Рет қаралды 29,125
Kama mwanao kamaliza Form Four, usianze mambo ya kumpeleka nje ya nchi kusoma degree, na hasa kwa nchi za mataifa ya kimagharibi, na hususani wale wanaotafuta udhamini wa elimu wa juu ughaibuni
#masomoughaibuni #udhamini #scholarships