🚨sakata la Aziz ki na Yanga,Kauli ya Eng hers,hawa wanacheza naakil zetu,Aziz ashasain

  Рет қаралды 11,865

mtanange tv

mtanange tv

14 күн бұрын

#football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube

Пікірлер: 29
@daudimichael7338
@daudimichael7338 13 күн бұрын
Aliyemalizia kwa kusema Yanga wanatafuta attention ya kumtambulisha Aziz yupo sahihi.
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 13 күн бұрын
Eng Hersi ameona kile mnachokisemea kuhusu Aziz Ki kuondoka inabidi awakubalie mfarijike kuwa anaondoka maana hampati raha kusikia kuwa atakuwepo
@user-qi3wv8sf5j
@user-qi3wv8sf5j 13 күн бұрын
Mmejadili mpira vizuri,safi
@josephgalandu128
@josephgalandu128 13 күн бұрын
Matusi fc
@jseventz
@jseventz 13 күн бұрын
mamelody
@saidseleman2973
@saidseleman2973 13 күн бұрын
Anamchezea nani
@sadih5333
@sadih5333 12 күн бұрын
Wanaendeleza ulimbukeni wao tu hawana jipya, ligi ianze zinunuliwe baadhi ya mechi waendelee kujitekenya.
@frankiemissingo1925
@frankiemissingo1925 12 күн бұрын
@SADIL5333.WANUNUA MECHI WANAJULIKANA FRIENDS OF SIMBA,NA MNAJISHUKU CSE NDIYO MTINDO WENU,MNAOKOTA WACHEZAJI HALAFU MNATAKA UBINGWA.
@CotaManywele-vg9ti
@CotaManywele-vg9ti 13 күн бұрын
Jemedar acha ujinga ww mpambavu kila mwenzio apo anakuweka sswa ila uabisha nini? Wewe unachuki na yanga, naapo inakuuma azizi kuchezea yanga, injinia kajbu kiprofesheni,
@KATEGILEMABADA
@KATEGILEMABADA 13 күн бұрын
We Mkalaboko acha ushabiki na kupenda hiyo timu
@josephgalandu128
@josephgalandu128 13 күн бұрын
Yanga wajanjaaaaa😂😂😂😂😂😂 wanawaumiza watu fulani na wanawaweka sawa watu fulani,wakimtanga ruuu kiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂
@mohdyussah825
@mohdyussah825 13 күн бұрын
Only tension
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 13 күн бұрын
Money talks anything can happen
@mussammanga7791
@mussammanga7791 13 күн бұрын
Mwachieni aendezake, atakupotezeeni muda. Kama yeye anaipenda Yanga kwanini aweke vikwanzo hivyo. Hayo ni yale ya Mayele. Siku nyingi aliambiwa wazungumze lkn alisema subirini, kwsbb anajuwa atapata anachokitaka akimaliza mkataba wake.
@Abdul-oc1ul
@Abdul-oc1ul 13 күн бұрын
Atation ampe mama yake aziz mchzj wa kawaida anatamba hphp ndn tena kw kubebwa
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 12 күн бұрын
@@Abdul-oc1ul acha makasiriko tunakushauri ucheze wewe nje ya nchi usiyebebwa ila uwabebe utakaowabeba
@stephanowahimili4166
@stephanowahimili4166 13 күн бұрын
Acheni upumbavu wewe unasema kasaini miaka miwili wakati kiongozi wa timu anasema ajasaino
@robertphilip385
@robertphilip385 13 күн бұрын
Aziz ki Leo anaingia kambini nakutonya Kwa ziri
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 12 күн бұрын
@@stephanowahimili4166 umesaini wewe?
@abdalla8193
@abdalla8193 13 күн бұрын
Naende
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 13 күн бұрын
Ww unae sema kesha sign mbna haijangia kambini
@robertphilip385
@robertphilip385 13 күн бұрын
Leo anaingia kambini kenge wewe
@mussahoza
@mussahoza 13 күн бұрын
@@robertphilip385 YANGA WATU WA TRICK WEWEEEE
@Dopa5115
@Dopa5115 13 күн бұрын
Kwani pacome,chama baka umewaona mazoezi?
@robertphilip385
@robertphilip385 13 күн бұрын
@@Dopa5115 tatizo haya majitu ya Simba wanateseka sana na yanga
@user-uh7to2kw2z
@user-uh7to2kw2z 13 күн бұрын
​@@robertphilip385😂atariiiiii
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h 13 күн бұрын
Mbona chama, pacome,aucho nk hawapo kwani hawana mikataba? Kibu hajaondoka jana kwenda misri kwani hana mkataba na simba? Uwe mwerewa na uache matusi na hasira, kwani unaumia nini,?.
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 13 күн бұрын
@@user-bt6ep3yb2h nenda kamuulize Harsi alioanzisha mjadala
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,6 МЛН
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 64 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 106 МЛН
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 23 МЛН
🔴Intégralité du Combat Balla Gaye 2 Vs Tapha Tine
11:04
AL BOURAKH EVENTS TV
Рет қаралды 679 М.
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,6 МЛН