza kodi. Ma company yenyewe ya serikali yote yanaingiza hasara Si TTCL Si tanesco Si dawasa Si viwanda vya serikali kila kitu hasara hadi vyuo. Hadi mwendo kasi hamwezi ku endesha hiyo hela ya kulipa inatoka wapi Huyu Jamaa ana tu fanya sisi wajinga. Na anavojilinganisha na marekani marekani asilimia 80 ya madeni yake ni internal kwa maana serikali inajikopesha yenyewe kupitia states na government pensions anatuona sisi wajinga. Wabongo mpaka tuamke Haya mambo hayatokaa yaishe.
@OnetimeShowtime-jj1ek
@OnetimeShowtime-jj1ek Ай бұрын
Matajili hatukatai Shida yako Viongoz mumekua wanyanyasaji masikini limekua godro lenu tax Tozo nibom kwawa Tz
@MakunyanziPeter
@MakunyanziPeter Ай бұрын
Ndiye mtu msomi huyo
@patrickbenard7542
@patrickbenard7542 Ай бұрын
Sawa wanakopa wanakupa mkopo Kwa riba gani na Kwa mashart gani? Na Je wanakupangia project gani za kufanya?
Son ❤️ #shorts by Leisi Show
00:41
Leisi Show
Рет қаралды 10 МЛН
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10
JKLIVE | Lee Njiru: Ears of Power [Part 1]
35:23
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 2,9 М.
HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA KWA MWAKA 2024-25
25:42
Hazina TV - Wizara ya Fedha
Рет қаралды 2,6 М.
Wamasai wa Ngorongoro waendelea kulilia haki zao
3:38
The Chanzo
Рет қаралды 3,7 М.
JKLIVE | Lee Njiru: Ears of Power [Part 2]
48:18
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 1,4 М.
Shabiby ampa mbinu Mwigulu, asema kuna upigaji mwingi serikalini
6:16
Mwananchi Digital
Рет қаралды 1,6 М.