Watu wa Arusha mnapo muomba MUNGU kwa ajiri ya Afya zenu msimsahau na makonda ni wazo tu
@REGNARDkiswagachimbo25 күн бұрын
sawa❤
@janethPiuce-jo6mc21 күн бұрын
Safiii
@EsterMwalongo-ox2sk16 күн бұрын
Amina
@abubakardodo39764 күн бұрын
😂😢 4:05 @@REGNARDkiswagachimbo
@muddy__bikeКүн бұрын
❤
@MokeAmos-bq6toАй бұрын
Best kind of leadershirp i prefer, bravo Regional commisinor Makonda🙌🙌💥
@malugukushaha6764Ай бұрын
Hongera sana Makonda👏👏, Hongera sana Makonda👏👏, Hongera sana Makonda👏👏, Mwenyezi mungu akulinde 🤲
@gategayaelias892527 күн бұрын
this mzee magufuri legacy
@kambamazig02024Ай бұрын
Watanzania sio wajinga, muda wa kuwadharau na kuwaona ati ni mbumbumbu umeshapita! Makonda kudos! I see maturity in leadership here. congrats Makonda.
@jumarata6459Ай бұрын
Mheshimiwa Mkuu wa mkoa Paul Makonda, unafanya kazi nzuri sana.Endelea kutenda haki kwa wananchi na Mungu atakubariki!
@RoseMollel-wo3lsАй бұрын
Kweli😭😭 kajifunz vitu Ving lakn kwa maguful
@emeresianamichael5163Ай бұрын
Duh! Jamani Mimi siwezi kusema ila huyu makonda jeshi la malaika wamzunguke pande zote ulinzi kamili
@mfwimisapi9444Ай бұрын
K
@juliusmwazembe42305 күн бұрын
Hongera makonda mungu akulinde nipo mbeya mjin.
@BimamuosmanOsmanАй бұрын
Rais mama Samia kusema kweli kkayangu makonda afanya kazi Mzuri Sana Allah ambariki na akubariki wewe inshaallah.
@silashemed4849Ай бұрын
rait hii nchi ingekuwa na system kama hii,hata ambao wanawania nafasi za ngazi za kijiji na kata wasingewania(gombea) nafasi hizi, Asante Mh. Makonda kwa kutuamsha
@lucasmkui3160Ай бұрын
Mh Raisi Daktari Samia nakusifusana kwamaono mazurisana kumteua Mkuu wa mkoa wa Arusha Mh Paulo Makonda Tangu aanzekufanyakazi yupo vema Tanzania safiii kazi iendelee
@benedictmillinga4297Ай бұрын
Upo sahihi kabisa. Hii hazina ni kama ilifichwa
@peterlazaro2853Ай бұрын
Daah kazi mzuri mweshimiwa mkuu wa mkoa makonda Mungu akubariki sana sana sana
@georgekigora250914 күн бұрын
😅0
@user-jx6ql8ds6wАй бұрын
Ibada hii ni nzuri sana ,hongera sana mtumishi wa MUNGU BABA Makonda ,ubarikiwe kwa kazi nzuri
@SophiaKawisheАй бұрын
Mungu ni mwema Safi sana
@jumasalum991Ай бұрын
😊q
@cantonaiddy6042Ай бұрын
Unazingua
@user-de2rg9kk7uАй бұрын
BEST ADVICE from Paul MAKONDA. I have never seen
@johnmtumishi8554Ай бұрын
Mh Makonda unaakili sana Mungu akulinde.Mungu ibariki Tanzania Linda viongozi wetu wenye moyo wa kusaidia wananchi
@maryamobady1853Ай бұрын
Arusha mtanyooshwatu😂😂😂😂
@maryamobady1853Ай бұрын
Huyo ndio makonda bwaaanaa
@FILIPOMLAWAАй бұрын
Makonda ¡!!kazi iendelee mzee maguu anakuona na kukufurahiaaa
@mirumbechannel.8465Ай бұрын
Ipo siku utakuwa kiongoz katika nchi hii bro makonda .....uko vizuri
@angelatarimo1969Ай бұрын
Hongera mkuu wa mkoa. Ila Acha niseme kitu,wewe unaependa kunyanyasa watu,kujiinua kwa kuwa una mabawa,hakika yupo Mungu anayerudisha vyote vilivyoibiwa. Kama ulimnynyasa mtu au kumdhulumu mtu kwa njia yeyote,lazima utalipa tu.Asante Mungu usiyelala. Mungu ibariki nchi yetu Tanzania Mungu ibariki Africa yetu
@ayubumsigwa542Ай бұрын
Acha kuongea ujinga kwa makonda unachuki kwa huyu mkuu
@user-et3zq5ef1b14 күн бұрын
Amina
@petermoshy7650Ай бұрын
😢Makonda unafanya kazi nzuri Mungu akubariki sana
@MeshackMuya5 күн бұрын
safi sana
@mtukufusafari5535Ай бұрын
Makonda unafanya mpaka watumishi wa sehemu nyingine wafanye kazi kwa kukuangaria ww
@AllySalehe-mv7um17 күн бұрын
Mtoto unae tembea kwenye kivuli cha mh.magufuli..hongera mheshmiwa
@JoyceManyuka-ot7sgАй бұрын
Makonda natamani ungekuwa mkuu wa mkoo wa morogoro ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MalandoJamesАй бұрын
Makonda, makonda, makonda, endelea kuwasaidia wananchi. Mungu atakulipa aise. Kwenye nchi hii madudu ni mengi sana.
@user-bf2dq3qj1oАй бұрын
Unajuwa kazi anayo ifanya huyu bwana kazi njema sana na inatufanya sisi kuwa jasiri katika kutambua haki zetu na Mungu akutunze sana pia tunakuitaji kigoma
@user-bm5ov6kx3c29 күн бұрын
Kweli kabisa
@user-vs6ps4dl2eАй бұрын
Jasho la mnyonge linalipwaa na Mungu baba hakika kazi yako ni nzuri sana God bless 🙌
@user-gh6bh2uj4qАй бұрын
Mwenyezi mungu akulinde makonda
@ImaniamockgmailАй бұрын
Ameen 🙏🙏
@leokamil6284Ай бұрын
Shule inadarasa moja na chumba kimoja cha walimu ,Raisi anabeba wasanii kwenda Korea nchi hii Mungu atunusuru tu 🙌
@StellaMwashaАй бұрын
Hahahaha
@juliusstanley905Ай бұрын
Huo sasa wivu bhn
@BigZhumbeАй бұрын
Jiulize Wasanii wanatoa bilioni ngapi kodi za mauzo
@user-yd3cj5xs1zАй бұрын
Ako ka mama kameanza kuruka ngoma uzeeni, anafikilia kuwa msanii wa taalabu ndio maana yupo kaliibu sana na wasanii.
@user-yd3cj5xs1zАй бұрын
Acha ujinga wewe, kwani wewe hauoni?? Nchi ina migogoro bado yeye anaruka nyoka.
@BIGBOSS-hl3buАй бұрын
Yaani huyu Mzee alitoa milioni 30 halafu mnamnyima hekari moja na nusu Wanaomponda makonda wote ni wale waliofanya madudu kwenye maofisi yao
@fortunatanyumayo8 күн бұрын
Hongera sana makonda kwa kutetea haki za wanyonge Mungu akulinde daima.
@user-zg2bq4uz2iАй бұрын
tunakupa uliz wa mungu makonda wetu
@ayubustefanoАй бұрын
Baba amerudi nyumbani lazima ujue asiye mtaka mkuu wa mkoa Makonda Mungu kamrudisha duuu Mungu afananishwi
@mtukufusafari5535Ай бұрын
Kazini kwa makonda kuna kazi
@lovenessbupambaАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@NuluLupepoАй бұрын
Iyo supana ninoma mkuu watasema tu kaz nzuri mungu akusimamie
@user-bg6vf8ec8v20 күн бұрын
Thanks 4 yo patriotism bro
@Njile-Makonda44410 күн бұрын
kazi nzuri
@anoldamkumba3208Ай бұрын
Watendaji wa serikali hutumia kigezo hicho kuchukua maeneo ya watu.Ukifuatilia utagundua wamejimilikisha njoo Kilombero Morogoro .
@godfreyelibarikilaizer6178Ай бұрын
Chapa kazi jembe makonda una jambo jema kwa mkoa wetu wa Arusha siku zote wasiojali watasema wewe ni mwonevu lakini wewe ni mtetezi 💪💪💪🇹🇿💪🇹🇿🇹🇿🎉
@vicentmugisha69725 күн бұрын
Makonda unafanya kazi nzuri, tuna viongozi walio jisahau kuwajibika kwa wananchi
@livingstonechurchtz84002 күн бұрын
Safi sana Mkuu wa mkoa Makonda.Nipo nakuomba kwa vita ulivyo navyo kwa haki uliyo nayo kwa wengine.Mungu zaidi kukupa hekima na busara katika kuamua yaliyoshindikana kwa usahihi.Wewe ni sawa Mfalme Sulemani kwa hekima
@rwelamiraАй бұрын
Huu ndiyo uhalisia wa mambo vijijini, Hongera Makondo kwa kazi hii nzuri
@user-ky4rb2lg3h29 күн бұрын
Sio Makondo ni Makonda
@ChristinaAgostino17 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂@@user-ky4rb2lg3h
@enezermwafrica7443Ай бұрын
Makonda na Magufuli tofauti ni sura tu... lakini Akili wanafanana, Hekooooo Kaka Makonda
@zakayokahuna9294Ай бұрын
🤣🤣👍👍👍👍👍👍👍👍👍🏃
@ChiefNgosyemoКүн бұрын
P makonda Mungu akutangulie Baba
@estherkimario794014 күн бұрын
Magufuli namuona hapa mungu akulinde dady makonda
@user-ov3cy1nr8fАй бұрын
Kazi nzuriii makonda. Wanaonea sana wananchi
@adelinelyaruu3036Ай бұрын
Nani hao???
@evansmoshi1923Ай бұрын
Mtendaji kwanza umesha kula sana chapa zako mwendo.
@user-es4jv6pb8xАй бұрын
Hongera sana Mtumishi Makonda Ubarikiwe
@Kiyonga2014Ай бұрын
Mr. Makonda is a best leader in the world! I love Makonda.
@onesmomalifedha4709Ай бұрын
Naendelea kukufuatilia mh Makonda.Kama Watanzania wazalendo tuko tayari kukupa nchi baada ya mama.Una kitu kikubwa sana ndani yako yaani like father like son
@jeradvyabandi-wh7nr16 күн бұрын
Mungu akutunze bab
@MwanamkuuMumbeАй бұрын
Natamani ungekuja kuwa Raisi baada ya Mama Samia uwe mfano was marehemu Magufuli ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@devisshirima6780Ай бұрын
Huyu mwamba Mh. Makonda ananifanya nione kama Tanzania kuna mkoa mmoja tuu kwa sasa wa Arusha, maana mikoa mingine siiskii kabisa 😂😂
@victorelisamia1409Ай бұрын
Nakkubali xanaa Mh wangu Paul Makonda Mungu atakulinda na kukupa maisha marefu maana Mungu pia anaona watu wanavyoteswa na we umekua mtetez wao na kutatua changamoto bigup xana Makonda
@chrisshonga23 күн бұрын
Laana ya dhuluma, unyang'anyi, rushwa, ndiyo inayoididimiza nchi na kitu ambacho ulimwengu haujui ni kwamba pesa ya dhuluma hata ungefanyaje kamwe huwezi kufanikiwa. Asante mtumishi wa BWANA katika kazi yote ya kutetea haki ya wanyonge. hakika inasikitisha sana na inahudhunisha sana! Ashukuliwe MUNGU wa mbinguni kwa kuweka kaburi ambalo ni mwisho wa kila mwanadamu mwenye jeuri
@PartySekemiАй бұрын
Raisi wa mkoa hoyeeeeeeeeee😅😅😅😅❤❤❤
@elinamikileo4011Ай бұрын
Hoyeeeeeee
@oliviamasao8394Ай бұрын
Makonda Mungu akusimamie
@JotoKaliАй бұрын
Mungu akutunze mheshimiwa Makonda
@katabaroonlinetv9688Ай бұрын
Naombeni mnilinde maana haya mambo ya siku hizi hayaeleweki wasije nilisha sumu 😅😅😅
@hurumamlawa5253Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@user-zi1gp6dc2qАй бұрын
We nae mbwa unasema makonda anadhilisha watu wanajizalilisha wenyewe angekuwa babaako anadhurumiwa ungejisikiaje
@magretangel5242Ай бұрын
Waambie hao hakuna udhalilishaji Kama mtu utakaa kwenye kiti chake akaenea....tatiz watumish wengin janja janja
@damsonwilson5202Ай бұрын
Mikutano ya Mheshiwa makonda inafaaa kuwa move na ikauza na kuingiza pesa hasa
@user-ko5co3bk9fАй бұрын
One blood❤❤
@LilianMoshi-wu1lqАй бұрын
Uwiiii Makonda asitolewe Arusha Tunakupenda😊
@user-uk1ic8qr2h15 күн бұрын
Hatariiiiiiiiiiiii
@user-ys5kk4jr4hАй бұрын
Mashaalah Allah akulinde makonda najiuliza hawa wakuu wa mikoa mingine wamekaa tu ofisin kwnn hawafanyi kaz km makonda
@DevothaKilanziАй бұрын
Uwa sisahau siku makanda amilia,NAMI nililia sana kama tumetoka tumbo maja,ila nilimwembia mungu wewe unajua nafsi yake pekee.Niliamini ipo siku atainuliwa kivingine Kwa ukuu wake mungu ametenda
@DavidMutiba-hr3voАй бұрын
Daaahh!!!!! Kama ni hivi ? Iko kazi.
@kiembathegreattz5633Ай бұрын
Makonda unapiga kazi mpaka unafurahisha
@ImaniamockgmailАй бұрын
Kabissaa Yani 🎉🎉🎉🎉🎉mungu azidi kumlinda mheshimiwa Makonda
@EsterMwendawila-wj2ksАй бұрын
Ubarikiwe sana baba mungu akulinde makonda juu
@VeronicaMsengaАй бұрын
kila sku MH anareta raha kumuangalia,sinunui mboga MPK nipate bando
@OmbeniCharlessАй бұрын
Iyo Miaka. Ya ufisadi inatosha
@Goldenbutterfly-hk1hpАй бұрын
Utaachika dada😂😂😂😂
@EsterMwalongo-ox2sk16 күн бұрын
Kweli kumsikiliza makomda kuna Raha yake hata sijutii kumaliza bando
@godfreymlau2525Ай бұрын
Hongera makonda unaakili nyingi sana
@fadhilijohn4811Ай бұрын
Leadership ni utatuzi wa matatizo ya unaowaongoza na kuweka mazingira sawa kwaajili ya shunguli zingine! Hongera sana Makonda👏👏👏
@nurumwene4421Ай бұрын
Mh. Makonda mungu akulinde hongera sanasnsanaaaaa
@KabwikaIbrahim-ld8vfАй бұрын
Pole na hongera sana mzee Makonda,unakutana/pambana na mambo mazito.Mungu akutilie wepesi!.Aamin.
@user-vd6br7vq4zАй бұрын
Kazi nzuri sana
@jafaribori5428Ай бұрын
Duh kaka makonda Mkono wa Mungu uwe juu yako, yani kuna dhulma za chinikwachini😭😭😭
@BRIGHTERMANGOАй бұрын
spirit of leadership....Sankara and Lumumba on reign again..🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@PhilipoMwashaАй бұрын
Inabidi hii mikutano iitwe tujipe jinai la mahakama za wazi za wananchi,
@shahdujamada7804Ай бұрын
Yaani nimecheka kama mazuli nahisi awamu ijayo watu watazikimbia fomu za kuomba utawara😂😂😂
@meryamabdullah2081Ай бұрын
😂
@hawakiza6067Ай бұрын
Ha ha ha ha ha ha ha
@WivinaFrance-xn3mkАй бұрын
Kabx
@johnjoba444Ай бұрын
uongozi ni gharama😀😂
@SamGeorge-qy2zfАй бұрын
Mh makonda mungu akulinde san na akupe maalifa zaid
@UpendoLangeni20 күн бұрын
We are blessed to have you . heaven be with you ❤❤
@Evance-op4jwАй бұрын
natamani kuishi arusha kwenye mkoa anaoongoza Mh .P .Makonda Mungu akupe nguvu na Maisha marefu asante Mungu kutupatia mtu huyu asante mama Samia kumpatia nafasi ya kutumikia wananchi nakukubali nikiwa Rulanda kagera
@LeonardMollel-dl8duАй бұрын
Kazi nzuri,na tunasubiria kata yetu ya Musa
@lupakisyoassa1579Ай бұрын
Kazi nzuri japo kuwa nchi nzima migogoro ni mingi mmno haina mtatuzi, big up.
@user-xx4tj4uy6wАй бұрын
Mungu azidi kukubariki makonda kwa Kaz nzuri
@user-ir8ym5ws1fАй бұрын
Hapo kwa mtendaji pana mnyololo mrefu wengi wanahusika
@user-yc1tm4hp4nАй бұрын
Eeeh mwenyezi Mungu mpe umri wenye heri Makonda. Lakini nakuomba uangalie na ofisi ya ardhi na wataalam mbalimbali.
@SadaKigwangalaАй бұрын
Nampenda r c makonda❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-wi8og3sv4jАй бұрын
Sukuma ndani huyo amaumiza sana
@magretangel5242Ай бұрын
Af Watakuja kulalamika Makonda anawazalilisha😂😂..Mtendaji angesema ukwel adhab ingekuwa ndogo ...tatzo kadanganya...hio n dharau...kayataka.
@RichardFrank-it4wvАй бұрын
Ameyatimbaa
@asharamadhan739229 күн бұрын
mzee makonda hongera sana baba unatenda kazi nzuri Allah akufanyie wepesi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@RoseMollel-wo3lsАй бұрын
Makonda mungu awe nawe kiongoz mzur
@matuyanilaizer6122Ай бұрын
Makonda karibu Lemara
@WitnessNnko-e9j4 сағат бұрын
Am very proud to having leader like makonda
@marryfelician1426Ай бұрын
Makonda baada ya samia ni makonda nilikuwa chadema lkn kwa ubinadaamu wa huyu mteule wa mama nimerudi CCM kwa asilimia 1000 potelea mbali hata kama hakuna asilimia elfu moja CCM hoyeeeee na mama samia juuuu juu kabisa Makonda is a good leader Mama samia uliona mbali mama❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@FrankChalula-hz6dn28 күн бұрын
Umeitoa kwa hisia mwanangu 😂😂
@eliasmwankenja4223Ай бұрын
makonda mimi ni mkaazi wa mbeya tutamuomba mama akulete mbeya kazi yako nzuri
@felistermkongwa4379Ай бұрын
Yaaani aje aje aje kuna Mwenyekiti nimsemeleeeee🤣🤣🤣🤣🤣
@uyetomato9514Ай бұрын
kweli kaka mkuu wetu kapoaa
@josephhaule9123Ай бұрын
Ila kweli mbeya kumeozaaa
@jeannentibitigure5515Ай бұрын
Je , mweshimiwa Makonda , ukiwa Raisi hutakuwa biz
@LuftansahMahmoud14 сағат бұрын
🤲🏻Tunakuombea poul makonda na makonda ni ☝🏾tuu 🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻
@mosesfutila4524Ай бұрын
Maendero hayana Chama 😂😂mwendo wa pini 2
@marthaswai1185Ай бұрын
Kuanzia leo,tuwe na kiongozi wa wakuu wa mikoa yote.Kiongozi wa kutatua shida za watu
@VenjiStone-fc1sx22 күн бұрын
Upo vzr mungu akubariki sana kwa kaz nzur unayoifanya......
@Fatumakikuyu-iq4jkАй бұрын
Mungu akutunze Makonda naakupe uvumulivu tu
@SayyidAhmadBaalawyАй бұрын
Weka wao ndani muheshimiwa makonda mpaka waregeshe hiyo 30m haraka iwezekanavyo
@VumiliaMoshaАй бұрын
Hongera sana makonda mungu akufunike na afunike kazi ya mikono yako amen
@KimeshwaAlakaraКүн бұрын
Hongera sana regional commissioner mungu akulinde nataman one upewe kijiti cha kuongoza hii nchi
@abiusjohn1973Ай бұрын
Piga supana makonda 🌹🌹🌹🌹🌹
@giftaugustine1296Ай бұрын
Mom kipenz Cha watanzania je swali mikoa mingine Haina wakuu wa mikoa kusikiliza kero za wanainchi
@isakamangola1617Ай бұрын
Good leadership best steps of conversation
@user-uf8or8hd9pАй бұрын
Narudia tena mungu akubariki sana makonda akupe nguvu kubwa