Ameni Baba ubarikiwe sana kweli Mungu akuinue viwango vya juu zaid kila ninapo fungua kipindi chako au video zako uwanabarikiwa tu na neno nauwa naamin napokea uponyaji yani uwa nataman siku mmoja za uhai wangu nikuone live nipokee neno la mungu kutoka lwako live in Jesus name amen
@angelanaftael79656 ай бұрын
Amen in 2024 my first time to hear this powerful sermon, let Thy Kingdom come... haleluya
@lucymbai3905 Жыл бұрын
Umekua mtumishi wa baraka kwangu Sana,,,umenisaidia kuijenga imani yangu Sana na Mungu katika mafundisho yako,,, thanks and i received in Jesus name.
@swedyjovano82754 жыл бұрын
AMEN.nimebarikiwa vya kutosha na neno hili.kweli limetoka kwa Mungu wa mbinguni kabisa. Ubarikiwe sana apostle kwa ujumbe mzuri namna hii.nipo CANADA QUÉBEC lakini nimejikuta nikiwa nanyi pamoja tanzania kwenye hilo ibada. Mungu awabariki sana.
@nurungole39613 жыл бұрын
Mtumishi nimekuelewa. Hakika lazima siku moja ndakaja hapo kanisani nikija Tanzania. Ubarikiwe Mtumishi. Mungu aendelee kukufunulia zaidi maono yasiyo na kipimo
@witnekidoti61603 жыл бұрын
Mungu akubariki apostle nimejifuza jambo kubwa sna.Ufalme wako uje na Mapenzi yako Mungu yatomizwe maishani mwangu
@pastorjanekanini6204 Жыл бұрын
Very powerful message from I receive this message in Jesus name amen
@alphonsinamrosso58224 жыл бұрын
Asante chief Apostle,, sjawah kukusikiliza nikatoka mtupu,,kila siku unanitoa ujinga na upumbavu, kwa mafundisho yako,,Mungu azid kukuinua,,kwa viwngo vingine,, weng unatuponya
@angellazaro11114 жыл бұрын
Ubalikiwe sanaa na mungu akubaliki
@emmasidi94462 жыл бұрын
Amen nimepata jibu ya kilio nilicho nacho ubarikiwe sana Apostle
@allymwashambwa5920 Жыл бұрын
Nakufuatilia sana mtalemwa , by the way I'm blessed alot with what you are preaching
@whitesolwa51334 жыл бұрын
Unajua kufundisha. Hadi raha barikiwa Sana mtumishi wa mungu
@rahabnkya82763 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu unanibariki kabisaaaaa ktk mafundisho na sijutii muda wa bando langu, video zako NASHARE wengine wapate madini uliyo nayo, namshangaa huyu Mungu muweza akuinue zaidi na zaidi. Karibu Arusha Jiji utuguse wengine huku tujitambue tunakokosea kuomba. Asante sana.
@sharonnasambu67533 жыл бұрын
Thank you man of God for this teaching know l know how to pray 🙏🙏🙏 connecting with this channel is a gift.
@yvonnemashuda30044 жыл бұрын
Powerful teachings...May The GRACE of GOD be upon me!!
@joynyassy9723 жыл бұрын
Indeed we r soo foolish have mercy on us God and give us the grace to seek God first and his righteousness and all these other things shall be added unto you.HAALLEELLUUJJAAHH!furaha yangu ni kuwa na Yesu, I beg no more I command,I'm in the kingdom of God oh! this' ideal very powerful
@mercylineinjoke96823 жыл бұрын
God bless you so much for your teachings apostle I have learnt a lot .
@minniehwanjiku58694 жыл бұрын
What a powerful message with deep teachings & revelation..more wisdom from above..be blessed Apostle Mtalemwa..long life..Shalom!!!!
@lovenessraphael75503 жыл бұрын
Mbona ootip
@lovenessraphael75503 жыл бұрын
Up
@leerimoy54774 жыл бұрын
Asanteeee APOSTLE MTALEMWA. Hakika Huu ni ufunuo Mkubwa mno. Binafsi nilikuwa Naomba Tu pasipo kujua Ufunuo Huu!
@joynyassy9723 жыл бұрын
Blessed be the name of the Lord for Apostle Mtalemwa Glory to God for this ministry I'm truly blessed this Monday morning.shalom
@musnaningalamonicah95143 жыл бұрын
Powerful teachings ....feeling blessed
@godianmande49204 жыл бұрын
I feel spiritual maturity just after this word of God from Chief Apostle, let his Kingdom come and his wishes be fulfilled in Jesus name....amen!!
@theresiaraymond53532 жыл бұрын
Kuanzia Leo ctaki maombi ya Julia ntaomba kufata kanuni Amen
@violetteredateresaviolet94684 жыл бұрын
More Grace Apostle,so shall I grow spiritual in Jesus name Amen
@bahatimohamedi17643 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu nabarikiwa sana ninapoangalia mahubil yako
@jacquelineelly66844 жыл бұрын
I hear you well well Chief Apostle... learnt 🙌🙌🙌
@doscarmassaba96934 жыл бұрын
Asante Apostle. Sasa ni mwendo wa Ufalme wa Mungu na Haki Yake... Mengine Tutazidishiwa. Nimekuelewa sana Apostle wangu.
@mwendadalus23294 жыл бұрын
Be blessed Man of God for wounderful revelation
@davidosiemo59203 жыл бұрын
I feel it this is the word of God,I love you pastor.
@trezynjeri82882 жыл бұрын
Pastor nakupenda tu bule hufanya nicheke sana
@justinenjau79364 жыл бұрын
Thank you chief for teachings
@deborahshepard67443 жыл бұрын
I agree with you entirely this is where the secret it. Thank you very much for that revelation. God bless you Sir.
@shivjisanatu10704 жыл бұрын
Thanks Apostle Mtalemwa..POWER
@jacquelinenyange55494 жыл бұрын
Thank you Apostle for teaching
@rimepeter7893 жыл бұрын
AMEN, wonderful messages to God be GLORY forever and ever. ❤🙏
@theresiastive32813 жыл бұрын
I connect and i Receive with my family in JESUS name AMEN
@deborahndosi91384 жыл бұрын
Amen amen Chief Apostle
@soipeiTanyasis9763 жыл бұрын
Amen powerful watching from kenya
@hildambaga6084 жыл бұрын
Hahahahahahaa dah apostle me sidhan Kama Kuna mtu atasahau mafundisho wako,
@jameskajenge3109 Жыл бұрын
Ameni Ameni Apostle
@farajamkuchu84584 жыл бұрын
Yaaani hua nakuelewa sana Apostle Mungu akubariki sana Baba nakuelewa mmmmnooooo
@japhetmkumbwa79144 жыл бұрын
Amina Chief wangu asante sana mtumish WA Mungu
@meshackmanofgod81513 жыл бұрын
Mimi pia mchungaji huwa nakuelewasanaaaa ubarikiwesa mtumishi wa MUNGU sijutiagi bandozangu
@peterjorrojick92004 жыл бұрын
Amen chief apostle well gotten
@joynyassy9723 жыл бұрын
Aha this' my aha moment last night ,today is Nov 9th last night I read mat.6 on seeking God first as I meditated on the verse I wondered how is to seek God first ahaaa nimepata jibu I've been out of the kingdom for a long time but NOT anymore thank you Jesus Christ for answering me.Amen
@fabiankilato66493 жыл бұрын
Wakati wa watanzania kufunguka umefika. Shusha Verse Chief! Wataamka tu.
@josephinapascal29944 жыл бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu nimejifunza kitu
@rahelchaula79904 жыл бұрын
Oooh yes! Ufalme wako mungu uje utawale maisha yangu
@janethcharles75943 жыл бұрын
Mtumishi Mungu azidi kukutunza unamafundisho mazuri sanaa
@upendomnyeke76773 жыл бұрын
Amen mtumishi
@neemamohamed9867 Жыл бұрын
Pastor nabarikiwa na mafundisho yako natamani kuwa mmoja wa waumini wako
@rahabnkya82763 жыл бұрын
FUATA Kanuni ndo UPATE! POWERFUL.
@anethbuhung75444 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki sana mtumishi
@victorymtweve16583 жыл бұрын
Asante Apostle nabadilisha uombaji wangu kuanzia sasa ubalikiwe sana
@amosgidion34303 жыл бұрын
Nisrme nini juu ya hayo,, Zaidi ya kuomba Rehema na toba kwa MUNGU,, ili niwe mtoto wa Ufalme wa MUNGU,,,,,, Maana nilahisi kujiona kuwa ni mtoto wa MUNGU kumbe MUNGU hakutambui hivyo Eee YESU tuhurumie, tusaidi sawa na Mapenzi yako Ee BWANA YESU AMINA AMINA AMINA
@yohanamwasambungu92337 ай бұрын
Wewe iyo sawa balikiwa sana safi safi safi sana
@rufinalucas-bv9ct Жыл бұрын
Asante sana ntumishi kwa neno lako🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 namini nimebarikiwa, mungu akushidishie nguvu za kinabi, ili kanisa lipo sehemu gani? nikija Dar es salam nataka nije, mimi nipo Moçambique Mueda.🙏
@evestaernest67393 жыл бұрын
Naangaliaga video za huyu mtumishi wa Mungu, Kanisa ili mmebarikiwa sana,, naomba Mumtumie vizuri hakika mtakuwa wa tofauti
@yunesnyabonyi17284 жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana
@shumachris29284 жыл бұрын
Apostle Leo nimepata kitu kipya kwenye mafundisho yako
@vickymahanga77343 жыл бұрын
Asante chief hii ndo cku niliempokea Yesu kuwa bwana na mwokoz wangu
@elizabethsolomon86204 жыл бұрын
Powerful message
@upendoibrahim50304 жыл бұрын
Nakushukuru sana Nabii ulie tumwa na Mungu,Makuombea kwa Mungu azidi kukupa Nguvu za kinabii zaidi🙏
@noelalexander17874 жыл бұрын
Asante Mtumish wa Mungu nimebarikiwa Sana na mafundisho mazuri.
@nuruabraham37695 ай бұрын
amina mtumishi! ubarikiwe sana
@gracekwila56744 жыл бұрын
Oooh kumbe natakiwa kutafuta kwanza ufalme wa mungu na haki yake mengine tutazidishiwa nimekuelewa sana apostle kupitia hili somo
@user-qv6tu5du9lАй бұрын
It's turuu chief nakuelewa mno
@Devothakimei4 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa neema hii ya kuwa chini ya Mtume mtalemwa na kulelewa kiroho. Hakika nakua
@mrsulrichmasawe19914 жыл бұрын
Thank you son of major 1 👏👏👏
@singifridrutatina83733 жыл бұрын
Thank you my Chief, may God bless you. Sikujua namna ya kuomba hivi thank you Jesus for Chief apostle Mtalemwa
@lucasharison24413 жыл бұрын
Neno la Mungu linasema jooni kwangu ninyi nyote mliuyo zidiwa na mizigo nami nitawapumzisheni haya nimafundisho ya kimwili umba chochote uwezavyo
@lucasharison24413 жыл бұрын
Mtumishi imeandikwa make mwema anatoka hivyo lazima mtu amwombe mumgu ampe mke mwena watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa
@jamelaega27793 жыл бұрын
Ameeeeeen pastor nabarikiwa sana na pia najifunza
@mariammwende27344 жыл бұрын
Amen kabisa nabii umesema kweli ASA mtumisha Wa Mungu
@melodyanne32494 жыл бұрын
wow Amen Amen Amen be blessed
@hildachuwalo38714 жыл бұрын
Amen sante kwa mafundisho papa
@fediliaulomi49693 жыл бұрын
Asante pasta leo umenikumbusha wajibu wangu ubarikiwe
@mercyshapili24174 жыл бұрын
Be blessed man of God
@florakalumbilo62063 жыл бұрын
Ameeen nimebarikiwa sana nimejifunza kitu muhimu sana maishani mwangu
@alfredjoshua86254 жыл бұрын
ni kweli kabisa tunapaswa kukua kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine kiroho na hata kimaisha ya kawaida.
@scolasticapetro85774 жыл бұрын
Asante kwa ibada zuli sana ubarkiwe
@nurungole39613 жыл бұрын
Nimeona. Mungu akinivusha zaidi kwa kupitia maneno yake yaliotumiwa na Mtumishi
@GabsonCharles-od8cj5 ай бұрын
Amina mtumishi nelielewa kabisa lakini suluwali kwa mwanamke akiivaa anakuwa yupo nje ya ufarume maana naona wamevaa sana
@nelibaba4 жыл бұрын
Hello...thank you very much..
@simonmtawa20504 жыл бұрын
Ujumbe huu ni mzito sana, Mungu tusaidie tuutafute kwanza ufalme wa Mungu katika maisha yetu.
@lilyaline56714 жыл бұрын
Unaongeya kizungu saana kaka
@careenallyally36682 жыл бұрын
Ooh😢 asante baba
@nurungole39613 жыл бұрын
Ameni. Mtumishi ubarikiwe
@victoriousblessedmom43433 жыл бұрын
Amen and Amen Hallelujah Glory be to God
@user-wy4yn2xi3nАй бұрын
Ameni Mungu azidi kukuinua nafarijika.
@japhetjames81853 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtalemwa
@loyceisack17814 жыл бұрын
Mtalemwa bigup to u
@ziadaabdalah77064 жыл бұрын
Asante baba nimeelewa somo Hili
@gracekwila56744 жыл бұрын
Kila nikiangalia hizi jumbe zako huwa napata kitu kimpya....nimejifunza kitu kikubwa Sana Haleluya
@annahayasanday71743 жыл бұрын
Amen napokea
@afrankayamba86454 жыл бұрын
My chief 🙏🙏🙏
@davidosiemo59203 жыл бұрын
I receive in the name of Jesus
@MrKirumbuyo3 жыл бұрын
Kuna umuhimu wa kufanya mambo mawili kuhusu Mahubiri: 1. Be careful when paraphrasing/quoting scripture 2. Align logic kwenye content 3. Be careful with context 4. Question what is on plain sight Maana ni kwa namna hiyo ndio tutaweza kuifikisha injili isiyogoshiwa kwa watu wa Mungu. Muwe na wakati mwema watu wa Mungu
@neematesha19914 жыл бұрын
Pia nauliza faya anointing oil naipata wapi
@tinakabyemela97884 жыл бұрын
Sema mtumishi tupone
@estherwambuies17824 жыл бұрын
Hallelujah 🙏🙏
@careenallyally36682 жыл бұрын
Asante Yesu
@mlb-mylifeinbangalore92464 жыл бұрын
I’m blessed 🙏🏾
@ellymusa55984 жыл бұрын
God bless you Man of God , I receive in the name of Jesus