Namshukuru mungu kwa kweli hivi mbona like ninaruhusiwa moja tu jamani
@suzanfusi38774 жыл бұрын
Amen Chief Apostle kwa mafundisho yako mazuri,Ashukuluwe Mungu kwa ajili yako Mtumishi
@harriethkinjoli75454 жыл бұрын
Nimekuelewa Apostle,kweli itatuweka huru,ubarikiwe sana tena sana,Mungu akutunze kwa ajili ya utukufu wake,nimefurahi kwa ujumbe huu kuna mambo yalipita kwenye maisha yangu na leo nimepata majibu.
@denisekatungukarambika2431 Жыл бұрын
Nashukuru Mungu sana ajili Yako Apostle, Mungu akupatie maisha marefu. Ahsante kwa neno hili, linanibariki👏👃🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@immatheo93704 жыл бұрын
Apostle somo zuri sana. Tuwe watu wa kushukuru tumrudishie Mungu shukrani na utukufu wake
@doreenkudondo10862 жыл бұрын
Thank you pastor kwa huu ufunuo, watu wengi walikuwa pia wamepotoka kuabudu janga la corona kuliko Mungu... Namuomba Mungu anisamehe kwa muda niliopoteza kwa kumwabudu mtu ama kitu chochote.
@johnnashauri61564 жыл бұрын
Asante Yesu kwa mafanuo haya, Mungu muinue zaidi mtumishi wako.
@ngwanafabian75324 жыл бұрын
Mtalemwa anachohubiri na mwonekano wa waumini wake walio wengi ni tofauti. Mungu atusaidie.
@tigerchristmas54914 жыл бұрын
Asante roho mtakatifu kwa ujumbe huu
@niyonizigiyekarithas47104 жыл бұрын
Thank you Apostle. Hapo niimepata kitu kikubwa Ooh MUNGU ni samehe ni jambo ngumu kwangu ni piganie kwa rehema zako. Asante. 💝🏩💝
@niyonizigiyekarithas47104 жыл бұрын
Asante MUNGU. Kwa kutupa watumishi wako kutuelemisha kwa neno lako. 💖💙💜
@irenesimon91073 жыл бұрын
Mungu Atukuzwe Sana kwakutupa mtu wa kutufudisha maswala ya Mungu ,Mungu akubaliki dana
@tushia6434 жыл бұрын
Powerfully Teaching. God bless you Apostle Mtalemwa.
@alfredkimanthi81204 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu Leo umenibariki sana.moyo wangu umefundishika.Barikiwa sana na MUNGU akuongezee nguvu uwafikie wengi.Namshukuru MUNGU aliyekuinua mpaka nikapata ujumbe wenye uhai.
@davidosiemo86332 жыл бұрын
Powerful massage man of God Iam watching from Dubai
@mwingaluhoyo48124 жыл бұрын
Amen Chief Apostole nimeelewa sasa jinsi ya kuabudu sanamu,asante Mungu kwa ajili ya kutuletea mafunuo hayo.
@rahabnkya82763 жыл бұрын
BABA APOSTLE MUTALEMWA NINAOMBA MUNGU MUWEZA AKUINUE ZAIDI NA KTK YEYE AKUSHUSHIE MADINI MENGI DUNIANI YA UFALME WA MBINGUNI TUUJUE NA KUMTUKUZA YEYE NA TUACHE SANAMU SANAMU ZISIZO NA UTUKUFU WA MUNGU. AMEN MTUMISHI.
@EndTimeCrusander4 жыл бұрын
Great word! Great wisdom especially on these last days when the Lord is showing us the roar of the Lion of Judah.
@japhetmkumbwa79144 жыл бұрын
Wakumbushe watumishi hao uvaaji wasitili miili yao