Thank you very much. We asure you to walk on your talk.
@praxedashayo54004 жыл бұрын
Kuku Village niunganishe wasap 0786569365
@lucyshauritanga56407 ай бұрын
@@KukuVillagemko wapi
@lucyshauritanga56407 ай бұрын
Napenda kujua mko maeneo gani Sijawahi kufuga natamani Nitapate vifaranga wa nyama
@KukuVillage7 ай бұрын
Tupigie au wasiliana nasi kwa WhatsApp 0621063255
@cleverkifaluka43372 жыл бұрын
Nimepata elimu yakutosha kuku village ni zaidi ya chuo kikuu. Bravooooo
@KakoziAsumani9 күн бұрын
Nimeelewa sasa hongera kwa maelezo yenu
@KukuVillage7 күн бұрын
Asante ndugu
@CharlesMulaki-j8h5 күн бұрын
Ahsante kaka
@KukuVillage5 күн бұрын
Karibu
@alphoncemichael57983 жыл бұрын
Naomba kuunhanishwa kwenye group lenu la wasapu la ufugaji
@angerabanzi32992 жыл бұрын
Amina UBARIKIWE KWA HUDUMA ASANTE SANA
@gracemgaya12952 жыл бұрын
Nashukuru Sana kwa mafunzo mnayotupa, Ila nataka kuuliza sababu za kukata vifaranga manyoa, nimeona yakikatwa, Kuna faida gani, na Kama kuna sababu wanakatwa wakiwa na umri gani, Asante sana nitashukuru kupata majibu
@rencerono52152 жыл бұрын
Thanz for the info,i ave learned something,thank you
@siwemangalunda4655Ай бұрын
Napenda kujifunza
@KukuVillageАй бұрын
Ok. Karibu sana
@sharonchelangat57962 ай бұрын
Great kuku village Av really learnt alot
@upendohenry88982 жыл бұрын
Nimeipenda safi sana
@mechtildabyambwenu33372 жыл бұрын
Naqashukuru sana kwa ushauri. Mmenifaa sana
@jaspermgonja1466 Жыл бұрын
Nko vizuri
@sylvestershija18912 жыл бұрын
Great
@siwemangalunda4655Ай бұрын
Napendakjjifu za
@dony6568 Жыл бұрын
Good farming
@raphaeluhuru89483 жыл бұрын
Raphael from Kenya 🙋
@marcocharles13603 жыл бұрын
Nice
@dorothymbithe21144 жыл бұрын
Nice training
@kibetvincent4532 Жыл бұрын
Naomba mniweke group yenyu
@ericosoro76174 жыл бұрын
Hii nyumba ya vifaranga inafaa kua nyumba aina gani??
@elibarikishukya-lf3sk2 ай бұрын
Best
@ayaanisaaqosman7784 Жыл бұрын
Guud
@nyaganyie.finias2152 Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri, je chanjo ya Marex wanaipata wapi? Au naipata dukani?
@brightonndesario22292 жыл бұрын
Yap,,
@harunkituri5911Ай бұрын
Nimeridhika.
@hamidumussa66123 жыл бұрын
Naomba kuuliza vitamini ya kuku na grucos unaweza kuwapa kwa wakati mmoja au kuchanganya pamoja ili kuwapa?
@KukuVillage3 жыл бұрын
Changanya
@hasinarashid45173 жыл бұрын
Namba za mawasiliano?
@willingtonejohn19294 жыл бұрын
Safi Sana nilikata tamaa ya kufuga kutokana changamoto ya kulea vifaranga
@KukuVillage4 жыл бұрын
Usikate tamaa. Kuku village tupo kwaajili yako
@mchmwal...z.a.ndelwa78384 жыл бұрын
Mpo vizur
@KukuVillage4 жыл бұрын
Asante sana
@wabudimercy63824 жыл бұрын
Is new castle a vaccine or it's for putting in the eyes?
@thabitamageme71462 жыл бұрын
Kuku wazuri sana
@saidhamisi27954 жыл бұрын
Asnte sana
@KukuVillage4 жыл бұрын
Karibu
@UpendoLema-jc5dhАй бұрын
Upendo lema hayo mafuta y yote kama dawa yanapatikana kwenye maduka gani
@KukuVillageАй бұрын
Kilimo na mifugo liquid parafin, dawa muhimu - mafuta ya Samaki
@ludoviclymo20442 ай бұрын
Nimekuelewa
@delymeela15952 жыл бұрын
Nataka vifaranga mnapatikana mkoa gani?
@abdul-azeez63404 жыл бұрын
Mbona mm nimesubscribe lakn sipati taarifa ya vipindi vyako? Kama hapa nimekuja baada yakutumwa kwa video kwenye group
@momumofarms4 жыл бұрын
Asante sana, umeeleweka kiongozi, na ni kweli Kuku village ni zaidi ya shule
@KukuVillage4 жыл бұрын
Tunashukuru boss
@momumofarms4 жыл бұрын
@@KukuVillage asante nadhani nitahitaji niwatafute Kuku village naweza kupata mawasiliano yenu?
@KukuVillage4 жыл бұрын
Bonyeza link hapa chini chat.whatsapp.com/DJcFvuv9cd05y59tf5Ab93
@azizaabeid20558 ай бұрын
Kuku haoshin,gapi
@zubedadahalgould88094 жыл бұрын
Ninahitaji vyungu vya kuwekeya makaa ili niwawekee vifaranga
@mohdkassim69034 жыл бұрын
Nahitaji hyo variety ya kuku mabuga jee mnao?? Na mnauzaje?
@KukuVillage4 жыл бұрын
Sijaelewa fafanua
@iddyomary61522 ай бұрын
Nimeipendq Sana kwani nahitaji kuwa mfugaji.
@KukuVillageАй бұрын
Karibu sana boss
@issamnadamnada55022 жыл бұрын
Unazungumza vizuri Ila kunamswali nataka kuuliza
@sikujuwabackari3554 Жыл бұрын
mwalimu apa kwenye banda hili akunaga panya na kama wapo si wanaweza zuru vifaranga ?
@KukuVillage Жыл бұрын
Kama unasumbuliwa na panya fuga paka
@SophiaOmary-bg4nl Жыл бұрын
Naomba kujua bei ya vifalanga
@MusaKiutaАй бұрын
Abaliyali ya kazi nilifanya ivyo ila nilishindwa vifalanga vilidumaa nakufa na taa yajoto ikawa inaungua kilasiku nipe ushauli
@user-im9ew6pw8e5 ай бұрын
Naomba mniunganishe na mm kwenye group
@gloriasowo31272 жыл бұрын
Asante kwa kutuelimisha. Naomba kuuliza kwa vifaranga vya kienyeji. Baada ya kuwatoa kwa mama yao siku ya tatu, chanjo ya kwanza nitawapa siku ya ngapi? Asante
@KukuVillage2 жыл бұрын
Siku utakayo watoa ndo itahesabika kama siku ya kwanza. Chanjo utawapa siku ya 7
@abdallasalim3244 жыл бұрын
Asante ndg kw kuteilimisha, swali langu, ? Je hyo magazeti yalitandikwa kw vifaranga, mwisho wa kutowawekea tena hyo magazeti ni baada ya kutimiza cku ngapi
@KukuVillage4 жыл бұрын
Wiki 2 , unaweza kuanza kuweka maranda au matandazo mengine
@KukuVillage4 жыл бұрын
Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
@mohaisha3 жыл бұрын
@@KukuVillage mbona najiunga inasema only admin wanaweza kutuma msg
@rossamengo72114 жыл бұрын
Mko na group la whatsap muniunge nijifundishe mengi,sababu mimi nimgeni kwa hii channel na nimewapenda sana kwa elmu yenu
Nimependa mafundisho yenu, Mbeya mnapatikana sehemu gani??
@KukuVillage4 жыл бұрын
Hatuko mbeya. Ila kwa siku zijazo tutaweka tawi huko.
@juliethsandi5324 жыл бұрын
naomba namba ya whats up ya group ya kuku village
@KukuVillage4 жыл бұрын
chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
@beatricenabangala52464 жыл бұрын
Hata Kama sijaanza kufuga kweli umenichochea hata moyo umefunguka .naamimi nitaweza kufanya ufugaji huu.Mola nijalie.
@KukuVillage4 жыл бұрын
Utaweza Cha muhimu ni kufuatilia tu.
@KukuVillage4 жыл бұрын
chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
@robingozbert38384 жыл бұрын
Asante naendelea kujifunza mnapatikana wapi
@KukuVillage4 жыл бұрын
Tupigie kwa namba zetu
@user-eo9rl7jw8p2 ай бұрын
Naomba mniunge kweny wasp
@ayubumerciory37254 жыл бұрын
Habari naitaji kuku ao wenye manyoya miguuni au mayayi yao nokatotoleshe
@teddymathew49162 ай бұрын
Naomba kuunganishwa Kwa group lenu la watsap
@KukuVillage2 ай бұрын
Tuma ujumbe whatsapp 0621063255
@rosekishinhi8246Ай бұрын
Naomba kuungwa kwenye group la whatapp
@KukuVillageАй бұрын
@rosekishinhi8246 0621063255
@PriscaJoseph-dp6pt9 ай бұрын
Mm nime Toto lesha lakini nimem nyanganya mama nikawapa glucosi sikuu tano lakini wanapata vipele shingoni kwasababu gani
@KukuVillage9 ай бұрын
Wana umri gani?
@elizabethcharles994 Жыл бұрын
Niunge kwenye group
@khalfanallbusaid20353 жыл бұрын
nimependa na mm nahitaji kupata elimu zaid maana nataka kuanza hi biashasha ya kuku ila kwa sasa nipo nje ya nchi yani dubai na nahitaji kufanya mradi huu wa kuku zanzibar na tayri nimesha tafuta eneo zuri la kufanya mradi hu ila siwezi kufanya bila ya kupata elimu ila nimeona kwako ninaweza kupata elimu na kufanikisha ndoto zangu kama itawezekana kupata mawasiliano yako itakua vizuri sana itakua vizuri sana
@KukuVillage3 жыл бұрын
TUpigie
@khalfanallbusaid20353 жыл бұрын
Sina number yenu
@martialmtata89524 жыл бұрын
Samahan nilikua naomba namba yako ya simu au email yako
@KukuVillage4 жыл бұрын
Jiunge hapa kwa maelekezo zaidi chat.whatsapp.com/F0jkcJ6LVkwD1k9DMb1lwp
@meynamaulid9102 жыл бұрын
Nanijivania channel ya Kuku vileg
@KukuVillage2 жыл бұрын
Dah... asante sana kwa ujumbe wako
@user-yd4md4cw7q5 ай бұрын
Nimependezwa na elimu hii.
@saadasimba2673 жыл бұрын
Mzima mimi nataka vifaranga wa kienyeji 50 niko dodoma kama nikiwapata tarehe 21 itakuwa poa ya mwezi huu
@KukuVillage3 жыл бұрын
Tupigie 0744674406
@shabirvirji12103 жыл бұрын
Kuku village kipo sehemu gani nataka kuwatembelea
@issamnadamnada55022 жыл бұрын
Naomba namba ya simu kwa maswali binafsi kuhusu kuku
@KukuVillage2 жыл бұрын
0621063255
@zurapetro5254 жыл бұрын
nachanganyikiwa nikisikia kuku anakitovu naomba nijui kama wanavyo kweli basi mwilini mwao inakaa sehemu gani
@KukuVillage4 жыл бұрын
Chini ya sehemu ya haja
@habibuzuberi82563 жыл бұрын
@@KukuVillage Niunge kwenye lako la WhatsApp
@wonderkid_tz4 жыл бұрын
Naomba mtume video ya jinsi ya kuandaa na kuchanja mareks
@KukuVillage4 жыл бұрын
Ok tutalifanyia kazi
@wonderkid_tz4 жыл бұрын
@@KukuVillage Ntashukuru sana sana
@prosperkiluwa81842 жыл бұрын
Wawezeshaji naomba utueleze kwa watu wenye ulemavu na wanaotumia wheelchair watafugaje maana miguu yetu ni wheelchair. Mabanda inakuwaje
@hollojumannemlimi44962 жыл бұрын
Kuku mwenyew wiki nane anapaswa Kinga tena? Kuku village nisaidie
@KukuVillage2 жыл бұрын
Kama umemaliza kinga za awali. Ni mpaka baada ya miezi mitatu.
@johannesishengoma12322 жыл бұрын
Nice training but you are too descriptive in the introductory part. You need go straight to the point
@augustinomrema18123 жыл бұрын
Niko arusha napenda sana kufuga ila changamoto ni kule vifaranga
@KukuVillage3 жыл бұрын
Fuatilia vipindi vyetu hasa katika mada za uleaji wa Vifaranga . Utapata suluhisho
@hellenmgungus29354 жыл бұрын
Naomba kama itafaa ufungue group la ufugaji
@KukuVillage4 жыл бұрын
Yapo
@hellenmgungus29354 жыл бұрын
@@KukuVillage naomba uniunge 0786201086
@mugaramafuru42772 жыл бұрын
Kuweka maelekezo yatoleyo Katika vitendo ni njia ya mafanikio.