Jamani nini tena kimepata uwiii Mungu awasaidie wamalize jambo lao salama
@user-lg5xd1ui4v6 күн бұрын
Ringo ujanja wote kwisha kabisa leo,jamaa yuko very sirious kisawa sawa
@LugendoObedi6 күн бұрын
Hongera Mr Jacob
@Shadia5446 күн бұрын
Huyo mwenye gauni la pinki kapendeza sana na kagauni chakev✌️✌️✌️
@user-dq1lm2be2u6 күн бұрын
Jamani mnasahau hiyo harusi ni ya wasanii mambo ni moto 😂😂🎉🎉tumbo linauma
@user-lq6kr2gl7n6 күн бұрын
Mmmmm😅😅labda bibi harus nae ni comedy
@user-tu2gy8mr7u6 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-lq6kr2gl7n6 күн бұрын
😄😄kweli usikute nae comedy sas kilichomfanya agome kuolewa ni nn? Tangu walivyoanza kuchumbiana hd akakubali kuolewa half siku imefika anagoma si comedy hiyo
@stephenmalilo98336 күн бұрын
Kosa la kiufundi, Bwana harusi anakaa mkono wa kulia halafu bi harusi anakaa mkono wa kushoto wa Bwana harusi.....😎
@Verenabashasha-cm4sm5 күн бұрын
Kumbe nawewe umeliona
@user-yr4tm7ip7z6 күн бұрын
Pole lingo😊
@linashayo20686 күн бұрын
Kiki hio harusi ya wachekeshaji kila kitu ni makubaliano iwe hivyo. Bado ukimbini mtasikia vitu vingine, all the best kwao.
@nshaijatedy55126 күн бұрын
Sio kiki umuon macho yamevimba
@CarolineMahenge6 күн бұрын
@@nshaijatedy5512kuna vitu vya kiki sio harus
@mohammedabdala75265 күн бұрын
@@nshaijatedy5512kiki
@NdekejaKamuli-sh5pe6 күн бұрын
Mmmmh bongo kwa kiki cku hzi zimeendelea
@meshackjackson28386 күн бұрын
Alie vaa gauni la pink kapendeza 🎉🎉
@najathtemo39086 күн бұрын
Huyo msimamizi wa kiume kapatika😅 kazi anaiweza siyo kwa kumfutafuta hvyo huyo ringo😂😂😂😂😂
@user-pf1tb5ic2h6 күн бұрын
Labda hakumpenda kwa dhati, iyo mbaya sana 😂
@user-lt7yx2ms7h5 күн бұрын
Wanatafuta kiki tu hawana lolote
@user-lu1by6yp4t5 күн бұрын
Mwenye pnk kamzidi biharusi
@meddycr6 күн бұрын
Uenda Alikua Anataka ka Yachihoma..... Nahis move
@sesiliahussein77746 күн бұрын
Umefanya kiazi kinikabe
@JoyceKiheka5 күн бұрын
Jamaniii Pili Hivi Sina hamu na wasanii😂😂😂😂😂
@mrliverpoolynwa76415 күн бұрын
Kwa usanii wa zunde mchungaji anaweza kucheka😂😂😂
@rahymaaa43575 күн бұрын
😂😂😂😂😂 harusi ilikuwa na vituko
@LucyRafeali3 күн бұрын
Heee hapo Kuna shida kama ni hivyo kweli
@merrynancesimon15624 күн бұрын
Kama ndoa inakipingamizi msilazimishe msije mkauana jamani
@LucknessPeter5 күн бұрын
Mbn kama vile walilazimishwa kuoana jamani
@RandB_Channel6 күн бұрын
Jamani yamekuwa hayo? Iyo ndoa itadumu kweli? Mchango yawatu mtarudisha 😃😃 simaajabu aya jamani bichekesho🤣🤣😃 jameni harusi ya pili inao barikiwa kwa Masanja zikaleta vituko
@aaronjustin72354 күн бұрын
hii ndo congo movie
@margarethpolepole74386 күн бұрын
Karogwa huyo uchawi unatembea
@MiliamenockEnock6 күн бұрын
😂😂😂miwani ya nzude imefika penyewe
@UpendoMtunguja5 күн бұрын
Hivi ni kweli au wanaigiza hawa
@florianhenry71986 күн бұрын
Bwege
@aby211115 күн бұрын
Hi bwana nakasrika nini.manamke naja dunia, hi bibi ni trouble life takuwa miserable. 🤔
@francismshote58175 күн бұрын
Kwa Hali hii mm kuoa bado sana
@NeemamussaMaitale6 күн бұрын
Hivi nivituko ili tufwatirie
@hosianaeliud2436 күн бұрын
Ndio ya kulazimishana hiii bora tuu wasifunge maan dalili za mvua mawingu
@AmosYusuph-cj6gb5 күн бұрын
Acheni utani basi bwana harus ana harisha hakuna duka la dawa hapo
@richardmshiu51186 күн бұрын
Hizo ni kikiiiiiii,, hamna kituuu hapoo
@simonseja75816 күн бұрын
Duu😂😂😂 pole ringo
@kichefuchefu23826 күн бұрын
Ooooh kumbe
@user-fc3og1eo3x6 күн бұрын
Presha ya nini utapeli huo
@user-rx7te2px5d6 күн бұрын
Hii inaitwa ATTENTION
@festohaule97166 күн бұрын
Toka mwanzo ilikuwa mbaya...Ringo ulimpiaje magoti Mwanamke Ili umvalishe Pete!!!!
@fatumazakalia-yx4kg6 күн бұрын
Kwani Ringo ndo wa kwanza kupiga magoti
@festohaule97166 күн бұрын
@@fatumazakalia-yx4kg Sio wa kwanza...bali Mwanaume ukipiga magoti umeolewa hivooo!!! Anayepiga magoti ni yule anayetolewa Mahali na anayeolewa!!!!
@reginacosmas8685 күн бұрын
@@festohaule9716goti ni ishara ya shukran ya makubaliano sio kama unavyodhani maana anaeomba ndoa ni mwanaume hvyo goti ni ishara ya shukrani
@MaryamKhan-zz6dh4 күн бұрын
@@festohaule9716magoti ya nini Kwan?
@ndimimaskati36416 күн бұрын
Hapo hakuna harusi haitodumu.
@rehemanassor3526 күн бұрын
Acha kutabiria wenzio mabaya wewe. Hayo mawazo yako yasitimie kwa jina la Yeau
@ishe_ngo89266 күн бұрын
Aaah watu wenyewe wanabariki ndoa sasa anakataaje?
@janetymatola66396 күн бұрын
Shetani ashindwe kws jina la Yesu
@user-yo6ms5nl2t6 күн бұрын
Ameni
@SamwelishukuruShukurusamweli3 күн бұрын
😂Haha Martin no 1
@DaliCamussaJoaoCamussa-qc7nv6 күн бұрын
Sasa kwanini amufanyi KAZI pamonja
@user-ss9ct4cf1c5 күн бұрын
Hii ndoa mmh ngojs tuone niko pale nimekaa mana ndoa zahiv bibi harusi kugail gsfla mbele uko kuna simtofahamu ila nawsombea sn wadumu
@SalumJuma-iz2gj6 күн бұрын
Alie muona mwanamke mwembambaa agonge laik 😅
@aminakasim11986 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@SalumJuma-iz2gj6 күн бұрын
@@aminakasim1198 hhh
@pilicharo41236 күн бұрын
ringo na kipanga na vituko vyao😅😅
@cheiknamouna20586 күн бұрын
Hivi ndivyo wanavyoingia kanisani kienyeji kumbe hakuna utaratibu hata kidogo naona vuruguvurugu tu
@mushtaqakram98436 күн бұрын
Mpaka kwenye harusi bado tu maigizo
@olicej78376 күн бұрын
Na mimi nimewashangaa 😂😂😂😂
@user-il8wx3eq8i6 күн бұрын
Pili kazi unayo😂😂 sio kwa mimaiki iyo nilijua tu tin atavaa suti vipi masantula wapi jamani
@jamesjoseph68256 күн бұрын
Hii wameitengeneza wenyewe ili kuteka vichwa vya habari, ndoa ya wasanii
@user-hi8le2vb7z6 күн бұрын
KIKI😊
@matildamoris36416 күн бұрын
Kwaiyo anayefungisha ndoa ni masanja?😂😂
@user-mw5xs2wx8n5 күн бұрын
Bongo kilakitu kiki
@user-uu6ei1ys3k5 күн бұрын
MINILIJUA TU ILE PETE YA UCHUMBA ILIKUWA PT ONE HI ARUC PT 2 SASA NASUBILI PT 3
@MwacheoHanzada6 күн бұрын
Kama alikuwa hataki mbona akawacha watu wafanye maandalizi
@kichefuchefu23826 күн бұрын
Heeee😂😂😂😂😂😂 bwana harusi anaharishaa😂😂 duuuuu
@user-tu2gy8mr7u6 күн бұрын
Kuharisha is trying 😂😂😂😂😂
@florianhenry71986 күн бұрын
Anaogopa mjegeje
@consolathJacob6 күн бұрын
Kusimamia harusi ya hv unawez kuamua kusimam wewe badala ya mwenzio mpk akij kukubl kilakitu tyr😅😅😅😅 hakuna zunde mwinginee popote chini ya jua awezae kujitoa nakutenda miujizaaa
@user-tu2gy8mr7u6 күн бұрын
Ningekuwa ningevaa Shera nikajifanya ndo Belarusian mambo yasiwe mengi😂😂😂😂😂wasinichanganye
@GloryMtui-ym4ck5 күн бұрын
Waongo
@helencyprian87456 күн бұрын
Bwana hatusi hajui kucheza kabisa
@Mwene_Jery6 күн бұрын
😂😂😂😂 ila tin white
@S-kay-tz6 күн бұрын
kzfaq.info/get/bejne/jbR3htZzyr_DpIU.htmlsi=yFApOukUeEfnanEk Wale washabiki walingo ametoa goma lake jipya hili
@alphadreammedia6 күн бұрын
Kick Hawa 😅😅😅
@MbongoBoy-yg9tq6 күн бұрын
Dh pole sn Ringo
@EmmanuelOwiti-fd4br6 күн бұрын
Itakuwa amepata mwingine
@NajmaSaid-sb2lh6 күн бұрын
❤❤😂😂
@josephlorri4316 күн бұрын
Alimkuta Ringo anakunywa alkasus,na mfukoni ana vumbi la kongo
@tausifautini4076 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-hy9pp5rp9i6 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-ds3os5qv4o6 күн бұрын
Ila x Hana huruma
@setiseti52816 күн бұрын
Pore ringo
@lunangabenjamin31216 күн бұрын
Lakini huyu mwanamke aliye olewa na ringo mbona sio.kwamaana kabla ya iyi arusi miaka 5 iliyopita kunabinti flani alikuwaga sana na ringo wote walikuwa waigizaji,ringo akasema ndo mchumba wake tena wote mashabiki wasimba.dada mmoja mweupe ivi kuna movie kacheza kama mke wa tin inaitwa tajiri mow.ringo kabidili sielewe.
@elvira93256 күн бұрын
Ndo hivo mambo hubadilika
@kassimchuo52906 күн бұрын
Hii comedy mpya au😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@happnesskitumbo57136 күн бұрын
KIKI TU HIZI NINGESIKIA KWA MASIKIO YANGU MANENO YA BI HARUSI KIDOGO MNGENISHAWISHI.
@FocusNyari6 күн бұрын
Sema raha ya harusi ya makomedian hata wakizingua wanaonekaana ni wehuu tyuuu aichukuliwi seriously
@user-wh6bs7cm5p6 күн бұрын
C tunahc wanaigiza tu
@ndimimaskati36416 күн бұрын
Bibi harusi anaitwa Zakia aligoma kuja kanisani kwa sababu inzonesha hahusiki katika ndoa ya kanisa. Jiulizeni huyo Zakia ni Muislamu? , kama Muislamu hiyo ndoa haikubaliki.
@user-fs7xc2bb5d6 күн бұрын
Nahis alibadili dini alikuwa anasali Kanisani kwa Masanja na Ringo kampatia hapo
@user-fw2jk3mx7g6 күн бұрын
Tatizo dini ndio shida hiyo
@mariaphilipo6 күн бұрын
Sasa apo mambo ya dini yametoka wapi alafu usifananixhe ndoa za kikrist na izo zingine wanazoowana leo kesho wanaachana
@user-rw2mm1jk6o6 күн бұрын
Chizi ww wakristo wangapi wanaachana Kila siku@@mariaphilipo
@JumaSudi-w9d6 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@SalmaSoko-vp8lg6 күн бұрын
😮😂
@lydi7916 күн бұрын
😂😂😂😂
@S-kay-tz6 күн бұрын
Nimekuwa wakwanza toa koment
@user-sv6zy3hc8o6 күн бұрын
Kwaio
@josephlorri4316 күн бұрын
Comedy tupu
@DesertTears5 күн бұрын
Kiki za kijinga😂😂😂😂
@RAMADHANAllykibanga6 күн бұрын
Nyiewasenge munatafuta kiki mbwa nyie
@faridaabdallah74246 күн бұрын
Ex wa Ringo kishafanya yake😂
@zuhrazuhra6376 күн бұрын
😀😀😀😀😀😀
@mariaphilipo6 күн бұрын
😂😂😂
@user-sv6zy3hc8o6 күн бұрын
Yani wew ndo umemaliza jambo 😂😂😂😂😂
@hassanomar81576 күн бұрын
Kiki za kijinga izo
@twaibumikidadi73776 күн бұрын
Tatizo mifumo yenu ya ndoa na mazıshi sijui mmeyapata wapi Maana chuı kama Biblia imefundsha ndoa ziwe hivi Full ushetan tu hapooo!!!!
@jaropthebilldone16526 күн бұрын
Ushetani upo kwa baba yako nyie mbona mnaswali na majini upuuzi tu njoo kwa yesu uokoke karibu kanisani
@MaurenEmmanuely-nc9id6 күн бұрын
Mpuuzi wewe afu heshimu dini ya mwezio fataki ww
@RandB_Channel6 күн бұрын
Jamani yamekuwa hayo? Iyo ndoa itadumu kweli? Mchango yawatu mtarudisha 😃😃 simaajabu aya jamani bichekesho🤣🤣😃 jameni harusi ya pili inao barikiwa kwa Masanja zikaleta vituko
@evasilaa90646 күн бұрын
Wiki iliyopita pete wiki hii ndoa? Haya ebu tuoneee itakavyokuwa