No video

TRA HATARINI | Wapewa TUMBO JOTO Mbele Ya JPM

  Рет қаралды 91,453

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

Mfanyabiashara Mwakilishi wa Singida amezungumzia kuhusu uzungushwaji wa mambo ya ulpaji kodi na kusema serikali inawalazimisha wafanyabiashara kupita mlango wa nyuma , "je tukipita mlango wa nyuma Tanzania itapata wapi kodi"
TRA hawataki kuongeza kodi isipikuwa wanakuwa wanang'ang'ania kwa mtu mmoja kumsumbua kulipa kodi.
#jpm
/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 43
@AbdulRahman-wx6iv
@AbdulRahman-wx6iv 5 жыл бұрын
Jamaa kaongea point kweli sema tatizo serikali yetu ni utekelezaji na kuchukua hatua..halafu hawataki kushauriwa..
@mariamali1887
@mariamali1887 5 жыл бұрын
Safi sana maelezo yako ni point tupu 👌👌 .kwa uongozi huu wa magufuli. Serekali itanyooka tu .wananchi wamekua wanauwezo wa kujielezea na wanasikilizwa matatizo yao. Uongozi wa magufuli naupenda sana . maelezo yanafatiliwa na yanafanyiwa kazi .Jamani viongozi wa serekali mkifata uadilifu nchi haita yumba. Tulikosea nyuma. Sasa tuamke Tanzania.
@kileohemed4958
@kileohemed4958 5 жыл бұрын
👍👍👍👍👌👌👌👌👌👌👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@kimaroalfonsi199
@kimaroalfonsi199 5 жыл бұрын
Kubaguana kwa dini kabila rangi sio kawaida ya watanzania sisi
@fatumahassan8212
@fatumahassan8212 5 жыл бұрын
Hongera sana mheshimiwa rais kwa kuhitaji kujuwa changamoto zinazokubali wakabili wafanya biashara , ni furusa ya kipekee mungu akubariki sana, mfanya biashara wa singida uko vizuri kwa ufafanuzi wa wazi umewasaidiya wengi
@King_186
@King_186 5 жыл бұрын
Safi kaongea vizuri
@nassernajm5417
@nassernajm5417 5 жыл бұрын
Well-done Mh Rais..!! Changamoto za wafanyabiasha unazisikiliza pia....👍
@davidwambura5915
@davidwambura5915 5 жыл бұрын
Hii ndo tanzania mobimba,😎😎
@mamymamiza2924
@mamymamiza2924 5 жыл бұрын
Asante sana rais wetu kuwapa watu uhuru wakuongea na wewe bila uoga hii ndio tz tunayo itaka
@deepcworkshop7442
@deepcworkshop7442 5 жыл бұрын
Hawa walio ongea Leo ni zaidi ya wabunge maana wanena point tupu.
@qonquererqonquerer1581
@qonquererqonquerer1581 5 жыл бұрын
Ni Zaid Wale Wabunge Wa Ccm Wanaoungaga Kila Kitu Mkono
@mohammedmtile1788
@mohammedmtile1788 5 жыл бұрын
jamaa yupo vzur sana......Fact
@omarjumanne4471
@omarjumanne4471 5 жыл бұрын
Safi sana viongozi wengi hawajui mwendelezo wa viwanda hawajui kabisa
@Nyapara1
@Nyapara1 5 жыл бұрын
Nani kasema Wahindi waoga???
@mikapmwalimu4555
@mikapmwalimu4555 5 жыл бұрын
Sun day hahahahaha ndugu naisi hatakua singga singga kwa muonekono wake
@vitussimon9696
@vitussimon9696 5 жыл бұрын
Safi sana
@carolinesandi6248
@carolinesandi6248 5 жыл бұрын
Daaa uko vizuri sana
@nohatredbutlove5786
@nohatredbutlove5786 5 жыл бұрын
Jamaa kaongea points tupu duuh
@ramlabaraka1045
@ramlabaraka1045 5 жыл бұрын
Dah...! Kaongea vitu vya kweli asee
@shembaker5405
@shembaker5405 5 жыл бұрын
watanzania wangekua wana uwezo wa kuongea kama hivi, Tanzania ingekuwa mbali sana. Tatizo watanzania hatujielewi
@evarestmasawe6361
@evarestmasawe6361 5 жыл бұрын
Hapaa naamin kamaa w2 wanalipa kodii kwaiyali tuweza kukusanyaa trion 30
@evarestmasawe6361
@evarestmasawe6361 5 жыл бұрын
Kazi ipo
@emanuelmuna2296
@emanuelmuna2296 5 жыл бұрын
kumbe kuna wabunge wazuri sana aisee hata hawasinzii kabisaaa! hili ndo bunge! sasa lakin lile lingine cjui wanakulaga maharage ya wapi waleee!!
@elizamsilikasi1952
@elizamsilikasi1952 5 жыл бұрын
Hahahaaaa
@glorymamuya5161
@glorymamuya5161 5 жыл бұрын
Kumbe na wewe Emanuel umeona hilo bunge😜
@jumamgema3356
@jumamgema3356 5 жыл бұрын
Akyamungu tanzania
@nancesebastian3464
@nancesebastian3464 5 жыл бұрын
😭😭😭👏
@lovedawin4105
@lovedawin4105 5 жыл бұрын
mhh point tupu hapo,nchi inaonekana ni shida sana zimetujaaa
@jrabuudaldaa2682
@jrabuudaldaa2682 5 жыл бұрын
jamaaa ameongea point tupu
@geraldsenkondo4334
@geraldsenkondo4334 5 жыл бұрын
Tukubali tubadilike tufanye biashara na kuwainua wafanyabisha.
@patrickbatenga2645
@patrickbatenga2645 5 жыл бұрын
Kwa utitiri na mlolongo wa viongozi uliopo Tanzania issues nyingi zingeweza kumalizwa bila haja ya kumu- overwork Rais.
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 5 жыл бұрын
Itachukua Musa mrefu msana Tanzania mpaka rushwa Londonern nakwisha kabisa Rais unajitahidi lakini bado sana
@immamrema2288
@immamrema2288 5 жыл бұрын
Tz Kama Irana ila UYU MZEE kaongea pwent tatzo liko wp:-P
@abdihafiidmohamed5742
@abdihafiidmohamed5742 5 жыл бұрын
👴👴👴
@abcAbc-qt7ui
@abcAbc-qt7ui 5 жыл бұрын
Huyu muhindi au muarabu jmn mm najuaga wahindi waoga...huyu ujaxiri kapata wapi?..kaongea fact tupu.
@jacobmakono389
@jacobmakono389 5 жыл бұрын
Huyu baniani!
@asiaramadhani3580
@asiaramadhani3580 5 жыл бұрын
@@jacobmakono389 sio baniani ni shia
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 5 жыл бұрын
Spika ndugai anasikia huu ujumbe wa Rais kuhusu bandari ya baganoyo
@saidsahd1971
@saidsahd1971 5 жыл бұрын
Mie killa siku huwa nasema rais Hana shida hawa wachini yake ni shida na ndio wanaomuangusha kwa mfano tu mambo Kama hayo mpaka ambiwe Rais ndio anze kuyafatilia kweli? Mtu anakesi ya kiwanja ni Rais mtu hajakipata mkopo ni Rais tubadilikeni jamani
@abdulrahmanmussalonka4935
@abdulrahmanmussalonka4935 5 жыл бұрын
Ohooo Muhindi Kachomwa, pata pata.
@piusmwanisawa3480
@piusmwanisawa3480 5 жыл бұрын
kwakweli Leo nimewapenda wafanyabihashara wametililika vzr sana wameweka vitu wazi ,lkn rushwa ni janga LA kitaufa
@vitussimon9696
@vitussimon9696 5 жыл бұрын
Safi sana
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 114 МЛН
Box jumping challenge, who stepped on the trap? #FunnyFamily #PartyGames
00:31
Family Games Media
Рет қаралды 20 МЛН
The Match That Made Ronaldinho Retire
13:33
BR7 Football
Рет қаралды 421 М.
HIVI NDIVYO RAIS MAGUFULI ALIVYOWATUMBUA WAFANYAKAZI WA 3 WA TRA
4:21
Mwananchi Digital
Рет қаралды 38 М.
TOP 16: MAMBO ALIYOFANYA MAGUFULI NDANI YA MIAKA MINNE
29:07
Global TV Online
Рет қаралды 509 М.
The Match That Made Zinedine Zidane Retire
14:37
BR7 Football
Рет қаралды 490 М.