VIDEO: MWAKINYO AFUNGUA MGAHAWA MKOANI TANGA, "WAGHARIMU ZAIDI YA MILIONI 18"

  Рет қаралды 91,960

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

/

Пікірлер: 200
@shadrackmijjinga9793
@shadrackmijjinga9793 Жыл бұрын
Kuna watu mnauelewa mdogo sana wa mambo .... Any ways Hongera sana mpambanaji wetu ndugu yetu bingwa wetu ...endelea kupambana utatoboa hakika...
@sangaezra6917
@sangaezra6917 Жыл бұрын
Huwa napenda Sana mwamba akiwa anaongea na piya mwamba ana mheshim Sana mwenyezi mungu
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 Жыл бұрын
Wengi wanamchukia mwakinyo kwasababu ya UWEZO alojaaliwa tusiwe wengi wa chuki zaidi ya kuombakheri na kujiombea
@jumakassim8718
@jumakassim8718 Жыл бұрын
Swadakta
@goodlucklema2558
@goodlucklema2558 Жыл бұрын
Huyo anachukiwa ana maneno yakike sanaa
@iddydaruwesh8650
@iddydaruwesh8650 Жыл бұрын
Fanya maisha mweneu kila muombela mungu akosi fungu lake. Washangaze wenye vijiroho vya husda masha Allah kheir
@artanahm3389
@artanahm3389 Жыл бұрын
Hongera sana champ 🏆. Nimeona picha ya Crawford hapo. Real G knows real G.
@lloveyoutanzania5315
@lloveyoutanzania5315 Жыл бұрын
Mungu aendelee kukusafishia njia mdogo wangu ❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏
@saidizuberiissa7286
@saidizuberiissa7286 Жыл бұрын
I love bro tunakuombea mungu hiyo sehemu iwe kubwa mnoooi
@TheSalma1999
@TheSalma1999 Жыл бұрын
Wewe ni mpambanaji kaka kweli huku America tumekuja kutafuta tufanye vitu vizuri nyumbani hongera sana kaka utakuwa boxer mkubwa sana duniani kupita mike Tyson insh Allh I’m so proud of you my brother
@deniskyangala3400
@deniskyangala3400 Жыл бұрын
😂😅🤣eti zaidi ya Tyson
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 Жыл бұрын
Upo America ya buza au ya chanika ndugu
@mnyilingatv
@mnyilingatv Жыл бұрын
@@adaboychibu1659 😂😂😂america ya buguruni 🤔
@abuuimraan2484
@abuuimraan2484 Жыл бұрын
kwakua haiwezekan or kwani ni nani Alo Muumba Mike tyso na ninan alie muumba Hssn Mwakinyo?
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Жыл бұрын
Hongera sana mwakinyo,umepata sehem zuri ya biashara mana apo uwa watu awalali
@nasmafarmsltd9146
@nasmafarmsltd9146 Жыл бұрын
Panaitwaje ndug hapo
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Жыл бұрын
Makorora
@salehehamza3944
@salehehamza3944 Жыл бұрын
Hongera bro Mwakinyo unaijua box na unajua sana kujielezea wewe kama wewe Allah akufanyie wepesi ktk malengo yako🤲🤲
@fatmahamad6177
@fatmahamad6177 Жыл бұрын
Mashallah kk Mungu akulinde sana.
@abdulrahmankanduka1977
@abdulrahmankanduka1977 Жыл бұрын
Hongera sana Mwamba Kwa hatua uliyopiga na hongera sana Kwa kupathamini nyumbani na pia hongera Kwa mafanikio Yako Aya uliyoyapata sasaivi na mungu akufikishe mbali zaidi ya hapo....
@jimmymbella997
@jimmymbella997 Жыл бұрын
Hongera sana kaka mwakinyo nakukubali sanaaaaaaa kaka 💪
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 Жыл бұрын
Asante mwenetu mungu akujalie makorora ilikuwa kubwa kuliko hata stendi makorora dunia hotel ndio sehemu zetu za kujidai
@poucostantin4403
@poucostantin4403 Жыл бұрын
Kweli
@Ali-nl2du
@Ali-nl2du Жыл бұрын
Allah akuzidishie duniani na akhera. Tunashukuru kwa kuienzi dini na mila yako.
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 Жыл бұрын
This is nic big up kachangia na mwana fa
@kenosman4780
@kenosman4780 Жыл бұрын
Big up bro Mwakinyo kw hatua
@S.A_media1
@S.A_media1 Жыл бұрын
Moja ya Vitu ninavoviamini kwenye business food restaurants as safest in town
@amirymbilimo448
@amirymbilimo448 Жыл бұрын
Hiyo ofisi ya kawaida sana haina samani iyo ya milioni 18 sio kweri
@shabanimarwa6174
@shabanimarwa6174 Жыл бұрын
Uwekezaji mzuri Master. Ikawe pouwa saaaana. piga pesa.
@deathrow8004
@deathrow8004 Жыл бұрын
Maa shaa ALLAH ALLAH AKUAFIKISHE ZAIDI KTK DINI PAMOJA NA NIA ZAKO
@mkanulamajid500
@mkanulamajid500 Жыл бұрын
Mungu fundi haipingiki namba moja Africa dunia taarifa inayo the history
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын
Mashallah Mashallah hongera Mwenyezi Mungu azidi kukupa akili na maarifa.
@fatumakadanje6403
@fatumakadanje6403 Жыл бұрын
Mwakinyo mm shabikiyako naomba kazi hapo
@abochejuniorhutingwa223
@abochejuniorhutingwa223 Жыл бұрын
Hongera kk, nikija tanga nitakuja kupata chakula hapo
@mikekileo1186
@mikekileo1186 Жыл бұрын
You deserve better bro✌️ You're so strategic even your speaking sound contentiously 🧠
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
Makorora community sehem moja naipenda sana
@kdloon2030
@kdloon2030 Жыл бұрын
Makorora stand up
@fatimahants1526
@fatimahants1526 Жыл бұрын
Hongera sana mwakinyo kwa hatuwa kubwa ya kuwekeza
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 Жыл бұрын
+MUNGU+ AKUBARIKI azidi kwako zaidi kwa kila eneo🙏🤝
@maryamm7765
@maryamm7765 Жыл бұрын
Hongera sana mwakinyo
@manlematz821
@manlematz821 Жыл бұрын
Kaskazini Akili ya Pesa mzee Achana na hao wacheza Ngoma tuu wakudaa😂😂😂
@mshavela
@mshavela Жыл бұрын
Nice bro! najivunia kuzariwa tanga
@alfanboblice9150
@alfanboblice9150 Жыл бұрын
Vzr sana Champez
@user-wk1ix1gm1p
@user-wk1ix1gm1p Жыл бұрын
Hongera sana kaka
@shwaibukhatibu2838
@shwaibukhatibu2838 Жыл бұрын
Masha Allah
@abeditwaha8385
@abeditwaha8385 Жыл бұрын
Safi Sana mwakiyo
@amirimuhsin560
@amirimuhsin560 Жыл бұрын
Nice broo
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 Жыл бұрын
Hongera mzee
@zainabumohamed4763
@zainabumohamed4763 Жыл бұрын
Mashaaallah
@salehalzakwani3283
@salehalzakwani3283 Жыл бұрын
Mashaallaah pamoja sana oman
@yohanemellau3220
@yohanemellau3220 Жыл бұрын
Hongera sana kamanda Molla àkuzidishi3
@digomastar
@digomastar Жыл бұрын
Mungu azidi kukupa neema inshallah ufanye mengi zaidi yahayo
@cisselamerverille5286
@cisselamerverille5286 Жыл бұрын
Kuna interval na interview.... Huwa sipendi interview ya Mwakinyo inipite hata kidogo hii sikuiona sijui nilikua wapi sio maongezi tu Bali na elimu pia unaipata kutoka kwake unapo msikiliza ....💪
@ekicrevomnyanyi862
@ekicrevomnyanyi862 Жыл бұрын
Hongera sana kaka mungu akutangulie.
@Hassanchora
@Hassanchora Жыл бұрын
Mashallah mungu akufungulie milango yenye kheri
@hadserhood2823
@hadserhood2823 Жыл бұрын
Shida ya wataz tuna kitu kimoja mtu akiwa anapambana kupata mkate tunaweza kumsapot ana akishafika stage ya kufanikiwa kufika mbali tunataka kumshusha ashuke chini ili apande mwengine hii ni laana tulionayo
@prophetislael5265
@prophetislael5265 Жыл бұрын
Mungu akubariki kaka
@lemaoman1760
@lemaoman1760 Жыл бұрын
Mashallah nakupenda sana kaka yangu
@jumahatibu9240
@jumahatibu9240 Жыл бұрын
Mashaa allah..unajuelewa
@sebmalunde5945
@sebmalunde5945 Жыл бұрын
Mshkaji ana uwezo sana ila nadhani hana Menejimenti nzuri......Bado nawaza pambano lake la Mchongo Uingereza
@rajabhamza4628
@rajabhamza4628 Жыл бұрын
Hongera brother
@mweroruwa6339
@mweroruwa6339 Жыл бұрын
Mashallah Tabaraka Allah. Kila la kheri bro
@hilalmohd8941
@hilalmohd8941 Жыл бұрын
mungu akusimamie brother
@mikidadiame3571
@mikidadiame3571 Жыл бұрын
Mungu akuongoze
@yusuphmpenja3288
@yusuphmpenja3288 Жыл бұрын
Yani comedy boxing 🥊
@aishanasri7561
@aishanasri7561 Жыл бұрын
Nice mpambanaji
@iddiali8057
@iddiali8057 Жыл бұрын
Mashaa ALLAH
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Hongera
@spiderelexander9977
@spiderelexander9977 Жыл бұрын
Hongera dogo nakukubali sana
@allymwilu8089
@allymwilu8089 Жыл бұрын
Fala hili professional boxer kuuza pambano ndo alichofunzwa mxiuuuu
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
Safi sana
@maulidihassani8324
@maulidihassani8324 Жыл бұрын
watuwamitungiiii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kennedymaster2000
@kennedymaster2000 Жыл бұрын
Nakukubali sana mwakinyo wewe ni mwamba
@mickdadybakari6052
@mickdadybakari6052 Жыл бұрын
Mwakinyo nakukubali saaana kwasababu unafanya maisha mengine nnje ya ngumi kaka nasubiri mzigo utue unguja ili nizame ndichi we ndo umenifanya niingie kwenye ring maana nikisha potezea nasubiri Zanzibar ianze na mie nishiriki ila nitatamani saaana kupita njia zako
@allyhabibu8503
@allyhabibu8503 Жыл бұрын
q namba
@mickdadybakari6052
@mickdadybakari6052 Жыл бұрын
@@allyhabibu8503 og
@suleimanmohommed5209
@suleimanmohommed5209 Жыл бұрын
Allahu Bariki Home Boy
@donyusco7566
@donyusco7566 Жыл бұрын
Well done champions
@chisongastephen7299
@chisongastephen7299 Жыл бұрын
Ninamkubali sana Mwakinyo kwani anajitambua sana kwa kile akifanyacho katika maisha yake.
@Ram_1893
@Ram_1893 Жыл бұрын
Wewe endelea kupata pesa na sisi wengine tuendelee na majungu yetu kwako 😀😀😀
@ismailmneka2967
@ismailmneka2967 Жыл бұрын
Hongera sana bro
@faiditv5535
@faiditv5535 Жыл бұрын
Faswaha Sana jamaaa mashallh
@peterrobert8905
@peterrobert8905 Жыл бұрын
Tangu apigwe kibwege simkubali huyu jamaa
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 Жыл бұрын
Ww acha maneno bwana siku hizi mabondia wote watumbuizaji,mabondia walikuwepo zamani mtu anapigwa ulingoni anakwenda kuzindukia hospitalin.Umeenda uingeleza umepigwa na kiatu ulichovaa mwenyewe pambano likaishia hapo sasa huo sio usanii
@allychumatalented8195
@allychumatalented8195 Жыл бұрын
Acha makasiriko
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 Жыл бұрын
Kaka mwakinyo hizo nywele vipi kama mganga wa kushuka mvua
@noelphilipmollel6355
@noelphilipmollel6355 Жыл бұрын
Nabii akubaliki kwao. Tanga ngumu mno. Aina ya wateja wa migahawa hiyo usitegemee wateja wa Tanga. Hatua nzuri isipokuwa naona haujaifanya sehemu sahihi. Tukutane miaka miwili ijayo.
@allychumatalented8195
@allychumatalented8195 Жыл бұрын
We ndio mungu mzee
@raro5506
@raro5506 Жыл бұрын
Kaanza kuzitumia zileeeeeee zilizo fichwa na upotevu wa beg Airport
@nasrafadhili7408
@nasrafadhili7408 Жыл бұрын
Yn umetengeneza sehemu nzr lkn huo mji watanga kusapotiana ss ndokazi sn tunakuombea ufanikiwe ndg
@barakanatus5676
@barakanatus5676 Жыл бұрын
Upo vzr sana,
@bakarisultanindima3513
@bakarisultanindima3513 Жыл бұрын
Dua kk
@catherinecostantino2034
@catherinecostantino2034 Жыл бұрын
Nakukubali ndugu , Ila kanipigie yule mzungu maana anaongea Sanaa Tena sanaaa
@fahminasser3855
@fahminasser3855 Жыл бұрын
Hassan teyari una jina kubwa hii kitu nahisi ungeifungua tanga town ingekupa matokeo mazuri nahisi makorora pako pembeni sana
@othmanmuhammad5609
@othmanmuhammad5609 Жыл бұрын
Mwakinyo njooo Zanzibar nikufundishevkupika supu yapweza
@othmanmuhammad5609
@othmanmuhammad5609 Жыл бұрын
Mungu atakufungulia ishaaallh
@yusuphmpando9900
@yusuphmpando9900 Жыл бұрын
Kweli bro hata mm nimeliona hilo
@sdeshnjwetr6707
@sdeshnjwetr6707 Жыл бұрын
Mwakinyooo mbona unasahau mara we mtu wa imani mara tena mtu wa mitungi 😀😂🤣. Okay by the way good idea brother 💪🇹🇿.
@mickeyyusuph1469
@mickeyyusuph1469 Жыл бұрын
Kwan mitungi haijaruhusiwa kwenye biblia bro😮😢
@bornkilla6173
@bornkilla6173 Жыл бұрын
Hujamuelewa kasema sisi sio watu wa mitungi
@sdeshnjwetr6707
@sdeshnjwetr6707 Жыл бұрын
Sawa sikumsikia vizuri....maana nilistuka sura yake ina nuru . Oky mungu amfanyie wepesi champion tz🇹🇿💪
@zafarmohamedy3013
@zafarmohamedy3013 Жыл бұрын
Heheh
@manlematz821
@manlematz821 Жыл бұрын
Weka maskio vizuri acha ufara
@daniagustino2129
@daniagustino2129 Жыл бұрын
Unamsema mandonga atapigana pambano la alftatu
@yujinxhing3766
@yujinxhing3766 Жыл бұрын
Ila huyu jamaa ana dharau
@mohamedkilagale4281
@mohamedkilagale4281 Жыл бұрын
Asante
@cairoshampeny
@cairoshampeny Жыл бұрын
UNAMSHAURI NINI MDOGOWAKO TWAHA ANAPIGIKA kama NGOMA
@japharymagesa735
@japharymagesa735 Жыл бұрын
Bi idhni llah utawainua na wengne
@mustaphaally6997
@mustaphaally6997 Жыл бұрын
Sikupingi champion
@chamimdesa148
@chamimdesa148 Жыл бұрын
Mwakinyo kwenye Questinare bado
@puresight-s-channel5150
@puresight-s-channel5150 Жыл бұрын
We uza mgahawa ndio profession yako,ngumi inazingua,we ni muoga na ndio maana ukaogopa pambano la uingereza umepigwa kikombe kimoja tu umeogopa unajifanya viatu vinakubana😁😁😁we feki tu
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior Жыл бұрын
HONGERA SANA NA USIISHIE HAPO ENDELEA KUWEKEZA
@daudsimon5417
@daudsimon5417 Жыл бұрын
Umefanya kitu kzur
@shamilanamkubarisanasultan1018
@shamilanamkubarisanasultan1018 Жыл бұрын
uyu broo kama mird ayo sauti yake
@islamhassani5365
@islamhassani5365 Жыл бұрын
Bado sana kk ila kiukwel yupo vizuri nae pia
@willykaovela5485
@willykaovela5485 Жыл бұрын
njoo tukupe deal za uwekezaji ....mdau...18m kwel
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 Жыл бұрын
Sauti km namuona mwana FA
@veenpoul900
@veenpoul900 Жыл бұрын
Kutoka kwny boxing mpk upishiii duh,,,mwaki food oyeeeeh
@veenpoul900
@veenpoul900 Жыл бұрын
Shishi food,,,,mwaki food
@damarygaratulu9135
@damarygaratulu9135 Жыл бұрын
Ebhana eeeee 18m kwa mbao hzo
@makongorojulius4965
@makongorojulius4965 Жыл бұрын
Mdigo upo rank gani maana unachonga sana😅😅
@brightonkiwango8184
@brightonkiwango8184 Жыл бұрын
Asa we wakutudanganya viatu vilibana sijui umesahau begi halafu ujiite international
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 41 МЛН
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 2
29:53
YahStoneTown
Рет қаралды 259 М.
LIVE# NILIACHA CHUO NA KUKIMBILIA BIASHARA YA GENGE !
15:19
Agha Media
Рет қаралды 10 М.
MWAKINYO ALIVYOMCHAPA PATRICK ALLOTEY WA GHANA "TKO"
7:39
Millard Ayo
Рет қаралды 52 М.