Bass haya ishaalah wapo wasaliti wengi ni wanaume mimi kulikuwa na mwaname nipanga kila kitu kwangu baadae alibadilikiya aposhapata mtono bass kajenga nyumba bass nimemuwachiya mungu ishaalah mungu yupo anamuona atalipa hapa hapa dunia kabla ya khera
@FrankSylvester-eo7zf6 ай бұрын
Bado hujasema dada Mungu akusaidie wasaliti ni 50% kwa jinsia zote hujawahi sikia maumivu ya mwanaume juu ya mkewe 😢😢😢
@jamesmwandu92954 ай бұрын
Sister upo very very smart hongera kwa darasa zuri, Hakika kuna jambo kubwa sana la kujifunza kupitia mazungumzo yako God bless you 👏👏👏🔥🤝🤝
@EliaMwasaule-nj1gkАй бұрын
Hongera mm kwa mafundisho Mungu akujalie maisha mema
@jameskivelege86306 ай бұрын
Nimeipenda busara yako, Mungu akubariki uendelee kutujuza
@AndulHida-hs5py6 ай бұрын
Mash Allah tabarak Allah kheri Madan Jazzak Allah kheri
@jumakuswa7155 ай бұрын
Mungu akuweke u unaelimisha ndoa zetu au mahusiano yetu nivituko v2pu Ila kiukweli unatuweka sawa tutajitambu kaz kufanya maamuz.
@jafariabdallahMasukuzi4 ай бұрын
Mashallah madam tuseme tu ule ukweli nakupendaga saana na laiti ningepata mwanamke mwenyewe swiha yako yalabh ningeweza hata kuweka kiapo juu ya kumsaliti mkewangu.❤❤❤🤝🙏
@jafariabdallahMasukuzi4 ай бұрын
Please madam naomba hata uisome tu comment yangu jamani love you so much more❤❤🙏
@ahz69073 ай бұрын
Kumpata kama huyo nawewe uwe na sifa za mume bora pia 😊
@AlhajiIssa-jb9hrАй бұрын
@@jafariabdallahMasukuziAna mume nawe kuwa mstahamilivu😂
@user-jt8uc6rg6n4 ай бұрын
Madame Leila, Allah akulinde In Sha ALLAH
@sharifasuleiman91345 ай бұрын
Yani mungu akupe mema ya duni na khera. Mashallah mashallah
@TofiqueZuberi-ec1zv6 ай бұрын
Masha Allah madam. Wanaume tunachangamoto nyingi sana lakini nyingi tunasababishiwa na wanawake. Mfano sisi mara nyingi husaliti kwasababu ya tamaa na wanawake ni hisia. Sasa mwanamke unakosana nae unamtaka mzungumze yaishe lakini anakataa na badala yake anakunyima unyumba miezi 6. Unadhan mwanaume atafanyaje hapo? Allah atuepushie
@twahamohamed57456 ай бұрын
Alhamdulillah dah Allah akuongoze dada yangu
@user-lq9sw3ne6j6 ай бұрын
Mamangu ❤ KilA la heri kwa Mambo ya hekima Musa kutoka Kenya🇰🇪🕊️💘
@mohamedshariff6370Ай бұрын
Mash Allah mungu akulinde hapa dunia na kesho akhera lelah
@user-tg7vq3ty8p6 ай бұрын
Mimi mtu mzima ndoa yangu na mke wangu ina miaka 30 na ushee. Nimeshastaafu ila mke wangu bado anafanya kazi. Hayo ya kuambiwa nimechoka, nishaambiwa sana kiasi mpira naumulika na tochi siuoni. Mwisho wake nimeinua mikono kwa Mwenyezi Mungu nikimuomba azidi kumbariki mke wangu aendelee na isimu hiyo ya kuihamisha haki yangu ya ndoa na kuipeleka kusikojulikana.
@kalamuMedia6 ай бұрын
Pole sana,umefanya jitihada zozote?
@HamisMghuna-fj3vz4 ай бұрын
Hili cm ndoo kisanga cm zimeua+kuvuja ndoa,acha kuchunguza cm oooh,kama hujupendi Allah atakupenda Zaidi cm jamaa zitawamaliza,
@user-vl5tz6xt2m4 ай бұрын
Huyu dada mjanja sana hilo ni kweli kabisa
@HAMIDUKijuu3 ай бұрын
Mashaalah Kwa mawaidha mazuri. Mmungu akupe majazo mema.@@kalamuMedia
@user-qd1re6fb3k3 ай бұрын
TV TV@@HamisMghuna-fj3vz
@user-zw6vr8dw3s6 ай бұрын
Dada hapo weka sawa ,mwanamke kiukweri sekta yake ni mapenzi na mwanamme sekta yake ni upendo.mwanamme anahitajika kupenda na mwanamke sekta yake ni mapenzi.na ndoa za sikuhizi wanawake wanapenda waume zao kama wanawake na wanaume wanapenda wake zao kama wanaume ndio maana mahusiano yanakufa
@abudimuddy5173 ай бұрын
Madam Leila uko Top, Mashallah tabarakallah
@a.8566 ай бұрын
Jazakallah khayran
@IsmailMohamed-yz2wlАй бұрын
Dada yangu unatisha mungu akujalie sana akupe maisha mema
@abdallahkitwana84716 ай бұрын
Jazakah Allahu khair
@twaibumikidadi73774 ай бұрын
Tumeambiwa tuoe wenye dini ( iman) kama hana iman jaribu kumfundisha dini! Akiwa na imani sawaswa hawez fanya haya yotee lkn ukıoa mke anayejifunza maisha ya ndoa kwa kuangalia mitandaonı ndıo yatatokea haya yote Allah atuhifafh wake zetu na dada na watoto zetu!!! Aminnn
kweli kabisa mke wangu anaondoka mara kwa mara hata sai mm nko kazi yeye hayuko nyumbani hanihudumii ni mgonjwa kila mara ni kali nilimpatia talaka moja ajirekebishe ila ndio amezidi
@user-he3nz6gt3d16 күн бұрын
Amiin amiin inshaallah Nimekuelewa dana my dear sister
@msabahkhamis94386 ай бұрын
Maashallah Baarakallahu fiik Nakukubali dr Allah akuzidishie elim na hekma
@starlonejadamskp82246 ай бұрын
Very smart Mashallah
@user-me2dq4yk3q6 ай бұрын
Mungu ni mwema kwa kweli
@braystuskibassa38426 ай бұрын
Usaliti nyakati hizi limekuwa janga maana wengine tunaumia saana lakini aaah ndo hivo tena ukiuliza tu kesi mbona kunichunga sana hutaki mimi niende hata kwa rafiki zangu hata kutembea kidogo basi unaacha maana ukiendelea kuhoji ugovi
@user-xr8uv1pb8w6 ай бұрын
Mashaaallah
@johnwoshi345914 күн бұрын
We mama unakufuru mungu sisi ni 4 in 1= love
@sadikiissa77566 ай бұрын
Mwanaume huwa hasaliti bali kaumbiwa kumiliki wanawake wengi. Ila njia bora kuongeza mke kwa kuoa. Na mawaume haitwi msaliti kwa kuwa anapopenda mwingine haimaanishi hampendi mkewe bali katamani sifa nyingine kutoka kwa mwanamke mwingine ili awamiliki wote.
@sadikiissa77566 ай бұрын
Kiasili mwanaume hasaliti bali hupenda kumiliki wanawake wengi wenye sifa tofauti tofauti.Hivyo ukiona mmeo anatoka nje ya ndoa ni bora umwambie aoe rasmi ili muwe wawili.
@mutomubaya6 ай бұрын
Kama anafanya na huyo mwanamke mambo ya chumbani kabla ya kumuoa je?
@ahz69073 ай бұрын
@@mutomubayani usaliti na zinaa kama ni muislam hukumu zipo wazi.
Hahahahahaaaa😂😂😂😂😂ila maadam Leilah ban Et, Huna Nyimbo
@abdallahkassim86005 ай бұрын
Duu mama kwli mm hayo ya kusalitiwa yashanikuta mm kwli yanauma kwli yni mm alichonufanyia mm alinisalit kenda kuolewa na shemegu yngu mdogo wke mke mdogo
@user-mq6iy4nh6l4 ай бұрын
❤ni kweli watu Hawa hawamwogopi Mungu
@abubakarimussa91316 ай бұрын
Mwanangu leilla mumeo ana neema kwako
@athumannyungundileki97996 ай бұрын
Na iwe hivyo asije akawa kama madebe lidai
@officialkamdudu6 ай бұрын
acha kujidanganya huyo ana mbinu zote za kivita
@samwelidomayo61956 ай бұрын
Sana
@edlumala94285 ай бұрын
Bro unaweza kukuta kashaachika hata mara tatu! Ndoa haina formula kaka, kuongea itself is not enough!
@yusufmohdali26175 ай бұрын
16:20 😢😢😢
@timbetishaban68046 ай бұрын
mashaAllah dada
@user-uk3vr1oi9m6 ай бұрын
Nikweli kabisa dada Leila upo sahihi mwanamke akifikia kukusaliti mumeo apo akuna mapenz yakweli
@RamaIssay12 күн бұрын
daahhhhh Ina Uma sana kusali Tiwa na mtu unae mpea 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@SalumSaidy-j2f11 күн бұрын
Nikweli kabisa Dada unajua vzuli kuhsu away wanawake uko vzuli
@msafirikushama21936 ай бұрын
Elimu hii nzuri sana.....
@bihayisefu88105 ай бұрын
Asante sana
@user-pq7xi6ve3y5 ай бұрын
Allah barik madam
@user-rb2hd7nh4s3 ай бұрын
Mungu atusamehee kwakweli
@josiahkulwa53186 ай бұрын
Allah akuzidishie kheri
@NakiatAbdul6 ай бұрын
Masha Allah
@user-yb4wo2ts4e5 ай бұрын
Asante.dada.yalinikuta.hayo
@user-bu3wg9mc3f6 ай бұрын
Mungu akubali🤲🤲
@mutomubaya6 ай бұрын
Shukran
@mohdalawiychalapes87496 ай бұрын
Uko vzur sana dada angu
@iddkawozya37146 ай бұрын
Asalaam aleyhum,katika madhui yako ni ya kheri kwa jamii, wake zetu ndiyo wakwanza kuchafua ndoa zenu sisi wanaume nikama watoto shida ipo kwenu
@user-vq6dc4nr5p6 ай бұрын
Umefiria au umekurupuka
@user-fh6jw6oe8e3 ай бұрын
Dah madam upo vizr sana asee Mm nimeambiwa Hana hisia namm kabsa zipo kwa mtu mwingne. MKE WANGU nimekaa nae miak 7😢 nimeumia sana
@athumanfuko1993 ай бұрын
pole usiumie vumilia
@Geoffreyobuba3 ай бұрын
Poa dada mungu ni mwaminifu tukitenda alilo litaji pia atatutendea
@sirajionlinetv8563 ай бұрын
Maashaallah Swadacta
@shahadamussaefm73106 ай бұрын
Mashallah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@abudimuddy5173 ай бұрын
Madam Leila uko Top.
@saidmwinyi44375 ай бұрын
Aminah dada!
@hassanimindu8516 ай бұрын
Mashallah
@CatherineKimoso6 ай бұрын
Tatizo ni kuonja onja Kwa wanandoa kunaleta kizazi kiovu.uovu wa watoto unanzia Kwa wazazi.mandiko yanasema mle mtoto ktk njia impendezayo mungu.
@samxx4116 ай бұрын
Darsa zuri sana linafunza
@bakariathmanathman21876 ай бұрын
Sawadactha hili ndilo wimbi lilo nipiga mm paka mfuoni wabahari 😭
@aishaomar22876 ай бұрын
Polee
@HadinanKimimbi2 ай бұрын
Mungu Nisaidie
@SingoMedia6 ай бұрын
Shukrana sana kwa darsa zuri
@HamisMghuna-fj3vz4 ай бұрын
Jamaa cm zimeua kuvuja ndoa acha kuchunguza cm oooh kama hujipendi Allah atakupenda Zaidi cm jamaa zitawamaliza,
@dismaspeter22665 ай бұрын
Mungu akubariki dadangu kwa mawaidha mazuri
@OmaryIssa-uk4zh6 ай бұрын
Mashaallah
@shukuruTV6 ай бұрын
Mashallah Allah akupe umri mrefu
@DaddySBuda-dp6nq2 ай бұрын
Dah mama kama unayaona kwa mke wangu Hata kuswali haswali tena amebadilika hatuna mawasiliano ya kujuliana hali kma mwanzo nilipo fika nimeamua kutafuta mke ambae atanijali kama mume
@mussaswahib4 ай бұрын
Dada asante.masshallaa
@13_young.k.i.d.d6 ай бұрын
Eti maisha yetu jeshi, siijapenda 😢
@ummymuya.20605 ай бұрын
😂😂😂! Ma MP😜
@salmamohamedali19125 ай бұрын
Haaahah
@ramaamofarah89676 ай бұрын
Alxamdulillah mkeo na mumeo waislam kiimani hawasaliti hata kidogo. Because they are much devouted
@unambwenaiman53555 ай бұрын
Mke mmoja ni changamoto Sana,
@dionrwey5725 ай бұрын
Kweli, hisia za mwanamke zaonekana wazi, akisaliti hafichiki, dharau itajitokeza na hajijui kama amebadilika, ...
@HusseinNkuna4 ай бұрын
Yani umeongea mengi sana yamemuhusu mke wangu alienitoroka yani alikua swala tano lakini akaanza kubadirika taratiibu mala naenda Kwa mama mala naenda Kwa shoga yangu hidaya mala siku flani tunaenda shughulini hadi siku ameaga anaenda kwao alafu kukatokea msiba Kisha yeye hayupo kwao kumbe amelala sehem nyingine na cm amezima
@user-ec7iq8yv5x4 ай бұрын
Hongera
@theophilwhiteheart19974 ай бұрын
Ahsante dada🙌🏽🤍🤍🤍
@radaonlinetv19226 ай бұрын
Wanawake wapo wengi sana hiyo sio tatizo madam
@zainabpessa23292 ай бұрын
Wanawake wako wengi lakini sio kama huyo ulio nae
@user-dl4wx4iu5n5 ай бұрын
Kwa kweli dada tunashukuru na tunafidika saana Wanamaker wanasumbua sana khasa kwa ajili ya simu zao zinasumbua saana mi.i niko drc
@user-bw4dh3ck1z4 ай бұрын
00
@user-tx6xq6fx6y5 ай бұрын
Wallahi mimi kama mimi yote ulio sema ni kweli hakuna moja ambalo silakweli
@michaelmkaro84566 ай бұрын
Super
@user-mv8hk9fe2y6 ай бұрын
Wengine hawasaliti kwa hisia dada wanatafuta tu maslahi, saazengine mumeo atahela yakula kukupa shida au akikupa kula vyengine vyote ujitafutie mwenyewe hapo ndo mtu anatafta msaada nje
@silvaraphael93275 ай бұрын
There’s no justification for infidelity. Otherwise ni tabia ya mtu alikwisha izoea toka kubalehe kwake, unakuta kijana wa kiume au kike hadi anaoa au anaolewa kashatembea na wengine huko nyuma zaidi ya kumi ati ni kula Ujana, yaani why exactly kwani ni lazima. Sasa baadaye kwenye ndoa matokeo yake ndo hayo ya kusalitiana ambapo ni ujinga mkubwa sana. Na hauhitaji msamaha huu ujinga either kwa mume au mke, kama unaingia kwa ndoa for infidelity practice why can’t you remain single? Heshimuni ndoa wake kwa waume ndoa ni kipindi cha mwisho cha Maisha ya mwanadam chini ya jua.
@dativajoachimwai11944 ай бұрын
@@silvaraphael9327 nikweli. ndoa na iheshimiwe na watu wote. hata Mungu anasema anaefanya hayo hana akili kabisa
@SalamaAli-cv6uj2 ай бұрын
Swadakta 🤝🏻
@mathiasmasolwa56015 ай бұрын
Wewe aliye kuoa awe na kazi sana wewe hakili nyig sana,
@JeremiaNdemboАй бұрын
Awe mwanamke au mwanaume wote wanamapungufu, kikubwa kuvumiliana tu.
@davidkawesa35943 ай бұрын
Mama mkwe wengi wanajuwa ujina wa mabinti zao tena ukute mama mkwe limalaya au Binti yake anamuita mdogo wake mama malaya linamuuza mwanae
Huwez kujua hicho kitu labda awe mwanafunzi ndio utaelewa ila mazingira ya Uchafu itakuwa uchafu lakin mwanamke anaweza kumuona ataoa darsa ukamuamini asilimia 90 kumbe adui mkubwa ktk mapenz ila mapenz ni kitandawili
@VioletNamz-tq4tg6 ай бұрын
Barikiwa dada yangu.
@zahranyussuf76426 ай бұрын
Hivi ww Madam Leila umeolewa? Yaani umo kwenye ndoa?
@user-qy7wv3xv4o2 ай бұрын
Sasa dada hapa Kuna tofaut mke akiwa yy ndio kiruka njia hasikii kabisa dawa inayotosha hapa niipi.
@user-to3uq1ct6d6 ай бұрын
Duuh hii hali naipitia mimi naombeni mnishauri jamani mke wangu hataki kushiriki na mimi days hajisikii.