TAMKO LA KUDHALILISHWA KWA MASHEIKH WANAOTUHUMIWA KWA UGAIDI

  Рет қаралды 228,530

Global TV  Online

Global TV Online

10 жыл бұрын

JUMUIYA na Taasisi za Kiislam nchini leo Septemba 9, 2014 zimetoa tamko kuhusiana na kudhalilishwa kwa masheikh wanaotuhumiwa kwa ugaidi. UNGANA NA GLOBAL TV ONLINE KUJUA ZAIDI

Пікірлер: 252
@tadeymkuma3532
@tadeymkuma3532 7 жыл бұрын
ALLAH AWALINDE INSHAALLAH KM ALLAH ALIVYOSEMA ATAULINDA UISLAM MPK QIYAMA
@fatwimasalim1691
@fatwimasalim1691 7 жыл бұрын
wewe sada mose mwenyenzi mungu akuongoze uingie kwenye uisilam nauutambue.ndungu zangu ktk imani tuweni nasubira natujipendekeze sana kwa mola wetu tumuombe msamaha natuombeni dua sana.nawalatusikubali kutuka yanaandikwa kwenye vitabu vetu.japo inauma ila tusikose visimamo vya usiku.nawala hakuna kafiri yeyeto atakaye weza kuizima nuru ya uisilsam. ALLHAH atuongoze.AMIN
@erastomushi6525
@erastomushi6525 5 жыл бұрын
Sio haki kabisa, kuwa muislam haimaanishi kuwa gaidi, nimeishi na waislam hata hao wanachukia matendo ya kigaidi, mwenyezi Mungu awatie nguvu
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Sahihi kabisa!!
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 4 жыл бұрын
Unajelewa bro natamani skumoja uwe muslim itakua msada mkubwa kwetu bigup
@omarymtegwa2299
@omarymtegwa2299 3 жыл бұрын
Ni wakristo wachache Sana wenye uelewa Kama wako MUNGU Akupe uongofu
@petromachanga29
@petromachanga29 3 жыл бұрын
Natamani yafungwe haya magaidi
@japhethgeriad4519
@japhethgeriad4519 3 жыл бұрын
@@petromachanga29 Mungu akusamehe
@iliyasamanzi5667
@iliyasamanzi5667 5 жыл бұрын
Raisi angalia Haya nchi isije ikapata laaaana mm napenda kusema ukweli Haya yatatutesa kwalaana toka Kwa mungu Laailaaha illa llah.
@biashasuleimanabdalla481
@biashasuleimanabdalla481 3 жыл бұрын
Assalamu aleikum warmatulla taala wabarakatu Tunamuomba Ewe Mola wetu muumba wambigu na ardhi usokuwa na mshirika na mtu yeyote wala kitu chochote. Ewe Mola wetu mlezi msimamizi kila jambo tunamuomba Mola wetu tusaidie na na utuokoe waja wako na madhalim Amin yarabil ala min.
@faridaali6850
@faridaali6850 4 жыл бұрын
YARRAB wafanyie wepec mashekh wetu na uwadhalilishe hao waliowadhalilisha mashekh wetu
@jabumakame6895
@jabumakame6895 3 жыл бұрын
Aamiin
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 4 жыл бұрын
Hakika maneno machache tu ila yanafaida kubwa kwa wenye mazingatio allah barik mashallah
@shaukhansogo8170
@shaukhansogo8170 9 жыл бұрын
Mashekh. Wetu kazi yenu kuchangisha Pesa kisha kuzitafuna badala ya kuzitumia katika kutatua matatizo ya ndugu zetu waislam n sanaa tu mnatuletea uislam una lugha yake sio sanaa zenu mnatia aibu fanyen kwa ajil ya Allah mtafanikiwa sio tumbo zenu
@khadijahilal3016
@khadijahilal3016 3 жыл бұрын
Subhanallah 😭😭😭😭😭😭subhanallah 😭😭😭😭mashekhe wetu jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭😭ewe allah tuangalie waislam tusaidie ya rabbi tupe subra ya rabbi mashekhe wetu wastir na uwalipe kwa dhulma hii 😭na awahukum wote wanaowadhalilisha mashekhe wetu
@hawahamad9628
@hawahamad9628 3 жыл бұрын
Allah yupo na yupamoja nasi
@aboubakarmansour1189
@aboubakarmansour1189 4 жыл бұрын
Yaallah ww unayajua wanayotendew Mashekh wetu na waislam Allah simama na wangalie jinsi wanavyotesa wapenzi Haki zao na uwahukum hapa hapa dunian Allah na sisi tusikiliz kilio chetu
@aligmohammed3738
@aligmohammed3738 6 жыл бұрын
allah in sha Allah atawaangamiza maadui wa waislamu
@SHOLLAH804
@SHOLLAH804 5 жыл бұрын
Subhanallah Allah hakim wa yote in shaa allah
@anonymous-ps8iu
@anonymous-ps8iu 7 жыл бұрын
hahaha mm cjui cha uisilamu au ukristo ninachoona ni damu ya watanzania tuuu i lov u all
@gavanaimrani6777
@gavanaimrani6777 3 жыл бұрын
Umenena Dada gaidi ha bastola Hana jamani uonevu tu
@khadijahilal3016
@khadijahilal3016 3 жыл бұрын
Hebu nyamanza na wewe kama huoni basi mungu ayafunge macho yako usione kbs
@khadijahilal3016
@khadijahilal3016 3 жыл бұрын
@@gavanaimrani6777 hujamuelewa ndugu yangu kamaanisha vingine huyo wakristo walioweng wana roho mbaya
@footballrus8073
@footballrus8073 5 жыл бұрын
yarabi yarabi unyama gani huu wanofanyiwa hawa ndugu zetu wakiisilamu walokuwepo ndani yarabi walipe hapa hapa duniani wewe ndiye tunaekuabudu na wewe ndiye tunaekuomba msaada nyinyi mashehe ni watu waaina gani nyinyi mnaogopa kuwahamasisha waislamu wenzenu na watanganyika na wazanzibar kwa pamoja mkafanya mandamano ya amani tanzania nzima simameni muwe kitu kimoja mnaogopa kufa mnafikiri mtaishi milele hapa msiwe wanafiki mnasema tu kwenye vyombo vya habari ndio iwe nini na amini waislamu walokuwa wanataka pepo wapo wengi kuliko wanaotaka dunia muwaokowe waislamu wenzenu hamna taifa lolote la nje ambalo litawasaidiya zaidi ya nyinyi wenyewe mlokuwepo huko hawa si wengi nyinyi mpo wengi tena mpo na mola wenu mtashinda tu ondoweni uwoga mkisimama pamoja mtashinda hawa sawa saw na mwanamke huwa anajuwa hawezi kuwa sawa na mwanaume kwa hiyo hao wanajuwa kuwa mtawashinda msiwe wanafiki hao wanakuogopeni nyinyi simameni muwe kitu kimoja nyinyi waislamu duniani tunapita tu hapa tena muda mchahe kwanini shetani anawachezea na mnamkubali na mnamsahau mola wenu alokuumbeni
@madrasatulmujtabahschool7621
@madrasatulmujtabahschool7621 5 жыл бұрын
Mungu awalaani wote waliowadhalilisha na awaoneshe hapa Duniani kabla hawajafa tuendako akawamalizie
@aboubakarmansour1189
@aboubakarmansour1189 4 жыл бұрын
Amiin Allah waonyeshe hapa hapa dunian kam ulivyosema
@nadhraothman1909
@nadhraothman1909 3 жыл бұрын
Kila aliyehusika kuwadhalilisha mashehe wetu mwenyezi mungu awahukumu mchaana kila moja awashuhudie hasbullah
@simonmwanyika8288
@simonmwanyika8288 3 жыл бұрын
mashehe waliingiliwa😅😅
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 жыл бұрын
Walipigiliwa sio 👀
@ahmadjuma6083
@ahmadjuma6083 4 жыл бұрын
Subhana allah
@jumaali4931
@jumaali4931 3 жыл бұрын
ALLAH hana haraka hatawakijenga miskiti fadhuku laaadhab laadhabu shadid.AAmiyn
@bernardogunnto1041
@bernardogunnto1041 4 жыл бұрын
Hawatakua radhi na nyinyi waislam mayahudi na manaswara mpaka mfate mila zao kwa hyo haya ni majarb katika maisha haya ya dunia subra ndio kitu cha muhim tuwe ni wenye subra coz rehma ya Allan ipo karib
@mabrouckmiangi1225
@mabrouckmiangi1225 5 жыл бұрын
Innalillahi wa Inailaihi ra Jiun Yaarabi tunusulu waislamu umetujaharia waislamu kuwa wapole Lakini imefika hatua tunafanywa Kama kiroja tunaitwa magahidi kisa tunafuga ndevu, wanatuanza wao ktk majambo mbalimbali kama hivi SADA na MAKAFIRI WENZAKE walivyo tukejeri Ila muislamu akijibu tu anaitwa gaidi Subhannak tunakuomba utudhihirishie haki na batiri wazaririshe SADA na makafiri wenzake na wale wote wanaowafanyia unyama waislamu Ili tuone huu udhariri ukifanyika upande wao wataendelea kufurahia Allahmma Amiin".
@faisalikassim3837
@faisalikassim3837 3 жыл бұрын
Allah awape shifaa Allah atawalipa waliofanya hivyo
@nassorfundi3475
@nassorfundi3475 3 жыл бұрын
Allah wewe ndio kilakitu kwetu tunaomba uwalinde mashekh wetu
@hassansuha2490
@hassansuha2490 7 жыл бұрын
Allahu akbar hz ninjama za viongoz wapenda chuki na zuluma wahuku zanzibar
@jumagawani1694
@jumagawani1694 6 жыл бұрын
MAMA SADA KAMA HAO SI MASHEIKH KWA MAWAZO YAKO MUNGU ATAJAALIA SIKU MOJA UTAWAFAHAMU KAMA NI MASHEIKH AU LA
@albahryonlinetv9319
@albahryonlinetv9319 4 жыл бұрын
Allah hana haraka nao hawo anamsubir tu shein ck ya ya kiama na hapa dunia anafedheha na udhalilif na kama haamin na amuangalie salimin
@edimasoud1449
@edimasoud1449 7 жыл бұрын
mshehena ni ww mshenzi ww, mashekhe wetu wapo ndani alaf ww unasema wakome? huna adabu ww mshenzi weee, laanatu llaah, Allah akulaani mpaka kufa kwako
@mlishomndolwa1222
@mlishomndolwa1222 7 жыл бұрын
edi masoud endeleeni kutukana nakurooka lakin mjue damu zamashekh zilizomwagika zitalipwa tyuu
@vicentelias491
@vicentelias491 3 жыл бұрын
Wakome ndio
@aishafadhili3482
@aishafadhili3482 3 жыл бұрын
@@vicentelias491 huna adab Allah atakulaani
@lilyrose7983
@lilyrose7983 3 жыл бұрын
@@vicentelias491 😂😂🤣🤣
@betsonmugisha9604
@betsonmugisha9604 7 жыл бұрын
hivi nyie mnaotoa matamko mbona hamjakatwa?! msioanishe uislamu na ualifu mwalifu lazima ashughulikiwe tu kama ni mgaidi hakuna sababu ya kuwaonea huruma, ila kama sio Mungu atawafanyia wepesi.
@adamnssirisiri9338
@adamnssirisiri9338 4 жыл бұрын
Gaid ni mze wako nabii TITO NA GWAJIMA
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 4 жыл бұрын
Huyu kafiri mwenyeenzimungu atamlaani insha-Allah punde muache achekelee waislamu kudhalilishwa kutukanwa amin amin amin..!
@abuubakar987
@abuubakar987 4 жыл бұрын
ww mwanga
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 4 жыл бұрын
Pumzi zako mjomba zinakudanganya hizi kuwa mstarab
@petromachanga29
@petromachanga29 3 жыл бұрын
Walifanya machafuko zanzibar
@noorynmohammedy6063
@noorynmohammedy6063 4 жыл бұрын
Subuhanna Allah
@failehassani9201
@failehassani9201 7 жыл бұрын
oh Allah protect n preserve ur slaves ameen
@khalifanassor5349
@khalifanassor5349 4 жыл бұрын
Binadamu wanahadaika na ufalme wa dunia hawajui hawajui kama kuna mfalme wa wafalme na ndiye mwenye hukumu na adhabu zake ni kali kuliko za binadamu yeyote, malipo duniani akhera hisabu
@joharikitundu
@joharikitundu 3 жыл бұрын
asalamu alykum Waislam naomba kujua nini maana ya uhamsho ? Najiumiza sipati jibu ili Neno uhamsho lipo sehemu gani ? Nimekuwa ktk uislam Ila nipo njia panda
@swabirali1276
@swabirali1276 3 жыл бұрын
Waislamu tumekua wanyonge Sana'a...tuamkeni kama vita vita
@salmamasoud6055
@salmamasoud6055 7 жыл бұрын
Subhanallah Allah dunia imeisha hii hao police wakamatwe wao ndio magaidii kama vp wasilam tufanye kisomo wazirike wote hao mambwa yalofanyia watu ukatili
@hawahamad9628
@hawahamad9628 3 жыл бұрын
Yaan unamchukua mwanaume mwenzako unamfanya kinyume na maumbile huo ni unyama mkubwa mmewadhalililisha sana masheikh wetu ila Allah yupo nanyi atawadhalilisha tu kama mlivowadhalilisha wao.
@EcoEssence_wellness
@EcoEssence_wellness 7 жыл бұрын
Okay
@user-ie4wm9uk9n
@user-ie4wm9uk9n 6 жыл бұрын
Weye sada mosses laanatu llaah mung akulaani dunian mpaka yaumul qiyaam mashekh wadhalilishwa weye wafurahia mbwa weye
@alimasoud3819
@alimasoud3819 3 жыл бұрын
Ya Allah tunakuomba walinde waja wako kama ulivyowalinda watu Wa pangoni
@ashajumbe4225
@ashajumbe4225 3 жыл бұрын
Mungu wangu kiyama kitakuja vibaya Tanzania
@lissochacha5218
@lissochacha5218 4 жыл бұрын
mimesoma comments nyingi but nimeelewa at uislam ni ugaidi
@ramaamuggah2203
@ramaamuggah2203 3 жыл бұрын
Unavuta bang ya afande sele ww cyo bure
@alikhamisog3422
@alikhamisog3422 4 жыл бұрын
Mm naangalia hii 25/2/2020
@lailatimohd3792
@lailatimohd3792 4 жыл бұрын
Yaarab wape mwisho mwema mashehe wetu
@ahmedhareb1318
@ahmedhareb1318 7 жыл бұрын
Poleni mashekhe
@vidawillis1894
@vidawillis1894 3 жыл бұрын
Jamani siamini hii ni Tanzania Mungu wajalie mashehe hawa. Ni binadamu kama sis
@issasingano5873
@issasingano5873 8 жыл бұрын
saada mosess hujui bora unyamaze siku zote ukafir nauislam haviendan hapa kunaigomvi wakiiman xwakisiasa
@saudamct8197
@saudamct8197 6 жыл бұрын
Allah atawafanyia wepesi Inshaalla
@nassorothaman6237
@nassorothaman6237 4 жыл бұрын
Sauda Mct Allah awalipe mazalim hawo hapa hapa duniani ili wajuwe kama wananvyo tufanyia mashekhe w2
@lisauroble31
@lisauroble31 3 жыл бұрын
EWE MOĹA WANGU MLEZI WAPE WEPSI WAJA WAKO WEWENI HAKIMU NA MJUZI KILA JAMBO NI MWENYE KUSBRI WAFANYIE WEPS WATOKE HUMO GEREZEN NAAMIN KESHO NDIYO WARIS UFALUME MB8NGUNI KWAKUWA WAMESUBRI YANAYOWAPATA UNAONA HAKI IPO WAPI YAMJIBU AMINA
@ibrahimpius893
@ibrahimpius893 7 жыл бұрын
Ipo siku haki itapatikana
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 7 жыл бұрын
wallah walio fanya icho kitendo kibaya namna hiyo, Allah awachape fimbo anayo ijua mwenyewe, lakini binadamu mbona tumekua kama wanyama,hata hao wanao sherekea icho kitendo, kweli wana akili?
@omarymakiya8835
@omarymakiya8835 5 жыл бұрын
Tend
@omarymakiya8835
@omarymakiya8835 5 жыл бұрын
T d
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 4 жыл бұрын
Amin amin amin awatie uchizi washike bundukï wauwane wenyewe
@rajabhamis4341
@rajabhamis4341 4 жыл бұрын
Fatuma Mwalimu
@rajabhamis4341
@rajabhamis4341 4 жыл бұрын
Omary Makiya
@suwayasuwaya1933
@suwayasuwaya1933 6 жыл бұрын
wew sada mungu anakuona pia uchunge ulimi wako utakuplka pabaya ata wakifa wakiwa jela watakuwa wamekufa shaidi acha kutoa kauli chadu wewe
@habibumianga6461
@habibumianga6461 7 жыл бұрын
usibishane na mtu asiejua nini kitatokea yaumul qiyaama
@janewacera7812
@janewacera7812 7 жыл бұрын
Loh!
@mudhihirumikidadi6066
@mudhihirumikidadi6066 4 жыл бұрын
Badao waisilam wana washagiria haohao wanaotesa waisilaam zindukeniwaisilam usingizigani tumelala?
@suleimanbakar3429
@suleimanbakar3429 3 жыл бұрын
Serikali gani?
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
subhanallah subhanallah 😭😭😭
@mundhiribrahim6292
@mundhiribrahim6292 3 жыл бұрын
😪😪😪😪😪yaallwah tusaidiye yotehaya hatuna umoja waislamu
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
mtihan sana
@omarially9157
@omarially9157 7 жыл бұрын
nyinyi mashekh wabakwata wote amna lolote mpaka tundu lisu aseme ndio na nyinyi muongee wanafiki Wakubwa nyinyi
@gavanaimrani6777
@gavanaimrani6777 3 жыл бұрын
Please umemuona mufti wako Apo AMA
@eddyonehola2141
@eddyonehola2141 8 жыл бұрын
AS WE GIVE YOU TRUE THINGS WHAT HAPPEND FOR MUSLIMS, THEY THINKS US WE ARE AFRAID THE POLISES AND MILITARS, BUT WE ARE NOT WE SAY AS SOON AS POSIBLE WE WILL KEEP JIHAD ALLAH AKBAR ALLAHU AKBAR, ALL PEOPLI WHO WANT TO SUPORT MUSLIM FOR JIHAD WE SAY WELCOME IN ZANZIBAR AND TANGANYIKA WE WILL DO 1-100 THIS IS OUR GAME IN MUSLIMS. ONLY GOD WE RESPECT
@athonyfrancis8889
@athonyfrancis8889 7 жыл бұрын
Mmmh Tanzania!!!!this time??hatuku practice haya before,Mungu wa Tanzania ni wa wote si wa ubaguzi wa dini,Vita hiyo amiri jeshi awe Mungu pekee akawaangazie wale woote wenye nia mbaya na nchi yetu pamoja na umoja wetu usio na ukabila wala udini.Asaalam aleykum
@omannal1281
@omannal1281 3 жыл бұрын
NASIKIA BAKWATA NDIO MDOMO WA WAISLAM MBONA LIPO KIMYA AU KAZI YAO NI KUWAKANDAMIZA WAISLAMU KWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI.
@kingzerock1504
@kingzerock1504 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@iddsempay9726
@iddsempay9726 4 жыл бұрын
Ivi kweli nchi hii inauongozi kweli jamani
@swabirali1276
@swabirali1276 3 жыл бұрын
Hakuna amani hapa
@husseinkarim6745
@husseinkarim6745 4 жыл бұрын
Mheshmiwa Raisi awasamehe hawa masheikh hao wote. Wakiri na kutubu.
@saidmohammed5581
@saidmohammed5581 5 жыл бұрын
Tutaishia kuongea kwa mdomo na kutumika kisiasa mpaka lini?
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
hapo hapo maraisi wakiristo na waislam utasikia tunataka dua ni dua gani ambao wanataka na mashekhe wetu wapo jela mashekhe njaa utawaona wakiwa pamoja na hiyo mjitu ya serikali wala hawasemi raisi kuna wenzetu wapo jela
@mussamati5216
@mussamati5216 3 жыл бұрын
Yani ata tusemeje ila allah atawalipia tusije kumtafuta nani adui mana kunawatu munguhawamjui
@zungubakathir1761
@zungubakathir1761 7 жыл бұрын
kazi yenu msubir ramadhani mualikwe ftar na makafir bas hakuna kafri ataekae tupendelea wema sisi mashehe wetu wameongea tu ukweli wamekua magaidi gwajima mbona anaongea hajakamatwa kuambiwa gaidi mbona wanaume zao wamarekani wanauwa watu usku na mchana watoto wadogo wana wake kutwa wanawapka mambom sria .iraq.afghanistan.somalia.libya .palestina. n.k mbona hawasemi kuwa nimagaid wanauwa vizaz bila sababu ije mashehe tu kusema hawatak muungano ndo ugaidi nio hawatak kuna mtu ambaye baba ake anaweza kuumba nchi apa sote tunahak nanch zetu lakin.tusisahau duwa ndugu zangu waislamu ipo sku nusra kutoka kwa allah itakuja watatoka wanaume miongoni mwetu waislamu na watamaliza zuluma hii inshallah .
@suleimanbakar3429
@suleimanbakar3429 3 жыл бұрын
Iko siku Allah atawalipa madhalim Hawa waitwao viongozi kumbe uhalisia Ni majambazi
@imnathe1299
@imnathe1299 7 жыл бұрын
sada funga kiywa chiko mungu akulaani dunia n hadi kaburin nguruwe ww
@zungubakathir1761
@zungubakathir1761 6 жыл бұрын
Imna The acha kutukana watu ww kwasababu ukaringia serekali itakutetea acha ujinga wale magaidi wamemuuwa nani nenda bas katoe ushahid acha kutukana watu
@AP-uk3mq
@AP-uk3mq 4 жыл бұрын
@@zungubakathir1761 hee imekuaje unamtukana Imna tena?au sijakuelewa? maan naona yy katetea
@nadhraothman1909
@nadhraothman1909 3 жыл бұрын
Mm najua jina LA sada ni wenzetu ,Kwann kajifisha jina asofani nalo maana so kwa kejeli hizi , kama muislaam hasa husubutu kusema maneno ya laana , mm nakuomba kama muislaam usipende kusema maneno ya kufurahisha dunia , Leo kwao kesho kwako , hii dunia .ingekuwa family yk yangekutoka hayo?
@amourhamdan3229
@amourhamdan3229 7 жыл бұрын
amakweli m mungu hakukosea kuwaita makafili oneni huyo kafili matusi anayo toa ipo sikuyenu
@salimabdul9720
@salimabdul9720 5 жыл бұрын
Amour Hamdan
@alimasoud3819
@alimasoud3819 3 жыл бұрын
Mama samia uko wapi
@sunrishmussan7929
@sunrishmussan7929 5 жыл бұрын
Nchi imeharbika hii cyo Tz j.k. nyer...
@ramadhanmgaza6385
@ramadhanmgaza6385 3 жыл бұрын
إن الله علی کل شیءقدیر
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 3 жыл бұрын
Waislamu wa Tanzania tambueni chombo chenu sahihi cha kuwasapoti..hii BAKWATA mngefaham historia yake kwanza ilianzishwa na nani halafu mtajua kwann wale masheikh wenye vilemba na majoho makubwa wanaitwagwa pale juu kusoma ma dua mbali mbali ya kuiombea sirikali...someni historia jamanii..someeniiii
@abdallahahmedmmary225
@abdallahahmedmmary225 3 жыл бұрын
HAKIKA SISI NIWAMWENYEZ MUNGU NA MAREJEO NI KWAKE IKIWA. mashekh hawaja achiwa je kunanni. HUWEZ ZUIA UKWELI KWANI UONGO HAUDUM TUMEYAJUA HAYO KWADHULMA IYO.
@aziz-lu9kn
@aziz-lu9kn 4 жыл бұрын
Naishiya kutazama kwa macho Kwani amani imetoweka na izi dinizetu🙄🙄🙄🙄🤔
@ayoubinvestment8174
@ayoubinvestment8174 7 жыл бұрын
asalam alaykum jamii limuslimeen, hao ndo mashekhe wetu was Sikh hizi wanashuhudia uwongu hadharani bila kudhibitisha tujaribu kuwaepuka ,waliosema no binaadamu na binaadamu hajakamilika nao wanaongeza upungufu wao hapo
@hamzabadboy9155
@hamzabadboy9155 4 жыл бұрын
Watu wenyew waoga kama nn, mbn kila kuchao mwazika.
@ismailsaidymaulidy5859
@ismailsaidymaulidy5859 7 жыл бұрын
mbwa akikuzowea sana atakufata mpaka mskitini kiukweli tumezalilishiwa diniyetu ifikesiku tuseme bas
@cutealaufy9508
@cutealaufy9508 7 жыл бұрын
staili yao hao mapolisi kufa inawauma sana kufa police 10 tu mbona kidogo hao? mtenda akitendewa always huwisi kaonewa wanavyo watendea wananchi na kuwauwa bila hatia kuwatesa nyooookozenu kunya anye kuku akinya bata kahara eeh
@AK-is9xi
@AK-is9xi 5 жыл бұрын
ha ha ha eti tunaiomba serikali, wanafiki bwana
@khamisihaji2905
@khamisihaji2905 3 жыл бұрын
Haki za binaadamu ati wanapiga kelele kwa kukatazwa mtu bungeni asiende uchi watu wanaukiwa wanapigwa wanazalilishwa hapo hamuna haki za binaadamu unafiki mtupu
@mahmoudawadhi2520
@mahmoudawadhi2520 7 жыл бұрын
Baba wambinguni watuwako tunaangamia lete nusra
@damascongongi1609
@damascongongi1609 4 жыл бұрын
Upendo ndio kila kitu. Upendo ukitamalaki hakuna yeyote atakayesimama na kumtendea uovu mwenzake. Ninachojua uislamu ni unyenyekevu sasa wewe unayetukana wengine unatokea wapi?
@makostamara
@makostamara 7 жыл бұрын
Allah atajalia hao polis wakifa waende motoni na wakiendelea hivyo vitendo no dhambi kubwa
@abourmiraq4190
@abourmiraq4190 3 жыл бұрын
Po
@amirikhatbu3850
@amirikhatbu3850 6 жыл бұрын
Wewe unaeshangilia Mashekhe kuadhibiwa wewe nikafili
@shaksbinsalim453
@shaksbinsalim453 3 жыл бұрын
Sass waislamu tunafanya nn wakati waislamu wenzetu wapojela tena nimashekhe kilichobaki vianze vita vya kidini Napa tanzania wameshazoweya kututesa waislamu
@shabanimohamed7353
@shabanimohamed7353 7 жыл бұрын
Hivi katika watuhumiwa wa ugaidi kuna wasiokuwa waislam? Sasa hivi watakuwa na magaidi wa north Korea maana USA imeshatangaza kuwa N.Korea ndio magaidi no 1. Hapa hakuna kitu ni mchezo tu.
@allysultani5617
@allysultani5617 3 жыл бұрын
Pollen sn
@OptatusMushi
@OptatusMushi 6 жыл бұрын
DoG SI nAtAs
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 4 жыл бұрын
Allah walinde na wanusur mujahid wote juu ya mahasid wadini yetu
@swahilijom8168
@swahilijom8168 3 жыл бұрын
Amiiiin Amiiin Amiiiin
@petromachanga29
@petromachanga29 5 жыл бұрын
Tukomeeshen hao
@jerrysonshayo1557
@jerrysonshayo1557 4 жыл бұрын
Kabisa
@Zlatan_Makame
@Zlatan_Makame 7 жыл бұрын
vp ww huna hata huruma sada punguza hasira nawatakiya watoke mm
@kassimmohammed4949
@kassimmohammed4949 4 жыл бұрын
Faraja iko karibu subira kitu kikubwa
@suleimanbakar6097
@suleimanbakar6097 5 жыл бұрын
hiyo ndio sifa ya makafiri dhidi ya waislam ,ALLAH kakataza kabisa kushirikiana na makafiri kwani hawa watu ni wabaya mno na wana chuki ya UISLAM
@hakizimanasterling8298
@hakizimanasterling8298 4 жыл бұрын
Nakubaliana nawew pia nakushukulu kua natahadali yakuka mbali namakafili pongenzi kwako
@petromachanga29
@petromachanga29 3 жыл бұрын
Kikwete ni kafiri?
@teddyoscar6876
@teddyoscar6876 3 жыл бұрын
@@petromachanga29 hawajitambui wanaiga ujinga kama wana laana ya Mungu sio bure, binaadamu gani saa zote wanajiona wao dini yao ndio bora kuliko za wenzao sio poa sisi sote ni waja.
@lilyrose7983
@lilyrose7983 3 жыл бұрын
@@petromachanga29 Ndio hapo sasa?
@lilyrose7983
@lilyrose7983 3 жыл бұрын
@@teddyoscar6876 Shangaa na wewe
@othmanimkutu4
@othmanimkutu4 5 жыл бұрын
nimepita maon yawatu wt dadayetu katika aadam ametereza ikiwa katoa main haya kwaushabiki has tumsahe ilakama amekusudia kutokamoyon nimempa mdamfup mamboyake yataanza kuharibika awemakin tu hizolana haziwezi kwenda bure.
@missmuunasharifu2323
@missmuunasharifu2323 7 жыл бұрын
Innalilah wainnaillah rajiuuna
@abasingamila1455
@abasingamila1455 7 жыл бұрын
Itafika mwisho maana wamezidi kutuonea ipo siku tutachoka tu
@oyay2821
@oyay2821 3 жыл бұрын
Bakwata walikua wapi haya yakitokea? Ama walikua wakimsifia dictator Uchwara?
@zahranabdi8124
@zahranabdi8124 7 жыл бұрын
saada mwanaharamu wewe mja wa laana ulo kosa adabu na haya pia ukanyimwa yaani mashekh wadhalilishwa kesha wew unachekelea nyaambaf
@khamissalum9285
@khamissalum9285 5 жыл бұрын
Ndio.mujue kma.ccm.nikusudio.lakusambaratisha.dini yakisilam.halfu.nynyi.ndio.wamwanzo.bakwata kuwapa.nguvu.afuu.munalalamika.kwahalii.hii.mtaenda.kujbu.mbe.yahaki.munao.wapa nguvu.ao.makafir
@yusufuchuma7199
@yusufuchuma7199 3 жыл бұрын
Hivi viongoz wetu waiochaguliwa na waislam waLikua wapi mda wote? Hapo ndio utajua bakwat kama bendera
@oscarezekiel1826
@oscarezekiel1826 5 жыл бұрын
Makafiri allah atawahukumu sio mbali
@abuuabuu4831
@abuuabuu4831 3 жыл бұрын
Halafu waislamu wengi wanamsapoti magufuli
@lilyrose7983
@lilyrose7983 3 жыл бұрын
Magufuli kafanya nini na wakati hao walitiwa ndani na Kikwete?
@abuuabuu4831
@abuuabuu4831 3 жыл бұрын
@@lilyrose7983 Hawakutiwa ndani na kikwete walikamatwa na SMZ lakini kesi zao zilikua zinaendekea mahakamani lakini kafiri Magufuli kwa chuki zake kwa waislamu aliamuru kesi zisiendelee na eti masheikh wafie jela alijifanya Mungu sasa kafa yeye na Mashekh kesi zao zimerudi mahakamani kama wana makosa watafungwa kama sio wataachiwa Yule kafiri alikua katili sana
What Killed Mercy Mawia , The husband explaining
10:59
Stephen Kasolo Official
Рет қаралды 1,3 М.
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 32 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 95 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 6 МЛН
SIRI YA MAKONDA NA UONGOZI WAKE ARUSHA, SABABU YA WATU KUMTAKA
12:38
Impeaching Gachagua: Gachagua accused of undermining President Ruto
51:30
|Alexander Jacob 14|Charithram Enniloode|Safari TV
21:15
Safari
Рет қаралды 1,7 МЛН
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 32 МЛН