Uleaji Wa Vifaranga Siku ya 1 - 7, Hatua kwa Hatua. Hatua zote Muhimu Kuzifahamu.

  Рет қаралды 112,026

Kuku Village

Kuku Village

4 жыл бұрын

#mbinu #kuku #vifaranga

Пікірлер: 244
@lukmanbakari2318
@lukmanbakari2318 4 жыл бұрын
Kuku village is the best KZfaq poultry farming!!!
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Thank you very much. We asure you to walk on your talk.
@praxedashayo5400
@praxedashayo5400 4 жыл бұрын
Kuku Village niunganishe wasap 0786569365
@lucyshauritanga5640
@lucyshauritanga5640 7 ай бұрын
@@KukuVillagemko wapi
@lucyshauritanga5640
@lucyshauritanga5640 7 ай бұрын
Napenda kujua mko maeneo gani Sijawahi kufuga natamani Nitapate vifaranga wa nyama
@KukuVillage
@KukuVillage 7 ай бұрын
Tupigie au wasiliana nasi kwa WhatsApp 0621063255
@cleverkifaluka4337
@cleverkifaluka4337 2 жыл бұрын
Nimepata elimu yakutosha kuku village ni zaidi ya chuo kikuu. Bravooooo
@KakoziAsumani
@KakoziAsumani 9 күн бұрын
Nimeelewa sasa hongera kwa maelezo yenu
@KukuVillage
@KukuVillage 7 күн бұрын
Asante ndugu
@CharlesMulaki-j8h
@CharlesMulaki-j8h 5 күн бұрын
Ahsante kaka
@KukuVillage
@KukuVillage 5 күн бұрын
Karibu
@alphoncemichael5798
@alphoncemichael5798 3 жыл бұрын
Naomba kuunhanishwa kwenye group lenu la wasapu la ufugaji
@angerabanzi3299
@angerabanzi3299 2 жыл бұрын
Amina UBARIKIWE KWA HUDUMA ASANTE SANA
@gracemgaya1295
@gracemgaya1295 2 жыл бұрын
Nashukuru Sana kwa mafunzo mnayotupa, Ila nataka kuuliza sababu za kukata vifaranga manyoa, nimeona yakikatwa, Kuna faida gani, na Kama kuna sababu wanakatwa wakiwa na umri gani, Asante sana nitashukuru kupata majibu
@rencerono5215
@rencerono5215 2 жыл бұрын
Thanz for the info,i ave learned something,thank you
@siwemangalunda4655
@siwemangalunda4655 Ай бұрын
Napenda kujifunza
@KukuVillage
@KukuVillage Ай бұрын
Ok. Karibu sana
@sharonchelangat5796
@sharonchelangat5796 2 ай бұрын
Great kuku village Av really learnt alot
@upendohenry8898
@upendohenry8898 2 жыл бұрын
Nimeipenda safi sana
@mechtildabyambwenu3337
@mechtildabyambwenu3337 2 жыл бұрын
Naqashukuru sana kwa ushauri. Mmenifaa sana
@jaspermgonja1466
@jaspermgonja1466 Жыл бұрын
Nko vizuri
@sylvestershija1891
@sylvestershija1891 2 жыл бұрын
Great
@siwemangalunda4655
@siwemangalunda4655 Ай бұрын
Napendakjjifu za
@dony6568
@dony6568 Жыл бұрын
Good farming
@raphaeluhuru8948
@raphaeluhuru8948 3 жыл бұрын
Raphael from Kenya 🙋
@marcocharles1360
@marcocharles1360 3 жыл бұрын
Nice
@dorothymbithe2114
@dorothymbithe2114 4 жыл бұрын
Nice training
@kibetvincent4532
@kibetvincent4532 Жыл бұрын
Naomba mniweke group yenyu
@ericosoro7617
@ericosoro7617 4 жыл бұрын
Hii nyumba ya vifaranga inafaa kua nyumba aina gani??
@elibarikishukya-lf3sk
@elibarikishukya-lf3sk 2 ай бұрын
Best
@ayaanisaaqosman7784
@ayaanisaaqosman7784 Жыл бұрын
Guud
@nyaganyie.finias2152
@nyaganyie.finias2152 Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri, je chanjo ya Marex wanaipata wapi? Au naipata dukani?
@brightonndesario2229
@brightonndesario2229 2 жыл бұрын
Yap,,
@harunkituri5911
@harunkituri5911 Ай бұрын
Nimeridhika.
@hamidumussa6612
@hamidumussa6612 3 жыл бұрын
Naomba kuuliza vitamini ya kuku na grucos unaweza kuwapa kwa wakati mmoja au kuchanganya pamoja ili kuwapa?
@KukuVillage
@KukuVillage 3 жыл бұрын
Changanya
@hasinarashid4517
@hasinarashid4517 3 жыл бұрын
Namba za mawasiliano?
@willingtonejohn1929
@willingtonejohn1929 4 жыл бұрын
Safi Sana nilikata tamaa ya kufuga kutokana changamoto ya kulea vifaranga
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Usikate tamaa. Kuku village tupo kwaajili yako
@mchmwal...z.a.ndelwa7838
@mchmwal...z.a.ndelwa7838 4 жыл бұрын
Mpo vizur
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Asante sana
@wabudimercy6382
@wabudimercy6382 4 жыл бұрын
Is new castle a vaccine or it's for putting in the eyes?
@thabitamageme7146
@thabitamageme7146 2 жыл бұрын
Kuku wazuri sana
@saidhamisi2795
@saidhamisi2795 4 жыл бұрын
Asnte sana
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Karibu
@UpendoLema-jc5dh
@UpendoLema-jc5dh Ай бұрын
Upendo lema hayo mafuta y yote kama dawa yanapatikana kwenye maduka gani
@KukuVillage
@KukuVillage Ай бұрын
Kilimo na mifugo liquid parafin, dawa muhimu - mafuta ya Samaki
@ludoviclymo2044
@ludoviclymo2044 2 ай бұрын
Nimekuelewa
@delymeela1595
@delymeela1595 2 жыл бұрын
Nataka vifaranga mnapatikana mkoa gani?
@abdul-azeez6340
@abdul-azeez6340 4 жыл бұрын
Mbona mm nimesubscribe lakn sipati taarifa ya vipindi vyako? Kama hapa nimekuja baada yakutumwa kwa video kwenye group
@momumofarms
@momumofarms 4 жыл бұрын
Asante sana, umeeleweka kiongozi, na ni kweli Kuku village ni zaidi ya shule
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Tunashukuru boss
@momumofarms
@momumofarms 4 жыл бұрын
@@KukuVillage asante nadhani nitahitaji niwatafute Kuku village naweza kupata mawasiliano yenu?
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Bonyeza link hapa chini chat.whatsapp.com/DJcFvuv9cd05y59tf5Ab93
@azizaabeid2055
@azizaabeid2055 8 ай бұрын
Kuku haoshin,gapi
@zubedadahalgould8809
@zubedadahalgould8809 4 жыл бұрын
Ninahitaji vyungu vya kuwekeya makaa ili niwawekee vifaranga
@mohdkassim6903
@mohdkassim6903 4 жыл бұрын
Nahitaji hyo variety ya kuku mabuga jee mnao?? Na mnauzaje?
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Sijaelewa fafanua
@iddyomary6152
@iddyomary6152 2 ай бұрын
Nimeipendq Sana kwani nahitaji kuwa mfugaji.
@KukuVillage
@KukuVillage Ай бұрын
Karibu sana boss
@issamnadamnada5502
@issamnadamnada5502 2 жыл бұрын
Unazungumza vizuri Ila kunamswali nataka kuuliza
@sikujuwabackari3554
@sikujuwabackari3554 Жыл бұрын
mwalimu apa kwenye banda hili akunaga panya na kama wapo si wanaweza zuru vifaranga ?
@KukuVillage
@KukuVillage Жыл бұрын
Kama unasumbuliwa na panya fuga paka
@SophiaOmary-bg4nl
@SophiaOmary-bg4nl Жыл бұрын
Naomba kujua bei ya vifalanga
@MusaKiuta
@MusaKiuta Ай бұрын
Abaliyali ya kazi nilifanya ivyo ila nilishindwa vifalanga vilidumaa nakufa na taa yajoto ikawa inaungua kilasiku nipe ushauli
@user-im9ew6pw8e
@user-im9ew6pw8e 5 ай бұрын
Naomba mniunganishe na mm kwenye group
@gloriasowo3127
@gloriasowo3127 2 жыл бұрын
Asante kwa kutuelimisha. Naomba kuuliza kwa vifaranga vya kienyeji. Baada ya kuwatoa kwa mama yao siku ya tatu, chanjo ya kwanza nitawapa siku ya ngapi? Asante
@KukuVillage
@KukuVillage 2 жыл бұрын
Siku utakayo watoa ndo itahesabika kama siku ya kwanza. Chanjo utawapa siku ya 7
@abdallasalim324
@abdallasalim324 4 жыл бұрын
Asante ndg kw kuteilimisha, swali langu, ? Je hyo magazeti yalitandikwa kw vifaranga, mwisho wa kutowawekea tena hyo magazeti ni baada ya kutimiza cku ngapi
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Wiki 2 , unaweza kuanza kuweka maranda au matandazo mengine
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
@mohaisha
@mohaisha 3 жыл бұрын
@@KukuVillage mbona najiunga inasema only admin wanaweza kutuma msg
@rossamengo7211
@rossamengo7211 4 жыл бұрын
Mko na group la whatsap muniunge nijifundishe mengi,sababu mimi nimgeni kwa hii channel na nimewapenda sana kwa elmu yenu
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Jiunge hapa chat.whatsapp.com/DJcFvuv9cd05y59tf5Ab93
@mohaisha
@mohaisha 3 жыл бұрын
Nimejaribu kujiunga inasema provoked
@habibuzuberi8256
@habibuzuberi8256 3 жыл бұрын
Naomba kuungwa kwenye group ufugaji
@suzananyaruba84
@suzananyaruba84 3 жыл бұрын
Mafuta hayo yanapatikana WP?
@ndekusaramakishe8494
@ndekusaramakishe8494 2 жыл бұрын
Asante kwa simo zuri. Hiyo chanjo ya kwanza wanakua wamepata lini?
@KukuVillage
@KukuVillage 2 жыл бұрын
Shambani siku ya kwanza kabla ya kukufikia
@magrethshuma9660
@magrethshuma9660 4 жыл бұрын
samahani naomba kuuliza uleaji huu wa vifaranga kuanzia siku ya 1 mpk siku 7 ni wa kienyeji tu au hata hawa wa kisasa? namaanisha broiler
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Vifaranga wote. Inafaa sana
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Vifaranga wote. Inafaa sana
@deuselias9220
@deuselias9220 3 жыл бұрын
Ninaomba Marelekezo, jinsi ya kuwe joto kwenye vifaranga je kuna aina za Taa?zinazo tumia umeme?
@KukuVillage
@KukuVillage 3 жыл бұрын
Zipo
@japhetkatulebe9729
@japhetkatulebe9729 2 жыл бұрын
Vifaranga kuku Wa kienyeji unapowatenga na mama yao nao wanahitaji kuwekewa taa
@kawelesiakisanga6670
@kawelesiakisanga6670 2 ай бұрын
Vyombo vya kujitengenezea kulishia kuku wa kienyeji chakula ni vipi
@mgoloziamoss6495
@mgoloziamoss6495 2 жыл бұрын
Naomba elimu zaidi
@KukuVillage
@KukuVillage 2 жыл бұрын
Jiunge na darasa...
@lucythoya8626
@lucythoya8626 3 жыл бұрын
naomba uunganishwa kwenye group la watsap
@mwemaali1076
@mwemaali1076 3 жыл бұрын
Je unaweza kunitembelea ktk banda langu?
@KukuVillage
@KukuVillage 3 жыл бұрын
Unapatikana wapi
@maryamhamad9149
@maryamhamad9149 2 жыл бұрын
viafaranga kuwekewa magazeti haithari endapo akinya na kinyesi kikaliwa na kuku wenziwe?
@KukuVillage
@KukuVillage 2 жыл бұрын
Kuna dawa za kuwaanzishia
@alhudayachannel6197
@alhudayachannel6197 4 жыл бұрын
naomba kuuliza iyo chanjo ya kwanza unasema inaitwa marex wanapewa iyo chanjo kwa mda gan baada ya kuanza kuwalea hao vifaranga tangu cku ya mwanzo.
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Hupewa siku ya kwanza. Wanapo totolewa
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
@estherakabwai2350
@estherakabwai2350 3 жыл бұрын
Asante sana kwa mafunzo, Mimi Niko Uganda nitatumaje pesa ili niunge what's up.?
@KukuVillage
@KukuVillage 3 жыл бұрын
Tumia kutuma pesa nje ya nchi
@jamesnibaruta2886
@jamesnibaruta2886 4 жыл бұрын
niko burundi nakusikia miakwamia asante kaka
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Karibu sana. Na nafurahi kupata watazamaji toka burundi.
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
@user-sx4dd7xv3f
@user-sx4dd7xv3f 5 ай бұрын
Kifaranga Cha siku 2 unaweza kuwapa OTC ya mg 30?
@KukuVillage
@KukuVillage 5 ай бұрын
Tumia 10%
@yussufhajji8941
@yussufhajji8941 4 жыл бұрын
Tunahitaji group LA WhatsApp LA kuku village
@merybananga4236
@merybananga4236 12 күн бұрын
Chakula kizuri cha kuwapa vifaranga vya kuanzia siku ya tatu hadi saba ni chakula gani naomba kufahamu?
@KukuVillage
@KukuVillage 12 күн бұрын
Broiler starter crumble
@hildajoseph2837
@hildajoseph2837 5 ай бұрын
Naomba mniunge kwa group wasp
@carolinetev2631
@carolinetev2631 4 жыл бұрын
Boss yangu naomba msaada vifaranga wangu ameanza vidonda kwa kichwa ana mdomo
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Nitafute hapa chat.whatsapp.com/CJBj5U99JvLByXiDAOJNAr
@ramadhangwago5680
@ramadhangwago5680 3 ай бұрын
Niunge whasap group .
@KukuVillage
@KukuVillage 3 ай бұрын
chat.whatsapp.com/BD4HjujlEYQHDSXBZ3h4wo
@ulrickkavunjika6382
@ulrickkavunjika6382 3 жыл бұрын
Kaka zipi Changa moto zinazo sababisha vifaranga kufa
@modestadenis3662
@modestadenis3662 3 жыл бұрын
Naomba no y'a mawasiliano
@KukuVillage
@KukuVillage 3 жыл бұрын
0621063255
@saumumahanyu7332
@saumumahanyu7332 4 жыл бұрын
Nimependa mafundisho yenu, Mbeya mnapatikana sehemu gani??
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Hatuko mbeya. Ila kwa siku zijazo tutaweka tawi huko.
@juliethsandi532
@juliethsandi532 4 жыл бұрын
naomba namba ya whats up ya group ya kuku village
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
@beatricenabangala5246
@beatricenabangala5246 4 жыл бұрын
Hata Kama sijaanza kufuga kweli umenichochea hata moyo umefunguka .naamimi nitaweza kufanya ufugaji huu.Mola nijalie.
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Utaweza Cha muhimu ni kufuatilia tu.
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
@robingozbert3838
@robingozbert3838 4 жыл бұрын
Asante naendelea kujifunza mnapatikana wapi
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Tupigie kwa namba zetu
@user-eo9rl7jw8p
@user-eo9rl7jw8p 2 ай бұрын
Naomba mniunge kweny wasp
@ayubumerciory3725
@ayubumerciory3725 4 жыл бұрын
Habari naitaji kuku ao wenye manyoya miguuni au mayayi yao nokatotoleshe
@teddymathew4916
@teddymathew4916 2 ай бұрын
Naomba kuunganishwa Kwa group lenu la watsap
@KukuVillage
@KukuVillage 2 ай бұрын
Tuma ujumbe whatsapp 0621063255
@rosekishinhi8246
@rosekishinhi8246 Ай бұрын
Naomba kuungwa kwenye group la whatapp
@KukuVillage
@KukuVillage Ай бұрын
@rosekishinhi8246 0621063255
@PriscaJoseph-dp6pt
@PriscaJoseph-dp6pt 9 ай бұрын
Mm nime Toto lesha lakini nimem nyanganya mama nikawapa glucosi sikuu tano lakini wanapata vipele shingoni kwasababu gani
@KukuVillage
@KukuVillage 9 ай бұрын
Wana umri gani?
@elizabethcharles994
@elizabethcharles994 Жыл бұрын
Niunge kwenye group
@khalfanallbusaid2035
@khalfanallbusaid2035 3 жыл бұрын
nimependa na mm nahitaji kupata elimu zaid maana nataka kuanza hi biashasha ya kuku ila kwa sasa nipo nje ya nchi yani dubai na nahitaji kufanya mradi huu wa kuku zanzibar na tayri nimesha tafuta eneo zuri la kufanya mradi hu ila siwezi kufanya bila ya kupata elimu ila nimeona kwako ninaweza kupata elimu na kufanikisha ndoto zangu kama itawezekana kupata mawasiliano yako itakua vizuri sana itakua vizuri sana
@KukuVillage
@KukuVillage 3 жыл бұрын
TUpigie
@khalfanallbusaid2035
@khalfanallbusaid2035 3 жыл бұрын
Sina number yenu
@martialmtata8952
@martialmtata8952 4 жыл бұрын
Samahan nilikua naomba namba yako ya simu au email yako
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
@meynamaulid910
@meynamaulid910 2 жыл бұрын
Nanijivania channel ya Kuku vileg
@KukuVillage
@KukuVillage 2 жыл бұрын
Dah... asante sana kwa ujumbe wako
@user-yd4md4cw7q
@user-yd4md4cw7q 5 ай бұрын
Nimependezwa na elimu hii.
@saadasimba267
@saadasimba267 3 жыл бұрын
Mzima mimi nataka vifaranga wa kienyeji 50 niko dodoma kama nikiwapata tarehe 21 itakuwa poa ya mwezi huu
@KukuVillage
@KukuVillage 3 жыл бұрын
Tupigie 0744674406
@shabirvirji1210
@shabirvirji1210 3 жыл бұрын
Kuku village kipo sehemu gani nataka kuwatembelea
@issamnadamnada5502
@issamnadamnada5502 2 жыл бұрын
Naomba namba ya simu kwa maswali binafsi kuhusu kuku
@KukuVillage
@KukuVillage 2 жыл бұрын
0621063255
@zurapetro525
@zurapetro525 4 жыл бұрын
nachanganyikiwa nikisikia kuku anakitovu naomba nijui kama wanavyo kweli basi mwilini mwao inakaa sehemu gani
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Chini ya sehemu ya haja
@habibuzuberi8256
@habibuzuberi8256 3 жыл бұрын
@@KukuVillage Niunge kwenye lako la WhatsApp
@wonderkid_tz
@wonderkid_tz 4 жыл бұрын
Naomba mtume video ya jinsi ya kuandaa na kuchanja mareks
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Ok tutalifanyia kazi
@wonderkid_tz
@wonderkid_tz 4 жыл бұрын
@@KukuVillage Ntashukuru sana sana
@prosperkiluwa8184
@prosperkiluwa8184 2 жыл бұрын
Wawezeshaji naomba utueleze kwa watu wenye ulemavu na wanaotumia wheelchair watafugaje maana miguu yetu ni wheelchair. Mabanda inakuwaje
@hollojumannemlimi4496
@hollojumannemlimi4496 2 жыл бұрын
Kuku mwenyew wiki nane anapaswa Kinga tena? Kuku village nisaidie
@KukuVillage
@KukuVillage 2 жыл бұрын
Kama umemaliza kinga za awali. Ni mpaka baada ya miezi mitatu.
@johannesishengoma1232
@johannesishengoma1232 2 жыл бұрын
Nice training but you are too descriptive in the introductory part. You need go straight to the point
@augustinomrema1812
@augustinomrema1812 3 жыл бұрын
Niko arusha napenda sana kufuga ila changamoto ni kule vifaranga
@KukuVillage
@KukuVillage 3 жыл бұрын
Fuatilia vipindi vyetu hasa katika mada za uleaji wa Vifaranga . Utapata suluhisho
@hellenmgungus2935
@hellenmgungus2935 4 жыл бұрын
Naomba kama itafaa ufungue group la ufugaji
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Yapo
@hellenmgungus2935
@hellenmgungus2935 4 жыл бұрын
@@KukuVillage naomba uniunge 0786201086
@mugaramafuru4277
@mugaramafuru4277 2 жыл бұрын
Kuweka maelekezo yatoleyo Katika vitendo ni njia ya mafanikio.
@saidihamisi9146
@saidihamisi9146 11 ай бұрын
Naomba namba zenu
@KukuVillage
@KukuVillage 11 ай бұрын
0621063255
@user-tv2qc8bc9n
@user-tv2qc8bc9n Ай бұрын
Mmenifungua macho nitaendelea kufuata maelezo yenu
@amuryhaji561
@amuryhaji561 3 жыл бұрын
Nmawasliano ili nifike mlipo na nipate darasa na vifaranga
@halimaruwa199
@halimaruwa199 4 жыл бұрын
Hi, ningependa nijoin hizo groups
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Tutumie sms ya WhatsApp 0621063255
@nururamadhani2105
@nururamadhani2105 3 жыл бұрын
@@KukuVillage niunge WhatsApp 0769832950
@brightonngerere5588
@brightonngerere5588 2 жыл бұрын
Mataka niungwe kwenye grup
@KukuVillage
@KukuVillage 2 жыл бұрын
Tupigie 0621063255
@jumamalale4006
@jumamalale4006 4 жыл бұрын
Uko vzul kaka zidi kutu elimisha Niko nkinga tabola
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Asante sana
@gervasnashon8887
@gervasnashon8887 4 жыл бұрын
Naomba no ya watsap
@KukuVillage
@KukuVillage 4 жыл бұрын
Wasiliana nasi kupitia hapa chat.whatsapp.com/CJBj5U99JvLByXiDAOJNAr
NJIA RAHISI YA KUPATA VIFARANGA WENGI WA KIENYEJI KWA MUDA MFUPI
13:24
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 42 МЛН
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН
Jinsi ya Kumsaidia kifaranga Aliye hatarini kufa  - Asife.
9:10
Kuku Village
Рет қаралды 47 М.
IJUE CHANJO YA TATU MOJA
11:38
farmers centre
Рет қаралды 10 М.
ULEAJI WA VIFARANGA WA KIENYEJI KWA NJIA YA KISASA
10:27
Changamkia Fursa
Рет қаралды 291 М.
Bajeti ya kuku wa mayai 100 | Layers 100
8:57
Layers Pro
Рет қаралды 23 М.
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 42 МЛН