No video

UTAPENDA: MBWEMBWE ZA MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE SHEREHE ZA UHURU MWANZA

  Рет қаралды 1,119,615

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

UTAPENDA: MBWEMBWE ZA MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE SHEREHE ZA UHURU MWANZA
Dec 9, 2019 Rais Dkt John Magufuli ameongoza maelfu ya watanzania katika sherehe za miaka 58 ya uhuru na miaka 57 ya Jamhuri.
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEW:
www.youtube.co...

Пікірлер: 406
@scolabahame2214
@scolabahame2214 3 жыл бұрын
Dah wangapi wamekuja hapa baada ya kufaliki rais wetu 😭😭
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 3 жыл бұрын
Siamini mpaka leo kazi ya mungu haina makosa
@scolabahame2214
@scolabahame2214 3 жыл бұрын
Inauma Jamani dah
@evflorasoledad1437
@evflorasoledad1437 3 жыл бұрын
Ni uchungu ila inabidi tukubali ameondoka usoni mwa dunia, may his soul RIP.
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
😭😭😭🥺🥺
@ignaciohugo1334
@ignaciohugo1334 3 жыл бұрын
i know Im asking randomly but does anybody know a tool to get back into an instagram account? I stupidly forgot my login password. I appreciate any help you can give me.
@evelynebwire7684
@evelynebwire7684 3 жыл бұрын
Sikujua Kama nilikuwa nakupenda kiasi hiki, kila ninapokuona najikuta ninalia nashindwa kujizuia, Lala kwa amani Rais wetu mpenzi watanzania tutaendelea kukupenda baba, pumzika kwa amani, vijana tutakuenzi kwa kufanya kazi kwa bidii
@quenelizabeth7138
@quenelizabeth7138 3 жыл бұрын
Kweliii kabisaaa daaaaah
@eutropiagabone1180
@eutropiagabone1180 3 жыл бұрын
Hakika
@masatumtani1588
@masatumtani1588 Жыл бұрын
Acha tu huyu baba kajua kutuliza
@smmak7140
@smmak7140 3 жыл бұрын
Nitakukumbuka daima JPM , hakika niliupenda sana uongozi wako kwangu mimi nasema we ni rais bora sana kuwahi kutokea hapa Tanzania ! Hatuna budi zaidi ya kumshukuru mungu tu
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 3 жыл бұрын
Mungu akupe afya njema Rais Makufuli uinyanyue tanzania iyonekane kama inchi nyingine yaarabi. 🤲🤲 Nimezaliwa tanzania nimesoma tanzania ingawa wazazi wangu NI waarabu nasasa niko KWA wazazi wangu Oman bado nasema tanzania NI KWA mabibi nzangu tanzania hoyeeeeeee NA chama cha ccm kindumu👍👍💕💕💕💕
@victorguapo7827
@victorguapo7827 3 жыл бұрын
Asee jaman
@eliathomas8446
@eliathomas8446 3 жыл бұрын
Sijawah mpenda mtu Kama nilivyompenda. Huyu
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 3 жыл бұрын
Yaani ata mtu kuongea mengi unaogopa kuogopa kukufuru Sana alikuwa na chita ya ajabu,alafu kinachotuuma alituonesha Tanzania sio masikini elaipo,miaka 5 Tanzania imebadirika, Dodoma imependeza ,wengine walikuwa wafungua mibank nje ya nchi kuficha ela wanaichi,nchi inanuka lakini yeye ametuonjesha,wengine tuko mbali atuli kulia tu,mda mwengine nasema angemfikishia miaka kama ya mkapa,huyu baba ameniumi kama nilivyo kafiwa na wazazi wangu wote wawili, mtoto wangu alifia tumboni Sina tena mtoto leo baba yetu inauma,tuko nchi zawaru tulikuwa wanatuheshimu kumogopa yeye sasa leo atapatikana kweli kama huyu.
@happynessmsele3638
@happynessmsele3638 3 жыл бұрын
Yani weacha tu tulimpenda sana rais wetu ila mwenyez mung kampenda zaidi hatuna jinsi nikumwombea 2
@gracejulius3966
@gracejulius3966 3 жыл бұрын
Same to Me . Am so confused
@hemednassour4763
@hemednassour4763 3 жыл бұрын
umempita mpenzi wako kwa upendo
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 жыл бұрын
Mie mwenyewe nashangaa kifo chake kimeniuma Sana mpaka Leo hi mwaya 😭😭😭
@deogratiuskweka8488
@deogratiuskweka8488 3 жыл бұрын
He has lived his life fully in a great way for his country! Tuliobaki tumejifunza sana! Kwa yote hayo tuna mshukuru Mungu!
@dynesjohn1986
@dynesjohn1986 2 жыл бұрын
RIP mwamba
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 4 жыл бұрын
Nakupenda sana Rais wangu John Pombe Magufuli MUNGU akupe afya njema maisha marefu wewe pamoja na familia yako ubarikiwe sana kwa moyo wako wa uzalendo na upendo WA kweli kwa wananchi wako bila ubaguzi wa kisiasa kidini wala kikabila
@carolinemugoli1140
@carolinemugoli1140 3 жыл бұрын
😭😭😭😭 Nenda baba weye nenda tu, kaongoze wa malaika Mbinguni kwa baba RIP dady I will love you forever
@jacksonsolomon1948
@jacksonsolomon1948 3 жыл бұрын
Tutakuezi
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 жыл бұрын
@@jacksonsolomon1948 kabisa
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 жыл бұрын
Msitushirikishe kufru zenu tafadhali..!
@jamesmagumba6370
@jamesmagumba6370 4 жыл бұрын
Wooow That is my president may god protect you and give you more Wisdom to lead and guide and protect our motherland Tanzania!! Mungu Ibariki Tanzania
@rjkadelo6315
@rjkadelo6315 4 жыл бұрын
Tz mfano baran Africa like zenu jmn
@petermarua1375
@petermarua1375 4 жыл бұрын
Ur just stupid asking for likes are u fightin self confidence
@abdulahiramadhan2000
@abdulahiramadhan2000 4 жыл бұрын
Ubora uko wapi hapo sasa ukilinganisha ara na Burundi are more advance and exemplary to many. ..
@nawihadj6674
@nawihadj6674 4 жыл бұрын
@@abdulahiramadhan2000 ww unatakaa boraa gan zaid ya amani kobe ww
@wizydeko1496
@wizydeko1496 3 жыл бұрын
Kweli
@ezekielmburu3418
@ezekielmburu3418 3 жыл бұрын
Kama jeshi lenu wanavaa mavazi yenye rangi white,red ambazo hazimo kwa bedera yenu, what flag do your forces defend
@estarjuma7983
@estarjuma7983 4 жыл бұрын
Naipenda Tanzania 🇹🇿 yang ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@stevenmaketa8051
@stevenmaketa8051 4 жыл бұрын
Aaaana kiongozz
@joanatemo1858
@joanatemo1858 4 жыл бұрын
Rais mchapa kazi nampenda sana mwaminifu hapendi ufisadi,anawajali wanyonge..huku kwetu ni ufisadi tu.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@steveswakei9600
@steveswakei9600 4 жыл бұрын
Kwenyu ni wapi? Mtu aitwaye lutu ama ruto wa kwenu huyo kweli?
@ummybabe1600
@ummybabe1600 4 жыл бұрын
@@steveswakei9600 hahaa 😹 😹 😹
@evansmlalo4049
@evansmlalo4049 4 жыл бұрын
Sasa wewe hauijui Tanzania. Magufuli ni Fisadi sana haujui tu. Uliona wapi Rais anafanya manunuzi ya mali za umma hata Waziri wa fedha na wabunge hawajui ha ha ha ha. Aliwakuta Watanzania ni wapole na elimu yao Duni sana. Hata Rais wa Marekani hafanyi purchasing ya Mali ya Umma. Mwishi tulichelewa kujua hizi sherehe zinafanyikia kwenye miamba tungeshamaliza kazi.
@ahmedibrahim-bg2uz
@ahmedibrahim-bg2uz 4 жыл бұрын
Jomba kwenu wapi CCM Chama Cha Matapeli huku Kuna super super corruption
@jameskanai1011
@jameskanai1011 4 жыл бұрын
I actually dont know whether to laugh or cry...
@peterwaithaka576
@peterwaithaka576 4 жыл бұрын
Hakuna rais ninayempenda duniani Kama magufuli
@maikomaneno639
@maikomaneno639 3 жыл бұрын
Ee Mungu baba ilaze roho ya rais wetu magufuli mahali pema peponi amina na tujaalie aje raisi mwengine kama huyu tanzania tunakuomba baba Mungu amina
@josephmuchiri3180
@josephmuchiri3180 2 жыл бұрын
Daaaaa?siamini nampenda sana GENERALY MAGUFURI
@farajastudioandstationery5798
@farajastudioandstationery5798 3 жыл бұрын
Dah! Nmemis sana Magufuli wetu mie! Basi tu... Eeeh Mungu muweke mahali pema peponi kiongozi wetu mashuhuri, jasiri asiyejikweza, Mwenye mapenzi na nchi yake, mzalendo na mtetezi wa Wanyonge
@metrinemetrine3449
@metrinemetrine3449 3 жыл бұрын
Alikua wa kipekee Rais maghufuli pumzika baba God has already given you the crown
@mekajamtv9603
@mekajamtv9603 4 жыл бұрын
Wanaosubiria uteleze watasur sana,big up our prezda
@melkizedekiwiliam5533
@melkizedekiwiliam5533 4 жыл бұрын
Halo! Kweli eatasubiri sana tu.
@melkizedekiwiliam5533
@melkizedekiwiliam5533 4 жыл бұрын
Halo! Kweli na watasubir sana tu
@salmaismail2363
@salmaismail2363 4 жыл бұрын
😊😊
@johnplacid8885
@johnplacid8885 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 mi mwenye w niliwaza hilo bt nakuambuka shamba kwenekuhesabu hekari oyoooooo 🏃🏃
@janethjustin5256
@janethjustin5256 4 жыл бұрын
Haki tena hahahhaa
@marykingi30
@marykingi30 3 жыл бұрын
Machoni umetuondokea moyoni utabaki milele😭😭😭💔💔
@jocentmakule3861
@jocentmakule3861 4 жыл бұрын
Nampenda Rais wangu Mungu ampe maisha maref na hekima kubwa alio nayo ya kuliongoza Taifa hilli kwa maadili ya dini zote
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 жыл бұрын
son of Suzana and Joseph Magufuli! salute!!!
@jaffarkhamis1061
@jaffarkhamis1061 4 жыл бұрын
Penda sana raisiiiii wa mimi mungu mbariki raisi wetu mungu inabariki Tanzania yetu hadiiiii rahaaaa ett
@christinamsuya8857
@christinamsuya8857 3 жыл бұрын
Baba umelala ,aah! Kwel hatutakuona tena hapa dunian nenda baba😭😭😭😭😭
@bellbell9294
@bellbell9294 4 жыл бұрын
Rais wetu huyooo hongera Sana Rais wawanyonge mungu akubariki Sana shukraan kwa wote mlioko uwanja wa CCM kilumba
@tayomanzesekilosa.7149
@tayomanzesekilosa.7149 4 жыл бұрын
Golden state, golden Man never made twice, Mwamba wa Tanzania,,,asant MUNGU.
@elizabethbwakila6078
@elizabethbwakila6078 3 жыл бұрын
Baba weweeee mbona umetuweza wenzio😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭ahhhh RIP.
@magdalenapeter419
@magdalenapeter419 3 жыл бұрын
Yaani katukomoa mbonaaa.
@fahamnnikelewa6389
@fahamnnikelewa6389 3 жыл бұрын
Yaani huwezi Amin mbona tumeumbuka jamn
@twaliathandrea6610
@twaliathandrea6610 3 жыл бұрын
😭😭😭😭imetuuma kwa mtu wa fraha wa ukweli mkakamavu,jasiri,mwenye mapenzi kwetu. Ila kazi yamungu haina makosa. Amepumzika mwanaume. Dunia imejifunza kitu kutoka kwake
@oninaalay7167
@oninaalay7167 9 ай бұрын
Asante jenerali mabeo kwa ukakamavu uliotukuka na apumzike kwa amani rais wetu JPM 😢😢😢 😢
@eliajoseph6865
@eliajoseph6865 4 жыл бұрын
Nampenda raisi wangu Nani atavaa kiatu chake EE MUNGU mjalie afya njema J J POMBE MAGUFULI
@abduljussa114
@abduljussa114 4 жыл бұрын
Mi
@zakiarashed144
@zakiarashed144 3 жыл бұрын
Walah inauma sana
@ibrahimjumu2968
@ibrahimjumu2968 3 жыл бұрын
I love this ceremony. Great leader ever RIP . Never forgotten
@jombilozoo
@jombilozoo 3 жыл бұрын
CHUMA KIMESEPA DAAH
@pendooscar9322
@pendooscar9322 3 жыл бұрын
yaan ww acha dunia hii apana
@dottomwakitalu6366
@dottomwakitalu6366 2 жыл бұрын
@@pendooscar9322u
@giovanyke
@giovanyke 3 жыл бұрын
LALA salama mheshima Rais
@mariamuselemani153
@mariamuselemani153 4 жыл бұрын
Penda Sana rais magufuli penda Sana nnchi yangu Tanzania mungu atuhifadhi tuwe na upendo daima
@nillankhan3221
@nillankhan3221 4 жыл бұрын
Mariamu Selemani amina
@johnsonmeduwa6634
@johnsonmeduwa6634 Жыл бұрын
The best president Africa has ever had
@kaicy165
@kaicy165 3 жыл бұрын
Mwenyezi MUNGU ailaze roho yako katika amani ya milele kwenye mkono wake wa kuume,mimi nitakupenda daima rais wangu.
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 3 жыл бұрын
Dah lala in Peace baba wa taifa na rais shupavu wa Tanzania. Ninakukumbuka sana. Nchi sasa doesn't look the same.
@jocentmakule3861
@jocentmakule3861 4 жыл бұрын
Nipende kutoa pole kwa wana was Burundi kwa kumpoteza President Pierre Mungu awape wepesi
@makoyenyerere6521
@makoyenyerere6521 2 жыл бұрын
Tutakukumbuka Ndugu Yetu 🙏😭🙆😭😭😭😭
@iviejustified8109
@iviejustified8109 4 жыл бұрын
Mkuu wa majeshi Mabeyo Smart saana.... Amenifurahisha alivyoeenda ku synchronize steps za sir President.... Awesomeness
@steveswakei9600
@steveswakei9600 4 жыл бұрын
Wewe, hivyo ndivyo wewe huzungumza pia?
@hyasintndimbo2998
@hyasintndimbo2998 3 жыл бұрын
😭😭😭 R.I.P BABA YETU
@sarahyvonne4580
@sarahyvonne4580 3 жыл бұрын
He dd nt die,he wl be back on friday
@amaninaupendo.3539
@amaninaupendo.3539 4 жыл бұрын
Amen Amen. Mungu atupe upendo na amani na mshikamano was kweli. Amen.
@isaacsimi3711
@isaacsimi3711 4 жыл бұрын
Napenda Tanzania sana....Mungu awabariki sana🙏🙏🙏
@deborangowo4626
@deborangowo4626 3 жыл бұрын
Nalia kila nikaangalia video zako lkn huwa inanilazm kuangalia maana nakumc my President nitakupenda nakuombea mungu akupe pumzko jema
@judicamunisi3025
@judicamunisi3025 4 жыл бұрын
Magufuli is the best president in Africa Uishi milele JPM
@leanahbusanga8272
@leanahbusanga8272 3 жыл бұрын
Dah unauma 😭😭😭😭😭 rip baba
@mussanachingulu823
@mussanachingulu823 3 жыл бұрын
CHUMA...CHUMA...CHUMA... R.I.P mchora ramani wa pili wa Tanzania....
@mosesjames3627
@mosesjames3627 4 жыл бұрын
Rais mkakamavu maamuzi makakamavu vijana wakakamavu ..safi sana
@elishaworkout6116
@elishaworkout6116 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆 umenfrahisha sana
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 3 жыл бұрын
Rest In peace Rais wetu, Allah akupumzishe kwa Amani 👏
@estermathias8354
@estermathias8354 3 жыл бұрын
Hahaaaaa nenda tu baba yangu nitakupenda daima💔💔😭ulikua na roho saf wanaokuchukia ni vyeti feki na mafisad hata ss tunajua
@evelinamatete7474
@evelinamatete7474 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima R I P JPM
@sophiakasana2937
@sophiakasana2937 4 жыл бұрын
Penda sana Raisi wangu wa Tz
@lazarosilayo6918
@lazarosilayo6918 4 жыл бұрын
Wanausalama mpaka kwenye mistari ya kukaguliwa gwaride na nyieee mpooo,.. Eeeh!! 🙄,.. Big up Mh. Presdent, Magufuli🙏
@frenkienosi9761
@frenkienosi9761 4 жыл бұрын
Naipnda Tanzania
@janethjustin5256
@janethjustin5256 4 жыл бұрын
Hatari fire hahahah
@asantekwahuuwimbozubeda873
@asantekwahuuwimbozubeda873 4 жыл бұрын
Rais magufuli nakupenda sana kwa uwaminifu wako duniani na utakuwa mwaminifu hata mbinguni
@asantekwahuuwimbozubeda873
@asantekwahuuwimbozubeda873 4 жыл бұрын
Naipenda Tanzania nchi yangu mungu azidi kuibariki na viongozi wetu
@jessicarasigu2220
@jessicarasigu2220 3 жыл бұрын
Kwaukweli aliyemtoa Uyu Raisi wa Tz wanyonge uhai,je anaziona izi video zinazotutoa machozi😭😭😭😭😭😭😭 siye watanzania wanyoge!!!!!!!hakika JPM katutoka machoni mwetu 😭😭😭😭😭😭 Ila rohoni zetu ataishi Daima, 😭 Magufuli 😭 Magufuli mahakama Pumzika kwa Amani Raisi wetu kipenzi cha Watanzania
@sheiykingtv3713
@sheiykingtv3713 3 жыл бұрын
Rip Jembe la kazi..... We shall live to remember your tremendous work for Tanzania
@ridilumuluabo2656
@ridilumuluabo2656 3 жыл бұрын
Je suis de la Rdc et je pleure Jhon Magufuli. c'est un grand homme que l'afrique a perdu...💪
@raissafabien4285
@raissafabien4285 3 жыл бұрын
Et moi aussi. Nous perdons second thomas sankala. Les africais doivent de chercher l indépendance totale
@nureyna629
@nureyna629 3 жыл бұрын
17.03.2021 will always be remembered.
@mirajiathumani8221
@mirajiathumani8221 7 ай бұрын
Mungu mlaze mahala pema peponi jembe letu magufuli siku Moja tutaonana
@estherkimario7940
@estherkimario7940 3 жыл бұрын
Chuma kimeenda aisee 💔💔💔💔😭
@hawamohamedy1914
@hawamohamedy1914 3 жыл бұрын
Ningumu kukusahau ,naumia sana
@mysoulvideos8050
@mysoulvideos8050 4 жыл бұрын
Hongera mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli, nakupenda kwa kazi yako Tanzania nikiwa Kenya!!!!
@fadhiliakida8609
@fadhiliakida8609 4 жыл бұрын
Proud of my country
@agastokissatu2667
@agastokissatu2667 2 жыл бұрын
....sawa magufuli,kwa hiyo uliamua tuu,uondoke wakati tunakuhitaji,poa magu,pumzika brother....!!😭😭😭
@jamilaomariomari8328
@jamilaomariomari8328 3 жыл бұрын
We shall miss u indeed u were avery great man😭😭😭😭
@okamasnr4891
@okamasnr4891 3 жыл бұрын
This guy was so simple indeed...Hakuna story ya red-capert
@meshacknassary3394
@meshacknassary3394 4 жыл бұрын
Kama umesikia kanali luteni nassary naomba like😀😀
@paulichalamila969
@paulichalamila969 3 жыл бұрын
Kyamuuma
@ashantisamuel1685
@ashantisamuel1685 4 жыл бұрын
Rais Magifuli tunajivumia uwepo wako, tunatamani utuongoze milele😊
@mwanawevhudangwe7772
@mwanawevhudangwe7772 3 жыл бұрын
there will never be another Magufuli for Africa, will miss this man forever
@ezekielmburu3418
@ezekielmburu3418 3 жыл бұрын
Mwai kibaki, the best president ever
@frankmbiri8321
@frankmbiri8321 4 жыл бұрын
Very clear and concise
@rehemajoshua2022
@rehemajoshua2022 4 жыл бұрын
Big up Sana Rais Wangu, barikiwa Sana.
@ssjuma
@ssjuma 4 жыл бұрын
I really likes him, much love Mr. President Magufuli
@jamessilwamba2862
@jamessilwamba2862 4 жыл бұрын
mchapa kazi God bless him
@essauphilimen667
@essauphilimen667 4 жыл бұрын
Nakupendaa Sanaa Raisi we2
@josephinajosephu6859
@josephinajosephu6859 2 жыл бұрын
Kila nikitazama matukio yako naona kama bdo hujafa dad jmn😭😭uchungu hautaisha kukaa nikikukumbuka
@bethuelkiprono6139
@bethuelkiprono6139 4 жыл бұрын
oflate I admired Magufuli and Tanzanian life but with this parade KENYA has a very beautiful one. alot mistakes as compared to the one for KDF but it's good it has involved other security forces in Kenya it is kdf only. anyway ni TZ
@mosehweru
@mosehweru 3 жыл бұрын
This stadium... Really?
@SDM2024-z4s
@SDM2024-z4s 2 жыл бұрын
Once upon time in Tanzania
@nikumwalemba4841
@nikumwalemba4841 4 жыл бұрын
Tanzania yetu, Mungu Ahsante kwa Baraka zako ndani ya nchi yetu
@fahadsaid9616
@fahadsaid9616 3 жыл бұрын
I am going to miss you my president 💔
@emjay1016
@emjay1016 3 жыл бұрын
Fahad mwanasheria hujambo
@bensonleeshunia1047
@bensonleeshunia1047 Жыл бұрын
Hallelujah brother
@hadikastro5154
@hadikastro5154 4 жыл бұрын
Aman full of wisdom and knowledge
@stellamwangwala8063
@stellamwangwala8063 4 жыл бұрын
Rais umenifurahisha
@huseinramadhan184
@huseinramadhan184 4 жыл бұрын
Rais wetu huyooooooooooo,,,, miaka ishilin tena itapendeze Sana
@evansmlalo4049
@evansmlalo4049 4 жыл бұрын
Watu walio wajinga na Wapumbavu wanafikiri fedha zinazofanya miradi ya maendeleo nchini zinatoka mfukoni mwa Magufuli. Hizi ni kodi za Watanzania wote zikiwemo na fedha za uporaji zilizoporwa kwa baasdhi ya Watanzania wenye kujua kutafuta na kumiliki mali zao binafsi. Haiwezekani wote tuwe sawa hata kidogo. Hata Mwenyezi Mungu alivyotuumba alitutofautisha kwa viganja na vidole vyetu. Kwa kuwa Watanzania walio wengi hawapendi kazi wakiona mtu anafilisiwa wanashangilia kwa ajili ya wivu na husda. Mimi nakubali ana uwezo wa kusimamia nchi katika ujenzi wa miradi mbali mbali sasa najiuliza alishindwa nini kwa miaka 20 aliyokuwa Waziri wa ujenzi chini ya Mkapa na Kikwete. Moja kwa moja nagundua alikuwa anawahujumu wenzake. Wakati anafanya hujuma fedha zote alizipeleka kwa Kagame na kuanzisha mradi wa Tinga Tinga za Ujenzi wa Kampuni yake ya kujenga Barabara. Sifa, Ukabila, Udini, Upendeleo, Wivu, Ukanda, ndizo zinamponza Magufuli kuwa kiongozi mbovu sana kwa waliomtangulia. Wakati akitoa msamaha kwa wafungwa alisahau mikoa takribani mitatu. Nadhani Tanga, Kilimanjaro, Arusha hakunaga wahalifu. Mwisho mnaosifia kuwaachia wafungwa kwa nini hakuwaachia wagonjwa wenye maradhi Sugu, Wazee na Vichaa mnataka kuniambia wao hawana haki ya kuachiwa na mko tayari kuwalisha gerezani?.
@dennybrown7930
@dennybrown7930 4 жыл бұрын
@@evansmlalo4049 hhhh we we unachuki binafisi nauongo wako uwo yaani umepata raisi ambaye anaweza kumwambia mzungu hapana tunafanya hivi MTU ambaye haogopi nguvu za wakapitalisti sijui unataka raisi gani kumbe kweli mzungu alikuwa sawa kwamba Africa IQ in 65 tu kwanza we we yako ni kumi.
@benardyengo1241
@benardyengo1241 3 жыл бұрын
Mimi ni Mkenya Sabiki wa Hayati naye Marehemu babangu alikuwa mufwasi wa Hayati Nyerere ama kweli hapo Tz naamini bado kunakuja viongozi wa maana Africa.
@husseinremmyjohn2350
@husseinremmyjohn2350 3 жыл бұрын
Naam naam 💔😭🇹🇿🇰🇪
@elizabethjulius
@elizabethjulius 3 жыл бұрын
We really miss you daddy 😭😭😭😭😭😭
@emilydavidmdoe3552
@emilydavidmdoe3552 4 жыл бұрын
Sisi tuliosoma enzi za mwl jeshi lilitusaidia kuwa wakakamavu. hongera sana mh Rais uko vizuri.
@glorykamasho1876
@glorykamasho1876 3 жыл бұрын
Daah!! Tutakukumbuka sana Magufuli😭😭
@Veni584
@Veni584 2 жыл бұрын
Du! Aliweza kutembea hata kwenye tope RIP JPM
@loukaskampouropoulos5700
@loukaskampouropoulos5700 4 жыл бұрын
Μπράβο πρόεδρε ο Θεός να σε έχει καλά .,Έκανες την Τανζανία κράτος συγχαρητήρια.
@paulmukopi2089
@paulmukopi2089 4 жыл бұрын
So far, nobody has done it like president Moi
@fadhilplatnumz6209
@fadhilplatnumz6209 4 жыл бұрын
Good- Prezidar wetu Tunampenda saana kwakweli Shikamoo Mkuu
@African511
@African511 Жыл бұрын
Jpm ni mwanaume na nusu bado tunaishi nae kiimani,viva jpm bado uko moyoni gonga tano na ww kama bado unaendelea kumkubali Chuma.
@saumuabdi1802
@saumuabdi1802 3 жыл бұрын
Siamini mimi jamani mungu nipe uvumilivu
@jackjoshua3666
@jackjoshua3666 3 жыл бұрын
Nafurahi kuangalia hapa lakini maumivu ni makali kumbe haupo Tena pumzika xalama baba💔💔😭😭😭
@mchinadizainabushi8905
@mchinadizainabushi8905 2 жыл бұрын
Good news
@kichinchiryhassan9600
@kichinchiryhassan9600 Жыл бұрын
Mzee tutakukumbuka Sana RIP
@lydiaaruba6670
@lydiaaruba6670 4 жыл бұрын
Mimi ni mkenya ila huyo rais amevunja historia ya Africa kwa uongozi yani yuatoshaaa wala hamna kubahatisha!
@shorewanda5635
@shorewanda5635 4 жыл бұрын
Asante, from tanzania
@kuhangazena4316
@kuhangazena4316 4 жыл бұрын
Wewe Mkenya ushindwe kufuatilia mambo yenu ya Uhuru Kenyatta ufuatilie huyu mpuuzi mwenye kudhalilisha Watanzania. Amefukuza Wafanyakazi 15000 bila kuwalipa stahiki zao na kuajiri watu wa kumsifia na kumshangilia, Anaweka viongozi wa upinzani ndani na kuwadhalilisha, Anapiga watu Risasi na kuwaua wakiwemo waandishi wa habari. Amempiga TUNDU ANTIPASI LISU risasi hadi leo hajarudi nyumbani. Amefilisi Watanzania waliopata fedha zao kihalali ili anunue ndege na kuwasingizia ni Mafisadi. Analipa watu kuhama vyama. Anateka wafanya biashara ili wampe fedha. Amesababisha Matajiri wenye uwezo wa kutoa ajira wamekimbia nchi. Ameshindwa kufufua viwanda alivyovianzisha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kama mtu angekuwa anakufa na kufufuka Mwalimu angerudi amchape viboko. Hivi unajua ni Watanzania wangapi wameuwawa na Magufuli tokea ameingia madarakani. Alafu unamsifia. "JAMBO USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA TUACHE FALA WEWE" Zungumzia mambo ya kwenu achana na Tanzania kabisa. Tumewawa sana, Tumefilisiwa sana, Tumedhalilishwa sana lakini nimwambie Magufuli malipo yote ni Duniani. MUNGU hapokeagi uchafu.
@shorewanda5635
@shorewanda5635 4 жыл бұрын
Lydia, Mimi ni mtanzania, ninakupenda sana kwa comment yako, na najua watanzania wengi wamependa comment yako. Hilo bwege lililoandika hapo juu achana nalo. Surprisingly, inaonekana lydia unaijua vizuri TZ kuliko hilo linalojiita litanzania, wakati linaonekana wazi kwamba ni likibaraka la wazungu. Kuhanga Zena, macho yako yanafaa kuangalia mavi tu na si kitu kingine chochote. Kaoshe vizuri matako yako uweze kujamba walau ushuzi wa kuvutia kwa wanaokutumia. Unamshutumu rais as if amewahi kushika bunduki na kuu watu. Mlizoea kutumia vyeti vya marehemu na wafungwa ili mjipatie ajira, huku waliosoma wakisota mtaani, magufuli ameleta mapinduzi ya kweli. Tanzania hakuna upinzani, kuna magenge ya wahuni yanayopinga haki na ukweli.
@dr.okellojr.7600
@dr.okellojr.7600 4 жыл бұрын
KUHANGA ZENA pole sana , ata mjinga anajua ukweli kuhusu huyu jama , sijue wamoja ujinga munatoa wapi
@benjohnson1763
@benjohnson1763 4 жыл бұрын
@@kuhangazena4316 Hazidi hana sababu, na dua la kuku halimpati mwewe. Kama una machungu sana na Magufuli, chukua kamba ukajinyonge yaishe,na ukikosa kamba, nyembe zimejaa madukani, chukua moja umeze. Jibwa wewe
@hassanjomaa2313
@hassanjomaa2313 4 жыл бұрын
Mbowe mtasubiri sana
@cholowao
@cholowao 4 жыл бұрын
Bado wanasubiri kumbe haha
@dwomakueni1322
@dwomakueni1322 4 жыл бұрын
In Kenya kukagua gwaride is just simple. Mambo ya kuchokesha rais, hio hatuna. Magufulu must have been tired baada ya kukagua mpaka wa band.
@cmpacomplex7981
@cmpacomplex7981 3 жыл бұрын
You will forever live in people's hurt Our Honorable President John Pombe Magufuli. Rest in Paradise Papa, we are coming for you.
@sarahyvonne4580
@sarahyvonne4580 3 жыл бұрын
Bt we need to see him back on friday
@cmpacomplex7981
@cmpacomplex7981 3 жыл бұрын
@@sarahyvonne4580 😥
@cmpacomplex7981
@cmpacomplex7981 3 жыл бұрын
@@sarahyvonne4580 his spirit lives in Pres. Samia Suluhu, his excellency will live forever
@ersimon9689
@ersimon9689 4 жыл бұрын
He was just happy the gruesome boring march is finally over
TOP 16: MAMBO ALIYOFANYA MAGUFULI NDANI YA MIAKA MINNE
29:07
Global TV Online
Рет қаралды 510 М.
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 52 МЛН
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 19 МЛН
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 14 МЛН
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
Rais Magufuli alivyokata tiketi na kupanda Pantoni leo
4:05
Millard Ayo
Рет қаралды 826 М.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 606 М.
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 52 МЛН