Hongera sana kijana usokuwa na Roho mbaya kama wengi hada watz Mungu akutangulie ila tu usije kuingia tamaa ya kudhulumu pesa ya mtu yeyote. Napenda unachokifanya Hongera sana!!! ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@nyikumbarasylvester8505 Жыл бұрын
Unamilioni tisa unashindwa kufanya kazi bongo unataka uende marekani ukawe kibarua huo ni ubazazi kwa fulsa zilivo jaa hapa bongo
@ndukulusudikucho_Ай бұрын
Hizo kazi anazofanya hela ya uhakika, na hizo za Bongo ni nyongeza, Yuko sahihi ndugu Tena saaana hiyo hela anayoingiza kwahiyo kazi ni mkweli
@dungayusufu1954 Жыл бұрын
mfumo wamarekani kifedha ni nzuri,sahani ya chakula dola 20, au30 mlo kwa siku matumizi nikama dola mia ukiwa na matumizi sipo maisha yapo sana pamoja nimekuelewa mkuu
@negwamwaipopo64676 ай бұрын
Big up my Brother, God bless you 🙏
@ab5u6ll8y-ku9vk8 ай бұрын
kwely ukiwaudumia vizur wanakupa Asante yako brother naomba unisaidie na Mimi nipate viza nije bro Tanzania hakuna ki2 naomba sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😩
@wariobamussa2462 Жыл бұрын
Well done Dnyota unafanya jambo jema sana..
@dnyotausa6154 Жыл бұрын
Asante
@jumajumashabani8665 Жыл бұрын
Nakubali sana kaka
@davidtayari2477 Жыл бұрын
Jumla ya gharama ya Visa shingap na inahitajik education qualification
@mussachipeta297 Жыл бұрын
Nakubali kaka unajitaidii kutuelezea
@allyfatma7359 Жыл бұрын
Hii nilikuwa naitaka sana.somo zuri sana.endelea kutupa uhalisia. Thx bro.
@dnyotausa6154 Жыл бұрын
Sawa sawa
@user-ic7qf8fl9x8 ай бұрын
Namba kaka plz
@user-nd6eo6db7r11 ай бұрын
Uko vizuri.ri
@octavianjerry7958 Жыл бұрын
Safiii broh jinsi ya kuwasiliana sasa fanya msahada bass
@soundmale Жыл бұрын
Baridi Sana broo.au mafua tu.maana kiila vd unaumwa mafua.
@asmahshemoka1685 Жыл бұрын
Nakubali sana
@ab5u6ll8y-ku9vk8 ай бұрын
naomba unisaidie bro 🙏🙏
@ibrahimkasim922 Жыл бұрын
Aliyobeba hyo maan naon maelezo tu but keep it up!
@user-lp3kw2vn8f24 күн бұрын
kaka uko poa unatwamsha wadogo zako mungu akutangulie
@saadysaidzahaze5980 Жыл бұрын
Good job bro
@saadysaidzahaze5980 Жыл бұрын
I like it bro
@abdultimoc4625 Жыл бұрын
Broo kila mtu ana ndoto za kufik uk marekani shida pesa kuipata kibongo bongo ni kazi broo angekuwa na njia mbadala ya kutusaidia utusaidie broo dulla
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Ww kwa bongo umefanya nn kwa izo pesa acha kufanya watt vijana kutaman maisha ya siyo ya kweli una miaka 10 bado una tembelea basket, na uko kwenu tuoneshe kwanza umefanya nn acha kuwa tapeli et vissa milion 9 na M6 Hao wateja wenyewe unawowapa wenyewe masikini tu, onyesha marekan ya wale wa nalala barabaran acha kutapeli watu utapatikani tu hapo marekan sio sehem ya kujifichia, tuoneshe wangapi ushawafikisha marekan zaidi ya kuwatapel
@omanhh2875 Жыл бұрын
Honger broo
@user-fh2ff9bv1h4 ай бұрын
naomba unifanyie mpango nami nije tufanye kazi bro naitwa emanueli
@fadymoses4994 Жыл бұрын
Allamdulilah 🙏 nko nakazi ya Truck USA maisha ni simple sana Ukiwa na conetion
@dnyotausa6154 Жыл бұрын
Kweli kabisa 😊 pamoja kaka
@johnshio83879 ай бұрын
Naomba tuwasiliane Fadymoses🤝
@yusufukaima-yi8lp Жыл бұрын
Nipo fiti kikazi nipe sapoti ndugu
@VicentJohn-tg9yp8 ай бұрын
Daah nimeipenda hiyo
@morjanoman5181 Жыл бұрын
Ongera. Sana. Kaka. Ila tz. Mtu binafus kuipata milioni tisa shuguli fanya msaada kwa anaetaka kuja uko tafuta. Boss atoe pesa alafu unamfanyia mpango mtu
@hemedhemed8590 Жыл бұрын
How to apply viza am intereset job mybest
@Osmarnkanjo6 ай бұрын
Sema bhna dunian Kuna hela jmn
@robertmgori81657 ай бұрын
respect brother
@ibrackibrahim6909 Жыл бұрын
Mbona ha reply necessary comments??? Lkn zahovyo anajibu?
@user-gl5og3si5y9 ай бұрын
Nilijuwa marekani majengo yote yanalift
@muna1165 Жыл бұрын
Mimi ni Binti na nipotayari kugaramia kila kitu je vp ninaweza kupata mchongo huko
@ahmedysaidy9874 Жыл бұрын
Mitaa kama ya karikoo.
@erickjonas4382 Жыл бұрын
Kaza kaka
@joycemalisa5703 Жыл бұрын
Mmmmh jaman jaman mi nimechoka kusikia ivo
@mashanjepa9203 Жыл бұрын
Nimeipenda kama utojari Mimi sina Hera IRA ukikubari kunifikisha uko miezi3 mshara wangu asimia 75utachukua wewe naitwa baraka kulwa Niko mwanza
@hekimamtazamo4151 Жыл бұрын
Bro acha kuishi maisha ya USA uyafananisha na Tz kiukweli dolla 500 au 1000 kwa life la USA kila baada ya wk 2 haina uwezo wa kukufanya wewe uishi vizuri maana unakuwa ni wale watu wa low income hapa USA bwana. Pia hauwezi kupata hela ya dolla unaifananisha na ya tz bwana wewe tueleze hiyo milioni unayoipata unawezaje kukusaidia hapo USA ili utimize ndoto yako na sio kuwazia tz bwanaaa Hizi ni akili duni sana kutuambia unapata milioni kila siku
@elibarikimaganga95712 ай бұрын
Umesema kweli ndugu Hekima Mtazamo, watu wa huko sijawahi sikia anasema naingiza Dola kadhaa kwa mwezi, matumizi ni dola kadhaa, nasave dola kadhaa. Ninasikia tu tunaingiza milionunkwa siku, ndo hayo ya kuwazia hela ya Tanzania wakati huko Marekani.
@user-cd2np5by6g8 ай бұрын
Kaka fanya mpango utuletee mahojiano ya watu uliowasaidia kwenda uko kama wanavyofanya wengine
@abdallahnassoro2460 Жыл бұрын
Mm nahitaj safar ndugu
@boniphacesylivester2541 Жыл бұрын
Uko juu sana man na unachokifanya kinafanya nivutiwe sana na wew kwan nina ndoto ya kufanikiwa ughaibuni
@flavianfabian9507 Жыл бұрын
Nakubari sana mtu anaetumia akili naguvu zake kutafuta pesa ya halari , Asante Kwa kutufungua macho vijana wenzio 👍
@mohdseif2593 Жыл бұрын
Hongera babu life nikupambana
@user-cd2np5by6g8 ай бұрын
Milion 9 du!!!kweli sio poa
@SHAFIIAbdully Жыл бұрын
Safisana kaka namimi naitaji kazi je nitafanyaje
@EdimundiNgitu10 күн бұрын
Jamani ni kweli
@mchungajifredypetermwasung6651 Жыл бұрын
Maisha ya nje yanchi ni mazuli sana mtu akiwa anakuadisia. Lakini ukishaenda unakutana na kitu tofauti na ukicho ambiwa. Mimi nimesafili sana nje ya nchi mbali mbali. Najua ayo mambo mnao enda uko mjipangage vzr namna ya kwenda na kulidi usije ukakulupuka ukaenda jela. Au ukawa mkimbizi. Kumbukeni ukouko malekani kuna watu wana maisha magumu wengi tu......
@mossesrashid1552 Жыл бұрын
Tushaur mchungaji kwasbb kila m1 anaanglia unafuu wa kupambana atobor
@ngaribaonlinetv7 ай бұрын
Huo ukimbizi watu wanautaka ndio maana wakifeli ktk maojiano plan B ukimbizi yote ni kusaka pesa...... Bongo nyoso
@joycemalisa5703 Жыл бұрын
6miil kwa mishahara ya tanzania ndgu nilini utaipata?
@frowinmgimba8513 Жыл бұрын
Mfano unapiga mishe hiyo harafu English language chenga vipi customer service inakuwaje au nitakuwa naongea kwa ishara😂😂🤔
@one4real189 Жыл бұрын
You me zinakua za kutosha😂😂
@01_Gada Жыл бұрын
unyama mwingi mtaa wa thamanini🔥😂
@abdallahnassoro2460 Жыл бұрын
Nipo fully Kila kitu nipo nacho ndugu nipe maelekezo
@mussachipeta297 Жыл бұрын
Kaka unawezaa kutembea na raman
@InnocentFaustin-fw7bs Жыл бұрын
Brother mimi nipo tayal kuja tatizo pesa kwa sasa nyumbani uku hali aiko sawa ... mimi naitaji nipo tayar nifanye kazi alafu mshala unachukua nipo tayar
@mrbig2181 Жыл бұрын
Mjomba tafuta njia ya kutusaidia Kwa makubaliano ata ikiwa Kwa mkataba mpka ela itapo ludi lkn n baada ya SS kufika uko ...maana apo Kwa wiki unaweza ingiza zaidi ya 20m za bongo asa uoni ndan ya wiki tunaludisha ela Yako bro ,,maana as wabongo kama tunaweza beba zege siku nzima sembuse kusambaza ivoo na ka kabike 😁😁😁🙌 bro tushike mkono na sio kututamanisha bro
@ridhwanlongo9113 Жыл бұрын
Zege masaaa 24 af vibox kwenye ka bike masaa6
@mrbig2181 Жыл бұрын
Umeona mzeee
@tanzaniaprogress8 ай бұрын
Ila kumbuka kaka unaweza lipwa dola 20 kwa saa lakini sahani 1 ya chakula ni dola 20, na huko kuna baridi balaa, baridi la huko linaleta njaa, unajikuta unakula mara 5 kwa siku, dola 100 apo imeenda, bado maji ya kunywa, na bills zingine, unakuta ni kama bongo tuu, mtu analipwa laki 6 sahani ya chakula ni Tsh. 3,000/= huko sahani dola 20 au zaidi. Matumizi ni yale yale tuu, afu kitu kingine ni upweke, hichi watu wa huko wengi hawasemi. Maisha ya upweke huna wa kuongea naye.
@ngaribaonlinetv7 ай бұрын
Chakula unapika unabeba! Upweke mitandao ya kijamii yote hiyo au unaogopa kulala peke Yako? Ktk kutafuta hakuna starehe Wala kujiurumia! Maisha kupambana mwisho wa siku malengo yatimie....!!!!
@InnocentFaustin-fw7bs Жыл бұрын
Naomba Kaka naitaji kuja
@jescamwera5631 Жыл бұрын
Good job Bro
@dnyotausa6154 Жыл бұрын
Asante
@yasminjuma9146 Жыл бұрын
@@dnyotausa6154 hapo unapeleka nini mbona sijafaham. Hizo package zina nino
@thobiaskayange9302 Жыл бұрын
Mwanangu nataka lG YAKO nitakublock sauti mbona kubwa 🙌🙌🦺🦺🦺🤣🤣🤣
@OmarVuru8 ай бұрын
Mimi ninayo pesa kidoogo nisaidie nitapofika uko nikanzakazi utachiukua aki Yako Mimi sichagui kazi kwanza una uongo tusaidie ili tuwe pamoja mungu akubariki
@rosemkude4804 Жыл бұрын
Saidia ndugu zako na wewe.....hiyo bei wapoozee bwana
@abelhardware6445 Жыл бұрын
Sisi wenyewe tunahitaji
@africanboy3714 Жыл бұрын
Hiyo pesa unavyosema nahisi before tax so waambie ukweli kiasi gani unapata after tax, hiyo kazi ni kwa wengi wakiofika abroad mana unatumia nguvu nyingi malipo ni duni kwa level ya abroad, ni nyingi ikiwa unafanya kazi abroad na unalala Bongo, ila sio kwa 10 years na unaendesha bike, Hendry Ngozy Sweden 🇸🇪
@dnyotausa6154 Жыл бұрын
Unaongea utumbo. Maisha marekani yapo uwezi kufananisha na ulaya
@bishopruvunira3528 Жыл бұрын
VIP beskeli hiyo Ina ingini so?
@geofreysimpepo9945 Жыл бұрын
Duuh tusio jua kiinglishi SASA 😂😂😂fulsa tunazikosa hivi hivi
@saidruto4393 Жыл бұрын
Ntakucheki mwana
@mchungajifredypetermwasung6651 Жыл бұрын
Mh Watanzania.....😢
@ntumbankinga2496 Жыл бұрын
Pomoja kaka
@user-dg9th4tp8k8 ай бұрын
nakupeda sana maicha amerika
@janepaul3464 Жыл бұрын
Connect
@kipyegontitus145 Жыл бұрын
Tumia Dolla ndio tuelewe bro am from.kenya ukisema milioni moja Niko confused juu 10000 us dollars them same as 1 m ksh
@deusdeodavid5360 Жыл бұрын
Huyo anazungumzia watz si wakenya ndio maana anataja Tzs
@hdhdhdhdhdh3264 Жыл бұрын
Mimi nataka visa plz mimi ni mkenya🇰🇪🇰🇪
@nailaty Жыл бұрын
Mie nipo oman je na kutoka oman ni hiyo milion 6?
@morjanoman5181 Жыл бұрын
Akifanikiwa kufika uko Una akikisha wewe unamkata mshaalawake Yani unakuwakitukimoja na. Boss. Wezenu nchi za kiarabu ndivo wanavofanya
@andrews_kodeson Жыл бұрын
Sasa unatembea na baiskeli?
@boniphacesylivester2541 Жыл бұрын
Milioni kaka hiyo ni hela ya kutosha sana nataman sana nipate mchongo wa kuja huko