Kwa kocha wamechemka sanaaaaa,,Huyu jamaa hakuna kitu,,hana Record yoyote ya ushindi:
@bedomgwalupogo26524 сағат бұрын
Matola ni kdudu mtu hapo simba sc
@user-ng6ep3hi4c4 сағат бұрын
Sport HQ amna kosha umo namjua vizuri ata uku South Africa awamtaki anashusha timu daraja nyingi tu
@EliasiKumpuni4 сағат бұрын
Kocha anatokea nchi gani
@BatoPaskal4 сағат бұрын
kaze kafanya nn
@AbuuThabiti7 сағат бұрын
Huyo kocha anatoka nchigani
@Kabeya4102 сағат бұрын
Matola kama yupo wamekwisha mtoto mwanga yeye na mgunda kocha mpya hakai mtaniambia
@JosephNdimbo-ur9kh4 сағат бұрын
Tungoje tuone jaman kira ardhi iñabaraka zake
@Kabeya4102 сағат бұрын
😅Wanatwanga maji kwenye kinu timu wachezaji wanakaa majumbani mwao hilo ndo limewafelusha miaka hii mitatu dawa wahamishwe wakae kambini wakiwa majumbani uhuru mwingi watakua mabaa klabu wanawake na hata wenye wake wanaokaa nyumbani pia wanaharibu mazoezi yao kwa starehe na huo mpango wa kupangiwa wachezaji watoke majumbani ni ten percent nyumba milioni 2 anaongeza 1 wanampiga muhindi niambie wachezaji 30 kila mwezi milion moja kwa mwezi ni milioni 30 hii ni pesa wanaingiza viongozi kocha atakapo dai kambi watu wakae kambini atapigwa zengwe na hapo ndo mgunda na matola wanarudi 😅