UJENZI WA SOKO KUBWA LA KISASA EAST AFRICA COMMERCIAL AND LOGISTICS CENTER / UBUNGO DAR ES SALAAM.

  Рет қаралды 32,801

Wasafi Media

Wasafi Media

9 ай бұрын

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 90
@JoJo-xh7ph
@JoJo-xh7ph
Magu alianzisha Samia alijenga. Samia apewe mauwa yake. Big up mama yetu. Hongera JPM
@kelvinmgendwa1438
@kelvinmgendwa1438
Duuuu aise tanzania uchumi unakuwa
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628
Wasisaau kuweka pakingi ya magari ya zimamoto
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923
Jambo zuri kariakoo kidodo itapumua
@barutiabuu9492
@barutiabuu9492
Mnatuletea usenhe wenu nakuja kuuwa wafanya biashara wenu wenuewe kwa tamaa zenu wenzenu kenya wamewatimua hao wahuni ila nyie tamaa zenu na kutokua na udharendo hilo soko likiisha hawo wanao jenga watakua wanaleta bidhaa zao nakuuza hapo unazani sasa wananchi wenu waliopo kariakoo wao watafanya biashara gani nawakati wachina watakua nasoko lao hapo huo niupuuz na kutokua na mawazo nakutokua na uzarendo nchi hii imejaa viongoz wahuni na walio kosa malifa weng wamejawa natamaa tu kwaajili ya matumbo yao nawatoto wao
@mimiraia2531
@mimiraia2531
Yaani Rais wa China aje kuzindua kimradi kidogo kama hicho,
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo
Naombeni kazi
@omaryngitu2443
@omaryngitu2443
Vifaa vya kisasa vinahitajika kuzuia majanga ya moto ili isiharibu miundombinu ya gharama kubwa na kuleta maumivu ya hasara na gharama zinazopotea,big up serikali yetu
@barakamanga5502
@barakamanga5502
Nilikuwa najiuliza hapa kinaendelea nikitu gani kumbe soko safi sama
@jeremiaaugustino7187
@jeremiaaugustino7187
Nasikitika naoña Kariakoo ikifa na safar za wa Tz kufa
@daudimazengo7772
@daudimazengo7772
Dar inauwezo wa kubeba hata ghorofa 100. Kwanini ni ghorofa 3 tu?
@vom84
@vom84
Kariakoo inaenda kufaa
@ommy4k
@ommy4k
nawaelewa sana wachina yaani hapo kama hatuna namna gani hapo hata kesho jengo liko juu
@thomasbutingo17
@thomasbutingo17
Wachina nawakubali xn kwa Technology na Engineering wao ni no. 1
@alfredibrahim7085
@alfredibrahim7085
Mradi ni mzuri japo una wenyewe ila mbon mnarudisha foleni mmefanya utafiti kweli
@wiliummahaya2482
@wiliummahaya2482
Vipi kwema
@SimonpaulMayunga
@SimonpaulMayunga
Mheshimiwa nimesikia umesema kutakua na eneo la baa na kumbi za starehe mbona sijasikia kama kutakuwa na maeneo yakufanya na ibada(kuswali) jaman tumkumbuke na mungu yy ndo atupae nguvu ya utajiri
@zolongOne
@zolongOne
Mwezi wa tatu huu
@AfricaQueen
@AfricaQueen
Na magari ya zimamoto weka nayo matatu🤔Hilo ndio muhimu🤝
@Andres-qt6kp
@Andres-qt6kp
Tatizo la upotoshaji kwa watangazaji wetu ni kubwa kama sio cancer huu Mradi ulianza awamu ya tano na miundo mbinu ya barabara kutoka mawasiliano kwenda ubungo ilikamilika kabla JPM hajafariki ni vizuri historia ikabaki katika uhalisia na kama angekuweko huu Mradi ungekua umeanza kazi mimi ni mdau wa huo mradi nilichukua form sep 2020.
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
Ujenzi  Wa Apartments wa Gharama Nafuu
2:51
SwahiliUnits
Рет қаралды 15 М.
KAIZER CHIEFS VS YANGA SC: MAGOLI YOTE / ALL GOALS (TOYOTA CUP 2024)
8:46
DAR ES SALAAM TANZANIA 2024 | The Largest City in East Africa
6:04
African Informant
Рет қаралды 37 М.
Mradi wa Samia Housing Scheme,Kawe, Ulivyochangamkiwa.
31:29
Shirika la Nyumba la Taifa
Рет қаралды 4,5 М.
MAENDELEO YA UJENZI MRADI WA DART AWAMU YA TATU
5:49
DART TV
Рет қаралды 6 М.
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН