BAADA YA MCHUNGAJI NDACHA KUSHIKILIA MADA YA WAISLAMU KUWA NA MAJINI USTADHI SHAFII AMETOA AHADI YA KWENDA KUMFUNDISHA NENO LA MUNGU
Пікірлер: 130
@innocentndikumana892810 күн бұрын
Mashallah sheikh shafi wapereke shure awo wachungaji amuna kitu
@salimchimwaga83849 күн бұрын
Shafii uko vizur sana Allah akuzidishie.
@NoshadTindwa6 күн бұрын
Mashaallah ustadh 🙏
@abdallahhanafi696310 күн бұрын
Stevinmpozi,kaka dunia tunapita,na utakwenda kuulizwa nani ulikuwa unamuabudu,kuwa muislam ndacha anadanganya watu tu.
@samxx4118 күн бұрын
Hata ukiwaambia hivyo kaka hawakuelewi hao wanataka dawa
@FridayMwassa2 күн бұрын
@@samxx411dini yenu imekuja jana tena na lijamaa lichafu ktk kila eneo.Hivi kweli maisha ya Muhammad ndivyo wanatakiwa kuishi wacha Mungu Kweli,mbingu gani inayokusanya matakataka bila kuangalia utakatif 0:00 u
@user-tz8zu2gt6u9 күн бұрын
Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule
Shafii achaa nao wehu tu hawajui kitu chochote 😂😂😂 wasikupotezeee muda
@paulmushi242810 күн бұрын
😂😂😂😂 Shafii mwoga kukutana na Ndacha bila ushirikiano na Mwalimu wake Sule hawezi kufanya midaharo na wahadhiri wa Kikristo 😂😂😂
@hamisisaid-zz2ye9 күн бұрын
Mashallah JazzakAllah kheir sheikh Shafii uko sawa kabisa❤❤
@salimobeid147010 күн бұрын
Shafii mchamungu sanaa nakukubali huna sifa za dunia we ni mlinganiaji wa haki
@user-nk3xk4gg7y9 күн бұрын
perfect sana shekh shaff mungu akuongoze
@JanethAnton-fx1mk10 күн бұрын
Shekhe unaenda kujizalilisha ukifanya mdahalo na Ndacha coz huna elimu ya Dini
@rashidibrahim83169 күн бұрын
Ndacha ndiyo Hana elimu Kwa tarifa yako
@ramadhanmahongole92939 күн бұрын
@@rashidibrahim8316ndacha ni mwalimu wa walimu alimfundisha mzee wa comedy mazinge kamfindisha sule na sasa anataka amfundishe shafii kuwa uislamu ni ukafiri
@peterenos26279 күн бұрын
Shafii acha woga. Inaonyesha unamuogopa Ndacha. Masharti hayawekwi na upande mmoja tu. Mnakaa pande zote mbili mnakubaliana ndipo mnakuja na masharti ya pamoja. Mtu kasoma vitabu vya dini kama vilivyoandikwa, wewe unasema umetukanwa. Huko ni kuzidiwa hoja na kutafuta chaka la kujificha!
@MiziziMti9 күн бұрын
Shafii hana anacho kijua kwenye Scripture science
@gervasbeno55899 күн бұрын
Utajuwa hujui ndugu , jichanganye kwa ndancha na muwe wawili tu.
@user-tz8zu2gt6u8 күн бұрын
@@gervasbeno5589 hsmuwezi ndacha huyu nikaa maji kwenye koo
@YvetteIrakoze-eu6ww10 күн бұрын
Yan nampend mungu kam Dr sulle asingekubali majin shafii asingeingiy kwenye 18 za ndacha shehe tunakusubiri kazim umekubali
@didawaso416510 күн бұрын
Nashagaha sana watu wenye helimu lakini awamjuwi mungu
@DesderiusHaule10 күн бұрын
Shaffi hebu kubali mdahalo na Ndacha acha masharti yasiyokuwa na sababu tuwasikie hoja zenu.
@MiziziMti9 күн бұрын
Uislamu bila uongo hakuna hakuna uislam
@salimchimwaga83849 күн бұрын
Nyie hamujaona hadithi aliyotoa shafii hapo??? kuna neno majini au akili zenu hazifany kazi
@mzaliwaseif70799 күн бұрын
Ndacha Hana ilmu ila ni msemaji mzuri kwamana aingiyi akili Yesu mungu ndio, Yesu mwana ndio, Yesu mtume ndio. Yani hamna hata kufikiria. Yani ni yes yes yes
@Kuminamoja199510 күн бұрын
Ndacha na Danieli wamelumbana
@user-tz8zu2gt6u9 күн бұрын
Huyu Hana ufahamu na qurani muisilamu kamili lazima awe na jini ndacha anaufahamu mkubwa
@charlesmakuri79210 күн бұрын
Ndacha anauwezo mkubwa zaidi utaanza kujigamba na takibili nyiingi
@berry472610 күн бұрын
Ndacha hajui kitu
@zaidiissa371410 күн бұрын
Sasa wewe unatetea dini ya mashoga LGBTQ walahujui nanikaiyanzisha maana hatayesu mwenyewe hajawahi kuwaita watu au wanafunzi wake wakristo
@shabamuhidin6349 күн бұрын
Sjui ww ni mkristo wa wapi? uku Kenya uyo ndacha mweywe wakristo wanamkataa😂😂😂,ndacha hana elimu ata mm namshinda,hatoi maandiko anasoma haraka haraka yeye na msomaji wake
@user-tz8zu2gt6u9 күн бұрын
sasa wegine wanashabikia dini ya majini
@user-tz8zu2gt6u9 күн бұрын
@@shabamuhidin634 wanasoma haraka ju Wana elimu lakini wewe mwenye akili finyu huwezi pata lolote , wewe ni last class unaelewa polepole
@huseinshedrack61809 күн бұрын
Ndio maana mm nilisilim aisee,Shekh unaongea vitu km mtu akiacha ushabik hawez kuwa mkristo
@didawaso416510 күн бұрын
Wanamaneno megi lakini awana neno
@PeterMagoye9 күн бұрын
Mathayo 28:16 haisemi hivyo acha uongo Mzee ww endelea kuyafuat hayo majini ila kumbuka ole Ole inakuja kilio cha kusaga Meno ndipo utamkubuka Mungu
@paulmushi242810 күн бұрын
😂😂😂😂 kama hawajui Biblia si ndiyo ndiyo ukafanye midaharo jamani😂😂😂😂 yani unatoa majibu tu kwa mtangazaji
@handenitakuru66969 күн бұрын
Mdàharo lini
@mbalilax16210 күн бұрын
Saivi waislamu ndo wanafunguka akili kuwa kuna ushirikiano baina ya dini yao, ushirikina na majini....mi nakushangaa unavyokataa wakati tangu utotoni tumeshuhudia miongoni mwa vitu wanavyotumia waganga wa jadi ni hayo maandishi ya kiarabu. Ndo maana ata mapepo wakitolewa kanisani wanajiita majina ya kiarabu. Hii dini chimbuko lake ni miungu ya kiarabu, ipo siku mtafunguka macho tu
@tbm7tv2579 күн бұрын
Qur,an 8:2
@aizzyashery55649 күн бұрын
Kumbe ulifanya utafiti mkubwa kwa swali gumu kumbe ndacha ni mwalimi wako lakini anaweza pia kuwa mwanafunzi wako ila si kielimu ila kiimami na ujuzi wa kutambua maandiko
@zuberkasim715010 күн бұрын
1) wafalme 22-21 2) mambo yanyakati 18-20 mungu anafanya kazi na pepo msafi Aumimi sijaelewa apo? Mnisaidie
@idarousidarous9 күн бұрын
Malaika wameumbwa Kwa nuru na majini wameumbwa Kwa moto kwaiyo majini na Malaika ni viumbe tofauti
@WilsonWacira9 күн бұрын
Wapi jini kubwa
@JamesMoses-jd1yq10 күн бұрын
Ndacha hana mpinzani huku mnapiga kelele tu yaani wapumbavu wote
@tbm7tv2579 күн бұрын
Wakristo hamna hoja
@user-tz8zu2gt6u8 күн бұрын
@@JamesMoses-jd1yq sasa unaona huyu shafii analakusema huyu ni kabubu tu eti majini wazuri na chakula Chao ni damu yabinadamu Hawa ndio wanasababisha maajali barabarani kwa kuwatoa kafara binadamu washindwe katika jina la bwana wetu yesu kristo aliyehai
@user-fw2el2ws7z10 күн бұрын
Kulingana nampangilio ya uislamu ..uislamu ni dini ya Mungu
@JamesMoses-jd1yq10 күн бұрын
Kama wew dume mwite ndacha
@charlesmakuri79210 күн бұрын
Mpaka hapo Ndacha sitisha mjadala zidi ya huyu elimu yake ndogo
@jacksonngusi412210 күн бұрын
Huyu shafiii kwa elimu yake hatoshi kabisaa kwa ndacha
@charlesboniphace224910 күн бұрын
Shekhe una shule ndogo sana 😂😂😂😂
@loysamwel63089 күн бұрын
Shafi wacha uwongo njoo kwaye mjadala
@user-tv9iv8ij1n9 күн бұрын
kama hawaajui mbona utaki kukutana na ndacha
@shabamuhidin6349 күн бұрын
Uyo Ndacha ako na utoto sana,si walishafanya mdahalo na akina Yusuf Wambugu kuhusu Jumamosi? si alishindwa kutoa andiko mpaka leo Jumamosi imeandikwa wapi katika Bibilia...leo anakuja kumsumbua Sheikh Shafi kuhusu Jumamosi tena
@beyondsavanna602810 күн бұрын
Usiruke kabla ya ngoma
@machindafadhili318610 күн бұрын
Nasoma comments tu
@stevenmponzi816810 күн бұрын
majini hawana vizazi bhna sasa kwan kama ni malaika walioasi kwani malaika wanazaaa we endelea na majini yako
@hamisilusambi10 күн бұрын
Katika imani ya kiislam majini sio malaika nawala hawana asili ya malaika..ndio mana majini huzaliana tofaut na malaika
@zuberkasim715010 күн бұрын
Ata ukiangalia ile surat jini mtume muhammad anafunuliwa habari za majini ambazo alikuwa hazijui sio Kuabudu majini
@petermgonja85479 күн бұрын
Jamanieeee tuache ushabiki wadau . Tuwapelekeni uwanjani tujue Nani mkweli. Ila huyu hachukui raundi mbili. Huyu ni mpole ni aheri sule
@abdallahhanafi696310 күн бұрын
Kwani wew una ushahidi wa kusema majin hawana kizazi?maana majin ni viumbe ambao wameletwa dunian kwa lengo la ibada,sasa ingekuwa hawazalian si wangekuwa wameisha duniani?kwa sababu wanakufa hao pia,musilete uwana cha kwenye suala la iman
@prochesernest543910 күн бұрын
Wewe hayo mazishi ya majini hulishauzuri na uliwaona wapi majini yanazaliana ? Ndomaana wakristo tunasema nyie waislamu mnamausiano na majini mapepo wachafu mashetani yaliletwa Kwa Muhammad awasilimishe
@stephanojoseph435710 күн бұрын
Kwahyo kwenye uislamu shetani Anaweza kumrejea mwenyezi Mungu kwa kutibu au ameshahukumiwa??
@hamisisaid-zz2ye9 күн бұрын
Kuna tofauti kati ya shetani na majini kaka shetani ni mmoja tu aliyefukuzwa kwa ufalme wa mbinguni ila majini ni wengi tu kma wanadamu walivyo tafuta elimu ufahamu kaka Wacha ushindani
@leonardadd10 күн бұрын
Majini ilislimu, ila sio kubatiza
@sosom1410 күн бұрын
Kichwa unga wewe
@stevenmponzi816810 күн бұрын
Nan kakwambia majini wana kizazi
@salisali373810 күн бұрын
Mm apa
@JamesMoses-jd1yq10 күн бұрын
Majini ni upuuzi
@BURUNDIB10 күн бұрын
Hhhhh we mujadala hawuwezi kabisa
@ramadhanmahongole92939 күн бұрын
Kumbe shafii unajua ukweli kwamba yesu ndio njia ya kweli na uzima adi unaamini maneno yake "na uzima wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee na yesu kiristo ulie mtuma"sasa huko kwa mhammad unachelewea nini?
@huseinshedrack61809 күн бұрын
Ww ndio uelewa huna,hakuna Muislam asie mkubal Yesu na ukiwa Muislam halafu umuamin Yesu ww ni moton, Uisilam unatufunza kuamin Manabii wote wa Mwenyez Mungu sisi hatubagui Nabii hta mmoja
@ramadhanmahongole92939 күн бұрын
@@huseinshedrack6180 mbona mnamswalia mtume mhammad why ana makosa gani mbona Yesu kristo hamumswalii?
@ramadhanmahongole92939 күн бұрын
@@huseinshedrack6180 uzuri wauslamu mnajua ukweli uko wapi ila hamtaki kukubali na kuritad muwe wakiristo tu mnajua kabisa mtume wenu hana uwezo wa kuwaombea dua badala yake nyie ndio mnafanya kazi ya kumswalia yeye kila siku sasa iweje mitume wengine km Yesu kristo mshindwe kumswalia lkn mhammad mnamswalia jibu ni kwamba mmeshajua yesu kristo ni mwana wa Mungu muumba mbingu na ardhi hivyo hana madhambi ila mhammad ana madhambi ndmn mnamswalia
@huseinshedrack61809 күн бұрын
@@ramadhanmahongole9293 ndio maana nikakwambia huna elim ya din,hii sio zama za Yesu ni zama za Mtume Muhammad ndio maana tuna mtaja yy,Kwan zama za Nabii Mussa Yesu alikuwepo...?na km hakuwepo na nyie mnasema Ukristo ulikuwepo wakristo wa zama hzo walikuwa wanamtaja Yesu...?leo Tz Rais wetu ni mama Samia hv watumish wanaweza kuapishwa kwa jina la Kikwete...?soma kwanza din ndio uje huku
@huseinshedrack61809 күн бұрын
@@ramadhanmahongole9293 unajua mm ndio maana nilihama ktk Ukristo huku kwenye Uisilam huwez Kuta Muislam ana mkashifu Mtume yeyote wa Mungu lkn nyie wakristo cjui mna shida gan aisee, Uisilam ume mpamba sn Yesu na mama yake,hvyo hta ukitaka haki Uisilam una haki kuliko Ukristo sababu una mzungumzia vzr huyo mnae muamin na Manabii wote
@user-tz8zu2gt6u9 күн бұрын
Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule
@user-tz8zu2gt6u9 күн бұрын
Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule
@user-tz8zu2gt6u9 күн бұрын
Shafiii uko chini sana ita jini akusaidie , jini amemsaidia sana sule