Toeni Sera za maana basi watanzania wasikie mlichonacho huu sio wakati wa malalamiko ni saa ya kuuza Sera maana kwa stail hii duuuh!!! Sijui !!!!!???
@whatisthetruth.87933 жыл бұрын
Jukwaa limechoooka kama nyumba ya wenda wazimu😴😴😴😴😴
@teddyjohn53393 жыл бұрын
Hizo kampen vigodoro baba yangu JPMchapakazi baba achana nawatu wenye akili fupi...mimi namtambua Lisu ni Raia wa ubeligiji acha wajifurahishe
@stephenmseti55394 жыл бұрын
Ningekuwa na uwezo hizo ela kqmpeni mngezirudisha kwenye benki ili tukope zitusaidie wananchi maana Mqgufuli tena 2020
@sarahmarishay69383 жыл бұрын
Nikweli kabisa hill nalo neno tukope zetu
@michaelpaul77603 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@sarahmarishay69383 жыл бұрын
Wajinga kweli wananimalizia mb zangu halafu utumbo mtupo kweli hawana Viber eti ferstlad hahaaa tunamjuwa mama Janeth Magufuli tu shuuwaini nyie
@upendokaswiza98313 жыл бұрын
Magu Mungu akusimamie akupiganie mpaka uzee huko
@renatusfbupamba51814 жыл бұрын
Kuteua mgombea mlijichelewesha kurejesha fomu mkajichelewesha kwenye kampeni hamjalaza damu haya bwana Mungu awatangulie wana CHADEMA. #tukutane2020/2021 #millardayo #tbcfm
@sophiaharidi46723 жыл бұрын
Tupo pamoja sana kamanda✌️✌️✌️
@godhelplatia30444 жыл бұрын
Mungu awabariki hakika inapendeza
@ladislausngoyinde43844 жыл бұрын
Mmmh, ni mkutano au kikao maana sielewi
@johnsonmarick453 жыл бұрын
Utaelewa tu, kama ulipata 0 subiri
@saleheabdalah65353 жыл бұрын
WATU wachache sanna kwa KWELI ngoja mafuliko ya magu
@denismassawe92554 жыл бұрын
Halafu pia mlikosea mahesabu yaani bora uliporudi ungejificha ili utokezee wakati wa kampeni sasa wewe umekuja na kuanza kuzunguka nchi nzima halafu hukua hata na Sera za maana zingekusaidia japo kdg sasa washakuzoea watanzania hawaoni jipya tena wale waliokua wanakuja kukushangaa sasa hv hawajui tena maana hukuwabia chchte cha maana.
@luluamri3703 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣kunywa cola ....ndio maana walimalizia hasira kwa waandishi wa habari
@abdulabdallah83763 жыл бұрын
🤣🤣🤣Kazi kweli kweli hamna jipya
@mweshimiwaraisshikiliahapo84054 жыл бұрын
Rais ni magu tuuuuuuiui we ulie tuuuuu
@denismassawe92554 жыл бұрын
Ila wakati wa lowasa mlikua na vibe kweli ila sasa hv duuuh!! Aibu tupu vibe hamna
@albeleenalberto1584 жыл бұрын
Huyu Mama anataabu 😂😂😂
@whatisthetruth.87933 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 hakika
@erickmapunda42313 жыл бұрын
Dalili co nzuri, tunaweza tukaambulia %15 ya kura.
@wambulamatiko99064 жыл бұрын
Bado sijaona kama lowasa
@jacksonjohn73783 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupa uzma mtetezi wetu
@elminakalunga40303 жыл бұрын
Huu wimbo mbona una-reflect kwingineeee. Halafu mwisho wa kampeni mama wa watu anaishia kudhalilika. Mweee Chadema Mungu anawaoña.
@albeleenalberto1584 жыл бұрын
Sema kwasababu upinzani lazima wawepo vinginevyo mngeacha tu
@ModimoMendoza4 жыл бұрын
😂😂😂msidanganyike na watu nyomi hata mimi ningekuwepo ningeenda kushangaa
@rashidkambi30704 жыл бұрын
Hahahahaha dah yan leo tu rais amesha patikana kiulain mzee magu
@hadijanoro55474 жыл бұрын
Magufuli baba lao
@crispinedward33524 жыл бұрын
Tundu lissu for change .......💪💪
@mweshimiwaraisshikiliahapo84054 жыл бұрын
Toa miguu yako hapo huna sera hata chembe
@titonkwabi74304 жыл бұрын
Naona kelele tu!Subirini 28 October tutakavyowanyoosha kwenye sanduku la kura
@crispinedward33524 жыл бұрын
Sio rahs
@mariumpeter61473 жыл бұрын
Chadema bhana hapo mmeshakunywa mnazi wenu mnajiona dunia yote yenu
@kwambokamkisii38704 жыл бұрын
Chamtoto. Angalieni kule dodoma baba lao anavyokinbizaaaa. Weraaaa weraaaa
@batulimwasisime91603 жыл бұрын
Chadema wanawake wote macho mabovu kila mwanamke anavaa miwani
@rahmaoman51224 жыл бұрын
Jaman kama namuona tundu bovu vire wajumbe wamnyoa nywele mchana kweupe yaani hapo wana mzoom tu akijitapa na kuongea utopolo wake🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@ramsikhamis70833 жыл бұрын
😀😀😀😀Umenifanya nicheke kiboya saanaaa m2 wanguu
@rahmaoman51223 жыл бұрын
@@ramsikhamis7083 😂😂😂😂Nakwambia hatokaa aamini watakacho mfanyia utajua asaivi watz siikama wazamani yaani asaivi washajua mbivu na mbichi hapo asione wote wamevaa sale akajua wote niwapiga kula wake hilo asahau ABADAN
@bongomaudaku48263 жыл бұрын
Na hcho kijukwaa🤭ety ndo mleta maendeleo hovyooo kaa tulia
@jullipusoe78383 жыл бұрын
Kama wapo kwa mjumbe Kideu
@deograsiamgeni57163 жыл бұрын
Siasa bwana.
@mweshimiwaraisshikiliahapo84054 жыл бұрын
Biashara zako kwishinei
@janekichonge49573 жыл бұрын
Tunataka sera siyo matusi
@dearnamypastime24353 жыл бұрын
Mbona ni yeye imepotea
@abuubakarmohamed16154 жыл бұрын
President
@pendoeliya51503 жыл бұрын
President?🙄🙄🙄
@solomoniyakobotuwapatavizu39534 жыл бұрын
Mweshimiwa lisu oyee
@zakiamsafiri123zakiamsafir73 жыл бұрын
Ikulu mtaisikia
@khassimmisake94634 жыл бұрын
mvishe mkeo ushungi bn ni alama nzur kwaupande wetu pia
@johnsonmarick453 жыл бұрын
Anavyocheza basi watu wanaumiaaa😂😂
@allymusira21534 жыл бұрын
Mnakosea kumwita makamu wa rais hata uchaguzi bado
@gracemima52344 жыл бұрын
HATA HAELEKEI. HALI MBAYA MASIKINI. WATAWEZA KWELI?
@bobuizdoli87963 жыл бұрын
Maskini daah!! Hadi huruma hahhh,,Magundi oyeee
@simonfundi36093 жыл бұрын
Chama cha mapumbavu mtateseka sana Chadema juuuuu
@stephanokanyika63213 жыл бұрын
Mapumbumbavu ni chadema au ccm? Nyie ndo mtapata tabu sana
@DenrichStar4 жыл бұрын
Mungu ibariki chadema
@anordpefactus10994 жыл бұрын
Amn
@sarahmarishay69383 жыл бұрын
Aisee
@cmpacomplex79813 жыл бұрын
Wamenipotezea mb zangu za bure hawa....hata hoja Hawana😂😂
@africa74794 жыл бұрын
Siasa
@ramadhanally42073 жыл бұрын
HARUSI YA NANI HIYO
@pancrasshirima3 жыл бұрын
Hata Nyie online tv mngefurushwa tu kama tbc maan mnazingua tu
@adamally87914 жыл бұрын
Kigodoro
@saidijafari28124 жыл бұрын
Watu wenyewe wawili tu
@cheiknamouna20583 жыл бұрын
Saidi wingi wa kamasi siyo ukubwa wa pua
@aloycekasase66304 жыл бұрын
Camera inaonyeshwa chin tu 🙄🙄
@michaelpaul77603 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 aibu
@godfreymichael76583 жыл бұрын
Aibu hii bora ya lowasa
@muzneali3874 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@sponsor78823 жыл бұрын
Rais wa wanyonge
@salomemlagila57574 жыл бұрын
Mbona watu wachache sana hivyo yaan hapana matumaini hapo
@twaibumikidadi73774 жыл бұрын
mbona wapo weng sanaa dada angu hukuangaalia vizur video hii
@physicsmathstutor.7044 жыл бұрын
Ata waliopo naona wameenda kushangaa tu ata hawaelewi kinachoendelea
@jumannekhalifa77614 жыл бұрын
Kamela mani msenge unaonyeshaje ,kamela yako mbona huitendei haki make naona unamlika miguuutu ofyo sana
@hamisimussa22284 жыл бұрын
Subilini sanduku la kula
@wakishuakutokatz47374 жыл бұрын
Kweli we kilaza, kwa jinsi hali ilivyo bado we uko ccm
@mzakirurashidi90664 жыл бұрын
Mungu wetu uliye juu nusuru taifa letu kampeni ziishe salama kwani yote yako mikoni mwako
@promisetenson72584 жыл бұрын
ww mbona hata haujui matumizi ya herufi upuuzi ww?andika sanduku la kura sio kula.
@rahmaoman51224 жыл бұрын
@@promisetenson7258 🤣🤣🤣🤣
@florencmussa47064 жыл бұрын
Tutapigia pesa sio njaa vyuma vimekaza
@luluamri3704 жыл бұрын
Watu wako kwa zuchu na van
@salumsaleh61864 жыл бұрын
😂😂😂😂
@karanijunior12574 жыл бұрын
Auka. Itu
@stevemwakisimba59864 жыл бұрын
Hapo tu hakuna watu je jangwani mtapaweza?
@twaibumikidadi73774 жыл бұрын
kutokana na vitimbwi vyote lkn bado mtu nyomii ccm muwe makini sana vingnevyoo mnaweza kubaki mdomo waziii
@khalilkhusair10454 жыл бұрын
Milad acha figisu mbona hujachukua camera ya juu?ili watu waonekane wachache unatumia camera ya chini tu?
@kaundamwangalaba6294 жыл бұрын
Rais wa watu
@agathamnyambwa30034 жыл бұрын
Tukopamojamzewetu
@milhajiabdallah27874 жыл бұрын
Wakwenu huyo chabema
@zawadikitime2333 жыл бұрын
Haaaaassaaasaaaaaaaaaaa
@muzneali3874 жыл бұрын
Naona wengi kama WAJUMBEEEE
@jumaramadhani14864 жыл бұрын
😁😁umekosa imani nao
@muzneali3874 жыл бұрын
@@jumaramadhani1486 kabisaaa inatisha Sana wanakuamnisha kisha wanakukimbia
@rahmaoman51224 жыл бұрын
@@muzneali387 Kabisaa hapo ni wajumbe tu ndo wana mzuga lakn hata wajumbe wanajua kabisa maji yako shingoni 🤣🤣🤣🤣🤚🤚
@selemankishema57804 жыл бұрын
Ufunguzi au sengeri?
@namandamzuma54784 жыл бұрын
Ni wivu tu. Kwan jipya lipi la kukushangaza hapo!
@denismassawe92554 жыл бұрын
Nikajua mko wengi kama picha mliyotengeneza kumbe hamna lolote bwana. Sasa kama ufunguzi wa kampeni ndio hv mmekua wachache hv na hapo ni dar salaam nzima mko hapo duuuuh!!!! Kazi mnayo
@lucykileo28534 жыл бұрын
Tutashinda hakika
@jacksonrabson64394 жыл бұрын
Naww ulielipya kuima huo utupolo Mungu anakuona
@zephaniapaul44373 жыл бұрын
Hadi raha
@furahacleo61284 жыл бұрын
Nimeandaa kitoa adhabu sisemi sana October, Yes Maguful
@wakishuakutokatz47374 жыл бұрын
Mi magu siko pamoja nae,Kama unataka kujua nenda mahakaman,polisi na mahospital utajua,pia elimu bure wakati watoto wao wanasoma ulaya na chunguzi utawala ngazi za juu wanapeana watoto wa viongozi,madege wananunua lakn masikini hana uwezo wa kuyapanda,mtanzania fungus akili na ubongo wako kwa kina
@romualdmadeniromuald5254 жыл бұрын
Kwan umekatazwa kumpeleka mtoto wako shule ya kulipua?
@furahacleo61284 жыл бұрын
@@wakishuakutokatz4737 uko sawa kimtizamo wako ila ukwl magu kamanda si lazma km ulivyo sema ndomana tuko tofauti na hivyo vema tuombe uchaguz wa Aman ila kuna mtu ata toka na kura za aibu uchaguz huu, lowasa aliteka sana ila huyu ata hajamfikia lowasa bado labda badae
@jamesmasome3594 жыл бұрын
@@wakishuakutokatz4737 wehu bana shida kwelikwei
@upendolaizer7614 жыл бұрын
Hapa kazi jamani hamna kitu hapo ni ili ccm tusijisahau tachape kazi mabeberu wanakutumia achia ngazi hata ubunge usingeupata urahisi ni ndoto
@kingfocustzog4 жыл бұрын
Wadada wa kibongo ndio wadada Pekee ambao huhitaji mume mwema wakati wakitumiwa Nauli wanakula Afu wanabebeshwa mimba na visharobaro.🤣🤣😂
@janethmurow3274 жыл бұрын
CCM mnapata tabu kwani VIP .......nacheka kwa zarau... iz kmnt znu
@fancebtz10714 жыл бұрын
Hata msafala Wa gwajima mkubwa luliko hata
@janethmurow3274 жыл бұрын
Mtapata tabu Sana.
@rahmaoman51224 жыл бұрын
Mnajifariji tu subirini wajumbe watakavyo wanyoa mchana kweupe🤣🤣🤣
@janethmurow3274 жыл бұрын
Wajumbe wapi mnasema hivyo ili badae mkishafanya yenu 😲😲
@wakishuakutokatz47374 жыл бұрын
Hakika hali ni mbaya mtaani,yaan pesa hakuna.
@gracemima52344 жыл бұрын
Pesa zilizokuwa mitaani zilikuwa za wizi. Badala ya kujenga hospital zilimwaga mitaani kwa watu wachache. Mnaona bara bara? Fan yenu kazi acheni uvivu
@chugachugambuli88794 жыл бұрын
Ukimchagua shoga lisu , mkawa mashoga wote mtazipata
@wakishuakutokatz47374 жыл бұрын
@@gracemima5234 kumbe nabishina na mwanamke,nisamehe kiraza mkubwa
@wakishuakutokatz47374 жыл бұрын
@@chugachugambuli8879 shoga baba yako na ukoo wako mzima