Thank you so much my Father in heaven for Bishop.Dr. Gwajima, we love you so much daddy.
@adamchambo123 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana Kwa mafundisho yako,nakuelewa Sana,asante Mungu Kwa jinsi anavyomtumia,Mungu akubariki sana.
@farajamkuchu84583 жыл бұрын
Aminaaaaa walifikili wamenizika kumbe wamenipanda ahaaaaaaaa asante Baba
@christinewilkerson13063 жыл бұрын
Teachings are so powerful in Jesus name,uncompromising message.
@christinewilkerson13063 жыл бұрын
They think they have buried me, but they have planted me.Amen!!! Daddy Gwajima I’m receiving the Blessings all the way across Atlantic Ocean😀 PRAISE GOD!!
@user-cl3he4ps5e11 ай бұрын
We appreciate and love you too much Bishop Gwajima.From Burundi
@fredmhanga33463 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Uishi milele
@loxlox34143 жыл бұрын
Nilijua umeacha mahubiri kumbe moto upo pale pale mm upande mwingine gwajima alikuwa anamuunga mkono jpm ila alipoondoka ameona aurudishe moto ule ule ongera gwaji boy
@festinamwakipale3919 Жыл бұрын
Gwajima boy ma'ana yake nn kama mna hila mmeingiliwa mwache gwajima avushe watu wa Mungu jaman mwaacheni.gwajima.yesu amtumie
@jitathminitv34293 жыл бұрын
Nilikuwa sipendi kukufwatilia ila mchungaji mahubiri yako tiba
@fettycute39393 жыл бұрын
Amen daddy unasema kweli unanipa moyo sana mafundisho mazurii
@danielmoki77882 жыл бұрын
Your teacher inspired me a lot pastor ,God blessed you Amen 🙏
@powerofknowledge194 Жыл бұрын
Amen sana my spirictual dady
@saraabdulatif61713 жыл бұрын
Ubarikiwe nikweli kutimiza ndoto inafika unasalitiwa naunaempenda binafsi Mimi baada kumpokea Yesu wengi walikataa maamuzi yangu isipokuwa mume wangu tu ndie niliebaki nae hafla namuona amegeuka hivi ninavoongea amechukuwa kila kitu chake ila hajatowa talaka somo limenigusa
@mgasathedon15793 жыл бұрын
Kwani mumeo ni mwislam au
@victoriamzuga49893 жыл бұрын
AMEN! Asanteni Sana kwa kunitesa!
@evangelist_gaitani3 жыл бұрын
Umeteseka?
@christinajotham2195 Жыл бұрын
I connect with Bishop Josephat Gwajima
@christinaantony30393 жыл бұрын
Askari jasiri wa Yesu.
@francofrederick9722 жыл бұрын
Uko viwango baba ubarikiwee na uzidishiwee......
@odhiaodhia98983 жыл бұрын
Toka nimeshushwa chini leo mwaka wa tatu naangaika kupanda
Daah sijui km watu wanayaelewa maneno yako km ninavyo kuelewa mimi maana unatufanya tutumie akili nyingi sana kukuelewa coz sidhani km weusi wenzangu wataelewa maana tumekwisha funikwa mno kifikra
@edinajossephatgeorg16123 жыл бұрын
My message
@loicemaina23563 жыл бұрын
Hakika umenijaza na neno Amen
@faridaelias71373 жыл бұрын
Ameeeen nimebarikiwa
@shoshathussein16923 жыл бұрын
Amen .Nikweli mimi ni wa maana kwasababu mimi sikusoma lakini walikua naulisana ....Apate kazi wapi nahajasoma?saa hii niko ng'ambo nikifanya kazi nilipanda fright na wao hawajawai ....kumbe walinipanda wakidhani wamenisika.....Amen hilo neno limeniingia..
@salimsaid72003 жыл бұрын
WEWE YESU KAKUTUMA UIBE KURA KAWE????
@blandinalukole55353 жыл бұрын
@@salimsaid7200 Mlikuwa nae nin?
@sharondivine89943 жыл бұрын
This is powerful, More Grace Bishop
@dissankone342511 ай бұрын
YOU ARE GOD I HEAR YOU MIGHTY FATHER 😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲🙌🙌🙌
@sallygrace14953 жыл бұрын
Ubarikiwe sir 🕊
@marymtua43123 жыл бұрын
Hallelujah mulidhani mmenizika kumbe mmenipada
@josephjulio61123 жыл бұрын
Nakuelewa Sana Baba angu
@We2k73 жыл бұрын
Nta pigana vita nikitembereya kwenye fimbo mbona Mimi niko tayari ? Nasubiriya firimbi, vifaaa , magazine , mfuta etc niingiye kiwanjani. Anangoya watu nami Nina mûngoja Baba nakutuma
@arnoldbenedict38943 жыл бұрын
Very True Papaa
@lilianmbogela61843 жыл бұрын
Amen baba ubalikiwe
@nicolaus4088 Жыл бұрын
Nakukubalisana shujaawamungu karibunjombee
@secilianyandindi9403 жыл бұрын
Najivunia kuwa na daddy kama wew
@jacksonnzai1593 Жыл бұрын
Erashandakapa heeee so powerful
@medeckmichaeli98513 жыл бұрын
Asante sana Baba
@madamleticia94 Жыл бұрын
Ameeeen hallelujah hallelujah
@bmdanny89653 жыл бұрын
Amen sir.
@winfridahaule43643 жыл бұрын
Amen God bless you,Man of God
@wordoffaithanddeliverencem43653 жыл бұрын
Amen Dada
@fidelisifilibati97453 жыл бұрын
Amina babangu nakupenda sana
@heritier51193 жыл бұрын
Mtumishi Barikiwa walikupiga Sana vita leo ni Mkubwa kwao. We ni Mkubwa kuliko kovakova kuliko bashite
@khamismtoma49022 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana
@christinewilkerson13063 жыл бұрын
SIJAZIKWA!!! Nimepandwa!!!
@georgemwapela16543 жыл бұрын
A very great messsage from the Almighty God...How to get this clips?
@farajamwakawanga87353 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@neyhmrs77042 жыл бұрын
AMEEN AMEEN AMEEN
@totoyamungu3 жыл бұрын
Amen amen 🙏
@victoriamzuga49893 жыл бұрын
Haleluya! WALIJUA WAMENIZIKA KUMBE WAMENIPANDA!
@PauloMathias-vy7skАй бұрын
Ndiyo BABAAAAAAAA
@pauljames6265 Жыл бұрын
Aminaa
@powerplus19333 жыл бұрын
Mtu anapopiga mshale huanza kurudisha nyuma.usiogope.
@rachelmliwa98303 жыл бұрын
Asanteniiii kwa kunitesa 😅🤜🤜🤜🤜🤜🤜🤜🤜
@mariamfaith99143 жыл бұрын
Walini tesha sasahivi wanateswa na shukuru mungu
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
ukweli kabisa
@adongotina52893 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Ameeeeeen
@gracenyangusi62303 жыл бұрын
😅🤣 kabisa. Very true daddy Gwajima
@pastormoseschami72083 жыл бұрын
Hallelujah hallelujah!!!!
@Fatma-qi9yc2 ай бұрын
Amen
@rachealmwale38973 жыл бұрын
Amen and Amen.
@elizabethmuli19063 жыл бұрын
Tuko pamoja mcungaji, umenitia moyo
@susanakoeppel29763 жыл бұрын
Nimekuelewa Mtumishi wa Mungu kama ulikuwepo inanipatia maisha ninayopotia kabisa
@theresiamhina9714 Жыл бұрын
Amen amen
@negynelson71703 жыл бұрын
Tunakuamini
@fredkyara32783 жыл бұрын
Ameeen
@EMChantalG3 жыл бұрын
Nijazikwa nimepandwa!
@linusamos45003 жыл бұрын
Pasua anga BABA YETU
@salimsaid72003 жыл бұрын
YESU KAKUTUMA UIBE KURA KAWE.
@odhiaodhia98983 жыл бұрын
Toka nimeshushwa chini leo mwaka wa tatu naangaika kupanda