Unajua kwanini mti wa Mbaazi unachukiwa na wachawi? Behind the scene Sheikh Othman akiwa Porini

  Рет қаралды 172,608

Kalamutz

Kalamutz

Жыл бұрын

Sheikh Othman Michael na Jaafar Abdulrahman wakiwa kazini Porini

Пікірлер: 181
@paulinakiria7918
@paulinakiria7918 Ай бұрын
Mimi shekhe Othman Michael huwa ananifanya niipende uislam nampenda kwasababu ni mnyenyekevu sana huyu kaka mungu akutunze akupe umri mrefu kwa unyenyekevu aliokupa mungu
@suleim505
@suleim505 Жыл бұрын
MASHALLAH : Ndiyo maana mimi maishani mwangu mimi najivunia kuwa muislamu,, MASHEKHE WETU : ALLAH AWAPE UMRI MREFU WENYE MANUFAA HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA,, na kila atakaeitikia amin
@KASSIMSAMAMBO
@KASSIMSAMAMBO Жыл бұрын
Hii video hata wachawi wanaangalia kwaiy wanachukua tahadhar
@saidothman4527
@saidothman4527 Ай бұрын
Amin
@KhadijaMaginya-ie1ir
@KhadijaMaginya-ie1ir Жыл бұрын
Allah amrehemu Huyo mzee ampe Nuru njema ktk Kaburi lake . Nawe na ustadh awape nyingi heri
@mshauriibrahimu-ov5fq
@mshauriibrahimu-ov5fq 3 ай бұрын
allah awaongoze inshaallah muendeleee kutupa elmuu inshaallah
@jumamwamreko4683
@jumamwamreko4683 Жыл бұрын
Asalam alaykum, shukran sana masheikh wetu kwa kutuonesha dawa za kiasili lkn hamkutuambia jina la mti huo mliouchuna! Tafadhali ningependa mtuambie jina la huo mti. Asanteni.
@user-mk8ph8qc9k
@user-mk8ph8qc9k 20 күн бұрын
Shegh othman Allah bless you ❤ukiongea huna papara mardhia mashaallah nakupenda bure kaka
@Sharifarajabudebe
@Sharifarajabudebe Жыл бұрын
mashaallah ni kweli Jamani tuisome quran na tuifanyie kazi yani kunasehem ukisoma hata kama ulipon kuna wachawi wengi vihi hawahuwez kwa idhini yake Allah kupitia quran
@ashalaurent2465
@ashalaurent2465 Жыл бұрын
Mashaallah Mwenyzi awahifadhi mpaka pumzi zenu za mwisho inshaallah
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 Жыл бұрын
Aamin
@saidothman4527
@saidothman4527 Ай бұрын
Amin
@user-uz1er8xp6h
@user-uz1er8xp6h Жыл бұрын
Mashallah nimeipenda sana hii Allah awape umri mrefu mashekhe wetu amin.
@user-de2xb8ic1v
@user-de2xb8ic1v Жыл бұрын
Aslam aleyku sheykh othman mungu akuhifadhi inshaa allah❤
@meekman1805
@meekman1805 Жыл бұрын
Jazakumullahu kheyr. Allah akulipeni kheri mufanye tiba kwa ajili ya Allah. Aaamin
@HalimixHamix
@HalimixHamix Ай бұрын
Shehe nakuelewa Sana katika tiba kuliko dr sule wallah,,,na Alhamdulillah haina majigambo
@makebakelly9935
@makebakelly9935 Ай бұрын
Shehe mimi ni mkenya naumba duwa biashara yangu sipati wateja,,,mambo yangu yote yamekwama.mtoto wangu pia akaa msisha ya kung'ang"ana hadi hawezi nisaidia .naomba dua kwa heshima zote milango yangu ifunguke.
@mealii5793
@mealii5793 Жыл бұрын
Assalamualaikum warahmatulah wabarakatuh shekhe naomba utuonyeshe na majani yake pia😢😢😢😢😢😢😢😢
@HassanNgao_254
@HassanNgao_254 Жыл бұрын
Kweli kwa sababu hatujui huo mti vzr
@assinaassina1177
@assinaassina1177 Жыл бұрын
Shukran ma sheikh Allah awazidishiye kila lakheri
@mommywarda5529
@mommywarda5529 Жыл бұрын
Aa shukran jazakallah kheir nahitaji sanaa tu kufanyiwa dawa sijui lini muniambie sheikh Othman na sheikh jaffar
@user-de2xb8ic1v
@user-de2xb8ic1v Жыл бұрын
Mimi natamani nikuone mwanangu lakini mie ni mgonjwa sijui nitafanya nini
@josianemavukiro4386
@josianemavukiro4386 Жыл бұрын
Mashaallah tabarakallah Allah akuhifadhi Sheikh Osman
@khadeejahrashid3177
@khadeejahrashid3177 Жыл бұрын
Masha Allah, sheikh mm nahitaji unitumie huo mti Kenya, ama nije tz kuonana nawe na kuuchukua
@aminabdalla7824
@aminabdalla7824 Жыл бұрын
Aslm alykum warahamtulah wabaraktuh masheikh wetu ...naomba mtufungue macho huo mti mkuu jina lengine ...unaitwaje,,,tumeskia mkunazi Masha Allah iko tele kwetu Kenya ila huo mti mkuu kwa jina lengine mutuambie tafadhalini ili tukomeshe wachawi apa kitaa Cha kwangu balaa atari wako tele....
@SalimSalim-ec9jo
@SalimSalim-ec9jo Жыл бұрын
Mbaazi
@aminabdalla7824
@aminabdalla7824 Жыл бұрын
@@SalimSalim-ec9jo Shukran sheikh salim
@HassanNgao_254
@HassanNgao_254 Жыл бұрын
@@SalimSalim-ec9jo mbaazi unaozaa mbaazi ama
@rashidimrangi1953
@rashidimrangi1953 Жыл бұрын
Shekhe nakupnd san ndugu yangu kwajili ya allah jalla jallalli allah akupe uzima na umri mrefu inshaalalh
@badihamisi1012
@badihamisi1012 Жыл бұрын
Sheikhuna, assalaam aleiqum, w,llahi wabaraqaatuh, shuqran wallah kwa tiba nzuri kabisa na nazidi kufwatilia ila nna swali kidogo, je huu mbaazi wenye wamaanisha nihuu wenye sisi wakenya twaufahamu au nigani labda kiuhalisia, afwan.
@aminaamina3972
@aminaamina3972 Жыл бұрын
Asante Sana Allah akulipeni Duniani na akhera inshallah
@piliramadan875
@piliramadan875 Жыл бұрын
Maashaallah maashaallah shekh athman
@SamuelKobia-iy3fs
@SamuelKobia-iy3fs 6 ай бұрын
mashaallah,allah,awalipe,ningepeda,dawa,yenu
@emmysam7938
@emmysam7938 10 ай бұрын
Amen watumishi wa MUNGU ❤
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Mashallah tabaraka llah 🥰🌹❤️❤️❤️
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 Жыл бұрын
Shukraan sana mashekhe zetu Allah awajaalie pepo❤❤❤
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 Жыл бұрын
Aamin na ss
@mrokay1time958
@mrokay1time958 9 күн бұрын
Nihatariii poleeeeniii saaaanaaaa saaanaaa
@MwaishambaKipanga-bu9sz
@MwaishambaKipanga-bu9sz Жыл бұрын
Allah mubariq shehe wang
@tawadudihaji3907
@tawadudihaji3907 Жыл бұрын
Situnambiwa tiba hyo ni ushirikina vp leo watupo elmu hyo niweke wazi sheikh kipenzi wetu mwalimu wetu
@lallylasly2074
@lallylasly2074 Жыл бұрын
Asalam.aleykum shukrann sn SHEIKH othmann ila nashid naww nakupataj
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 Жыл бұрын
Bismillah maishaallah Asanteni kwa elimu masheikh zanguu,lakini Kuna kitu kinaniumiza kichwa kuhusu kuoga maziwa sio Haram?kwa akili yangu Naona kama chakula naharibu,😢nitoweni huu wasiwasi inshallah
@mejumaashabani203
@mejumaashabani203 Жыл бұрын
Asalam aleyku sheykh mungu akulinde
@hassansammy1076
@hassansammy1076 Жыл бұрын
Mashaallah ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️ ❤️
@user-nu7qx2td1t
@user-nu7qx2td1t Жыл бұрын
Asalamu alekum sheikh athuman sheikh jaifar nikepenada sana kumualeza sheikh athaman sheikh mm nimejaribi sana kuwasiliyana na ww hatanikafukasafari kujahuko lakini nalupofika Dar salam mawasiliyano mm na ww ikabadilika sauti ikawa si ww na nalio abiwa nifane yalinishaza sana so vip kukupata
@AhmedNaswagi
@AhmedNaswagi 12 сағат бұрын
Jina lamuti sheikh
@jasminyabdully499
@jasminyabdully499 Жыл бұрын
Maashallah tabaraqallah
@alimzee
@alimzee Жыл бұрын
Shukran 🙏🙏
@wardawardaarshad
@wardawardaarshad Жыл бұрын
Asalam aleykum Allah awahifazi nakila shari nauliza kidogo jee huo mti dukani unapatikana na km upo unaitwaje
@assfzainab912
@assfzainab912 Жыл бұрын
Kweli kila maradhi yana dawa naamini sana hilo hata ukimwi unadawa zake za kiasili
@faridaiddi104
@faridaiddi104 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi vipenxi va Allah
@aminabdalla7824
@aminabdalla7824 Жыл бұрын
Tunaomba mtupe jina lengine kuhusu huo mti mkuu masheikh wetu wachawi washenzi Sana ili tuwachepe vibao usiku na wao..... Allah anatulinda twashkuru 🙏......... Allah awalipe kheri fii dunia Wal akhera 🤲
@rahmahabibu1432
@rahmahabibu1432 Жыл бұрын
Kwel tunateseka n mti hatujaujua
@user-eg4yo8fr3q
@user-eg4yo8fr3q Жыл бұрын
Jina lake ni mkuyu
@user-wf6nq2oc8p
@user-wf6nq2oc8p 3 ай бұрын
Mkuyu hapana bana
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 2 ай бұрын
Jamani mm najua miti paka basii yani nimewafwatilia Sana wataalamu ni mchanganya madawa mpaka yani mm Leo waganga na piganao tu story
@user-pw2sw1sk1b
@user-pw2sw1sk1b Ай бұрын
Amiin waallay daaaa wanaboa
@aminatakhamis3390
@aminatakhamis3390 Жыл бұрын
Mashallah tabarakallah
@amenamaashaallahyasheikh3457
@amenamaashaallahyasheikh3457 Жыл бұрын
Maa sha Allah
@user-xu8qj4by3u
@user-xu8qj4by3u 10 ай бұрын
Mungu awajalieni kwakutufahamisha mungu atupe maisha malefu
@emaMateru
@emaMateru 2 ай бұрын
Ninaamini sheh wachawi wabayasana
@user-rk9vj7rl8g
@user-rk9vj7rl8g 19 күн бұрын
Usthad mm niko na mwanangu yuko na shida ya kuongeaakiongea leo ywaeza chukuwa siku tano ndipo aongee je naezafanyaje naomba unisaidiye
@salmashinna7705
@salmashinna7705 Жыл бұрын
MashaAllah Allah awazidishie Kila la kheir
@kyaraal2155
@kyaraal2155 Жыл бұрын
Mansha Allah
@salmashinna7705
@salmashinna7705 Жыл бұрын
Asalmkum shekh hapo kuoga na maziwa ya faa
@rehemaedward9494
@rehemaedward9494 Жыл бұрын
shekhe Othuman nkufuatilia sana ,naomba namba zako nauguliwa na mzaz wangu Baba,ili umsaidie
@jasminyabdully499
@jasminyabdully499 Жыл бұрын
Namba yake ni hio insyoonekana katika screen
@mswakisaid2320
@mswakisaid2320 Жыл бұрын
Namba zake si hizo hapo kwenye video? Au wataka namba gani?
@AtilioKigahe-pp1ep
@AtilioKigahe-pp1ep Жыл бұрын
@@mswakisaid2320 hizo namba Hadi matapeli wanatumia video hizi za watu wa mungu kutapeli watu
@rashidswalehmwanjama3404
@rashidswalehmwanjama3404 Жыл бұрын
Assalamu Alykum warahmatulah waabarakatuh n mbaaz gani huu
@user-gf5tw7fw7t
@user-gf5tw7fw7t Жыл бұрын
Allah akuongoze
@salmamohammed2986
@salmamohammed2986 6 ай бұрын
Asalam aleikum mawaidha mazuri❤❤❤❤❤😂😂🎉🎉🎉🎉
@SamaduIdrisa-kp6uh
@SamaduIdrisa-kp6uh Жыл бұрын
Masha allah
@ALLYMTAWATAWA
@ALLYMTAWATAWA 29 күн бұрын
Assalam alaykum Allah awalipe heri
@piliramadan875
@piliramadan875 Жыл бұрын
Tumeona mambo ya dawa Masha Allah
@neemahassan5726
@neemahassan5726 3 ай бұрын
Asalam Aleikum sheikh naomb jina la huo mti naomb sana
@mrokay1time958
@mrokay1time958 9 күн бұрын
Kwa mihangahiko ya dawaaaaa
@meekman1805
@meekman1805 Жыл бұрын
Sheikh tueleze matumizi ya mbaazi kufukuzia majini au wachawi.
@latifaSeleman-bh8lz
@latifaSeleman-bh8lz 22 күн бұрын
Mashaallah
@user-iw6ut6sp8f
@user-iw6ut6sp8f Жыл бұрын
Shekhe. Unga wakutowa jini mahab nko Mombasa ni pesa ngapi tafadhali
@nasilmatichomes1949
@nasilmatichomes1949 Жыл бұрын
Masha'allah jazaka'allah kheyr,Allah awaongezeni umri
@Shumy-nw6rm
@Shumy-nw6rm 10 ай бұрын
Asalam aleikum unaweza kuchemsha mizizi ya mbaazi ukanywa ikasaidia kuponesha tumbo la chango
@maryamhamad3485
@maryamhamad3485 Жыл бұрын
Allah qareem
@mateusvianovaaraujo
@mateusvianovaaraujo Жыл бұрын
@nuriahussen2160
@nuriahussen2160 Жыл бұрын
Assalam caleikum sheikh tuletee huu mti Kenya iA
@neemahassan5726
@neemahassan5726 3 ай бұрын
Asalam Aleikum sheikh Allah barik
@aminasuleimanmohammed4487
@aminasuleimanmohammed4487 Жыл бұрын
Asalam alaykum warahmatullah shekhe jafar mm Nina matatizo lkn sio sahiihi kuongea ktk public media nahitaji no yako au ya shekh maiko
@rashidmohamed4051
@rashidmohamed4051 Ай бұрын
Sasa huu kwtu Kenya tuaupata VIP na hatujui
@iphermayd
@iphermayd Жыл бұрын
Mtu mkuu n mvujee ama
@blueberrypotatogames7950
@blueberrypotatogames7950 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@fabianmkimbu880
@fabianmkimbu880 Жыл бұрын
Hayo mambo ni ya kishirikina na nimpango wa shetani siyo mpango wa Mungu,mtafuteni Mungu wa kweli uchawi au mapepo hayatakupata.jina la Yesu linatosha maana yeye ndiyo kila kitu.
@thesonstv786
@thesonstv786 Жыл бұрын
Akili yenu sijui mnapeleka wapi
@user-ip3vq7rg1n
@user-ip3vq7rg1n 10 ай бұрын
Imenibd nicheke😂😂😂
@naomiapoko9404
@naomiapoko9404 Жыл бұрын
Marshall
@nehemiaayo9527
@nehemiaayo9527 Жыл бұрын
Mmmm hii siyo ni uchawi tu Kama uchawi mwingine Ukweli ni kwamba jina la Yesu ni top katika ushirikina asilimia kubwa uwo Ukweli amtaki kuusikia ila ndivyo ilivyo
@ramadhanshabani9736
@ramadhanshabani9736 Жыл бұрын
Ukweli gani?.
@user-ez4df7qg2f
@user-ez4df7qg2f 2 ай бұрын
Na huuu ukweli wa kua issa n prophet si mungu kwa mana mungu hakuzaa wala hakuzaliwa kwanini usiuamini
@faiqaanwar7268
@faiqaanwar7268 Жыл бұрын
Jina la mti huo kwa kiswahili unaitwaje nasi tulo mbali tujisaidie tafadhali sheikh wangu naomba utujimbu tujue maana nasi pia tuna madhila sheikh please.
@annalugano5246
@annalugano5246 2 ай бұрын
Mbona hamtaji jina la mti
@tobiusjtz7607
@tobiusjtz7607 Жыл бұрын
Ukwl mtupu
@saebajoma8419
@saebajoma8419 Жыл бұрын
Alhamdulillah nashukru Kwangu nimeipanda mingi km mboga ila nimeipanda km maua au wingi kumbe nikinga 🙏
@saidmasika8738
@saidmasika8738 Жыл бұрын
ni mti ngani uo
@saebajoma8419
@saebajoma8419 Жыл бұрын
@@saidmasika8738 hujawahi kula mbaazi hata kwawali jmn
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 Жыл бұрын
​@@saebajoma8419😂😂😂😂
@ShabaniAlly-kz7ov
@ShabaniAlly-kz7ov Жыл бұрын
Ndugu @Saebajomba,usichanganye madawa huo mti alouzungumzia zaidi siyo mbaaz na naimani haupandwi ni mti pori....japo na mbaaz pia katoa sifa take na miti mingine,,, inshallah nilikuwa nakukumbusha hilo tu
@ShabaniAlly-kz7ov
@ShabaniAlly-kz7ov Жыл бұрын
Yani mti ulochimbwa hapo siyo mbaaz japo na mbaaz umeelezewa faida zake
@hidayah3405
@hidayah3405 Жыл бұрын
Hawa anatesema sana na nyinyi mwajua fumbuo la maradhi yake na nimuuislamu kama nyinyi 4yrs kila siku maumivu tuu hana raha kabisa tunachanga anabasuliwa kila siku lakin hakuna matumaini mbona musiende mujamsaidia na kama mwataka pesa tuko tayari kuchanga tuwalipe basi lakin muokoeni
@mwajabuhassan4673
@mwajabuhassan4673 2 ай бұрын
Anasumbuliwa na nini huyo hawa?
@blueberrypotatogames7950
@blueberrypotatogames7950 Жыл бұрын
Tunaomba number za simu
@drpaulfullstop1332
@drpaulfullstop1332 Жыл бұрын
Mnadaganya nyinyi io ni mti ya mbaazi mmeshika ama doo kumbwa sana
@user-to5pz8tu6f
@user-to5pz8tu6f 3 ай бұрын
Huo mti unaitwa na unapatikana wap na wap samahan naomben majibu
@IssaAlly-lj3iq
@IssaAlly-lj3iq 2 ай бұрын
Tunawaomba mututajie jina lake
@catherinemhagama7505
@catherinemhagama7505 Жыл бұрын
Mie nipo Songea naomba namba ya simu niweze kuwasaidia nawe
@hashtagdarling4738
@hashtagdarling4738 Жыл бұрын
Asalam Alaekum. Shekhe setu. Naomba jina jingine la huu mti mkuu....Sasa sijajua nimkunazi au vp
@zuberhamza7852
@zuberhamza7852 Ай бұрын
Sasa huo mti mkuu mlouzungumzia hapo ni m,baazi? Au ni mtihuo mloufata huko porini hamjaeka wazi hapo
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 Жыл бұрын
Mti mkuu hauna jina lengine
@samiath-hr6mt
@samiath-hr6mt Ай бұрын
tunaomba jina la mti
@user-cz6mr1wd4p
@user-cz6mr1wd4p 11 ай бұрын
Nahisi mti mkuu ni mbaazi
@user-dc7do7dv8k
@user-dc7do7dv8k Жыл бұрын
Huo mkunazi ndio unaitwa mti mkuuu
@Mposa-ds5yq
@Mposa-ds5yq 25 күн бұрын
English please
@Alicia12343
@Alicia12343 Жыл бұрын
Nawezaje kupata kuwasiliana nanyi nahitaji msaada wa dawa hiyo
@bwanajared9254
@bwanajared9254 11 ай бұрын
Msaada wako ni upi sisi tunataka hiyo dawa
@NicholousRoman-xi3hy
@NicholousRoman-xi3hy Жыл бұрын
Shekhe naweza nikapata namba yako
@user-uz1er8xp6h
@user-uz1er8xp6h Жыл бұрын
yenye kheri na baraka ?
@RehemaNyela-ps1tn
@RehemaNyela-ps1tn 4 ай бұрын
Nimekuelewa NaombA namba yako shekh
@faiqaanwar7268
@faiqaanwar7268 Жыл бұрын
jamani jamani mimi kutoka kenya ufatiliya makala ya huyu mgojwa hawa ni na ombi kwa nini sheikh wangu hamuungani pamoja mukafunga msafara mpaka kwa hawa mukamsaidia miaka mitatano ni mingi kwa kuuguwa kwa hawa vituko anavyo pata ni vya mazingaombwe basi na waomba kama mume guswa na maombi yangu basi tafadhalini na waomba fanyieni kazi.Kama mimi ni livyo guswa na maradhi ya hawa please.
@hashimswaibu9827
@hashimswaibu9827 Жыл бұрын
Ungechukuwa namba zao ukawasiliana nao
@user-je7qd5po5q
@user-je7qd5po5q Жыл бұрын
Maasha Allah, kweli hata mm jana naunga mkono Hawa anateseka😢😢😢
@afiahsalmin7508
@afiahsalmin7508 Жыл бұрын
Masheikh wa sikuizi kama hauna pesa awakusikilizi waone ivi ivi.....Imani imeondoka kila binadamu yuko kimaslai, nmeongea ivi na sababu
@hidayah3405
@hidayah3405 Жыл бұрын
​@@afiahsalmin7508 Kweli kabisa ndo maana swapendi hatari anaweza kwambia hii dawa nzuri lkin ukimuuliza yaitwaje anataka hela tayari kwakweli hawa ndo watakaofufuliwa matumbo ya buruta😏😏
@afiahsalmin7508
@afiahsalmin7508 Жыл бұрын
@Hidayah kuna Sheikh mmoja tu uku Mombasa kenya ndio namkubali sanaa....kwanza achukui ata shilingili ya mtu pili ayuko mtandaoni, kwake kwajaa watu kutoka duniani kote na visomo kuanzia usiku sanaa nane after apo dawa yuwatoa bure kulengana na matatizo yako
@magdalenalaban8895
@magdalenalaban8895 2 ай бұрын
Kuna harufu ndani kila siku usiku ni nini?
@MaaneML
@MaaneML Жыл бұрын
Mbona mti wenyewe hamuuonyeshi
@barakamwamba288
@barakamwamba288 Жыл бұрын
Haaa
@Mr.korongo
@Mr.korongo Жыл бұрын
Nadhani shegh amezungumzia miti miwili tofauti. Mti mkuu ni mwingine na Mbaazi ni mwingine. mti wa mbaazi ngozi yake ni nyembamba ni ngumu kutoa gome nene kama aliloshika. Lakini pia mti wa mbaazi Majani yake ni membamba na marefu
@selemaninyundo3363
@selemaninyundo3363 Жыл бұрын
Shekh wangu nawakubali Sana kwa darasa yenu
Vitu 6 hatari katika Maisha yako - Sheikh Othman Michael
27:26
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 10 МЛН
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 8 МЛН
Каха ограбил банк
01:00
К-Media
Рет қаралды 10 МЛН
KUNA MAKUNGWI KAZIYAO MATUSI TU //SHEIKH NYUNDO
19:13
arkas online tv
Рет қаралды 110 М.