TULIYOYAPITIA KATIKA GEREZA LA KIFO MSUMBIJI TUKANUSURIKA KUNYONGWA KWAAJILI YA UISLAMU

  Рет қаралды 26,432

SIMULIZI ZONE

24 күн бұрын

LEO USTADHI SHAFII AMETUBARIKI NA MOJA YA HISTORIA NGUMU KWENYE MAISHA YAKE ALIYOPITIA ALIPOENDA KUFANYA MHADHARA KATIKA NCHI YA MSUMBIJI

Пікірлер: 59
@user-li2el5vb8w
@user-li2el5vb8w 24 күн бұрын
Mash Allah' Shekh' SHAFII' ALLAH Akujaalie Afya naakupe mwisho mzuli ufe ukiwa umetoa shahada.
@muznazahra455
@muznazahra455 24 күн бұрын
Uchafu wote wameubandikiza UISLAM,JAMANI TUTAFUTENI ELIMU KWA WATU WENYE LENGO LA ALLAH WALA SIYO KWA MASLAHI YA MTU MWENYEWE....MAUSTADH WENYE ELIMU NA IKHLASWI...
@JosephMwamlima-j5i
@JosephMwamlima-j5i 11 күн бұрын
Asee hii simulizi inasikitisha sana
@muznazahra455
@muznazahra455 24 күн бұрын
Umeengea vizuri sana Shekh wetu ,bikhusus ulovyoelezea jihadi ....Mashallah...Ahsantum....
@myself4128
@myself4128 18 күн бұрын
Akili yako haina akili
@issarashid7707
@issarashid7707 24 күн бұрын
MaashaAllah Allah atupe mwisho mwema
@SafiaOmar
@SafiaOmar 13 күн бұрын
Allah akujaalie mwisho mwema. Na akujaalie pepo ya Firdausi sheikh Shafi
@fahadfahmy
@fahadfahmy 12 күн бұрын
amin
@OHAAOHAA
@OHAAOHAA 12 күн бұрын
MaashaAllah ALLAH atakulipa kheri Mimi nataka namba za ustadhi shafi
@muznazahra455
@muznazahra455 24 күн бұрын
NAKUOMBEA MWISHO MWEMA SHEKH WETU...
@IddyMbarak
@IddyMbarak 19 күн бұрын
Alla awafahamishe hao maqafili
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 24 күн бұрын
safi sana sheikh shafi usikatetama kupiganiya dini ya Allah ❤
@harshkirit6780
@harshkirit6780 16 күн бұрын
@@innocentndikumana8928 Ameen
@immtm4930
@immtm4930 10 күн бұрын
Allah awalipe kila la kheri duniani na akhera.. poleni sana walimu wetu .. bidhaa za M.Munhgu ni ghali sana,.. hakika bidhaa ya M.Mungu ni pepo! Bishara Njema!
@muznazahra455
@muznazahra455 24 күн бұрын
Allah kuwanusuru..poleni sana Allah awape ajri ya yale yote mlosubiri....ni mtihani khaswa.😢
@abdululiza392
@abdululiza392 24 күн бұрын
Assalamualaikum umeongea vizuri sana sheikh ila nawaomba wahadhiri msigombane
@muznazahra455
@muznazahra455 24 күн бұрын
Umeamsha wengi na wengi wasiokua hata waislam wamezinduka....
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 24 күн бұрын
Maa Shaa ALLAH 💚
@user-bf3mm5wu1s
@user-bf3mm5wu1s 16 күн бұрын
Polen sana ndugu zetu wa islamu
@lawmaina78
@lawmaina78 21 сағат бұрын
Msumbiji imeharibiwa na Uislamu, sasa mnakwenda kufanya nini huko, hiyo dini ya muarabu imekua kero dunia hii.
@sukumaganga2613
@sukumaganga2613 23 күн бұрын
Pole Sana kaka kwa mtihani
@SwahibuAthuman-yv2mn
@SwahibuAthuman-yv2mn 20 күн бұрын
Pole sana sheikhee
@user-nm2pr1xz6u
@user-nm2pr1xz6u 17 күн бұрын
Pole sana Sheikh wetu
@mwanaidikellner7653
@mwanaidikellner7653 16 күн бұрын
Napenda masimulizi ya huyu Baba❤
@saidimdoe5246
@saidimdoe5246 21 күн бұрын
Upo sawa shekhe
@allyway999
@allyway999 24 күн бұрын
Allah akujaalie sana shekhe shafi
@muznazahra455
@muznazahra455 24 күн бұрын
Wanatuhumu sana watu na Mashekh wanaojua kuunganisha watu na uislam ,na MAGAIDI WA KWELI HAONEKANI NA HAWATAJWI ILA WANAWATUMIA WATU WENGINE WASIOJUA HATA NINI DINI ? NA NINI UBINADAMU....MLIKUA MWAWINDWA BILA KUJUA...KWA KTUMIA DOCUMENTS ALLAH AWAHIFADHI MUBALIGHIN WA KWELI NA WALA SIO ....ALLAH NDIYE MWENYE KUJUA NA NDIYE MWENYE KUHIFADHI...
@muznazahra455
@muznazahra455 24 күн бұрын
Wanaojificha katika DINI YA UISLAM WANASABABISHA KUHATARISHA MAOSHA YA MAULAMAA WENGI NA KUUCHAFUA UISLAM...😢😢
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 22 күн бұрын
Huku kwetu uisilamu nikuwa kwingi ndio kuingia peponi , aisee hii dini ni hatari maqlishababu
@amoschacha2885
@amoschacha2885 24 күн бұрын
Simuluzi Mimi nawafuatilia sana toka mbogo alivyoongea na Shafy , mbogo wakati anaongea kaongea vizur sana na yeye kasema alikuwa kiongoz na shafiy hapa anasema alikuwa kiongoz hebu mtafute Hamidu nae atueleze ukweli wake hapa naona kila mtu. Anavuta kwake
@SIMULIZIZONE
@SIMULIZIZONE 24 күн бұрын
@@amoschacha2885 sawa
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 22 күн бұрын
@@amoschacha2885 kaka nafikiri wewe mwenyewe unaweza kuona mhadhiri na anaemsaidia kusoma nani ni rahisi kua kiongozi, mfano ktk debate nyingi utaona labda dr. Sule na Ndacha afu Hamidu anakua msomaji
@muznazahra455
@muznazahra455 24 күн бұрын
Kiongozi mwenye busara ndiyo misk ya nafsi za watu....
@muznazahra455
@muznazahra455 24 күн бұрын
Wamechafua Dini na kuwadanganya wengi wasojua ,ahsantum kuna kitu wengi hawakijui ....jamani wafundishwe watu wajue huo siyo Uislamu ,maana hata kafiri hafai kuuawa ,...
@lucaswanyonyi4037
@lucaswanyonyi4037 10 күн бұрын
Ila tu.s hekhe hujui.niko kenya
@maestro9618
@maestro9618 18 күн бұрын
Ila imam shafii😂😂dah kun mda lazima akuchekesheee 😢😢😢ila maashallah
@Pelegrinoemanuel
@Pelegrinoemanuel 11 күн бұрын
Nje mnasema hivi ndani mnasemq ukiuwa mkristo unaenda peponi
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 11 күн бұрын
@@Pelegrinoemanuelww mjinga nanikasema ukiuwa mkiristo unaenda peponi wwmnafki sana ucha ubwege waislam hatupohivyo hatufanyihivyo
@edwinismail9401
@edwinismail9401 15 күн бұрын
vita ya albadri mtume alifukia visima, vita ya mtaro mtume aliamrisha wayahudi wote wakiume wauawe wawe watoto au lah.
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i 22 күн бұрын
Ule upande wa moenda kuna maeneo kuna migodi ndicho wanacho gombea na nyuma yake kuna mtu mweupe akiwemo na mportugues
@armindodamiao3201
@armindodamiao3201 19 күн бұрын
Docta sulle alinshitua majini yake
@Pelegrinoemanuel
@Pelegrinoemanuel 11 күн бұрын
Kwahiyo kuuwa bila holela kunauhusiwa? Dini ya shetani hiii .Mungu anasema usiuwe halafu nyie eti muue yaan nyie wote ni finally jehanam
@saidisudi6129
@saidisudi6129 2 күн бұрын
@@Pelegrinoemanuel jitathmini akili yako Haina afya
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 24 күн бұрын
ulimchapa sule vikali...leo unakuja kuonyesha jinsi gani unamkubali...na kumbe alikichukulia kama mdogo wake katika daawa😊
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 23 күн бұрын
Mwenye dini ni Allah, kwa hiyo mtu yeyote anayekosea katika dini atakosolewa hata na ndugu yake, Hai maanishi watu wamekua maadui.
@AbasMabuli
@AbasMabuli 23 күн бұрын
Tumia akili basi, Hapo anaelezea story na mchakato ulivyokua, We unaleta ushabiki maandazi apa, Kwahiyo Sulle alikosea aachwe kwa sababu dini ni mali yake au!
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 23 күн бұрын
@@AbasMabuli imebidi nicheke 😄😄🙃
@ramahassan5515
@ramahassan5515 22 күн бұрын
Kunakitu hujaelewa kwakua alimuita mdogo wake akikosea lazima arekebishwe hata kama Kawa mkubwa
@mbalilax162
@mbalilax162 23 күн бұрын
nice story....sema waislam ni makatili huo ndio ukweli.
@sultansallah8772
@sultansallah8772 23 күн бұрын
Tatizo hujui maana ya neneo islam
@mbalilax162
@mbalilax162 22 күн бұрын
@@sultansallah8772 nimeenda kuangalia maana yake....nimegundua ata wewe unaweza kujilipua alafu useme ni "submission to the will of God"
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 11 күн бұрын
Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 11 күн бұрын
Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana
@maase2023
@maase2023 18 күн бұрын
Huyu jamaa fix sana
@user13375
@user13375 24 күн бұрын
Kulipiza nako ni ushetani tu😮😮
@mashakamwinula3797
@mashakamwinula3797 23 күн бұрын
Haayo nimaneno yako hatufuati mtu bali kitabu
@user13375
@user13375 23 күн бұрын
@@mashakamwinula3797 msikilize shehk anavosema jihadi ni kulipiza kisasi🤔🤔🤔
@swafiirbulbul819
@swafiirbulbul819 23 күн бұрын
Qur’an ni tofauti na Biblia.. Ninyi mnafundishwa "akupigae shavuot la kulia, mgeuzie na la kushoto".. (maumbile yanakataa) ... sisi sio punda. Sisi Waislamu, "Jino kwa Jino" ... 🎉 ..
@abdulnaseermrisho4342
@abdulnaseermrisho4342 21 күн бұрын
Dini yetu haitaki unyonge,ni jino kwa jino,kisu kwa kisu,upanga kwa upanga,yaani hakuna kukaa kizembe
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 9 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 11 МЛН
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 30 МЛН
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН