#QiblateinOnline Follow Us On: INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv FACEBOOK; profile.php?... KZfaq; / @qiblatainonline
Пікірлер: 44
@somoeali-es7seАй бұрын
Asalam Alekum warahmatulaah wabarakatul kusema la kweli hii eli yako huwa yanipe utulivu sana huwa napenda sana kuleta dhikir sana Allah akujaze kheri inshaallah
@SumaAbdulyАй бұрын
Shekhe mimi naitwa Ismail Abdul niko bukoba kagera natamani sana kukuona natamani unifanyie dua mimi nahangaika sana najituma sana nasikiliza sana mawaidha yako lakini elim yangu ya dini ni ndongo maelekezo yako pengine nashindwa kufanya kwa sasababu ya elim ndogo shekhe nifanyie dua kwa kutumia majina yangu Allah atakulipa lakini mambo yakienda vizur nitakutafuta popote niludishe shukrani
@user-xm2rm7wn6hАй бұрын
Chukua namba huoini hapo juu
@zahraabdul9652Ай бұрын
Chukua number yake mtaongea vizuri sana ingawa kushika kwake simu sio rahisi lakini unajaribi mara kadhaa utapata
@zahraabdul9652Ай бұрын
Allah akuzidishie elmu na hekma yake na umri mrefu ili tuzidi kupata mazuri ya hekma inshallah Yarabby tujalie mapato ili tuwe watu wa kutoa zakay ,msaada kwa yatima ,kuchangia msikitini ipate kila kitu ndani na pia kwenda hijja wale tujaenda Yarabby 🤲 tujaalie mwisho wetu uwe bora 😢😢 ingawa Dunya ina mitihani allihamudulila 🤲
@Starshines-gc1fgАй бұрын
Mashallaah allah akufanyie wepesi juu elimu unayotoa
@user-sb5nm1se3dАй бұрын
Allah akupe afya njema shekhe Othman
@khadijaali4657Ай бұрын
Assallam aleykum warahmatullahi wabarakatuh Shekh naomba nifanyie dua inshallah mm ni mkenya ila niko Saudiarabia na nina matatizo makubwa mno kutoka nyumbani kenya wabaya wanifata nikiwa huku Saudiarabia wallahi nina mitihani sana naomba dua sheikh 😔😔😔😔
@zuhurakarani8047Ай бұрын
Chukuwa number yake hapo juu umtext WhatsApp
@user-kl4km4tj3qАй бұрын
Insha,ALLAH nafarijika khutba MashaAllah,❤
@user-or9im6hr8lАй бұрын
Natwa Salma shaban shekhe naomba Dua zako itawale ktk maisha yangu amina
@ChikiraKitojoАй бұрын
Sheikh Othman samahani nakuomba unifanyie dua mambo ya kimaisha yaende sawa kwa jina naitwa chikira jafar kitojo niombee kwa Allah in shaa allah nami niweze fanikiwa sheikh
@user-qx1nm8kp9bАй бұрын
Shekh naomba niombee ndua maan kunamambo yananisumbuw sn shukuran
@TagirOmarАй бұрын
Allah akulinde shekhe, niombe mambo yangu yanakwama jina langu, Tagir Omar sumail
@user-vl4md8rj6iАй бұрын
Mashaallah mashaallah mola akuhifathy
@MwajumaShaibuАй бұрын
Maashsllah Allah akuhifsdhi
@MundhiriawadhiАй бұрын
Allah akudumishe katikaimani
@meowznaАй бұрын
Jazakallahu Kheir Sheikh🤲🙏
@JinaJuma-gy1usАй бұрын
Sheikh niembee dua niko mbali nchi za kiarabu näpata mitihani kila nikija huku inshaallah nikirudi biidhini iilahi nitakutafuta unifanyie dua naitwa Jina mzaliwa na salama Allah akubarki sheik wetu
@salmaalkyumi6030Ай бұрын
Salallahu Alaihi Wasalam ❤❤❤❤❤
@EstaWambiАй бұрын
Mashallaa shehe niombe niko na mitihan ming mno
@AsnatiAmiriАй бұрын
Mashallah shekh wetu Allah akulipe ujira mwema
@user-en7uf4bq1bАй бұрын
Salam alaikum Sheikh mm naitwa mwanasomo kutoka Kenya Nina matatizo Maisha magumu niliachana mume Nina watoto mume wngu mlevi said napata tabu mwanagu Nae alinusurika Na kubakwa sijui Ni Nini hiki napitia
@user-sv6zy3hc8o24 күн бұрын
Allah akupe subla kipenzi pia jitahid kuswari kwa wakati uamke ucku umkabidhi mwenyezi mungu matatizo Yako yataisha tu
@user-ki2vm6jr1yАй бұрын
Mashhallah baraka llahul-Kheyr
@user-by7tf7ne4oАй бұрын
Mashaallah Allah akuhifadh 🤲
@user-kz5vt5ij7xАй бұрын
Aminaaaaah rabbil alaaminaaah
@user-kl4km4tj3qАй бұрын
Nisamee but I really like you mashaala
@user-sv6zy3hc8o24 күн бұрын
🙄🙄🙄🙄
@user-qx6xe7ew5pАй бұрын
Manshaallah ❤❤❤❤
@JinaJuma-gy1usАй бұрын
Mashaallah mashaallah mashaallah
@narutonaruto4303Ай бұрын
allah akuhifadh
@meowznaАй бұрын
Shukran👏
@user-eq8dd6sl7uАй бұрын
Amiin yarabila alamiin 🤲 yarabiraalamin
@user-ki2vm6jr1yАй бұрын
Maashallah
@SalmaRashid-di1qzАй бұрын
Shekhe wangu naomba uniombee Dua risk zangu zifunguke
@narutonaruto4303Ай бұрын
yaaan mashallh
@MwajumaShaibuАй бұрын
Maashsllah
@user-kl4km4tj3qАй бұрын
Let me🎉
@silviaamos-pl5lkАй бұрын
Salaam aleyku, shekhe naomba dua zako,kilaninapoishi nachukia na kilaninapofanya kazi nachukia na boss mpaka wafanyakazi wenzangu,naomba dua zako
@Mwajuma-bm8omАй бұрын
Shekhe naomba uniombe 30:30
@user-kl4km4tj3qАй бұрын
Assalam alaikum😂
@user-or9im6hr8lАй бұрын
Shekhe Nina matatizo ya ndoa naomba uniombee niolewe nikakae na mme wangu tufurahie maisha😅😅
@user-oz6uy3kj3n28 күн бұрын
Wakati wa kuomba ndoa omba Mungu akupe mume mwenye hofu ya Allah usisahau hyo