USTADHI SHAFII AAHIDI KUMNYAMZISHA MCH. NDACHA KWENYE MDAHALO KISA MADA YA UISLAMU NA MAJINI

  Рет қаралды 4,312

SIMULIZI ZONE

10 күн бұрын

BAADA YA MCHUNGAJI NDACHA KUSHIKILIA MADA YA WAISLAMU KUWA NA MAJINI USTADHI SHAFII AMETOA AHADI YA KWENDA KUMFUNDISHA NENO LA MUNGU

Пікірлер: 130
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 10 күн бұрын
Mashallah sheikh shafi wapereke shure awo wachungaji amuna kitu
@salimchimwaga8384
@salimchimwaga8384 9 күн бұрын
Shafii uko vizur sana Allah akuzidishie.
@NoshadTindwa
@NoshadTindwa 6 күн бұрын
Mashaallah ustadh 🙏
@abdallahhanafi6963
@abdallahhanafi6963 10 күн бұрын
Stevinmpozi,kaka dunia tunapita,na utakwenda kuulizwa nani ulikuwa unamuabudu,kuwa muislam ndacha anadanganya watu tu.
@samxx411
@samxx411 8 күн бұрын
Hata ukiwaambia hivyo kaka hawakuelewi hao wanataka dawa
@FridayMwassa
@FridayMwassa 2 күн бұрын
​​@@samxx411dini yenu imekuja jana tena na lijamaa lichafu ktk kila eneo.Hivi kweli maisha ya Muhammad ndivyo wanatakiwa kuishi wacha Mungu Kweli,mbingu gani inayokusanya matakataka bila kuangalia utakatif 0:00 u
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 9 күн бұрын
Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule
@paulmushi2428
@paulmushi2428 10 күн бұрын
Wewe Shafii 😂😂😂😂😂 Mwalimu wako Sule Majini kamshindwa wewe utamuweza Shafii
@babazungu3180
@babazungu3180 10 күн бұрын
Shafii achaa nao wehu tu hawajui kitu chochote 😂😂😂 wasikupotezeee muda
@paulmushi2428
@paulmushi2428 10 күн бұрын
😂😂😂😂 Shafii mwoga kukutana na Ndacha bila ushirikiano na Mwalimu wake Sule hawezi kufanya midaharo na wahadhiri wa Kikristo 😂😂😂
@hamisisaid-zz2ye
@hamisisaid-zz2ye 9 күн бұрын
Mashallah JazzakAllah kheir sheikh Shafii uko sawa kabisa❤❤
@salimobeid1470
@salimobeid1470 10 күн бұрын
Shafii mchamungu sanaa nakukubali huna sifa za dunia we ni mlinganiaji wa haki
@user-nk3xk4gg7y
@user-nk3xk4gg7y 9 күн бұрын
perfect sana shekh shaff mungu akuongoze
@JanethAnton-fx1mk
@JanethAnton-fx1mk 10 күн бұрын
Shekhe unaenda kujizalilisha ukifanya mdahalo na Ndacha coz huna elimu ya Dini
@rashidibrahim8316
@rashidibrahim8316 9 күн бұрын
Ndacha ndiyo Hana elimu Kwa tarifa yako
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 9 күн бұрын
​​@@rashidibrahim8316ndacha ni mwalimu wa walimu alimfundisha mzee wa comedy mazinge kamfindisha sule na sasa anataka amfundishe shafii kuwa uislamu ni ukafiri
@peterenos2627
@peterenos2627 9 күн бұрын
Shafii acha woga. Inaonyesha unamuogopa Ndacha. Masharti hayawekwi na upande mmoja tu. Mnakaa pande zote mbili mnakubaliana ndipo mnakuja na masharti ya pamoja. Mtu kasoma vitabu vya dini kama vilivyoandikwa, wewe unasema umetukanwa. Huko ni kuzidiwa hoja na kutafuta chaka la kujificha!
@MiziziMti
@MiziziMti 9 күн бұрын
Shafii hana anacho kijua kwenye Scripture science
@gervasbeno5589
@gervasbeno5589 9 күн бұрын
Utajuwa hujui ndugu , jichanganye kwa ndancha na muwe wawili tu.
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 8 күн бұрын
@@gervasbeno5589 hsmuwezi ndacha huyu nikaa maji kwenye koo
@YvetteIrakoze-eu6ww
@YvetteIrakoze-eu6ww 10 күн бұрын
Yan nampend mungu kam Dr sulle asingekubali majin shafii asingeingiy kwenye 18 za ndacha shehe tunakusubiri kazim umekubali
@didawaso4165
@didawaso4165 10 күн бұрын
Nashagaha sana watu wenye helimu lakini awamjuwi mungu
@DesderiusHaule
@DesderiusHaule 10 күн бұрын
Shaffi hebu kubali mdahalo na Ndacha acha masharti yasiyokuwa na sababu tuwasikie hoja zenu.
@MiziziMti
@MiziziMti 9 күн бұрын
Uislamu bila uongo hakuna hakuna uislam
@salimchimwaga8384
@salimchimwaga8384 9 күн бұрын
Nyie hamujaona hadithi aliyotoa shafii hapo??? kuna neno majini au akili zenu hazifany kazi
@mzaliwaseif7079
@mzaliwaseif7079 9 күн бұрын
Ndacha Hana ilmu ila ni msemaji mzuri kwamana aingiyi akili Yesu mungu ndio, Yesu mwana ndio, Yesu mtume ndio. Yani hamna hata kufikiria. Yani ni yes yes yes
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 10 күн бұрын
Ndacha na Danieli wamelumbana
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 9 күн бұрын
Huyu Hana ufahamu na qurani muisilamu kamili lazima awe na jini ndacha anaufahamu mkubwa
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 10 күн бұрын
Ndacha anauwezo mkubwa zaidi utaanza kujigamba na takibili nyiingi
@berry4726
@berry4726 10 күн бұрын
Ndacha hajui kitu
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 10 күн бұрын
Sasa wewe unatetea dini ya mashoga LGBTQ walahujui nanikaiyanzisha maana hatayesu mwenyewe hajawahi kuwaita watu au wanafunzi wake wakristo
@shabamuhidin634
@shabamuhidin634 9 күн бұрын
Sjui ww ni mkristo wa wapi? uku Kenya uyo ndacha mweywe wakristo wanamkataa😂😂😂,ndacha hana elimu ata mm namshinda,hatoi maandiko anasoma haraka haraka yeye na msomaji wake
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 9 күн бұрын
sasa wegine wanashabikia dini ya majini
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 9 күн бұрын
@@shabamuhidin634 wanasoma haraka ju Wana elimu lakini wewe mwenye akili finyu huwezi pata lolote , wewe ni last class unaelewa polepole
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 9 күн бұрын
Ndio maana mm nilisilim aisee,Shekh unaongea vitu km mtu akiacha ushabik hawez kuwa mkristo
@didawaso4165
@didawaso4165 10 күн бұрын
Wanamaneno megi lakini awana neno
@PeterMagoye
@PeterMagoye 9 күн бұрын
Mathayo 28:16 haisemi hivyo acha uongo Mzee ww endelea kuyafuat hayo majini ila kumbuka ole Ole inakuja kilio cha kusaga Meno ndipo utamkubuka Mungu
@paulmushi2428
@paulmushi2428 10 күн бұрын
😂😂😂😂 kama hawajui Biblia si ndiyo ndiyo ukafanye midaharo jamani😂😂😂😂 yani unatoa majibu tu kwa mtangazaji
@handenitakuru6696
@handenitakuru6696 9 күн бұрын
Mdàharo lini
@mbalilax162
@mbalilax162 10 күн бұрын
Saivi waislamu ndo wanafunguka akili kuwa kuna ushirikiano baina ya dini yao, ushirikina na majini....mi nakushangaa unavyokataa wakati tangu utotoni tumeshuhudia miongoni mwa vitu wanavyotumia waganga wa jadi ni hayo maandishi ya kiarabu. Ndo maana ata mapepo wakitolewa kanisani wanajiita majina ya kiarabu. Hii dini chimbuko lake ni miungu ya kiarabu, ipo siku mtafunguka macho tu
@tbm7tv257
@tbm7tv257 9 күн бұрын
Qur,an 8:2
@aizzyashery5564
@aizzyashery5564 9 күн бұрын
Kumbe ulifanya utafiti mkubwa kwa swali gumu kumbe ndacha ni mwalimi wako lakini anaweza pia kuwa mwanafunzi wako ila si kielimu ila kiimami na ujuzi wa kutambua maandiko
@zuberkasim7150
@zuberkasim7150 10 күн бұрын
1) wafalme 22-21 2) mambo yanyakati 18-20 mungu anafanya kazi na pepo msafi Aumimi sijaelewa apo? Mnisaidie
@idarousidarous
@idarousidarous 9 күн бұрын
Malaika wameumbwa Kwa nuru na majini wameumbwa Kwa moto kwaiyo majini na Malaika ni viumbe tofauti
@WilsonWacira
@WilsonWacira 9 күн бұрын
Wapi jini kubwa
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq 10 күн бұрын
Ndacha hana mpinzani huku mnapiga kelele tu yaani wapumbavu wote
@tbm7tv257
@tbm7tv257 9 күн бұрын
Wakristo hamna hoja
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 8 күн бұрын
@@JamesMoses-jd1yq sasa unaona huyu shafii analakusema huyu ni kabubu tu eti majini wazuri na chakula Chao ni damu yabinadamu Hawa ndio wanasababisha maajali barabarani kwa kuwatoa kafara binadamu washindwe katika jina la bwana wetu yesu kristo aliyehai
@user-fw2el2ws7z
@user-fw2el2ws7z 10 күн бұрын
Kulingana nampangilio ya uislamu ..uislamu ni dini ya Mungu
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq 10 күн бұрын
Kama wew dume mwite ndacha
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 10 күн бұрын
Mpaka hapo Ndacha sitisha mjadala zidi ya huyu elimu yake ndogo
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 10 күн бұрын
Huyu shafiii kwa elimu yake hatoshi kabisaa kwa ndacha
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 10 күн бұрын
Shekhe una shule ndogo sana 😂😂😂😂
@loysamwel6308
@loysamwel6308 9 күн бұрын
Shafi wacha uwongo njoo kwaye mjadala
@user-tv9iv8ij1n
@user-tv9iv8ij1n 9 күн бұрын
kama hawaajui mbona utaki kukutana na ndacha
@shabamuhidin634
@shabamuhidin634 9 күн бұрын
Uyo Ndacha ako na utoto sana,si walishafanya mdahalo na akina Yusuf Wambugu kuhusu Jumamosi? si alishindwa kutoa andiko mpaka leo Jumamosi imeandikwa wapi katika Bibilia...leo anakuja kumsumbua Sheikh Shafi kuhusu Jumamosi tena
@beyondsavanna6028
@beyondsavanna6028 10 күн бұрын
Usiruke kabla ya ngoma
@machindafadhili3186
@machindafadhili3186 10 күн бұрын
Nasoma comments tu
@stevenmponzi8168
@stevenmponzi8168 10 күн бұрын
majini hawana vizazi bhna sasa kwan kama ni malaika walioasi kwani malaika wanazaaa we endelea na majini yako
@hamisilusambi
@hamisilusambi 10 күн бұрын
Katika imani ya kiislam majini sio malaika nawala hawana asili ya malaika..ndio mana majini huzaliana tofaut na malaika
@zuberkasim7150
@zuberkasim7150 10 күн бұрын
Ata ukiangalia ile surat jini mtume muhammad anafunuliwa habari za majini ambazo alikuwa hazijui sio Kuabudu majini
@petermgonja8547
@petermgonja8547 9 күн бұрын
Jamanieeee tuache ushabiki wadau . Tuwapelekeni uwanjani tujue Nani mkweli. Ila huyu hachukui raundi mbili. Huyu ni mpole ni aheri sule
@abdallahhanafi6963
@abdallahhanafi6963 10 күн бұрын
Kwani wew una ushahidi wa kusema majin hawana kizazi?maana majin ni viumbe ambao wameletwa dunian kwa lengo la ibada,sasa ingekuwa hawazalian si wangekuwa wameisha duniani?kwa sababu wanakufa hao pia,musilete uwana cha kwenye suala la iman
@prochesernest5439
@prochesernest5439 10 күн бұрын
Wewe hayo mazishi ya majini hulishauzuri na uliwaona wapi majini yanazaliana ? Ndomaana wakristo tunasema nyie waislamu mnamausiano na majini mapepo wachafu mashetani yaliletwa Kwa Muhammad awasilimishe
@stephanojoseph4357
@stephanojoseph4357 10 күн бұрын
Kwahyo kwenye uislamu shetani Anaweza kumrejea mwenyezi Mungu kwa kutibu au ameshahukumiwa??
@hamisisaid-zz2ye
@hamisisaid-zz2ye 9 күн бұрын
Kuna tofauti kati ya shetani na majini kaka shetani ni mmoja tu aliyefukuzwa kwa ufalme wa mbinguni ila majini ni wengi tu kma wanadamu walivyo tafuta elimu ufahamu kaka Wacha ushindani
@leonardadd
@leonardadd 10 күн бұрын
Majini ilislimu, ila sio kubatiza
@sosom14
@sosom14 10 күн бұрын
Kichwa unga wewe
@stevenmponzi8168
@stevenmponzi8168 10 күн бұрын
Nan kakwambia majini wana kizazi
@salisali3738
@salisali3738 10 күн бұрын
Mm apa
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq 10 күн бұрын
Majini ni upuuzi
@BURUNDIB
@BURUNDIB 10 күн бұрын
Hhhhh we mujadala hawuwezi kabisa
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 9 күн бұрын
Kumbe shafii unajua ukweli kwamba yesu ndio njia ya kweli na uzima adi unaamini maneno yake "na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee na yesu kiristo ulie mtuma"sasa huko kwa mhammad unachelewea nini?
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 9 күн бұрын
Ww ndio uelewa huna,hakuna Muislam asie mkubal Yesu na ukiwa Muislam halafu umuamin Yesu ww ni moton, Uisilam unatufunza kuamin Manabii wote wa Mwenyez Mungu sisi hatubagui Nabii hta mmoja
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 9 күн бұрын
@@huseinshedrack6180 mbona mnamswalia mtume mhammad why ana makosa gani mbona Yesu kristo hamumswalii?
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 9 күн бұрын
@@huseinshedrack6180 uzuri wauslamu mnajua ukweli uko wapi ila hamtaki kukubali na kuritad muwe wakiristo tu mnajua kabisa mtume wenu hana uwezo wa kuwaombea dua badala yake nyie ndio mnafanya kazi ya kumswalia yeye kila siku sasa iweje mitume wengine km Yesu kristo mshindwe kumswalia lkn mhammad mnamswalia jibu ni kwamba mmeshajua yesu kristo ni mwana wa Mungu muumba mbingu na ardhi hivyo hana madhambi ila mhammad ana madhambi ndmn mnamswalia
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 9 күн бұрын
@@ramadhanmahongole9293 ndio maana nikakwambia huna elim ya din,hii sio zama za Yesu ni zama za Mtume Muhammad ndio maana tuna mtaja yy,Kwan zama za Nabii Mussa Yesu alikuwepo...?na km hakuwepo na nyie mnasema Ukristo ulikuwepo wakristo wa zama hzo walikuwa wanamtaja Yesu...?leo Tz Rais wetu ni mama Samia hv watumish wanaweza kuapishwa kwa jina la Kikwete...?soma kwanza din ndio uje huku
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 9 күн бұрын
@@ramadhanmahongole9293 unajua mm ndio maana nilihama ktk Ukristo huku kwenye Uisilam huwez Kuta Muislam ana mkashifu Mtume yeyote wa Mungu lkn nyie wakristo cjui mna shida gan aisee, Uisilam ume mpamba sn Yesu na mama yake,hvyo hta ukitaka haki Uisilam una haki kuliko Ukristo sababu una mzungumzia vzr huyo mnae muamin na Manabii wote
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 9 күн бұрын
Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 9 күн бұрын
Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 9 күн бұрын
Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 104 МЛН
Haha😂 Power💪 #trending #funny #viral #shorts
00:18
Reaction Station TV
Рет қаралды 16 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 4,9 МЛН
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 104 МЛН