No video

URUSI, Marekani, UK, nani ana VIFARU bora? Vimeteketea vingapi VITA vya UKRAINE? Ukweli ni huu!

  Рет қаралды 23,113

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 128
@alhusnastudios
@alhusnastudios Ай бұрын
Wapili leo nipeni like
@technicalgearboxenginebysc1360
@technicalgearboxenginebysc1360 Ай бұрын
Masubi ukimwelewa vizuri ni timu magharibi urusi wanamega maeneo ukrein kama wanalima eti7000 ukrein 3000 dj sma aheshimiwe sns
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
Ally Yuko sahihi, Tatizo unataka kusikia unachokipenda ww na sio uhalisia wa Mambo, punguza mapenzi binafsi zaidi na angalia usahihi wake kwanza hata huyo DJ-SMA mbona ukimtazama naye ni Kama team east.
@user-nd5uf6lw4g
@user-nd5uf6lw4g Ай бұрын
Kabisa DJ smaa aheahimiwe❤🎉🎉
@danvannyzawad6452
@danvannyzawad6452 Ай бұрын
My brosk make our brains refresh
@onenonetv5469
@onenonetv5469 Ай бұрын
Bro unajua vitu vingi sanaa ila sauti yako haivutii kwenye usomaji wa makala🙏🏼🙏🏼
@Eng2460
@Eng2460 Ай бұрын
big up masubi,makala nzuri sana... Endelea kujifunza zaidi na kutuletea vitu vizuri zaidi na zaidi🎉🎉
@murtalla2826
@murtalla2826 Ай бұрын
Ally masumbwi 😂😂 unaongea kama mlevi 😂😂
@sakinamketo7502
@sakinamketo7502 Ай бұрын
Unajua bro keep it up,Ally Masubi
@danvannyzawad6452
@danvannyzawad6452 Ай бұрын
Your the best
@danielmkama24
@danielmkama24 Ай бұрын
Bro yan leo umeelezea tofaut na cku zngnge kbs aisee, yn unasoma kbs 2naelewa na sio kama uzoefu
@user-mq9im1wd4x
@user-mq9im1wd4x Ай бұрын
Umeelezea kimakini sana kakaaa mungu akubariki kwa kazi zako mkuu🙏🙏
@emanuelidamiani2943
@emanuelidamiani2943 Ай бұрын
Sasa mbona urusi anaonekana kuwazidi magharibi kama kapoteza vifaru zaidi Wakati vifaru na mizinga(artilleries) ndio viungo muhimu sana kwenye medani za kivita???
@veraisaria
@veraisaria Ай бұрын
😂😂😂ndiyo ujinga nliousikia
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 Ай бұрын
Mmmmm
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m Ай бұрын
Russia ana vifaru zaidi ya elfu 50. Ana vifaru vingi kushinda nchi yoyote kwenye hii dunia.
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Ай бұрын
​@@user-cw8zn2dn6mwaambie wewe labda watakuelewa kupoteza vifaru elfu 7 kwa urusi sio tatizo.pia wanayatengeneza mengi mno
@benxonmdeka
@benxonmdeka Ай бұрын
sns huyo hapana kwa kweliii hawezi kuelezea
@jonasjonas8111
@jonasjonas8111 Ай бұрын
Si lazima ww kusikiliza
@NurudinZuberi
@NurudinZuberi Ай бұрын
Nenda kaelezee wewe unaejua kuelezea
@HassanhaidaryKamana
@HassanhaidaryKamana Ай бұрын
Sauti Yako siyo nzuri unasitasita sana Fanya mazoezi
@NurudinZuberi
@NurudinZuberi Ай бұрын
Nenda ww mwenye sauti ya kike tukusikie
@PUTINN365
@PUTINN365 Ай бұрын
Senge ww
@stevenmahinda657
@stevenmahinda657 Ай бұрын
Sikiliza content...
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
Yawezekana labda ana matatizo ya sauti au kigugumizi mkuu, usikosoe kwanza jaribu kuhoji kwanza.
@josephkostans9128
@josephkostans9128 Ай бұрын
Hivyo vifaru bora vya magharibi vimefanya kazi gani Ukraine ikaleta matokeo chanya
@user-du4nh1ts5e
@user-du4nh1ts5e Ай бұрын
Urusi ndo ana vifaru bora zaidi kuliko wengine wote
@user-tq4lx9si1n
@user-tq4lx9si1n Ай бұрын
Wejama ukovizulisana wekichwa we nimwana farsafa mkubwa kabisa hakrizako nizauzto wajusana huna mahaba unahongea ktu hambacho kipo nanichaukweli nauwakika siyo kuhangalia mashabik nawatazamaj wenu hawana penda nn lakini ww nimekufatria tangu hunahanza kwenye iyo midia nimtu uliyenyoka sana naunasmamia kwenye ukweli siyo chuki na mahaba
@francomwacha2262
@francomwacha2262 Ай бұрын
Kazi nzur bro Sema walau Kuna namna naona ya kuboresha kdg kwenye makala zako mfano kama ukiweka sound track kdg ilete mvuto zaid.. kama anazotengeneza sma hv inakaa pw zaid
@ziongate5464
@ziongate5464 Ай бұрын
Ndugu mchambuzi tafadhali usilete taarifa za mabeneru na manyonyaji na kuwatangazia Watanzania.
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm Ай бұрын
Watashinda marekani wataingia kazini
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 Ай бұрын
Unajidanganya😂
@KenedyThabiti
@KenedyThabiti Ай бұрын
Unamjua mbaka raha atakayo kupinga ana matatizo
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke Ай бұрын
Sjaona upuuzi kama huu yani urusi ipoteze vifaru elfu 7 wao Ukraine ipoteze elf3 alafu mrusi ndio awe anasonga mbele tu
@frosttgp1510
@frosttgp1510 Ай бұрын
Hapo sasa
@user-ig3qn9zw6b
@user-ig3qn9zw6b Ай бұрын
Murusi anasonga mbele kwajili ya mabomu na vifa vingine. Ila hasongi mbele kwa sababu ya vifaro
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke Ай бұрын
@@user-ig3qn9zw6b nendeni uko sie sio watoto wadogo
@user-tq4lx9si1n
@user-tq4lx9si1n Ай бұрын
Nakupenda sana kjana unajua hadi umeptrza na nimkweli kwa kiasi kikubwa siyo wenye mihemko na mahaba wanatoa uchambuz kama wanalpa kisasi bongo ii ukoww na Ibrahim rabi basi wengine wote niwavuta tumbakutu
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
Ally watu wanamchukia bure sababu Hana upande yeye Yuko balanced.Na huo ndio uchambuzi sasa
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 Ай бұрын
​@@GeorgeAkasha-zx2rjchambuz la mashoga
@veraisaria
@veraisaria Ай бұрын
😂😂😂😂 eti urusi imepoteza vifaru 7000 Ukraine 3000 ni vichekesho yaani urusi wapoteze vifaru vingi zaidi ya Ukraine halafu wachukue robo nchi ali masubi bro hiyo inahitaji uchambuzi au ntakuita sasa chawa wa wamagharibi
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Ай бұрын
Kupoteza vifaru elfu saba kwa urusi sio tatizo wanavyo vingi sana lakini nlitangulia kusema kuwa taarifa za casualties hazinaga uhakika sana.ila kupoteza alipoteza sana hasa siku za kwanza wakati vita vinaanza alipobadili mbinu maafa yakapungua.
@michaeljuma254
@michaeljuma254 Ай бұрын
Very very nice
@richwase6550
@richwase6550 Ай бұрын
Eti urusi kapoteza vifaru 7000 Ukraine 3000😂 mbn Ukraine haendi mbele ss ya counter offensive ya urusi no logic. Akili ndogo haitawali akili kubwa.
@SaraphinaKidoti-qe7gi
@SaraphinaKidoti-qe7gi Ай бұрын
Ally ame develop saana jinsi ya kusimulia hongera saaana
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Ай бұрын
Thanls🙏
@ziongate5464
@ziongate5464 Ай бұрын
Kwa sasa ni Jeshi la Nato na silaha zake na mamluki kutoka nchi takribani 50 china ya komando ya Nato ndio zinazo pigana Ukraina zidi ya Mrashia na vema Watanzania kutambua hilo na siyo vinginevyo.
@ziongate5464
@ziongate5464 Ай бұрын
Ndugu umechagua kazi ya uchambuzi wa taarifa mbalimbali za habari za ndani na nje ya nchi na ni vema utambue wapo Watanzania nje ya nchi wanafuatilia kwa umakini sana taarifa za mapigano kati nchi za Nato apo Ukraina na Rashia.
@khamsjabdullah691
@khamsjabdullah691 Ай бұрын
Uzito wa tani 50 ni sawa na kg ngapi?
@ms_teeonly
@ms_teeonly Ай бұрын
Elezea kawaida free style, unasoma kama habari khaaa!...
@user-pd5hl9di2q
@user-pd5hl9di2q Ай бұрын
Vifaru sio siraha tishio tena
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Ай бұрын
Mwisho wa vita, uta amua nani ana siraha kali! Na uzoefu wa vita. Atae shinda ndie atakua m'babe wa dunia. Maana Ukraine, ni uwanja wa mapambano tu! kati ya ulaya magharibi na mshirika wao marekani, na ulaya mashariki na kiongozi wao mrusi, ngoja tuone,, hii logo ya Israel isiwatishe,, maana wengine waki- iona tu , hunichukia.
@zahorhemed1045
@zahorhemed1045 Ай бұрын
Unajishuku nini ndo wale wale unafik tuuu
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Ай бұрын
@@zahorhemed1045 nilijua tu, siku zote muislamu na Israel= na nguruwe na msikiti.. ni kweli hii Logo, inawakera sana hasa waislamu,, hii ni nyota 1 ya yusufu dhidi ya 11 ndugu za yusufu wana wa Israel, msomi na mchambuzi mkuu! Wa BIBILIA anajua maana yake. Si kama wale wajinga wanao amini kua ni alama ya freemason.
@browndee205
@browndee205 Ай бұрын
Ongea kawaida bro
@venancerutta6875
@venancerutta6875 Ай бұрын
Marekani ina siraha kali na tishio kwa dunia na taifa lenye nguvu dunian 100%
@josephkostans9128
@josephkostans9128 Ай бұрын
Utopolo habari za magazetini hizo uharisia marekani jipya
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Ай бұрын
​@@josephkostans9128 ulitaka baba ako akupe tasmini ya uwongo, kuifurahisha nafsi yako.
@user-up6zl1ck3j
@user-up6zl1ck3j Ай бұрын
Ziko wapi,au kazificha, propaganda
@user-go3xe4mk4w
@user-go3xe4mk4w Ай бұрын
Asante kaka,wamarekan ndio wakali wa hv vi2
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m Ай бұрын
Bac angemweza Urusi pale ukrein. Lkn ameshindwa mpaka leo hii.
@user-bl4vy5bo4f
@user-bl4vy5bo4f Ай бұрын
Kwa tathmini hiyo mrusi hatoboi vita hii. Atashindwa bc
@paschaljuma3312
@paschaljuma3312 Ай бұрын
Yani kaharibu vifaru 3000 vya adau yeye vyake 7 vimeharibiwa sasa ana hofu gani
@user-bl4vy5bo4f
@user-bl4vy5bo4f Ай бұрын
@@paschaljuma3312 7 au 7000? Vimeharibiwa
@venancerutta6875
@venancerutta6875 Ай бұрын
Urusi ameisha choka miaka 2 kaisha sasa wanaanza kumpasua kwake walimutegea achoke na ukrane anampiga ndan
@josephkostans9128
@josephkostans9128 Ай бұрын
Pole sana
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 Ай бұрын
Amechokaje ss
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd Ай бұрын
Mbon kama unasoma broo
@ramakirita4758
@ramakirita4758 Ай бұрын
Tatizo la masud huchambui sana vzr uhalisia na hua nafatilia uboreshe kidogo unaelezea bila maelezo ambayo tunahitaji uchambuzi wakina kutokana na uhalisia endelea kuongeza bidii mfano mzur mamakala za dj sma zinakuaga nzr sana unaweza ongeza elim apo😊😊
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Ай бұрын
Tumeumbwa kuwa tofauti kaka hii ni style yangu mm.haiwezi fanana na yoyote.na wala mm sitaki fanana na yeyote nafanya reseach ya kutosha kabla cjaweka makala na haya unayoyasikia ndo hali halisi uwanja wa kivita.
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
​@@thefactbook...1607Kaka Ally Hawa watu wanataka kusikia habari za upande 1 wakati hawajui ww uko well balanced sana na habari zako na taarifa unazotoa.Vumilia tu ndugu sababu watu Wana mahaba na mapenzi ya kitu Fulani hivo unavyowapa facts and logic wasizozitaka basi wanaumia sana.All in all kongole sana broo.
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Ай бұрын
@@GeorgeAkasha-zx2rj pamoja my bro.
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
@@thefactbook...1607 Utafika mbali sana kaka, huu ndo uchambuzi halisi na sio kuchagua upande.Urusi kupoteza elfu Saba kati ya elfu 50 alivyonavyo si kitu(mfano) ila mfano Ukraine kupoteza elfu 3 kati ya labda elfu tano alivyonavyo ni kitu(mfano).Sasa hapa ndo watu hawaelewi na ni Kama wanapigwa shoti, sisi ndo wabongo wavumilie tu ila naona kabisa utafika mbali sana kiuchambuzi.West wanachukiwa sana sababu ya matendo Yao kwa wanyonge ila kiuhalisia wale ndo wanaendesha Dunia kwa sasa labda Mambo yabadilike.
@josepheriah5977
@josepheriah5977 Ай бұрын
Vya urusi Ving ad ana viwekea mabati
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 Ай бұрын
Yaaani ukrain ni muongo sana😂😂😂 eti vifaru 7000 vya mrusi vimeripuliwa wakati hatujaona matokeo ya ukrain 😂
@karolialex5734
@karolialex5734 28 күн бұрын
SHIDA SAUTI KAMA UNASOMA LISARA
@abdullahnassor9433
@abdullahnassor9433 Ай бұрын
7000 😂 iyo info ni uongo
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 Ай бұрын
Sasa Ally kama kweli mrusi amepotesa sana vifaru mbona amepga hatua kubwa sana kuliko ucrein
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Ай бұрын
Kwa sababu vita havipiganwi na vifaru tu,kuna howitzers(mizinga),combat experience ya wanajeshi,ndege vita,makombora ya ufanisi. Kwahyo kazi yangu leo ilikuwa kukujuza kuhusu upande wa vifaru.mdogo mdogo tutazidi kucover vitu mbali mbali.
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
​@@thefactbook...1607Good sana kaka Ally, ww ni mchambuzi ambae uko well balanced na connected akifuatiwa na Henry mwinuke na DJ-SMA anajua pia na ana facts sema Kuna wakati anakuwa upande 1 sana.
@pesaspy_tv
@pesaspy_tv Ай бұрын
Vyanzo vyako vya habari vimekudanganya masubi urusi wametaka hadi Abrahamu sasa unaswmaje urus vifaru afu 7000 Ukraine vifaru 3000
@AbelsonGidion-vo1uj
@AbelsonGidion-vo1uj Ай бұрын
Vifaru vyaa IDF vikoo vizurii
@Williamstozzo
@Williamstozzo Ай бұрын
Merkava
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Ай бұрын
Ipo israel haipo ukraine.hii ni kuhusu vifaru vya huko ukraine.
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm Ай бұрын
Marekani atashinda
@ziongate5464
@ziongate5464 Ай бұрын
Ndugu mchambuzi naomba nikupe siri moja labda ulikuwa ufahamu hilo. Mrashia alikwisha maliza jeshi lote la Ukraina lilo pata mafunzo na Nato takribani myaka 10 iliyo pita na silaha zake zote.
@HajiKlein-so1rk
@HajiKlein-so1rk Ай бұрын
🇷🇺🇹🇿🇷🇺🇹🇿👏👏
@yusafbayu7016
@yusafbayu7016 Ай бұрын
Ukraine Ina onesha kama yao ndo ime mpiga mrusi eti wame piga fifaru vya urusi elfu7 wao wame poteza elf3 😅😅😅
@ziongate5464
@ziongate5464 Ай бұрын
Inasemekana Urusi kupoteza Vifaru takibani 800 taarifa hizo umepata kupitia chanzo gani cha habari? Jee unafahamu idadi ya Vifaru alivyo kuwa navyo mu Ukraina kabla ya nchi za Nato kuanza kutuma vifaru vyao Ukrania. Ndio maana napinga uchambuzi wako na kusema ni uchambuzi feki ndugu
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 Ай бұрын
Mazoezi muhimu sana kwani mtu kukuelewa kwa unavyosoma ni ngumu kidogo. But nice try
@user-tq4lx9si1n
@user-tq4lx9si1n Ай бұрын
Kamlete mamahako ujeumwelewe
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 Ай бұрын
@@user-tq4lx9si1n hivi punde utamsikia kiongozi, usijali
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Ай бұрын
Afadhali umeamuachia Ali masubi hii mada ungemuachia dj smaaa angetwambia Putin amepoteza vifaru vitatu tu na vyenyewe vilikua vibovu ila marekani amepoteza vifaru 2600
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 Ай бұрын
Ndio marekani mashoga
@blackjack3356
@blackjack3356 Ай бұрын
Wew bodo kidogo ujachangamuka
@salymsuleiman2035
@salymsuleiman2035 Ай бұрын
Sauti lako baya hata halishawishi kusikiliza
@user-tq4lx9si1n
@user-tq4lx9si1n Ай бұрын
Kwamwite mamahiko hatangaze uyo nimwaume saut yaulembo yann weshoga
@kassiannyamba805
@kassiannyamba805 Ай бұрын
Kojoa ukalale
@user-up6zl1ck3j
@user-up6zl1ck3j Ай бұрын
Zelensky mbona anaomba yaishe ?
@ziongate5464
@ziongate5464 Ай бұрын
Wewe siyo mchambuzi na huelewi chochote unachukua habari za Ukraina ndio unatangazia Watanzania. Uchambuzi wako ni feki
@AliMwingwa
@AliMwingwa Ай бұрын
T-90 ndio kifaru bora
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Ай бұрын
Inakuja T-14 armata hyo itakuwa bora sana kuliko T-90 kwa sasa ziko protoype zake.
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m Ай бұрын
Unavyoelezea bac Urusi ameshindwa vita. Russia kapoteza vifaru 7000 afu ukrein kapoteza vifaru 3000, lkn tunaona Russia inasonga mbele pale ukrein. Je hapa nani kapoteza nyingi? Utata hapo. Bado sikuamini!!
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Ай бұрын
Hamna utata maana yake ni kwamba anavyo vingi na anauwezo wa kufidia hasara zake kwa wakati.
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m Ай бұрын
@@thefactbook...1607 kwamaelezo yake bac kuna utata.
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Ай бұрын
@@user-cw8zn2dn6m hayo ndo maelezo yaliyoko hata kwenye video.
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Ай бұрын
@@user-cw8zn2dn6m yasikilize vzuri ndyo maelezo yalivyo.
@isayacharles2850
@isayacharles2850 Ай бұрын
Masod ! Eleza nani anaendelea kuifanya vizuri, anauwa askari wengi wa mamruki na wapinzani wake, kateketeza magari mengi, silaha nyingi na kuziteka, anasonga mbele na kuteka maeneo mengi. :-lakini ichi unakisema sasa si mshiko sana. 🤔
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 Ай бұрын
Habar za aly masoud anachukulia kwenye habar za magharibi
@user-ig3qn9zw6b
@user-ig3qn9zw6b Ай бұрын
Na habari za dj sma hua anazitoa urusi
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
​@@user-ig3qn9zw6b😂😂😂😂😂 umempa jibu Moja konki sana.
@user-tq4lx9si1n
@user-tq4lx9si1n Ай бұрын
Uyujama hana hakrisana na nikichwa hanaukweli ulionyokasana na nimtu mwenye msmamo katika wachambuz wote wamabo yakivta nasiasa za kimataifa kwa hapa tanzania ukimtoa Ibrahim rabi uyondo hanajua zaidi nanimkweli zaid kuliko wengine wana lopoka lopokatu kisa mahaba naupenz lakin Ibrahim raɓi na uyobwana ally masubi nawakweli kupta kias mapenzi namahaba wanaweka pembeni nakuongea ktu hambacho kipo sio chakukria
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
Ally Yuko balanced sana na habari zake, ila watu wengi wanataka kusikia habari wanazozipenda na si uhalisia wa Mambo.
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche Ай бұрын
Masoud upo mangharib,Ww sio mchambuzi bora upo ukreine na kule upo israel.
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Ай бұрын
Unataka niseme uongo..?. Tatizo ni kwamba masikio yako yanataka kusikia unachotaka kusikia na kuona unachotaka kuona kwangu mm nakupa uhalisia wa hali halisi ya kivita.
@peterilimwa5754
@peterilimwa5754 Ай бұрын
i sallute you mwasubi
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Ай бұрын
Pamoja my bro.
@chidiomari.65
@chidiomari.65 Ай бұрын
👁️👁️🇫🇮🤝
@mbuyaelyaoni6266
@mbuyaelyaoni6266 Ай бұрын
Ujinga huu waeleze wajinga wenzio
@MohammediKihimbwa-bj4pf
@MohammediKihimbwa-bj4pf Ай бұрын
😂ao wadudu wa magharibi si kwa kuongopa ivyo
@ArsenPaul
@ArsenPaul 9 күн бұрын
Mpumbafu wewe
@MerlinEspoir
@MerlinEspoir Ай бұрын
Bro Ally tatizo akiliyako ni yakimagharibi huwaga na wasikiliza kwenye GPS huwa unaegemeya upande wa western, you are very stupid guy in short urusi ameshachukuwa maeneo mengi Ukraine maybe soon wanaweza kuichukuwa Ukraine nzima licha ya U.S.A na western kumsapoti kwa kilakitu. Hivi vitu muachiye Dj sma usiwe unaleta mambo ya uwongo na upumbafu
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
Huna akili hata 1 Tena huna akili kabisaa mjinga mkubwa ww, Ally Yuko well balanced na Hana upande, Tatizo unataka kusikia habari za upande 1 tu na sio za pande zote.Mjinga mkubwa ww
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 Ай бұрын
​@@GeorgeAkasha-zx2rjww choko
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 47 МЛН
This Dumbbell Is Impossible To Lift!
01:00
Stokes Twins
Рет қаралды 32 МЛН
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 20 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 47 МЛН