No video

NAY WAMITEGO- MIMI NINA DHAMBI NYINGI SANA,MASHOGA,LAANA,ILA MUNGU WANGU ANANISAMEHE

  Рет қаралды 211,188

TimesFMTZ

TimesFMTZ

Күн бұрын

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 174
@ghuhenjasper8666
@ghuhenjasper8666 2 жыл бұрын
Nakushauri kaka Ney, Usiache kuimba nyimbo za Kisiasa. Mkiwa wawili wewe na Romma mambo yataenda.
@kakaaignas3675
@kakaaignas3675 2 жыл бұрын
Ney kichwa sana
@swahililandtv1
@swahililandtv1 2 жыл бұрын
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
@masudimwinyi7301
@masudimwinyi7301 Жыл бұрын
Kataa kubali rukaruka lkn siku moja tuu ndani ya jeneza ndio utajua km Mungu wako ndio uyo uyo aliewaumba watu wote pamoja uyo unaemuabudu nae pia kaumbwa na Mungu unaemkataa wewe dunia tuu inakuadaa ndugu yangu mAisha ayo ulionayo Ni mapito tuu
@ema4968
@ema4968 2 жыл бұрын
Hongera japo sasa kwenye ibada sikuelewi Mungu yupi unamwabudu
@josephsimba3007
@josephsimba3007 Жыл бұрын
Nakupenda sana kutoka congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🔥💪☝🏾 ney for live 🇨🇩
@captenndunga6745
@captenndunga6745 2 жыл бұрын
Kusema ossama alikua gaidi namba 1 duniani unakosea usiongee usichokijua... Soma kwanza historia ya mtu kabala hujamchafua ni kama wewe tulivokua tunajua unakunywa pombe kumbe hunywi... Tusikariri historia potofu walizitupandikiza wazungu ni sawa na kuamini kua idi amini alikua anakula nyama za watu au kuamini kwamba gadaf alikua dikteta.. Tujifunze kusoma hisoria za wanaharakati walotangulia kabala kuwachafua KUNA MWANDISHI 1 ALIWAHI KUSEMA UKITAKA KUMTAWALA MUAFRIKA KIFIKRA WEKA HISTORIA KWENYE VITABU mana hatuna desturi ya kujisomea vitabu.
@jumakassim8718
@jumakassim8718 2 жыл бұрын
Swadakta
@swahililandtv1
@swahililandtv1 2 жыл бұрын
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 Жыл бұрын
Wasanii wengi hawasomi vitabu.... Ndomaana wakaitwa wasanii... Maneno mengi without facts... Burabura nyingi without big minds.
@SajeedaBilal-hg2ph
@SajeedaBilal-hg2ph Жыл бұрын
Kweli kabisa kaka, wengi wetu hatusomi historia,wazungu walitudanganya na wanaendelea kutudanganya
@ManmanChuwa-ku4cr
@ManmanChuwa-ku4cr Жыл бұрын
Ni gaidi vipi!? Elezea so ugaidi wake ulikuwa WA faida au hasara
@SaidHamisi-ng4pv
@SaidHamisi-ng4pv 5 ай бұрын
Inakuwaj mshikaji wangu raisi wetu wamta naitwa said khamissi from rwanda endelea kupambana kaka nakubali ngoma zako broth
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 2 жыл бұрын
Kwel wew ni True boy 🔥
@onesmomlinga2739
@onesmomlinga2739 2 жыл бұрын
Mtangazaj yupo perfect sana hana mambo mengi
@issahamis3286
@issahamis3286 2 жыл бұрын
Nakubal true boy hakuna kama wew nakubal mzee mbabaa
@ashaally6993
@ashaally6993 2 жыл бұрын
Mtangazaji anafanana na Hamorapa🤩
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@muwezahasani4017
@muwezahasani4017 2 жыл бұрын
Kaka akee huyoo
@jumakilipamwambu2731
@jumakilipamwambu2731 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@simonmacho2993
@simonmacho2993 Жыл бұрын
Hahahahahaahaha
@mpundempunde1722
@mpundempunde1722 2 жыл бұрын
Ney we ni fala mzee upo na akili nyungi sana big up man you are real niga
@swahililandtv1
@swahililandtv1 2 жыл бұрын
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
@bonabonala5559
@bonabonala5559 Жыл бұрын
Ney king of hip-hop tz and afrika
@rashidkihunga2938
@rashidkihunga2938 2 жыл бұрын
Ney big up sanaaaaaaa
@sirbaraka
@sirbaraka 2 жыл бұрын
Presenter uko vzr sana,Nay wa mitego uko very realistic 💪
@AnuwarAbdallah
@AnuwarAbdallah 17 күн бұрын
Hapa Ney anasema anaabudu shetan
@user-uy9zt6mb7d
@user-uy9zt6mb7d 4 ай бұрын
Waouh!! Natamanisa nabkuimbana wewe mukubwa miminiko mu kongo mani 🇨🇩
@ucjvvjcjjvih9934
@ucjvvjcjjvih9934 2 жыл бұрын
Am tz mupo vizur na MTANGAZAJI amechangamka sana anajua sana🥰💯
@mnyongeiddi2454
@mnyongeiddi2454 2 жыл бұрын
Ney na kukubali sana nakutazama kutoka saudia Arabia.
@allyzanzibar8983
@allyzanzibar8983 2 жыл бұрын
Hana mpngo za ya chuki et anashangaa Osama na anamwita Gaidi Boya tu khanisi tu
@dinyoabeli9028
@dinyoabeli9028 2 жыл бұрын
Safar ya maisha ya Ney anadai alikua anavuta bangi Leo ajawahi vuta mbn hatuelew #NEY
@rashidkihunga2938
@rashidkihunga2938 2 жыл бұрын
Naweza kusema ila so kweli nachokisema usikalili anachokiongea alie mbele yako
@barakakusa7606
@barakakusa7606 2 жыл бұрын
Kwa uongo huu basi hata Pombe anakunywa.
@jumakilipamwambu2731
@jumakilipamwambu2731 Жыл бұрын
Bangi mbaya
@eliahmasinjisa3546
@eliahmasinjisa3546 2 жыл бұрын
Nakukubali kaka taarifa kama hizo coz staili zako zinashawishi kama kweli unakunywa au kuvuta bangi napenda kazi zako ty kaka
@alphonselwitomushabaalm1788
@alphonselwitomushabaalm1788 2 жыл бұрын
Kweli kabisa ata na miye nilikuwa najuwa kama nay anakunya kweli pombe kube eko tu simpo vile 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@swahililandtv1
@swahililandtv1 2 жыл бұрын
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
@bienf-jdogo-bindieudonne9122
@bienf-jdogo-bindieudonne9122 Жыл бұрын
Kaka nafurai sana kupitiya haya maneno unayo isema kwamuda huu ulikuwa kwenyi festival Amani kwetu Bukavu Ila sikuweza fika kukuona sababu umli wangu ulikuwa mdogo sana sababu sijajulikana Kaka Ila unayo sema hapa wengi hawaamini kuwa kilamtu ana mungu Wake anaamini naflai sana Kaka bienf-j Dogo-bin immortel lif crow Bukavu kavumo combo deux kwetu kijijini combo deux groupement miti
@hajijuma8661
@hajijuma8661 Жыл бұрын
Nakukubali sana Broo, upo sawa kiukwel
@monadinadi5295
@monadinadi5295 2 жыл бұрын
Safi ney mzee Wa ukweli
@athumanially4559
@athumanially4559 2 жыл бұрын
Noma sanaaaa
@amirdingu9939
@amirdingu9939 2 жыл бұрын
Uko vzr sana bro ney wa mitengo
@edmondalex4395
@edmondalex4395 2 жыл бұрын
Hongera sana brother nay wamitego
@hamisaamoor7902
@hamisaamoor7902 2 жыл бұрын
Nakubali kaka nimejifunza kitu Asante Sana
@paulkonongo7361
@paulkonongo7361 2 жыл бұрын
Nakubali big up ish maisha ako tu usifate maisha yao bahat njema nakutakia
@swahililandtv1
@swahililandtv1 2 жыл бұрын
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
@samsonhezron
@samsonhezron Жыл бұрын
Apo kwenye Bangi umedanganya maana nilishawahi kufatilia interview yako Moja ulisema ulivuta sana Bangi na ni mwanamke wako wa kwanza ndiye aliyekushawishi ukaacha bangi
@giftpamelagiftpamela4494
@giftpamelagiftpamela4494 2 жыл бұрын
Big up broo ney💖💖💞💞🙏🙏
@swahililandtv1
@swahililandtv1 2 жыл бұрын
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
@danielelikana5118
@danielelikana5118 2 жыл бұрын
Nay acha uogomwanba nakumbuka ulikuwa na shoo mwakitolyo ulilewa sema kweli
@anithanithaa2651
@anithanithaa2651 2 жыл бұрын
Atakua amesahau 🙆😅
@mosesmwaka774
@mosesmwaka774 Жыл бұрын
really it's very very beautiful my star 🌟
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 7 ай бұрын
Ney.kama unabarikiwa na midhambi.ujue umenyosha.jehanamu soma luka.16.mstari.19.yule tajiri.alikuwa na.hela.hakupata matatizo.baada ya kufa mwili akaangukia jehanamu.Mungu.wa.mtu.mmoja.hayupo
@manrasiel8054
@manrasiel8054 2 жыл бұрын
Mtangazaji anajua sana. Hongera sana Mr Ney
@swahililandtv1
@swahililandtv1 2 жыл бұрын
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
@emmymathias2325
@emmymathias2325 2 жыл бұрын
Ipo vuzr ney umenifurahish umewafundusha sas wasiojitambua wajitambue Mambo yakutembea nabodbod mikonon ndabodabod waach
@Mwanam345
@Mwanam345 2 жыл бұрын
Ney nakukubari sana saport kipaji chang
@omarswaleh6082
@omarswaleh6082 2 жыл бұрын
Kama una dhambi nyingi wajijua fanya bidi ujiepushe na moto maana ni mkali
@jumakilipamwambu2731
@jumakilipamwambu2731 Жыл бұрын
Moto mkali
@hossenmuhaji9471
@hossenmuhaji9471 2 жыл бұрын
Jamaa anajua presenter good job
@niyonkuruemery4971
@niyonkuruemery4971 2 жыл бұрын
Nakubali sana bro
@barakakusa7606
@barakakusa7606 2 жыл бұрын
Ney acha uongo bangi ulivuta Sana miaka hiyo na we mwenyewe ulikili Hilo kwenye interviews ulizofanya Mika kadhaa iliyopita.
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 жыл бұрын
Kwa Millard ayo alisema mwenyewe labda kama ameacha ila hata mdomo wake unaonesha
@amosmichael487
@amosmichael487 2 жыл бұрын
Huyu mwongo kimara bucha ana manzi yake pale kuna baa maarufu kwa Urio namkutaka analewa sanaaa yani nashangaa huyu mbwa anatudanaganya labda wa mikoani ndo watakuamin
@mohamedkhalifa6014
@mohamedkhalifa6014 Жыл бұрын
@@amosmichael487 mwamba anatupanga kinyama Yan 😂😂
@mwangonjim2mbad155
@mwangonjim2mbad155 2 жыл бұрын
Nakubali m2mbad mbeya boy
@charlesjoseph1081
@charlesjoseph1081 2 жыл бұрын
Ney, niliwahi sikia stories yako njia panda in clouds FM leo mbona unatudanganya
@benedictsekibaha1265
@benedictsekibaha1265 Жыл бұрын
Kwa case ya Mashoga na wasagaji watubu Kwa dini zao kama sivyo kitakuwa kizazi Cha laana na Mungu atatuadhibu si lazima Kwa moto kama Sodom na Gomora
@issahamis3286
@issahamis3286 2 жыл бұрын
Mama Rudi nyumban vp mzee mbaaba true boy ulikutana na kinyago nn
@alexnikole-qz7kp
@alexnikole-qz7kp Жыл бұрын
Ney nakukubari maana hauna usinichi pia kwenye nyimbo zako upo vizuri unatumbua jipu chaps KAZI kaka
@frankurio469
@frankurio469 Жыл бұрын
Toa wimbo maalumu wa kupinga vitendo vya ubasha, ushoga na usagaji, please!!!!!
@mashamgaharo3881
@mashamgaharo3881 2 жыл бұрын
Uko vizuri kaka Ney nakukubali sana
@farahatianthony7566
@farahatianthony7566 2 жыл бұрын
Nakukubali Sana kaka ney napenda sana kazi zako
@swahililandtv1
@swahililandtv1 2 жыл бұрын
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
@douglaskombo7356
@douglaskombo7356 5 ай бұрын
On point
@kellybreezytz2491
@kellybreezytz2491 2 жыл бұрын
Huyu Jamaa nilikua sielewi kwanini baba yangu anamkubali hili Jamaa ni AKILI MINGI
@issakisalu9237
@issakisalu9237 Жыл бұрын
Nani alikwambia Osama ni Gaidi namba moja duniani
@jamesgasper6764
@jamesgasper6764 2 жыл бұрын
Jamaa anatosha Sanaa kuwa presenter ila mbona kama anajiedit Sana naona mawanja ktk kope na mkorogo Kwa mbaliii au macho yangu.
@peterdavid4230
@peterdavid4230 2 жыл бұрын
kabisa ata mimi nimeona😂
@adammwita3150
@adammwita3150 2 жыл бұрын
Anakunywa maji mengi
@charlesdjuma1594
@charlesdjuma1594 Жыл бұрын
Nay wa mitego msaani wangu
@huberthmlawa3276
@huberthmlawa3276 Жыл бұрын
Ney nimekukubali sana mwana
@boctale5069
@boctale5069 2 жыл бұрын
Nay noma
@saadatiyahyashabani-yg2xy
@saadatiyahyashabani-yg2xy Жыл бұрын
Nay wamitego Kanye west 💥⚡
@user-wu2ig1ds3v
@user-wu2ig1ds3v Жыл бұрын
Nakubal
@mdta8161
@mdta8161 2 жыл бұрын
Kaka ney nakupendaje
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Жыл бұрын
Ney mitatuu hiyo tubu.Mungu hapendi ni alama za freemason
@user-tm3ut4px5s
@user-tm3ut4px5s 6 ай бұрын
Nikweli kaka hongera
@emanuelneriwa6619
@emanuelneriwa6619 Жыл бұрын
Ukiwa sio sigma huwezii muelewa baba yaga
@sayotaboyGospel
@sayotaboyGospel Жыл бұрын
So poa nakukubali
@lodricklema9593
@lodricklema9593 2 жыл бұрын
Big up ney
@DonPrince11
@DonPrince11 Жыл бұрын
Amazing
@nkeshaenock1046
@nkeshaenock1046 2 жыл бұрын
Hapo kuhusu kumiliki simu nimekuelewa
@joeldallas6491
@joeldallas6491 Жыл бұрын
Na mm pia
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 жыл бұрын
Nakupenda Nay sana sana jmn naomba number yako 😔😔😍
@swahililandtv1
@swahililandtv1 2 жыл бұрын
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
@barakamnazareti5745
@barakamnazareti5745 Жыл бұрын
Kwenye namba make apo Kwanzaa nicheke
@anithamsaki9911
@anithamsaki9911 2 жыл бұрын
Jamnii huyu kaka nampenda Bure jinsi tu anavyo ongea mungu tua anajua
@adammwita170
@adammwita170 2 жыл бұрын
Sasa unatuambia sis anitha si utafte namba yake 😄🤣😂
@anithamsaki9911
@anithamsaki9911 2 жыл бұрын
@@adammwita170 haahaha muonee sijamaanisha hivyoo jamnii mmmmh makubwa najua likichwa lakoo lishawazaa negative
@khalfanidaudichando2750
@khalfanidaudichando2750 2 жыл бұрын
kaka wamitego big up
@SanibiliKonoladi-dp1wx
@SanibiliKonoladi-dp1wx Жыл бұрын
Kaka iyoo sauutii ya bangiiiii kabiiisa iyooo achaa izoooo kaka
@amosmichael487
@amosmichael487 2 жыл бұрын
Mungu wako yuko mason zake za free😂😂
@ngwanasongowelero7153
@ngwanasongowelero7153 2 жыл бұрын
Mungu yupi sasa
@fidelisnairowa6121
@fidelisnairowa6121 2 жыл бұрын
Nay kwere sana
@ameenaameena422
@ameenaameena422 2 жыл бұрын
Mungu wako shetan
@sayotaboyGospel
@sayotaboyGospel Жыл бұрын
Huyu jamaa mhhhh
@mosesmwaka774
@mosesmwaka774 Жыл бұрын
Tukutanane Congo DRC maana wa kina mond na wakina kond na msanii mwenzenu amewahi kufika kwa nini usifike nami natamani nikuwe msanii kama wewe ni kute kwenye njia MOSES mwaka
@mosesmwaka774
@mosesmwaka774 Жыл бұрын
Msanii mwenzenu roma
@ufugajiwetu7782
@ufugajiwetu7782 2 жыл бұрын
Acha uongo wewe Unakunuywa mda Sana'a
@khadijakdj8640
@khadijakdj8640 2 жыл бұрын
Huyo kaka na hivyo vinywere anafanana na D
@balakasilungwe8525
@balakasilungwe8525 Жыл бұрын
namkubali Sana jamaa
@kilianmhagama475
@kilianmhagama475 2 жыл бұрын
Iko tamusana hiyo
@user-ng1dp7qq8w
@user-ng1dp7qq8w Жыл бұрын
👊🔥🔥
@mudynkofia4063
@mudynkofia4063 2 жыл бұрын
Huyu jamaa namkubali San anapenda kuongea ukwel
@swahililandtv1
@swahililandtv1 2 жыл бұрын
UCHAWI NA MAPENZI / AINA YA NDOA full interview na wadada pambe
@najmahamisi4824
@najmahamisi4824 2 жыл бұрын
Kinata
@angelfortunatus117
@angelfortunatus117 2 жыл бұрын
😘😘😘❤️
@hassanmwepesi5632
@hassanmwepesi5632 Жыл бұрын
True boy
@nelsonntarej3457
@nelsonntarej3457 Жыл бұрын
Cool
@danielsaimoni9140
@danielsaimoni9140 Жыл бұрын
Watupe hio Sasa
@diolindanativo7268
@diolindanativo7268 2 жыл бұрын
Uyuu mtangazaji ana kichwa kizuri jamani na hayo marangi.
@mdta8161
@mdta8161 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
😄😄
@kudratyramadhan3678
@kudratyramadhan3678 2 жыл бұрын
😂😂alaah
@siwonikewiliam5104
@siwonikewiliam5104 2 жыл бұрын
😂😂
@fatumaali4275
@fatumaali4275 2 жыл бұрын
Ney matataaaa!🤣🤣🤣
@shashimohamedi3979
@shashimohamedi3979 2 жыл бұрын
Neywamitego
@edwinkeche1148
@edwinkeche1148 2 жыл бұрын
Khaligraph jones 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂
@feysanga8308
@feysanga8308 2 жыл бұрын
😍😍😍😍😍😍😍
@dadysamsungalaxt8289
@dadysamsungalaxt8289 2 жыл бұрын
Neiy kuwa mkweli mbona unasema unasujudu wakati wanaosujudu ni sisi waislam au wewe ni muislam?
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 2 жыл бұрын
Sio wote wanaosujudu ni Waislam ma budha na orthodox nao wanasujudu
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Wewe vipi wanasujudu mabaniani na wachina mashaolin kwenye matemple wewe wawapi 🤣🤣🤣🤣
@adam-saffi211
@adam-saffi211 2 жыл бұрын
The problem ya hawa watangazaji hawam-research mtu, this guy lied to us pale Clouds Radio Njia Panda
@sundayadolph1707
@sundayadolph1707 2 жыл бұрын
Nakubali master
@puritywanjala6452
@puritywanjala6452 2 жыл бұрын
Nilijua wewe ni mlevi wa wanawake😂😂😂
@farahatianthony7566
@farahatianthony7566 2 жыл бұрын
Naomba namba
@happynjukiz6495
@happynjukiz6495 Жыл бұрын
sasa mbona unawenge bro
@gilbertgabriel7800
@gilbertgabriel7800 2 жыл бұрын
Sana
@youngsimba2054
@youngsimba2054 Жыл бұрын
Mana há sapoti
@user-ys7bj9yd6e
@user-ys7bj9yd6e 6 ай бұрын
Ulisema ule dem wakizungu aliyekubatiza jina la Nay ? Ndye alikufunza bangi na sigara na pombe. Achauongo ukisema uongo uwe unakumbikaga
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 Жыл бұрын
Mtu apendi pombe apendi mpila Kuna anacho kipend??
@Mr_Andati
@Mr_Andati 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@fabianjoseph7874
@fabianjoseph7874 2 жыл бұрын
Duuh iyo boda boda nime iyelewa
@geralddaud9763
@geralddaud9763 2 жыл бұрын
Ney Genius
@neemasawe7016
@neemasawe7016 2 жыл бұрын
Ni nay jmn so ney😂😂😂
@selemensafarikakanay1981
@selemensafarikakanay1981 2 жыл бұрын
Kaka nay naomb unifunze kuimba naomb kaka
@jumakilipamwambu2731
@jumakilipamwambu2731 Жыл бұрын
Umemaliza ahaaaa Nay wengine ney
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 24 МЛН
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 6 МЛН
ROMA: WALIONITEKA WALINIAMBIA NITATOKA 2030
35:25
Millard Ayo
Рет қаралды 781 М.
Majibu ya Nay wa Mitego kwa Mchungaji Anthony Lusekelo Mzee wa Upako
8:07
ISSEI & yellow girl 💛
00:33
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 24 МЛН