UTASHANGAA!! NYUMBA KUBWA AMBAYO HAINA GHARAMA YOYOTE| MABATI YAKE HAYAPAUKI JUANI

  Рет қаралды 11,853

Maximum Tv Online

Maximum Tv Online

Күн бұрын

KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
0625466848 AU 0753393036

Пікірлер: 60
@user-dl3vj2vp3n
@user-dl3vj2vp3n 4 ай бұрын
Nimependa kazi yako kaka
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 4 ай бұрын
Maa shaa Allah ❤❤ Nyumba nzuri
@skolastikamoses63
@skolastikamoses63 4 ай бұрын
Uko vzr sana. Nyumba ni nzr mno
@dalilaabdulkarim4458
@dalilaabdulkarim4458 4 ай бұрын
Mashallah zuri sana nyumba
@mariammariam5723
@mariammariam5723 4 ай бұрын
Mashaallah yani hii kama niliojenga mm hii raman
@user-dl1gy9pe1g
@user-dl1gy9pe1g 4 ай бұрын
Nyumba mzuri sana
@mangofish9079
@mangofish9079 4 ай бұрын
Not good enough for business ilitakiwa uingie ndani uoneshe sio kuchungulia ktk madirisha
@maximumtvonline
@maximumtvonline Ай бұрын
Kweli kabisa
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 4 ай бұрын
Mmh mbona hiyo sehemu ina maji maji
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 ай бұрын
Hongera
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 3 ай бұрын
Iloo eneo sio Zuri linakaa maji, ila kazi zako nzuri
@reginaldmakene5987
@reginaldmakene5987 4 ай бұрын
Umemuuza mbona shimo la maji taka limejaa maji,? Umempeleka bondeni ahangaike na mafuriko huyo
@seifseifmohamed7118
@seifseifmohamed7118 4 ай бұрын
Ni sehemu ya swampy maji tu
@Gamba81
@Gamba81 4 ай бұрын
Watanzania hamkosi cha kusema
@reginaldmakene5987
@reginaldmakene5987 4 ай бұрын
@@Gamba81 kwani huna macho, hilo shimo maji yamejaa kutoka wapi kama si eneo lenye chem hem.
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 3 ай бұрын
angalia tar napia huu ni msimu wa mvua dar kunanyesha mvua balaa ivyo usiropoke tuu chunguza kwanza hakiki maneno yako kisha useme....amemuuza we ndo umemnunua au acha wivu utazeeka kabla ya siku zako
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 3 ай бұрын
​@@Gamba81hilo apo juu akili halina wivu unataka kumuua nyumba nzur hayapongezi yanaponda
@estakapufi7582
@estakapufi7582 4 ай бұрын
Mhuu zahili apo shimo mtalifunika na hayo maji, hii sehemu nisehemu ya maji kusema laukweli apo sijuwi kama msingi chini hauko imala maji yatatafuna matofali
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 3 ай бұрын
dar saivi mvua nyingi
@user-zq9jc5sw7t
@user-zq9jc5sw7t 4 ай бұрын
Kazi.nzuri.jee.hapo.imegarimu.milioni.ngapi
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 3 ай бұрын
nenda inbox kisha utaelewa
@mgenimoosa5252
@mgenimoosa5252 4 ай бұрын
Jee ikiwa nataka kujegewa lkn Zanzibar inawezekana?
@seifseifmohamed7118
@seifseifmohamed7118 4 ай бұрын
Suala zuri sana tunataka tujue
@murattywamuratty9778
@murattywamuratty9778 3 ай бұрын
Kwa Zanzibar sidhani kama bei itakuwa ivyoo Zanzibar bei za vitu ziko juuu
@mohdnasser3620
@mohdnasser3620 3 ай бұрын
Kwa wa tz usiamini hata kidogo vp apewe million 7 ajenge nyumba ya million 15 ..huyo ni muongo hapo ukiteleza kidogo tu umekwisha eti kila kitu anajenga bure
@user-qm8qz9yw2t
@user-qm8qz9yw2t 3 ай бұрын
Hiyo pesa katolea mfano tu sikiliza kwa makini usikoment km hujui
@shabanidunda5390
@shabanidunda5390 26 күн бұрын
Umetumiwa shilingi ngapi ?
@al-mamarial-mamari5457
@al-mamarial-mamari5457 4 ай бұрын
Zanzibar jee utajenga
@luluwabinthamed2860
@luluwabinthamed2860 4 ай бұрын
Sema ukweli uwe na hofu ya mongu kaka yangu
@mmake30
@mmake30 4 ай бұрын
bati ni g ngapi? na ni kampuni gani?
@fanni-ck6do
@fanni-ck6do 4 ай бұрын
gharama ya kupauwa kama hivo bati mbao bei yake
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 4 ай бұрын
Umemuingiza Mkenge
@selemanimushi6575
@selemanimushi6575 3 ай бұрын
usisahau kutuambia hapo kuna bwawa la kufuga samaki pia 🤣🤣
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 4 ай бұрын
Kwanini hujazi kifusi jamani hapo ndipo unaharibu
@cobraff7943
@cobraff7943 4 ай бұрын
Vipi ikiwa unataka kujengewa zanzibar unawezekana
@maximumtvonline
@maximumtvonline Ай бұрын
Nakujengea popote boss ww tu
@user-os8qc7pl1g
@user-os8qc7pl1g 4 ай бұрын
Kaka mbona husemagi bei gani jamani . Uweunatoa na bajeti
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 3 ай бұрын
nenda inbox kma unania watafute
@aminasalum-yh4fh
@aminasalum-yh4fh 3 ай бұрын
TUAMBIENI NA BEI ZAKE
@user-sb8fg8ld2h
@user-sb8fg8ld2h 3 ай бұрын
Unapatikana wapi
@issajumaali4009
@issajumaali4009 4 ай бұрын
Hiyo nyumba gharama zake zikoje hadi hapo?
@mohdnasser3620
@mohdnasser3620 3 ай бұрын
usiamini mtanzania yoyote hata akiwa ni Malaika ukijuwa katoka tz basi usimuamini
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 3 ай бұрын
Kwanini
@queenqueen-en1ds
@queenqueen-en1ds 4 ай бұрын
Vipi hali je hujambo no yako ni ipi ilinikupate
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 4 ай бұрын
Mimi nahitaji uniambie kwanza nahitaji kiwanja
@mohdnasser3620
@mohdnasser3620 3 ай бұрын
😅Hiyo ni mwanzo ukiteleza kidogo atapigwa na kitu kizito
@imeldastephano9221
@imeldastephano9221 3 ай бұрын
Tumpe maua yake jamani, kumbuka ndg wanaliza
@JrNsummy-xk8xe
@JrNsummy-xk8xe 3 ай бұрын
Makisio bei gani kama hiyo?
@mohdnasser3620
@mohdnasser3620 3 ай бұрын
Niliisha pigwa na kitu kizito kichwani
@LidyaAdof
@LidyaAdof 4 ай бұрын
naomba namba yako kaka nmependa kaz yk
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 3 ай бұрын
mpendwa namba inaonekana hapo kwenye video chukua
@ismailmshana2828
@ismailmshana2828 4 ай бұрын
Mbon bwawan
@user-yr9sx3tw7u
@user-yr9sx3tw7u 4 ай бұрын
Naomba namba yako Kaz yako nimeipenda
@omanoman2044
@omanoman2044 4 ай бұрын
Kataja namba et ten naomba namba eeh mtihan
@zainab8251
@zainab8251 4 ай бұрын
😂😂😂
@omanoman2044
@omanoman2044 4 ай бұрын
@@zainab8251 unacheka mwezie anaomba namba watuy hawajitambui hata kidog
@Dafetty
@Dafetty 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@josephbureta5952
@josephbureta5952 3 ай бұрын
Hapo kaz anayo panajama ziwa la mpunga
@dicksonelisa867
@dicksonelisa867 3 ай бұрын
Kweli kwa hadithi hio msimamamizi wa jengo haruhusiwi kuingia ndani anachungulia kwa dirisha poleni mnao mnao jichanganya
MIRADI YA NYUMBA ZA NSSF
15:06
NSSF TANZANIA
Рет қаралды 14 М.
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 48 МЛН
Why is anti-immigration sentiment on the rise in Canada?
13:00
The Guardian
Рет қаралды 1,8 МЛН
Ujenzi unaendelea Dar
2:41
Jiver Kasigara
Рет қаралды 875
MTOTO WA SHEIKHE (Ep 15)
19:12
Comedy Plus
Рет қаралды 5 М.
Ndoto ya kufanya mapenzi/kuzini  Skh Jafari Mtavassy
6:50
MTAVASSY TV TANZANIA
Рет қаралды 37 М.
UTATOA MACHOZI JUU YA MTOO HUYU
26:08
Niteteetv
Рет қаралды 12 М.
Respect Fans vs Footballer
0:52
Vutball
Рет қаралды 19 МЛН
El fútbol es un meme de verdad🤦🏻‍♂️😂
0:10
Querido fútbol... ¿Qué hay de nuevo?
Рет қаралды 13 МЛН
Footballers Crazy Jumps + Goats😮
0:27
Football Arena
Рет қаралды 41 МЛН
Так мяч еще не отбивали
0:18
Новостной Гусь
Рет қаралды 2,1 МЛН
El fútbol es un meme de verdad🤦🏻‍♂️😂
0:10
Querido fútbol... ¿Qué hay de nuevo?
Рет қаралды 13 МЛН