LEO USTADHI SHAFII AMETUBARIKI NA MOJA YA HISTORIA NGUMU KWENYE MAISHA YAKE ALIYOPITIA ALIPOENDA KUFANYA MHADHARA KATIKA NCHI YA MSUMBIJI
Пікірлер: 59
@user-li2el5vb8w24 күн бұрын
Mash Allah' Shekh' SHAFII' ALLAH Akujaalie Afya naakupe mwisho mzuli ufe ukiwa umetoa shahada.
@muznazahra45524 күн бұрын
Uchafu wote wameubandikiza UISLAM,JAMANI TUTAFUTENI ELIMU KWA WATU WENYE LENGO LA ALLAH WALA SIYO KWA MASLAHI YA MTU MWENYEWE....MAUSTADH WENYE ELIMU NA IKHLASWI...
@JosephMwamlima-j5i11 күн бұрын
Asee hii simulizi inasikitisha sana
@muznazahra45524 күн бұрын
Umeengea vizuri sana Shekh wetu ,bikhusus ulovyoelezea jihadi ....Mashallah...Ahsantum....
@myself412818 күн бұрын
Akili yako haina akili
@issarashid770724 күн бұрын
MaashaAllah Allah atupe mwisho mwema
@SafiaOmar13 күн бұрын
Allah akujaalie mwisho mwema. Na akujaalie pepo ya Firdausi sheikh Shafi
@fahadfahmy12 күн бұрын
amin
@OHAAOHAA12 күн бұрын
MaashaAllah ALLAH atakulipa kheri Mimi nataka namba za ustadhi shafi
@muznazahra45524 күн бұрын
NAKUOMBEA MWISHO MWEMA SHEKH WETU...
@IddyMbarak19 күн бұрын
Alla awafahamishe hao maqafili
@innocentndikumana892824 күн бұрын
safi sana sheikh shafi usikatetama kupiganiya dini ya Allah ❤
@harshkirit678016 күн бұрын
@@innocentndikumana8928 Ameen
@immtm493010 күн бұрын
Allah awalipe kila la kheri duniani na akhera.. poleni sana walimu wetu .. bidhaa za M.Munhgu ni ghali sana,.. hakika bidhaa ya M.Mungu ni pepo! Bishara Njema!
@muznazahra45524 күн бұрын
Allah kuwanusuru..poleni sana Allah awape ajri ya yale yote mlosubiri....ni mtihani khaswa.😢
@abdululiza39224 күн бұрын
Assalamualaikum umeongea vizuri sana sheikh ila nawaomba wahadhiri msigombane
@muznazahra45524 күн бұрын
Umeamsha wengi na wengi wasiokua hata waislam wamezinduka....
@jimjam-xg7rv24 күн бұрын
Maa Shaa ALLAH 💚
@user-bf3mm5wu1s16 күн бұрын
Polen sana ndugu zetu wa islamu
@lawmaina7821 сағат бұрын
Msumbiji imeharibiwa na Uislamu, sasa mnakwenda kufanya nini huko, hiyo dini ya muarabu imekua kero dunia hii.
@sukumaganga261323 күн бұрын
Pole Sana kaka kwa mtihani
@SwahibuAthuman-yv2mn20 күн бұрын
Pole sana sheikhee
@user-nm2pr1xz6u17 күн бұрын
Pole sana Sheikh wetu
@mwanaidikellner765316 күн бұрын
Napenda masimulizi ya huyu Baba❤
@saidimdoe524621 күн бұрын
Upo sawa shekhe
@allyway99924 күн бұрын
Allah akujaalie sana shekhe shafi
@muznazahra45524 күн бұрын
Wanatuhumu sana watu na Mashekh wanaojua kuunganisha watu na uislam ,na MAGAIDI WA KWELI HAONEKANI NA HAWATAJWI ILA WANAWATUMIA WATU WENGINE WASIOJUA HATA NINI DINI ? NA NINI UBINADAMU....MLIKUA MWAWINDWA BILA KUJUA...KWA KTUMIA DOCUMENTS ALLAH AWAHIFADHI MUBALIGHIN WA KWELI NA WALA SIO ....ALLAH NDIYE MWENYE KUJUA NA NDIYE MWENYE KUHIFADHI...
@muznazahra45524 күн бұрын
Wanaojificha katika DINI YA UISLAM WANASABABISHA KUHATARISHA MAOSHA YA MAULAMAA WENGI NA KUUCHAFUA UISLAM...😢😢
@user-tz8zu2gt6u22 күн бұрын
Huku kwetu uisilamu nikuwa kwingi ndio kuingia peponi , aisee hii dini ni hatari maqlishababu
@amoschacha288524 күн бұрын
Simuluzi Mimi nawafuatilia sana toka mbogo alivyoongea na Shafy , mbogo wakati anaongea kaongea vizur sana na yeye kasema alikuwa kiongoz na shafiy hapa anasema alikuwa kiongoz hebu mtafute Hamidu nae atueleze ukweli wake hapa naona kila mtu. Anavuta kwake
@SIMULIZIZONE24 күн бұрын
@@amoschacha2885 sawa
@ahmedmpimbi968422 күн бұрын
@@amoschacha2885 kaka nafikiri wewe mwenyewe unaweza kuona mhadhiri na anaemsaidia kusoma nani ni rahisi kua kiongozi, mfano ktk debate nyingi utaona labda dr. Sule na Ndacha afu Hamidu anakua msomaji
@muznazahra45524 күн бұрын
Kiongozi mwenye busara ndiyo misk ya nafsi za watu....
@muznazahra45524 күн бұрын
Wamechafua Dini na kuwadanganya wengi wasojua ,ahsantum kuna kitu wengi hawakijui ....jamani wafundishwe watu wajue huo siyo Uislamu ,maana hata kafiri hafai kuuawa ,...
@lucaswanyonyi403710 күн бұрын
Ila tu.s hekhe hujui.niko kenya
@maestro961818 күн бұрын
Ila imam shafii😂😂dah kun mda lazima akuchekesheee 😢😢😢ila maashallah
@Pelegrinoemanuel11 күн бұрын
Nje mnasema hivi ndani mnasemq ukiuwa mkristo unaenda peponi
ulimchapa sule vikali...leo unakuja kuonyesha jinsi gani unamkubali...na kumbe alikichukulia kama mdogo wake katika daawa😊
@nubianqueen670023 күн бұрын
Mwenye dini ni Allah, kwa hiyo mtu yeyote anayekosea katika dini atakosolewa hata na ndugu yake, Hai maanishi watu wamekua maadui.
@AbasMabuli23 күн бұрын
Tumia akili basi, Hapo anaelezea story na mchakato ulivyokua, We unaleta ushabiki maandazi apa, Kwahiyo Sulle alikosea aachwe kwa sababu dini ni mali yake au!
@user-hi8le2vb7z23 күн бұрын
@@AbasMabuli imebidi nicheke 😄😄🙃
@ramahassan551522 күн бұрын
Kunakitu hujaelewa kwakua alimuita mdogo wake akikosea lazima arekebishwe hata kama Kawa mkubwa
@mbalilax16223 күн бұрын
nice story....sema waislam ni makatili huo ndio ukweli.
@sultansallah877223 күн бұрын
Tatizo hujui maana ya neneo islam
@mbalilax16222 күн бұрын
@@sultansallah8772 nimeenda kuangalia maana yake....nimegundua ata wewe unaweza kujilipua alafu useme ni "submission to the will of God"
@HanifaOman-oo4pl11 күн бұрын
Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana
@HanifaOman-oo4pl11 күн бұрын
Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana
@maase202318 күн бұрын
Huyu jamaa fix sana
@user1337524 күн бұрын
Kulipiza nako ni ushetani tu😮😮
@mashakamwinula379723 күн бұрын
Haayo nimaneno yako hatufuati mtu bali kitabu
@user1337523 күн бұрын
@@mashakamwinula3797 msikilize shehk anavosema jihadi ni kulipiza kisasi🤔🤔🤔
@swafiirbulbul81923 күн бұрын
Qur’an ni tofauti na Biblia.. Ninyi mnafundishwa "akupigae shavuot la kulia, mgeuzie na la kushoto".. (maumbile yanakataa) ... sisi sio punda. Sisi Waislamu, "Jino kwa Jino" ... 🎉 ..
@abdulnaseermrisho434221 күн бұрын
Dini yetu haitaki unyonge,ni jino kwa jino,kisu kwa kisu,upanga kwa upanga,yaani hakuna kukaa kizembe