Mnapoteza MDA mkizeeka mtakuwa hoi Sana tembea bila kujiengeneza maisha yako
@amosjuma45362 жыл бұрын
Ukisema ivo unakosea kwasababu sio wonte Nimatajili umemanisha wanapoteza Munda kutafuta maisha ety wanatembea naomba uteguwe kauli
@africankidsnegebumamlemale91762 жыл бұрын
Njaa sio nzuri
@alexsalum78242 жыл бұрын
Ongereni na pongezi nyingi sana kwenu kwa wachache ni ngumu kuwaelewa kwa kile mnachofanya lkn kwa kina maana kubwa sana maana hkn serekali yoyote Duniani itakayofanya mipango yake ya maendeleo pasipo kujua idadi ya wananchi wake,M/MUNGU awasimamie........Amina.
@hamidmweusiii352 жыл бұрын
Heee njaa hizi lazma tuseme nazo jmn
@rafikiwildlife42632 жыл бұрын
Hongereni sana, inawezekana leo watu baadhi wasiwaelewe ila ipo siku watawakumbuka. Hakika ninyi ni wazalendo. Ni dua yangu mbele za Mungu aliye hai awatunze na kuwafanikisha katika malengo yenu kwa Taifa la TZ. Mungu ibariki TZ na Mungu wabariki watu wako hawa.
@surusuru1994 Жыл бұрын
Mashaallah nguvu moja💪🔥🔥🔥🔥
@songweairport76022 жыл бұрын
SUPER MTANGAZAJI,SIMPLE AND SHORT QUATIONS.... HONGERA
@chiefchacha29922 жыл бұрын
Kwa mabango hayo, lazima serikali iwape fungu la maana na huwenda wakawa mabalozi wa sensa na chanjo ya uviko- 19
@rehemaa5972 жыл бұрын
Hasa dude lenyewe mmetengeneza naona kama ni zito mnatumia nguvu mtamaliza mikoa yotee kweli
@hadiaali55172 жыл бұрын
Safi sana mungu awabariki mbona hujamhoji dd
@deniccgabriel61532 жыл бұрын
Nchi yenye wapuuzi watupu wanasahau majukum yao wakiwa vijana
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Oooh allah hakika kila penye mwanzo pana mwisho hara wanadamu wafanyaje kama riziki ni ya mtu itabaki kuwa yake tu
@zihinjishinifa7573 Жыл бұрын
Kwanza nicheke mie😅😅😅😅
@adamambangile78192 жыл бұрын
Huyo Dada kanuna au kachoka?
@khadijahali48372 жыл бұрын
Anajikaza tuu
@mohamedalirachidi3802 жыл бұрын
HAO HATEMBEI KWA MIGUU NCHI NZIMA WASITUDANGANYE
@uthmanmaluja70058 ай бұрын
Acheni kudanganya watu hakuna uzalendo wa kipuuzi Kama huo kwanza kutembea nchi nzima ni uongo na kutembea mme na mke sio mke wako inakuaje na Kwa Nini msitafute shamba shamba mkalime.
@bashiruhassani10172 жыл бұрын
Wako vzr
@timamusulemani73062 жыл бұрын
Awana kz yakufanya Bangi mbaya sana
@allytv17142 жыл бұрын
Mimi naweza kujiita mzalendo pale naisema serikali iliopo madarakani ikikosea na ikipatia kuipongeza lakini nchi yetu daima vyombo vya habari na wasani wanapongeza serikali iliyopo madarakani at kama inakosea ety kisa wapate kula na kusifiwa wapo pamoja huo ni unafki sema ukweli ukuweke huru
@mosesmwailenge51922 жыл бұрын
Hakika we jembe nimebkukubali 🙏🙏🙏💕💕🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@menikojohn27823 ай бұрын
Mpaka mmalize hiyo safari huyo Dada atakuwa tayali ana mimba ya miezi mitatu, jiandae kutoa mahali kabisa.
@husseinkonz51922 жыл бұрын
Kwa mwendo huo ni miaka5
@manchalijob96002 жыл бұрын
Vichaa nyinyi madishi yanayumba
@elibarikikivuyo59462 жыл бұрын
Madhara ya kutoajiri kwa mda mrefu ndo haya matokeo
@dintazdintaz73112 жыл бұрын
Dada atafikia labor moja kwa moja ili azae tu ....dada mwenyewe kanuna kama kala ukwaju
@HelbethMlelwa Жыл бұрын
Hapo hakuna kazi. Hapo ni ngoswe, penzi kituvo cha uzembe. Hakuna chochote kitakachotokea hapo.
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Hatakama iwekwe kipingamizi namna gani itarudi kuwa haki tu
@valentinetesha85362 жыл бұрын
huko maporini ngoja mkutane na MAJAMBAZI muuwawe, mna dhalilisha wasukuma
@lanlady25042 жыл бұрын
Kuna kila sababu ya kutoa elimu kuhusu UZALENDO. Uzalendo sio kujitesa! Uzalendo sio kubeba mabango au kutembea kwa miguu, baiskeli nk. UZALENDO ni dhana pana sana.
@adamhashim33522 жыл бұрын
We unafikiri mda wanaozunguka wanakula nn? Na wanafaidika nn wanatuongopea ni mchongo huo
@luckygmdegela84772 жыл бұрын
Hii Ni Sanaa
@charlesmyamba85312 жыл бұрын
Hamna kaz mbwa nyinyi kalimeni mnajitesa tu hafu hamaambulii kitu shika jembe kalime
@shaameshaame9721 Жыл бұрын
Mtafia njiani, watu wanakula hela nyie mnajitesa tu
@calvinmramba80872 жыл бұрын
Hawana kazi hawa
@theprovitionofnature91882 жыл бұрын
Hapo sawa
@amourmunga83562 жыл бұрын
mnatumalizia bandoo milard
@annrobin92912 жыл бұрын
Washezi hawa hawanakazii 😏😏
@saidasanga3233 Жыл бұрын
Tatzo sio uzalendo bali vjana wamekosa Kaz za kufanya mngekuwa nakaz za kufanya msinge pata mda wakuzunguka hvyo vijana tufanye Kaz kwa bidii tusipende kutegemea mafungu bro
Mmhhj,🤣🤣ety kwa mguuu. C wangebaki vipara kama tairi za gari... wazarendo wa michongo haoooo
@evancymassawekenya75212 жыл бұрын
Serikali nayo imelala unaangalia watu vitu azina Kochwa kwani technology yenu mpaka Leo iko Nyuma hivyo nashangaa hawa watu tangazeni Kwa station za radio Na runingaa,mtaamka lini lakini Aki acheni hizo
@charlesmyamba85312 жыл бұрын
Mmekosa kazi
@kauyegeorge33352 жыл бұрын
Hawawezi tembea kw mguu nchi nzima
@HelbethMlelwa Жыл бұрын
Bangiiiii
@azizymachadeson3577 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 Eti wanatembea kwa Miguu nchi nzima hahhahaahhaaaaaaa Ni nchi ipi iyo ! Tanzania imekua uwanja wa mpira nini ! Pelekeni ujinga wenu uko Na wapongeza kwa uzalendo ila pelekeni ujinga wenu kwa kunidanganya eti Tanzania nzima kwa miguu Nyoooooooooooooooooooooo
@jacobjoel3804 Жыл бұрын
Hao waache umbea hawatopata kitu chochote wanajichosha tu kutembea waache ujinga warudi wakafanye kazi hatuna cofid hap
@mariasalumu4742 жыл бұрын
Mmmmmmh mimi huo uzalendo sina kwakweli
@aishambondo89232 жыл бұрын
Mnalala wapi
@shakilamasoud29832 жыл бұрын
Wamefika wapi Hadi sasa jamani 🤣
@sofiyabakari9730 Жыл бұрын
Pesa za matumiz mnatoa wap Kula kunywa na n k
@elispiuselias1339 Жыл бұрын
basi ndyo maana hauchoki, mnalala wapi mkichoka 😂
@hemedchuma9603 Жыл бұрын
Ww unampango wako na uyo dem
@neemalema53122 жыл бұрын
Jamani hivi vitu si vinatangazwa kwenye vyombo vya Habari huu muda si mngefanya kazi km kweli ni wazalendo 😒
@silverytesha67882 жыл бұрын
Wastage of time uzalendo ni maisha sio tukio
@mkushiandikayakoachananaya79442 жыл бұрын
Njaa tu Dada yangu!
@suzanfelix77032 жыл бұрын
Kwaiyo wapo mtu na mke wake 😂 wajanja Sana hawa
@johnsontarimo8383 Жыл бұрын
Hahahaha 😆🤣🤣
@veronikamkuwele90722 жыл бұрын
Upuuzi huo
@salomeyuvenali3700 Жыл бұрын
Uzalendo gani nawakati sisi teali ni Mali ya mzungu mzalendo alikua Nyerere na maguli hakuna tenaa.
@valentinetesha85362 жыл бұрын
mafala hawa yani wamekosa kazi kwa kweli
@zumbeshauri81142 жыл бұрын
Hahahaaaa kule raisi alisema awape zawadi eti kanga karamu na tisheti hahaaaa
@hagarbills40232 жыл бұрын
Kazi zenyewe akuna hichi ndio tulicho kiacha ni kubeba mabango ndio tumekiacha
@mustafaalli46982 жыл бұрын
Kutembea wa mguu nchi mzima unafikir ni utani musitufanye sio mabwege,tena kwa mwendo huo..😳
@khadijahali48372 жыл бұрын
😂
@johnsontarimo8383 Жыл бұрын
Na sutii
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Mhhhhhh
@yasmeenaal4191 Жыл бұрын
Hakika nyinyi ni wazalendo wa kweli
@geraldlyimo28592 жыл бұрын
Kubwa tuu mtt wa watu asije akabebea mimba brbrni hiyo safari itakuwa ngumu sana
@gambathegreat89972 жыл бұрын
Acheni uongo
@rashidyally8715 Жыл бұрын
😄😄😄😄 mtakuja kuvimba miguu ukienda hospitali ndio mtajua kua hii nchi ngumu
@saididodi39882 жыл бұрын
Kazi mnayo
@collinmhema54432 жыл бұрын
Mpaka unamalizia hiyo safar nadhan tutapata na kachanga
@bakarikayugwa32952 жыл бұрын
Hawana kazi ya kufanya wanakula nini wanalipwaje hawana family😂😂😂😂
@anahna67882 жыл бұрын
Duu nimejikuta nacheka tu kwa sauti Mmeshakuwa wapenzi Sasa kutembea kite huko Mnakula kwenye vichaka Yale mambo yetu
@KaskasTHEfinderCLIP2 жыл бұрын
Daaaa
@evaristimramba90472 жыл бұрын
Kutembea dar nzima muhimbil utapumua kidg
@mwanahawarajabu92532 жыл бұрын
LENGO kikuamsha hamasatu kwa vijana kuipenda nchi yao
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Bongo kwa kutafuta umaarufu na mwishowe jitu kitakwenda kimya barabarani
@aishambondo89232 жыл бұрын
Niwashaurii mpige pichaa na mikoa. Yote muweze kushut na kutoa move ya history
@chiefchacha29922 жыл бұрын
Alafu mbona host kawa mmbaguzi jamni... Hajamuhoji dada mbona ama me ndo sijaelewa?
@josephinelyimo24672 жыл бұрын
Vijana nendeni shambani Mkajiajiri kwenye kilimo Naamini kwa Tanzania hii huwezi kukosa kabisa eneo la kulima Naamini kinachowasumbua Ni ukosefu wa ajira na njaa Na si uzalendo !
@khadijahali48372 жыл бұрын
😂😂kweli hawana kz
@victormashauri33742 жыл бұрын
Uongo tu nyie
@KaskasTHEfinderCLIP2 жыл бұрын
Daaaa sio poa
@nemesjosephat56122 жыл бұрын
Niliwaona na mlikuwa nao na sio mmekitana
@nardhismhagama6266 Жыл бұрын
Mkamwambie mwiguru
@allytv17142 жыл бұрын
Mh by foot huo siyo uzalendo ni matumizi mabaya ya muda na icho ndo kinatumiza watu weusi me ningewaona wazalendo kama mngeisemea serika ukweli pale wanapo kosea na pale wanapopatia kuwapongeza acheni kupoteza mda mwisho mtapata maradhi muanze kuomba msaada wa kurejea mlipotoka
@winterkasela90332 жыл бұрын
Nyie mmechanja
@hamidmweusiii352 жыл бұрын
Wanatfta kiki awa kw mama Samia ili wagange njaa
@alexbenedict53782 жыл бұрын
Duh
@noelmmari85702 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄 wamechanja wakachanganyikiwa😁😁😁😁🤒🤒🤒
@amourmunga83562 жыл бұрын
kwaiyoo zanzibar mnapasua bahari kama musa
@khadijahali48372 жыл бұрын
😂😂
@shivobs44852 жыл бұрын
Wanajikuta vasco dagama
@patrinussanga3081 Жыл бұрын
Jamani jamani muda wa kufanya kazi mnazunguka muda mnaopoteza ungekuwa labda mmepewa fungu
@HelbethMlelwa Жыл бұрын
Bangi hizi
@gangmore90912 жыл бұрын
Hakuna Tanzania visiwani
@sagilododomamedelipeter18932 жыл бұрын
Mbwa nyie hamna kazi za kufanya uzalendo gani upuuzi unailinda nchi ww mnalala wapi 🤣🤣msipotumia akili vzr ujanani na kujishughulisha mtaitesa Sana miili yenu baadae uzeeni endeleeni kupoteza mda usije ikamtia mimba dada wa watu mjinga we🏃🏃🏃
@jayjay43132 жыл бұрын
Inahitaji moyo kusukuma damu kweli. Hamfiki hata mikoa 15mshazalishana, uzalendo shughuli pevu mjue. Ohooo
@rashidyally8715 Жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄
@misomisomisoji77222 жыл бұрын
Pumbavu wee uzalendo sio kuchanja uviko 19, unajua hayo madawa ya uviko 19 yamewekwa nini ndani yake? mabebelu sio wajomba zetu watuletee chanjo.
@FakihiNapunda2 жыл бұрын
Dah
@patrickmsekwa77732 жыл бұрын
Kwa hiyo na hapo bado unaota?
@FakihiNapunda2 жыл бұрын
@@patrickmsekwa7773 nikujibu nn
@shaameshaame9721 Жыл бұрын
Watu wanapiga hela wewe unaburuza mkokoten eti uzalendo.Uzalendo? Nenda ukae na familia yako pumbvu zako!!!!
@drmussa12202 жыл бұрын
AWA YA KULIPWA MADENI YAKO m.kzfaq.info/get/bejne/hOBzfdmhu9HceH0.html
@newschannel15582 жыл бұрын
Bora mtangaze hayo mwingine lakini kuhusu CHANJO siwaungi mkono SEMA tu hamjui kilichomo NDANI yake hizo CHANJO Ila ipo siku mtàkuja kujua system inapoanza kufanya kazi
@boniphacewambura14272 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 Eti kitembea nchi nzima ivi mnatuona sisi wajinga Jambo mnalofanya nizuri sana tena sana lakini kitembea kwa miguu hapo mmetupiga kitu kizito kichwan