Njia ya mbinguni nyembamba.Mungu mwenyeenzi tuvushe,tusaidie.Tupendane na kuheshimu watumishi wa Mungu
@karimmveyange2809 күн бұрын
SAFI SANA ENYI DSM,ARUSHA,MWANZA,MBEYA NA DODOMA. VIONGOZI WAMEGEUKA NI WATAWALA,NA KUFANYA TAIFA NI KOLONI LAO. MWISHO WATAVUNA WANACHO KIPANDA. WATAWALIWA WAMECHOKA
@sylvanolufunyo877910 күн бұрын
Kwa kuwa naona ndani mwako hufikishi ujumbe wa Kimungu kwa hila, wala weledi wako, wala kwa hekima yako, wala kwa elimu nyingine yenye hila, Bali kwa kumpa Mungu aliyehai Utukufu wake kikamilifu, basi Kristo Yesu na akae kwa wingi na kwa Neema yake na kwa haki yake yote ndani mwako, ili Taifa ili liwe kama Mungu alitakavyo, Amina
@emilykangaty12629 күн бұрын
Sema TU mtumishi wa Mungu aliyehai tupone na Taiga lipone
@joannekesa18353 күн бұрын
MUNGU akubariki mtumishi wa MUNGU
@user-jx2pi7ev2j10 күн бұрын
Shalom nitabirie
@simboninsiandosi81359 күн бұрын
Suala la Toba kwa Taifa letu ni Muhimu sana Viongozi wa sini kwenye kualikwa kwenye miadhara kemeeni maovu yanayoendelea Taifa limrudie Mungu
@samuelbahati79769 күн бұрын
Mungu tuepushe na roho za kishetani tuungane na neno la Zaburi35:1-10
@guerinokibiki43149 күн бұрын
Mtumishi ubarikiwe sana kwa huduma yako
@gracekagoma32319 күн бұрын
Watanzania msifuate mkumbo.Mtashangaa.Kumbukeni kuwa tumepata uhuru bila kumwaga damu.Maongezi ni mhimu.Vita ni hasara tu😢
@ramadhaniathumani10259 күн бұрын
Mungu akubariki!!l
@user-qg1iy5ov3u9 күн бұрын
Mheshimiwa bwana yesu asifiwe kweli maisha ni magumu sana vitu vimepanda sana sukali mafuta yote cementi bati nondo kiama
@karimmveyange2809 күн бұрын
ALIYE REKEBISHA HALI IKATENGEMAA ALITUKANWA NAKUITWA DICTATOR. ANGEBAKIA KUITIBU NCHI,LEO HII MAISHA YANGETENGEMAA NA KUVUTA WAGENI KWA WINGI KUFANYA BIASHARA KWA WINGI. SASA HATAPATIKANA MWINGINE WAKUITIBU TENA NCHI. SAA HII NI KUIKUBALI HALI HII YA UPOYOYO NAMAISHA KUWA MAGUMU SI NDIO DEMOCRACY BWANA TAKIFISADI?
@designdesign4426Күн бұрын
Acha upuuzi tena upumbavu kilamtu nabii ukilala ukiamka nabii dunia yooote haifanyi maasi nikenyatu
@Leeeeeeee-969 күн бұрын
piga kazi mtumishi ata yesu walimkashfu sana
@emilykangaty12628 күн бұрын
Swala la nani atatiisha watu wote wamrudie Mungu inawrzekana soma kitabu cha Yona.3:1-10
@user-es9ye1tj7u3 күн бұрын
Shidaa viongozii wakishapataa uongoziii hawatakii kushukaa ,,wanapopata uongozii tulioo wapa uongozii wanatusahauu wanajijuaa waoo ,,wanachi wa hari ya chinii hawaonii,,,wanaume wnakimbiaa miji,,,wanawakee wengi tanzaniaa wanakuaa marayaa ,,,uchumi mbovuu ,,,tukubarinii hiloo ,,
@user-jl5uh1xq9f9 күн бұрын
Nakukubali mtumishi
@AthonySaimon9 күн бұрын
Haya mafisadi ya tz ngoja tu!!!
@karimmveyange2809 күн бұрын
Ndacha ni mpotovu tu kama walivyo Patoka na kulaaniwa wana wa Israel. Mungu kwa milkono ya Malaika wake kupitia Mitume wake wakuu,yaani Wazee Wenye Uhai 4,alileta Vitabu 4 tu. Pale Mashariki ya Kati,ba ha mitume ni Uzao wa Baba Yetu Ibrahim. Hicho Kitabu cha Ndacha kiko nje ta vitabu 4 vya Mungu Hapa Duniani. Shauri yake na shauri yao
@temekepamoja27579 күн бұрын
Tunasubor na wao tuwashughulikie na wao...
@marympochela79037 күн бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU
@user-xl8op1cl1f9 күн бұрын
Washa moto mtumishi wa mungu watanzania tumevhoka
@user-jl5uh1xq9f9 күн бұрын
Hapo mtumishi leo umeniongezeea uwelewa ubalikiwe sana
@wilsonmatunda49372 күн бұрын
Sasa haya ni Maono au vitisho!
@PhilipCharlesBukuku8 күн бұрын
mmm😮 😊😊😊😊 Nabii!!!
@charlesnyanhanga43829 күн бұрын
Sahihi watu ni wa MUNGU Amina
@VerdianaLasway9 күн бұрын
Watakarifu ni wanaoshika amri za mungu na Imani ya yesu ufunuo14:12, kutoka 20:1-17 Soma na tafakari hapo kwa makini mpendwa utaokoka
@rehemapaul4324 күн бұрын
2:59
@pascalmsechu68742 күн бұрын
Uongo
@njiaya68338 күн бұрын
tatizo akili za wanadamu zimeelekea katika mafaniko si kutafuta Mungu wala kusikia Mungu anasema nini na juu ya nini?
@ayengobenjamin80149 күн бұрын
Unasoma mazingira na kutoa utabiri, siyo unabii 🤣🤣🤣
@Wiittole6 күн бұрын
Mtumishi ongea machache kwa kumaanisha hakuna haja ya kutiisha...! Kwa kurudia rudia ujumbe wako.Mungu hana manemo meengi ktk maonyo yake.Huu ni upepo wa mabadiliko upo na haukwepeki.
@user-jl5uh1xq9f9 күн бұрын
Tupo pamoja mtumishi wa MUNGU wa kweli
@emilykangaty12629 күн бұрын
Sodoma na gomora ilikuwa hivyo hivyo mwenye masikio na asikie Roho ayaambia makanisa
@ayengobenjamin80149 күн бұрын
Watu wanajua imani zaidi kuliko unavyodhani wewe unayejiita nabii . Tumia maandiko brother.
@UswegeJohn-ov3ym9 күн бұрын
Mimi naomba UWASHE TU HICHO KIBERITI TENA USICHELEWE!!
@martinatusaye82679 күн бұрын
Yani Mimi nilikuwa labuda utaongea kwamba muungane katika kweli mukapeleke ukweli katika Dunia yote , wewe unamutuma mwezako kwenye vita wewe unabaki katika usalama gani
@martinjohn78549 күн бұрын
Kuna UWEZEKANO MKUBWA . Ni unabii wa kweli. HASA VIONGOZI WA DINI. WAMEPOTEZA HAKI SANA
@mwakilamwaki17189 күн бұрын
Kila siku najiuliza ivi uwa mnaona kwa kutumia nini mala nyingi nikifatiria matukio na mnao yatabiri uwa yanakuwa niyakweli vilevile mnavo sema MUNGU kweli yupo
@martinatusaye82679 күн бұрын
Mim nimejiuliza sana uyu muchungaji anayesema anatabili ila siyo mbaya Kila mutu yinawezekana ila simuchukii ila nashanga anamutuma ndacha singida kwani yeye hawez kuwaokowa watu wa singida nakathalika , au wakaungana na ndacha wakawapeya ukweli wa mungu , Yani nataka niulize swali kati ya mutabili na muumbili vipawa vyao havina havina ukomboz Wamungu au ndo zingine utabili 2 bila neno lamungu , samahani labuda munilegenishie swali vizuli .
@martinatusaye82679 күн бұрын
Sasa wew unatakiwa nawew uchunguzge na ndacha ,usijitetee uwongo ,tunataka tupande mlimani, munaonekana ninyiee watumishi wa bahali ,
@muharamijuma15697 сағат бұрын
ACHA UTAPERI TAFUTA KAZI UFANYE AUKACHÙNGE MƁŴA
@user-jl5uh1xq9f9 күн бұрын
Nabii ukisoma komenti yangu.naomba maana ya maneno yayalioandikwa kwenye mathayo 19:24 nini maana ya ngamia kupenya katika tundu la sindano???
@adriannebatakanwa690410 күн бұрын
Mungu huruhusu mapigo watu wakamrudia Mungu. Hiyo ni sawa na kwa lazima. Hiari ni pale wanadamu wanapotambua makosa yao na kutubu kisha Mungu akikubali hiyo toba Mungu hughairi mapigo. Hapo ndipo kwa hiari. Soma habari za wana wa Israel waliposomewa scrolls (vitabu) wakagundua walipokengeuka. Wakararua nguo zao kwa kuomboleza, kufunga na kuomba na toba. Hiyo ni kwa hiari. Walipoghairi njia zao mbaya wakafuata njia ya Bwana waliyoamriwa kwayo, hiyo ni hiari. Hakuna damu ilimwagika!
@emilykangaty12628 күн бұрын
Mtumishi Songa mbele usitazame watu wanasema Nini Nuhu alisema wakampuuza, mwa.6,sodoma na gomora , Kumbuka Mungu hataki hata mmoja apotee bali wakimbilie Toba .Mdo.17:30-31,kwasababu watu wamependa dhambi na imepata nguvu lazima update upinzani usiogope sema TU Amina
@barikimethord318610 күн бұрын
UKOVIZUL, MTUWAMNG, ENDELEA.
@VerdianaLasway9 күн бұрын
Wewe unachanganya ukweli na uwongo acha kupotosha
@Stay_with_God_tv7 күн бұрын
Ni toba,na maombi yatatuvusha,ingawa vita vya kiroho vipo kila eneo,hakuna eneo shwari popote duniani katika ulimwengu wa roho.
@sammarley14138 күн бұрын
Huyu jama anatakiwa apelekwe kituo cawalemavu wa kili hayuko sawa kabisa Hata anavo ongea iko wazi kabisa akiliyake inamkanganyiko
@sylvanolufunyo877910 күн бұрын
Naomba sana ndugu tuache kabisakabisa kurumba na huyu mtu wa Mungu ! Tuache ujuzi na ujuaji na kujitia ufundi mwingi katika kumkosoa, huyu kapewa majira haya kuyanena na kufikisha matakwa au neno la Mungu kwa watu wake kwa majira haya ! So tuache kuzua charrange huku tunamwona amenyooka kwa Bwana Mungu wetu ! Huyu hahubiri hisia zake wala matakwa yake Bali anafikisha kama alivyoamuriwa na aliyemtuma ( MUNGU )
@samuelbahati79769 күн бұрын
Mtumshi wa Mungu ubarikiwe sana
@martinatusaye82679 күн бұрын
Unatakiwa nawewe uchunguzge na bibilia tupande mlimani
@luciadominik16269 күн бұрын
Baba kuna mtumishi anaitwa meshak yutub anaitwa ukweli ministry heee kasema kitu nimestuka balaaa
@elishampoki87519 күн бұрын
Kenya maisha ni magumu mno ,
@user-jl5uh1xq9f9 күн бұрын
Sema ukweli wakikataa uwashe kibiliti
@VerdianaLasway9 күн бұрын
Hayo yote yameshatabiriwa hivyo hayanabudi kutokea, hizi nyakati za mwisho
@robertzingu988910 күн бұрын
Hili la"........kwa lazima wafanywe wa - Kenya na wa - Tanzania watembee kwenye njia za Mungu" limenipa shida kidogo mimi. Nani wa kuwalazimisha watu na ni kwa njia gani? Ni kwa namna gani Mungu anaweza kutumia nguvu kuwalazimisha watu kumfuata? Nguvu gani? Bunduki? Biblia (Neno la Mungu) siku zote limeweka hiari ndani ya mtu kuchagua uzima au mauti. Mungu hatumii nguvu kulazimisha watu kuacha njia zao ovu. Mungu humwambia mtu uzuri na ubaya wa njia zake. Kazi ya mtu huyo huwa ni kuchagua afuate ushauri wa Mungu au aupuuze. Mimi nakubaliana na wewe kuwa, watu wa mataifa haya wajikusanye na kumuomba Mungu awaepushe na ubaya ulio mbele ya mataifa haya ya Kenya na Tanzania ili shetani asipate nafasi ya kutimiza makusudi yake mabaya kwa kuwatumia baadhi ya viongozi waliomo serikali waliokwisha kuapa kubaki madarakani kwa njia yoyote ile ikiwemo hata kumwaga damu!
@janethmwihumbo12899 күн бұрын
Kaangalie ya sodoma na gomora ya Nuhu je ndo nguvu iliyo tumika ndo hiyo hiyo Mungu ata itumia ili watu warudi kwa Mungu kwa nguvu
@AbuuKwacha9 күн бұрын
Wee Mungu akutume wewe nani
@janethmwihumbo12899 күн бұрын
Ongea wewe bx tukusikie
@user-jl5uh1xq9f9 күн бұрын
Wewe auna eleimu ya kiroho kaambali na sisi
@RehemaMtono9 күн бұрын
Huo nimwanzo tu
@luciadominik162610 күн бұрын
Hapana baba usifanye hivyo please
@MsAggie59 күн бұрын
Ndo tuombe toba sasa
@Leeeeeeee-969 күн бұрын
bora kiwake wananchi tunateseka
@coolruler68209 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 njaa Kali sana, eti Mungu kaniambia,,,utopolo mtupu, hata mamajusi walitabiri poyoyo wewe kalale na kadanganye wajinga wenzako
@user-jl5uh1xq9f9 күн бұрын
Wewe ndo unanjaa tatizo una helimu ya kiroho mjinga wewe
@coolruler68209 күн бұрын
Ushasombwa we,,,ushawahi kujiuliza ni kwanini walokole wengi wanakufa masikini, au unadhani ni mpango wa Mungu?
@SelijusiMalambo-rh6sf9 күн бұрын
Mabii njaa mpaka tukio litokee acheni njaa
@mwakilamwaki17189 күн бұрын
Kwani ukuona alichosema kabla yajatokea ndugu fatiria clip za nyuma
@MsAggie59 күн бұрын
Huna macho au unajitoa fahamu, haoni aliyaongea haya kabla hayajatokea hapo anayadhibitisha. Hovyooooooo
@Leeeeeeee-969 күн бұрын
mungu atakupiga 😅 endelea kupambana na manabii
@SelijusiMalambo-rh6sf9 күн бұрын
@@Leeeeeeee-96 ninyi ndio makolo waimani wajinga mwambie akale kande alale
@martinatusaye82679 күн бұрын
Simuchukii ila namupenda 2 ila nataka waungane pamoja katika mungu wa kweli na Moja nakupendana
@bonifacedanielmwakisunga96389 күн бұрын
Shida kubwa nchii hii ni viongozi wao awajali wananchi kama rais anasema yeye chura kiziwi anakaa kimya anibu chochote Sasa nchi inamatatizo mengi yanayomtaka tais atoke mbele ajibu
@AbuuKwacha9 күн бұрын
MUUNGO MKUBWA WEE MPUUZI ACHA UONGO SHETANI KAKUINGIA WEE
@janethmwihumbo12899 күн бұрын
Mwenye Mungu tuambie Mungu kasemaje juu ya nchi yako??
@andrewnyamwaro5174Күн бұрын
Another blind man. Man you have no idea about KE. KE has a political problem. God has raised an enemy against Ruto. He was once faithful. Wewe bwana unaongea to kama Hananja. KE inao wakongwe kwa mambo ya Ukristu mbele yao wewe ni mganga tu. Jifunze kwanza.
@gracekagoma32319 күн бұрын
Fujo za kijinga ni balaa😮
@tanzanite994410 күн бұрын
Hebu tafuteni kazi za kufanya na scheib kujifanya watabiri na mna mnaongea na Mungu. Kama mna viberiti kwaninj msiwashe majumbani menu familia wenu zikawa Matajiri? Yaani mnalala manotas kama watu wengine halafu mnasema mmeonyeshwa maono.
@ezekielkiduge87309 күн бұрын
Mungu akusaidie hujui usemalo
@MsAggie59 күн бұрын
Watu wahovyo utawajua hata kuandika hawajui, mawakala, nini mbaya amesema hapo? Alichosema si ndo kinatokea au ni wivu wewe huongei na Mungu unaongea na shetani anakutuma umtusi anayeongea na Mungu kwa sababu ndo kazi yake kuwa against na Mungu