Luka 24:49 Nami mwenyewe nitawapelekeeni yule ambaye Baba aliahidi kumtuma, lakini ngojeni huku mjini mpaka mtakapopewa ile nguvu itokayo juu.” #Mgisamtebe #Mafundisho #Rohomtakatifu
Пікірлер: 93
@gracemaleko41674 жыл бұрын
Asante sana Mwalimu wa neno, leo nimefaidika sana na mafundisho yako. You have said the truth, ambayo watumishi wengine hawataki kusikia. Mungu humgawia kila mmoja kwa utayari wake katika kumtumikia Yeye. Mungu aendelee kukulinda,kukuvika ujasiri umhubiri Kristo hadi atakaporudi. Mungu aendelee kukutumia Mch na kukuinua.
@magdalenammassa8206 Жыл бұрын
Ninabarikiwa Sana na mafundisho yako Mungu azidi kukutunza na kukujaza uweza na nguvu zake
@isayakipoi4932 жыл бұрын
Dah. Jamani naipenda haya mafundisho ya mwalimu mtebe. Ubarikiwe mwalimu.
@miriamtutorial2 жыл бұрын
Amen Amen teacher 🙏
@user-zp8le3if7u Жыл бұрын
Mungu akubariki sana baba, I'm Ev David from Uganda napenda sana ekima Yako ...
@mamagift1954 жыл бұрын
Nimekuelewa sana Mtumishi wa Mungu hakika Mungu anakutumia ubarikiwe sana
@abisaimoses85564 жыл бұрын
Mungu aendelee kukufunulia mafunuo yake ili tujue kweli na sisi tuzidi kuwa huru....Mungu akubariki sana..
@petromaley4 жыл бұрын
Atukuzwe Mungu kwa ajili ya ujumbe huu
@alimambabazi366617 күн бұрын
Hallelujah Hallelujah Hallelujah 😂❤❤❤
@EvalineKitso-ux8ur Жыл бұрын
Amne.ameeee.barikiwa.sana.mutu.wa.mungu
@monicamartin19474 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi,nakupata sana
@mackmillan90404 жыл бұрын
Mungu nirehem, Naomba unipe na mimi hii neeema jaman,,, Nakupenda mwalim
@robsonsadiki4 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi, katoe pepo kwa masters
@joycewambui22704 жыл бұрын
Mwali asante unafundisha vizuri sana
@barakadaniely89672 жыл бұрын
amina ubarikiwe na mungu
@silashemed48492 жыл бұрын
Barikiwa Mwl
@anethmt63832 жыл бұрын
Injili za uzima zimekuwa adimu Leo ubalikiwe sana mtumishi
@barakasylvestertv75064 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu!
@lucianagilbert63164 жыл бұрын
Yaan we baba unajua kufundisha uwi Naelewa mpaka napitiliza🙌
@silvamwakabanje45904 жыл бұрын
Mtumish nakuelewa sana kuliko unavofikiria wafundishji wa hayo mafundisho wengi walienda na mafuriko
@josephchivatsi642 жыл бұрын
MUNGU Wa Mbinguni Akubariki Sana Sana Mtumishi wa Mungu. Nabarikiwa Sana.
@emanuelbadi4741 Жыл бұрын
Roho mtakatifu NIONGOZE ktk maisha yangu AMEN
@alexngowo27574 жыл бұрын
Mgisa ubarikiwe sana maana masomo unayotoa ni ya kipekee. Hakika Roho wa BWANA anakuongoza vema.
@rachelevarist703 жыл бұрын
@@mgisamtebe nipe maana ya roho mtakatifu maana yesu hakuongea kiswahili hebu nipe maana yake hili neno mnalitu Mia sana na ilihali hamna elimu nalo biblia haikushuka kwa kiswahili wala kingereza wala kigiriki elimu hii mmeitoa wapi?
@anjelashila734310 ай бұрын
AMINA!
@johnstonjtenkule71514 жыл бұрын
Dunia ya Leo tunahitaji walimu kama Mgisa Mtebe unanibark sana Baba ubarkiwe sana
@johnstonjtenkule71514 жыл бұрын
@@mgisamtebe Amina Amina mtumishi usichoke kutufungua faham zetu kwa kutufundisha kwa kadr Mungu atakavyo kujalia
@janethjkavishe5894 жыл бұрын
Asante kwa kutuwekea vipande virefu zaidi. Ubarikiwe mno
@ushindipeter84644 жыл бұрын
Mungu akubariki mchungaji 🙏🙏
@edwinezawadi47073 жыл бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@timothymutunga-ds8zq2 ай бұрын
Teacher ongera sana kwa kunitoa sehemu
@furahayabwana61274 жыл бұрын
Nimekuelewa sana.Yote ni tip top💯Amen amen amen🤝
@rachelevarist703 жыл бұрын
ona dada kama wewe umri huo maandiko huyajui unaona anachokisoma mchungaji wako ktk biblia kipo sawa yani hata kutofautisha injiri nawalaka wa paul bado, umri huo kweli utaenda kumjibu nini mungu wako Paul hakuandika injil walioandika injil wewe huwajui? hapo ndomlipo changanywa Paul ni mtume wa shetani na yesu alimtabilia yeye kaacha ngano atakuja mtu atapanda mtu magugu katikati ya ngano wewe hilo andiko ulilielewa yesu kaacha injiri nzuri Paul kaja kapanda magugu katikati ya ngano leo soma hili andiko vizuri jiulize nini maana ya ngano nini maana ya magugu usifate mkumbo utaiangamiza nafsi
@suzankasile4844 жыл бұрын
Nakukubaligi sana pastor Mungu akupe Maarifa zaid Mungu azid kukupgania
@janembalinga70743 жыл бұрын
Waoow yaan hii ni kweli kabisa
@TAFSIRIZANDOTO41063 ай бұрын
kwahiyo Mwalimu si muhimu kubatiza Kwa maji na kama si muhimu basi zisitishwe habari za maji madogo na maji mengi tubaki na chalazima kubatizwa Kwa Roho Mtakatifu
@furahinikisapi99874 жыл бұрын
Daaah nimejifunza kiktu kikubwa mno! Mungu akubariki mtumishi
@upendokiwanga95383 жыл бұрын
Barikiwa saana Mgisa sisi wengine tunabarikiwa saana na Masomo yako
@marymlelwa84713 жыл бұрын
Injili tunayoitaka ndo hii... MUNGU akubariki mnooo BABA
@andrewmziray22334 жыл бұрын
mgisa mtebe nakuelewa san since I know you 2012
@jaysureson_og37084 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwakweli mmm bas,kweli kabisa
@rhinakiza4 жыл бұрын
Mungu ni mkubwa kabisa, niliwai uta kuusu hio oxygen, Amina ubarikiwe sana mtumishi
Kwa kweli hapa nimepata jambo kubwa sana. Hii ni shule tunayohitaji kujua kuende kwa njia za Mungu
@lydiaaruba66704 жыл бұрын
254 nakupata sana kwa mara ya kwanza dah.... huduma ni wito wala sio masomo hii habari ya Musa yani huwa naitafakari sanaa
@hurumaemmanuel4704 жыл бұрын
Be blessed man of God
@shedrackmsungu81004 жыл бұрын
Amen mtumishi
@raphaelmugho94664 жыл бұрын
Wow so nice preaching
@majigesimon72314 жыл бұрын
Amen!! Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
@tatubanadi47102 жыл бұрын
Amen.utukuzwe Yesu Bwana na Mwokozi wetu.
@lovenessdiva71324 жыл бұрын
God bless you
@namid42844 жыл бұрын
mafundisho mazuri sana
@alimambabazi36664 жыл бұрын
Preach 👏🙌😀
@lucanziku78363 жыл бұрын
Ubarikiwe kak
@dorismakwayamoses3 жыл бұрын
Barikiwa 🙏🏾🙌🏾🙏🏾
@francismassawe71314 жыл бұрын
Nice mwl.mgisa nakuelewa Sana Mara ya kwanza kukusikiliza niligundua tu wewe ni mwalimu,I appreciate you....
@neemajosephitambu35874 жыл бұрын
Nikweli mwalimu
@neemajerrymwaihojo28134 жыл бұрын
aleluya
@tumainimwampashi6662 Жыл бұрын
MUNGU akutunze mtumishi umenivusha kwa hatua
@tumpelukongo28304 жыл бұрын
Barikiwa sn
@sangoheri60764 жыл бұрын
Uko sawa Mtumishi!Ubarikiwe najua wengine unawakwaza lakini usiache kusema!
@rachelevarist703 жыл бұрын
sango Heri hamkwazi mtu ila anaiteketeza nafsi yake mwenye tatizo wenzetu biblia hua hamsomi mnasomewa hilo ndo tatizo ona sasa jinsi mnavyopotoshwa yeye ana waita waislam watoto wa mama mdogo kulingana na ufinyu wake wa elimu kwani biblia inasemaje kuhusu Ishmael na isaka kwanini na nyinyi hamsomi biblia mpaka msomewe? minaona nyie wenzetu mmelizika na dunia maana kama kweli mnaamini cku ya mwisho basi mngemtafuta mungu wakweli maana biblia hamsomi mkailewa hao wachungaji wapo kimaslahi lini mtazinduka? soma biblia vizuri usipoteze muda wako chambua maandiko muombe mungu akuongoze
@meshackngadango68554 жыл бұрын
Amen!Mungu akubariki Mwl.sema kweli tupone na kurithi mbingu
@rachelevarist703 жыл бұрын
acheni kujidanganya kuurithi ufalme unafikiri mchezo wakristo amkeni bado mpo gizani kuna vitu wachungaji wenu wanawaficha hawataki kuwaambia ukweli zingatia apo kwa Ishmael kama wewe unasoma biblia tafuta hilo andiko hlf wanavyolisoma wachungaji wenu nisawa na lilivyoandikwa? hlf unasema unataka uurithi ufalme wambinguni mungu anasema atakae mlaani Ibrahim amekwisha laniwa sasa kumwambia Ibrahim kazini ni tusi tena nabii wa mungu tena baba wa imani na nyinyi mnashangilia mnaona hayo ndo mafundisho jamani acheni tamaa za dunia jueni ipo cku ukweli utajulikana tumieni akili zenu mtakuja kujuta someni biblia vizuri msisomewe mtajua ukweli
@farajilyambafu43124 жыл бұрын
Mgisa mtebe
@tinkasimeremugisa14844 жыл бұрын
Mingus akubariki saana
@nickodemmwandambo89244 жыл бұрын
Kweli huyu ni mwalimu
@fredyshukuru47254 жыл бұрын
Jaman mm nhtaji haya mahubli ntapataje
@jaysureson_og37084 жыл бұрын
Kweli Roho mtakatifu umeruka geti,
@suzankasile4844 жыл бұрын
Hakika
@patrickmusyoka35444 жыл бұрын
thanks
@dahirdaud30254 жыл бұрын
Waonee huruma watu wote na unapo hubiri balance usipendelee watu fulani watu wote wako ktk hasara
@agnesnzali5724 Жыл бұрын
An nmepata kit kipya zaid
@bedamgonja94844 жыл бұрын
Amina
@christopherphilipo54004 жыл бұрын
Ubarikiwe
@juliusmsaka50484 жыл бұрын
Asante mwalimuu
@elisantennko82224 жыл бұрын
Kusoma ni muhimu sana na ni ushaur wa Roho tusome. Timoth aliagizwa kusoma, kuonya na kufundisha. Sidhan kuwa kusoma ni kurudi nyuma kwa karama bali ni ufahamu wa kazi tu.
@shammahlupon79454 жыл бұрын
Elisante Nnko wewe ni mzee usie elewa nitashangaa kama umesoma
@dianessbrighton51404 жыл бұрын
Shammah Lupon sishangai kutokuerewa kwake ila mngu ambadishe tu
@mackfasonmoshi46294 жыл бұрын
Pamoja Na umuhimu wa kusoma, Karama za Roho Mtakatifu hazipatikani Bible College.... Mwalimu M Mtb analonga Ukweli mtupu.....Elimu ya Rohoni hiyo...1. Kuzaliwa x ya pili....2. Kubatizwa Kwa Roho Mtakatifu....Na madhihirisho ya awali ya Kunena Kwa lugha I.e Lugha ya Maombi ( Intercessory language) kwa kuanzia.....Kuziekewa kisha Kuzitaka Karama......1Kor 12:1-10.....1Kor 12:31....1Kor 14:1... Huyu Mwl. M Mtb kaletwa Na Bwana Kwa saa Na majira yalokubalikaaaa......Wa kusikia Na Asikieee.... Amen.....
@dahirdaud30254 жыл бұрын
Unahubiri vzuri ila kuna kitu kidogo sana unatakiwa ukitowe na uingize kitu kiliobora zaid.
@mackfasonmoshi46294 жыл бұрын
Kitu gani tena hicho D D??Mbona huyu Bible Teacher Yuko Vizuri Hivyo???
@senyafredrick72484 жыл бұрын
Dah baba huwa nna enjoy ukifundisha sijui nieleze vipi ili nieleweke jinsi gani nnavyo elewa.ila hii Ni ndefu mpaka nimeinjoy kupitiliza.huwa nna enjoy zote lakini Dah
@senyafredrick72484 жыл бұрын
Ahsante
@yohanasimtenda7484 жыл бұрын
Nafuu hii ni ndefu, huenda kuliko zingine
@dahirdaud30254 жыл бұрын
Wapende watu wote usibague hubiri injili ya ufalme wa Mungu waunganishe wakiristo na waislam wapendane wawe kitu kumoja
@@mackfasonmoshi4629 samahani eti nini maana ya roho mtakatifu
@mecyjoseph84123 жыл бұрын
ameen mtumishi ubarkiwe sana kwer tujifunz kusoma
@ayubujohnayubujohnjohn89243 жыл бұрын
Soma yohan 14:15
@rachelevarist703 жыл бұрын
Mchungaji acha kuita wenzako watoto wa Mama mdogo unakipawa chakuongea lkn huna historia ya dini biblia inasema atakae mlaani ibrahimu nae ameshalaniwa wewe hata ukimkataa Ishmael mungu alishambariki wewe unasoma habari za paul badala ya kusoma injili hakuna sehemu ktk injiri torat zabur imetaja kanisa sasa nyinyi mnafata mafundisho ya Paul
@paulshillah73973 жыл бұрын
Hakuna sababu ya kutaja dini ingine. Haisaidii lolote. We hubiri NENO tu. Tabia ya kukosoa dini zingine itakupunguzia watu wote kukusikiliza, unaweza kutoa mfano bila kutaja dini au dhehebu lingine