Wana moyo mkuu sana kina Mama kujitoa kumuimbia Mungu kwa wingi huo..wanajitahidi sana. Daniel Organ kinanda una kicheza vizuri sana, na setting ya sauti ni nzuri bahati mbaya portables ku control ukubwa wa sauti ni ngumu..ungekuwa unashusha sauti wanapoimba ingependeza zaidi..kwaya isikike zaidi