UNABII WA BALAA KENYA NA TANZANIA WAANZA KUTIMIA

  Рет қаралды 20,868

huduma ya kristo

10 күн бұрын

Пікірлер: 86
@janengaga2928
@janengaga2928 8 күн бұрын
Njia ya mbinguni nyembamba.Mungu mwenyeenzi tuvushe,tusaidie.Tupendane na kuheshimu watumishi wa Mungu
@karimmveyange280
@karimmveyange280 9 күн бұрын
SAFI SANA ENYI DSM,ARUSHA,MWANZA,MBEYA NA DODOMA. VIONGOZI WAMEGEUKA NI WATAWALA,NA KUFANYA TAIFA NI KOLONI LAO. MWISHO WATAVUNA WANACHO KIPANDA. WATAWALIWA WAMECHOKA
@sylvanolufunyo8779
@sylvanolufunyo8779 10 күн бұрын
Kwa kuwa naona ndani mwako hufikishi ujumbe wa Kimungu kwa hila, wala weledi wako, wala kwa hekima yako, wala kwa elimu nyingine yenye hila, Bali kwa kumpa Mungu aliyehai Utukufu wake kikamilifu, basi Kristo Yesu na akae kwa wingi na kwa Neema yake na kwa haki yake yote ndani mwako, ili Taifa ili liwe kama Mungu alitakavyo, Amina
@emilykangaty1262
@emilykangaty1262 9 күн бұрын
Sema TU mtumishi wa Mungu aliyehai tupone na Taiga lipone
@joannekesa1835
@joannekesa1835 3 күн бұрын
MUNGU akubariki mtumishi wa MUNGU
@user-jx2pi7ev2j
@user-jx2pi7ev2j 10 күн бұрын
Shalom nitabirie
@simboninsiandosi8135
@simboninsiandosi8135 9 күн бұрын
Suala la Toba kwa Taifa letu ni Muhimu sana Viongozi wa sini kwenye kualikwa kwenye miadhara kemeeni maovu yanayoendelea Taifa limrudie Mungu
@samuelbahati7976
@samuelbahati7976 9 күн бұрын
Mungu tuepushe na roho za kishetani tuungane na neno la Zaburi35:1-10
@guerinokibiki4314
@guerinokibiki4314 9 күн бұрын
Mtumishi ubarikiwe sana kwa huduma yako
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 9 күн бұрын
Watanzania msifuate mkumbo.Mtashangaa.Kumbukeni kuwa tumepata uhuru bila kumwaga damu.Maongezi ni mhimu.Vita ni hasara tu😢
@ramadhaniathumani1025
@ramadhaniathumani1025 9 күн бұрын
Mungu akubariki!!l
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u 9 күн бұрын
Mheshimiwa bwana yesu asifiwe kweli maisha ni magumu sana vitu vimepanda sana sukali mafuta yote cementi bati nondo kiama
@karimmveyange280
@karimmveyange280 9 күн бұрын
ALIYE REKEBISHA HALI IKATENGEMAA ALITUKANWA NAKUITWA DICTATOR. ANGEBAKIA KUITIBU NCHI,LEO HII MAISHA YANGETENGEMAA NA KUVUTA WAGENI KWA WINGI KUFANYA BIASHARA KWA WINGI. SASA HATAPATIKANA MWINGINE WAKUITIBU TENA NCHI. SAA HII NI KUIKUBALI HALI HII YA UPOYOYO NAMAISHA KUWA MAGUMU SI NDIO DEMOCRACY BWANA TAKIFISADI?
@designdesign4426
@designdesign4426 Күн бұрын
Acha upuuzi tena upumbavu kilamtu nabii ukilala ukiamka nabii dunia yooote haifanyi maasi nikenyatu
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 9 күн бұрын
piga kazi mtumishi ata yesu walimkashfu sana
@emilykangaty1262
@emilykangaty1262 8 күн бұрын
Swala la nani atatiisha watu wote wamrudie Mungu inawrzekana soma kitabu cha Yona.3:1-10
@user-es9ye1tj7u
@user-es9ye1tj7u 3 күн бұрын
Shidaa viongozii wakishapataa uongoziii hawatakii kushukaa ,,wanapopata uongozii tulioo wapa uongozii wanatusahauu wanajijuaa waoo ,,wanachi wa hari ya chinii hawaonii,,,wanaume wnakimbiaa miji,,,wanawakee wengi tanzaniaa wanakuaa marayaa ,,,uchumi mbovuu ,,,tukubarinii hiloo ,,
@user-jl5uh1xq9f
@user-jl5uh1xq9f 9 күн бұрын
Nakukubali mtumishi
@AthonySaimon
@AthonySaimon 9 күн бұрын
Haya mafisadi ya tz ngoja tu!!!
@karimmveyange280
@karimmveyange280 9 күн бұрын
Ndacha ni mpotovu tu kama walivyo Patoka na kulaaniwa wana wa Israel. Mungu kwa milkono ya Malaika wake kupitia Mitume wake wakuu,yaani Wazee Wenye Uhai 4,alileta Vitabu 4 tu. Pale Mashariki ya Kati,ba ha mitume ni Uzao wa Baba Yetu Ibrahim. Hicho Kitabu cha Ndacha kiko nje ta vitabu 4 vya Mungu Hapa Duniani. Shauri yake na shauri yao
@temekepamoja2757
@temekepamoja2757 9 күн бұрын
Tunasubor na wao tuwashughulikie na wao...
@marympochela7903
@marympochela7903 7 күн бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU
@user-xl8op1cl1f
@user-xl8op1cl1f 9 күн бұрын
Washa moto mtumishi wa mungu watanzania tumevhoka
@user-jl5uh1xq9f
@user-jl5uh1xq9f 9 күн бұрын
Hapo mtumishi leo umeniongezeea uwelewa ubalikiwe sana
@wilsonmatunda4937
@wilsonmatunda4937 2 күн бұрын
Sasa haya ni Maono au vitisho!
@PhilipCharlesBukuku
@PhilipCharlesBukuku 8 күн бұрын
mmm😮 😊😊😊😊 Nabii!!!
@charlesnyanhanga4382
@charlesnyanhanga4382 9 күн бұрын
Sahihi watu ni wa MUNGU Amina
@VerdianaLasway
@VerdianaLasway 9 күн бұрын
Watakarifu ni wanaoshika amri za mungu na Imani ya yesu ufunuo14:12, kutoka 20:1-17 Soma na tafakari hapo kwa makini mpendwa utaokoka
@rehemapaul432
@rehemapaul432 4 күн бұрын
2:59
@pascalmsechu6874
@pascalmsechu6874 2 күн бұрын
Uongo
@njiaya6833
@njiaya6833 8 күн бұрын
tatizo akili za wanadamu zimeelekea katika mafaniko si kutafuta Mungu wala kusikia Mungu anasema nini na juu ya nini?
@ayengobenjamin8014
@ayengobenjamin8014 9 күн бұрын
Unasoma mazingira na kutoa utabiri, siyo unabii 🤣🤣🤣
@Wiittole
@Wiittole 6 күн бұрын
Mtumishi ongea machache kwa kumaanisha hakuna haja ya kutiisha...! Kwa kurudia rudia ujumbe wako.Mungu hana manemo meengi ktk maonyo yake.Huu ni upepo wa mabadiliko upo na haukwepeki.
@user-jl5uh1xq9f
@user-jl5uh1xq9f 9 күн бұрын
Tupo pamoja mtumishi wa MUNGU wa kweli
@emilykangaty1262
@emilykangaty1262 9 күн бұрын
Sodoma na gomora ilikuwa hivyo hivyo mwenye masikio na asikie Roho ayaambia makanisa
@ayengobenjamin8014
@ayengobenjamin8014 9 күн бұрын
Watu wanajua imani zaidi kuliko unavyodhani wewe unayejiita nabii . Tumia maandiko brother.
@UswegeJohn-ov3ym
@UswegeJohn-ov3ym 9 күн бұрын
Mimi naomba UWASHE TU HICHO KIBERITI TENA USICHELEWE!!
@martinatusaye8267
@martinatusaye8267 9 күн бұрын
Yani Mimi nilikuwa labuda utaongea kwamba muungane katika kweli mukapeleke ukweli katika Dunia yote , wewe unamutuma mwezako kwenye vita wewe unabaki katika usalama gani
@martinjohn7854
@martinjohn7854 9 күн бұрын
Kuna UWEZEKANO MKUBWA . Ni unabii wa kweli. HASA VIONGOZI WA DINI. WAMEPOTEZA HAKI SANA
@mwakilamwaki1718
@mwakilamwaki1718 9 күн бұрын
Kila siku najiuliza ivi uwa mnaona kwa kutumia nini mala nyingi nikifatiria matukio na mnao yatabiri uwa yanakuwa niyakweli vilevile mnavo sema MUNGU kweli yupo
@martinatusaye8267
@martinatusaye8267 9 күн бұрын
Mim nimejiuliza sana uyu muchungaji anayesema anatabili ila siyo mbaya Kila mutu yinawezekana ila simuchukii ila nashanga anamutuma ndacha singida kwani yeye hawez kuwaokowa watu wa singida nakathalika , au wakaungana na ndacha wakawapeya ukweli wa mungu , Yani nataka niulize swali kati ya mutabili na muumbili vipawa vyao havina havina ukomboz Wamungu au ndo zingine utabili 2 bila neno lamungu , samahani labuda munilegenishie swali vizuli .
@martinatusaye8267
@martinatusaye8267 9 күн бұрын
Sasa wew unatakiwa nawew uchunguzge na ndacha ,usijitetee uwongo ,tunataka tupande mlimani, munaonekana ninyiee watumishi wa bahali ,
@muharamijuma1569
@muharamijuma1569 7 сағат бұрын
ACHA UTAPERI TAFUTA KAZI UFANYE AUKACHÙNGE MƁŴA
@user-jl5uh1xq9f
@user-jl5uh1xq9f 9 күн бұрын
Nabii ukisoma komenti yangu.naomba maana ya maneno yayalioandikwa kwenye mathayo 19:24 nini maana ya ngamia kupenya katika tundu la sindano???
@adriannebatakanwa6904
@adriannebatakanwa6904 10 күн бұрын
Mungu huruhusu mapigo watu wakamrudia Mungu. Hiyo ni sawa na kwa lazima. Hiari ni pale wanadamu wanapotambua makosa yao na kutubu kisha Mungu akikubali hiyo toba Mungu hughairi mapigo. Hapo ndipo kwa hiari. Soma habari za wana wa Israel waliposomewa scrolls (vitabu) wakagundua walipokengeuka. Wakararua nguo zao kwa kuomboleza, kufunga na kuomba na toba. Hiyo ni kwa hiari. Walipoghairi njia zao mbaya wakafuata njia ya Bwana waliyoamriwa kwayo, hiyo ni hiari. Hakuna damu ilimwagika!
@emilykangaty1262
@emilykangaty1262 8 күн бұрын
Mtumishi Songa mbele usitazame watu wanasema Nini Nuhu alisema wakampuuza, mwa.6,sodoma na gomora , Kumbuka Mungu hataki hata mmoja apotee bali wakimbilie Toba .Mdo.17:30-31,kwasababu watu wamependa dhambi na imepata nguvu lazima update upinzani usiogope sema TU Amina
@barikimethord3186
@barikimethord3186 10 күн бұрын
UKOVIZUL, MTUWAMNG, ENDELEA.
@VerdianaLasway
@VerdianaLasway 9 күн бұрын
Wewe unachanganya ukweli na uwongo acha kupotosha
@Stay_with_God_tv
@Stay_with_God_tv 7 күн бұрын
Ni toba,na maombi yatatuvusha,ingawa vita vya kiroho vipo kila eneo,hakuna eneo shwari popote duniani katika ulimwengu wa roho.
@sammarley1413
@sammarley1413 8 күн бұрын
Huyu jama anatakiwa apelekwe kituo cawalemavu wa kili hayuko sawa kabisa Hata anavo ongea iko wazi kabisa akiliyake inamkanganyiko
@sylvanolufunyo8779
@sylvanolufunyo8779 10 күн бұрын
Naomba sana ndugu tuache kabisakabisa kurumba na huyu mtu wa Mungu ! Tuache ujuzi na ujuaji na kujitia ufundi mwingi katika kumkosoa, huyu kapewa majira haya kuyanena na kufikisha matakwa au neno la Mungu kwa watu wake kwa majira haya ! So tuache kuzua charrange huku tunamwona amenyooka kwa Bwana Mungu wetu ! Huyu hahubiri hisia zake wala matakwa yake Bali anafikisha kama alivyoamuriwa na aliyemtuma ( MUNGU )
@samuelbahati7976
@samuelbahati7976 9 күн бұрын
Mtumshi wa Mungu ubarikiwe sana
@martinatusaye8267
@martinatusaye8267 9 күн бұрын
Unatakiwa nawewe uchunguzge na bibilia tupande mlimani
@luciadominik1626
@luciadominik1626 9 күн бұрын
Baba kuna mtumishi anaitwa meshak yutub anaitwa ukweli ministry heee kasema kitu nimestuka balaaa
@elishampoki8751
@elishampoki8751 9 күн бұрын
Kenya maisha ni magumu mno ,
@user-jl5uh1xq9f
@user-jl5uh1xq9f 9 күн бұрын
Sema ukweli wakikataa uwashe kibiliti
@VerdianaLasway
@VerdianaLasway 9 күн бұрын
Hayo yote yameshatabiriwa hivyo hayanabudi kutokea, hizi nyakati za mwisho
@robertzingu9889
@robertzingu9889 10 күн бұрын
Hili la"........kwa lazima wafanywe wa - Kenya na wa - Tanzania watembee kwenye njia za Mungu" limenipa shida kidogo mimi. Nani wa kuwalazimisha watu na ni kwa njia gani? Ni kwa namna gani Mungu anaweza kutumia nguvu kuwalazimisha watu kumfuata? Nguvu gani? Bunduki? Biblia (Neno la Mungu) siku zote limeweka hiari ndani ya mtu kuchagua uzima au mauti. Mungu hatumii nguvu kulazimisha watu kuacha njia zao ovu. Mungu humwambia mtu uzuri na ubaya wa njia zake. Kazi ya mtu huyo huwa ni kuchagua afuate ushauri wa Mungu au aupuuze. Mimi nakubaliana na wewe kuwa, watu wa mataifa haya wajikusanye na kumuomba Mungu awaepushe na ubaya ulio mbele ya mataifa haya ya Kenya na Tanzania ili shetani asipate nafasi ya kutimiza makusudi yake mabaya kwa kuwatumia baadhi ya viongozi waliomo serikali waliokwisha kuapa kubaki madarakani kwa njia yoyote ile ikiwemo hata kumwaga damu!
@janethmwihumbo1289
@janethmwihumbo1289 9 күн бұрын
Kaangalie ya sodoma na gomora ya Nuhu je ndo nguvu iliyo tumika ndo hiyo hiyo Mungu ata itumia ili watu warudi kwa Mungu kwa nguvu
@AbuuKwacha
@AbuuKwacha 9 күн бұрын
Wee Mungu akutume wewe nani
@janethmwihumbo1289
@janethmwihumbo1289 9 күн бұрын
Ongea wewe bx tukusikie
@user-jl5uh1xq9f
@user-jl5uh1xq9f 9 күн бұрын
Wewe auna eleimu ya kiroho kaambali na sisi
@RehemaMtono
@RehemaMtono 9 күн бұрын
Huo nimwanzo tu
@luciadominik1626
@luciadominik1626 10 күн бұрын
Hapana baba usifanye hivyo please
@MsAggie5
@MsAggie5 9 күн бұрын
Ndo tuombe toba sasa
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 9 күн бұрын
bora kiwake wananchi tunateseka
@coolruler6820
@coolruler6820 9 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 njaa Kali sana, eti Mungu kaniambia,,,utopolo mtupu, hata mamajusi walitabiri poyoyo wewe kalale na kadanganye wajinga wenzako
@user-jl5uh1xq9f
@user-jl5uh1xq9f 9 күн бұрын
Wewe ndo unanjaa tatizo una helimu ya kiroho mjinga wewe
@coolruler6820
@coolruler6820 9 күн бұрын
Ushasombwa we,,,ushawahi kujiuliza ni kwanini walokole wengi wanakufa masikini, au unadhani ni mpango wa Mungu?
@SelijusiMalambo-rh6sf
@SelijusiMalambo-rh6sf 9 күн бұрын
Mabii njaa mpaka tukio litokee acheni njaa
@mwakilamwaki1718
@mwakilamwaki1718 9 күн бұрын
Kwani ukuona alichosema kabla yajatokea ndugu fatiria clip za nyuma
@MsAggie5
@MsAggie5 9 күн бұрын
Huna macho au unajitoa fahamu, haoni aliyaongea haya kabla hayajatokea hapo anayadhibitisha. Hovyooooooo
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 9 күн бұрын
mungu atakupiga 😅 endelea kupambana na manabii
@SelijusiMalambo-rh6sf
@SelijusiMalambo-rh6sf 9 күн бұрын
@@Leeeeeeee-96 ninyi ndio makolo waimani wajinga mwambie akale kande alale
@martinatusaye8267
@martinatusaye8267 9 күн бұрын
Simuchukii ila namupenda 2 ila nataka waungane pamoja katika mungu wa kweli na Moja nakupendana
@bonifacedanielmwakisunga9638
@bonifacedanielmwakisunga9638 9 күн бұрын
Shida kubwa nchii hii ni viongozi wao awajali wananchi kama rais anasema yeye chura kiziwi anakaa kimya anibu chochote Sasa nchi inamatatizo mengi yanayomtaka tais atoke mbele ajibu
@AbuuKwacha
@AbuuKwacha 9 күн бұрын
MUUNGO MKUBWA WEE MPUUZI ACHA UONGO SHETANI KAKUINGIA WEE
@janethmwihumbo1289
@janethmwihumbo1289 9 күн бұрын
Mwenye Mungu tuambie Mungu kasemaje juu ya nchi yako??
@andrewnyamwaro5174
@andrewnyamwaro5174 Күн бұрын
Another blind man. Man you have no idea about KE. KE has a political problem. God has raised an enemy against Ruto. He was once faithful. Wewe bwana unaongea to kama Hananja. KE inao wakongwe kwa mambo ya Ukristu mbele yao wewe ni mganga tu. Jifunze kwanza.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 9 күн бұрын
Fujo za kijinga ni balaa😮
@tanzanite9944
@tanzanite9944 10 күн бұрын
Hebu tafuteni kazi za kufanya na scheib kujifanya watabiri na mna mnaongea na Mungu. Kama mna viberiti kwaninj msiwashe majumbani menu familia wenu zikawa Matajiri? Yaani mnalala manotas kama watu wengine halafu mnasema mmeonyeshwa maono.
@ezekielkiduge8730
@ezekielkiduge8730 9 күн бұрын
Mungu akusaidie hujui usemalo
@MsAggie5
@MsAggie5 9 күн бұрын
Watu wahovyo utawajua hata kuandika hawajui, mawakala, nini mbaya amesema hapo? Alichosema si ndo kinatokea au ni wivu wewe huongei na Mungu unaongea na shetani anakutuma umtusi anayeongea na Mungu kwa sababu ndo kazi yake kuwa against na Mungu
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 9 күн бұрын
mungu atakupiga acha vita na manabii
@janethmwihumbo1289
@janethmwihumbo1289 9 күн бұрын
Ange kuwa mganga unge muamini tu pole
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 67 МЛН
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
My little bro is funny😁  @artur-boy
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 13 МЛН
FOOLED THE GUARD🤢
00:54
INO
Рет қаралды 64 МЛН
Sion princess funny Haribo Donuts 🍊🚆😅🤣
0:35
SION /紫音
Рет қаралды 19 МЛН
😆 @SantiOficialll @SantiFansshort @CAMILOAGUILLONN
0:15
Santi
Рет қаралды 4,6 МЛН
Normal vs Psychopath vs Rich How to heal a cut on your finger ☝️❤️‍🩹
0:19
ЕНЕШКА 2 СЕЗОН | 2-бөлім | ТОКАЛ АЛЫП БЕРЕМІН
23:12