Sajili nyingine Hadi uvivu kusikia et mwamnyeto kibwana Yani hovyoo tu
@EdisonJuma-b1kАй бұрын
Asante simba kwa usajil mzur
@user-tn6tx1sg8zАй бұрын
❤❤
@theonasmkoba61212 ай бұрын
Mhakikishe MISUMARI inapigwa vita kwa njia yoyote ile. Tumechoka wachezaji kutegewa MISUMARI
@ElibarikiBulugu-fx4ugАй бұрын
Kelele mingi sana Mwisho wa siku,tunaletewa Mandazi yamesajiliwa!! Daadeki wallah!!
@MeliusAdlophАй бұрын
Yani simba msim huu msitufanyie utani kama msm ulioisha❤
@CoblaEdwardАй бұрын
Yetu macho
@DanielidaudyliganyaDanielidaudАй бұрын
Ansanten simba
@Nurukindenge2 ай бұрын
Nuru kindenge❤
@LawiMsigwa-xl7skАй бұрын
Safi Kabisa kamati ya ufundi leteni majembe mapya
@ngusandongo6866Ай бұрын
Kweli upigaji mwing sana simba
@ABDUSON2 ай бұрын
❤❤❤❤
@revocatusmalimi45252 ай бұрын
Ayubu lyanga siyo aina ya wachezaji wanaohitajika Simba kwa sasa
@MubaMnindeАй бұрын
😊😅😢😮
@bakarimmbaga23442 ай бұрын
Mmh! Tusubirini tuone maana hii mitandao bana.....
@SelemaniHalfaniallyАй бұрын
Amna Kaz kuongop
@ThomasMsitaАй бұрын
Kwel unajuwa kutushka maskio mashabiki kwa kutudanganya kusajil wachezaj lkn mwsho wake wausajil mnatuletea wachezaj wabovu hatutawaekewa tutawatukana sana
@leonardkinoshi6393Ай бұрын
kibwana waniniii?
@KwilasaBugumba2 ай бұрын
Saki
@BarakaPatrick-qe6seАй бұрын
Mmmmh weee
@FrankPaul-ip5trАй бұрын
Amna huyo hovyoo kabisa
@galuskisongaАй бұрын
Viongozi mumekuwa na maneno matamu ya kujiamini lakini mkifika uwanjani Madudu , Msipobadilika ! Msimu ujao nafasi ya 4 inawahusu
@TonyMaengeАй бұрын
Dah ila yasije yakawa mengine baada ya usajili
@AthumaniChuji-w7wАй бұрын
Simba
@ShedrackVenantiАй бұрын
Bado sijaona usajir wa maana manzoki na kibwana wakazini gani kwahari iyo hatufiki mbari munazidi kutuumiza mashabiki wenu
@ChandeMbaujika2 ай бұрын
Kwa kusajiri majina ya wachezaji wanaofanya vizuli paletu inapofika mda wa usajiri mko vizuli Ila dirisha likifungwa angaria majina ya wachezaji walio ondoka tofauti kabisa hiiiiii unaitwa mda wa danganya toto
@EliyaAnodyАй бұрын
Simba fanyen usajili msifanye utan
@EnockBalamaАй бұрын
Saf
@mohdtza2 ай бұрын
Simba Nguvu Moja
@TheclassicKundiB2 ай бұрын
kwer simba tunapengo
@JoelMwalongo-cr1bi2 ай бұрын
Mmmmh
@mrfreytz2 ай бұрын
Leteni Vyuma Wana Lunyasi
@BettyChalamila-dj3cmАй бұрын
Kibwana wa yanga asije simba
@user-nc1ec8mr6i2 ай бұрын
mpaka tuone
@lucastungera44952 ай бұрын
Tatizo mmezidisha uongo
@user-lu2nj8sv5w2 ай бұрын
Waongo mnatudanganya kwa misimu minne sasa
@dnewztz2 ай бұрын
Msimu huu viongozi wamedhamiria Kuweni na Imani
@JOTACEJARUBES2 ай бұрын
Simba msifatilie cv ya mtu fatilia mda huo yukoje sio yalio pita
@rajabumwarabu90922 ай бұрын
Tumewazoea kudanganya /chupri chupri tu..
@Furahamwapule2 ай бұрын
Tumechoshwa na uwongo
@JumaKatwanga-jq4ghАй бұрын
Kwa kuwavisha majezi ya simba mnaweza na usajili wa mitandaoni mzuri lakini matokeo ya mwisho upuuzi mtupu kwa kuuza mnajitahidi xna
@dnewztzАй бұрын
Mkuu hizi ni tetesi usichukulie sana serous Hakuna ambapo nimesema usajili umekamikika
@revocatusmalimi45252 ай бұрын
Mbona wote wazee tu kama hawa tuliokuwa nao.Viongozi wawe makini yasije yakajirudia ya msimu huu.Tusitumike kama shimo la taka wanaokataliwa kwingine na sisi tunachukua
@LaheliMathiaskalabweАй бұрын
Ukwer wajinga ndio waliwao
@SaneRajamoAdamoАй бұрын
Voces mentira
@EsterMwandola2 ай бұрын
Simba tumechoka kudangaywa
@dnewztz2 ай бұрын
Pole ila Kuwa na Imani na Uingozi wa timu yako Utafanya Jambo