VIDEO: TAZAMA JAMII INAYOISHI KWA MATUNDA NA NYAMA,UTACHEKA MAJINA YAO

  Рет қаралды 218,241

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 453
@keiyalaitayo7903
@keiyalaitayo7903 Жыл бұрын
Ana miaka tatu gonga like tuendelee kwenda na nchi yetu ngumu
@maryamsaleh8438
@maryamsaleh8438 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣shikamoo nchi yangu Tanzania nakupendajee!
@elizabethjakobo279
@elizabethjakobo279 Жыл бұрын
😂😂😂🇹🇿
@trendvibeke
@trendvibeke Жыл бұрын
This is great Africa is rich in culture bigup Ayo tv 🇰🇪🇰🇪 ❤
@saljam82
@saljam82 Жыл бұрын
Influence is power... Msanii gani unaempenda au kumsikiliza.? Madogo wa kihadzabe wanajibu Diamond.
@jumakibe5032
@jumakibe5032 Жыл бұрын
Hatar mzee
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Жыл бұрын
Nishida mondi adi. Mpolini. Ankulikan. Kweli simba
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 Жыл бұрын
Haya majina yanasababisha NIDA kugoma kutoa Vitambulisho vya Uraia.Umakini unahitajika kwakweli.
@saidimbinga6543
@saidimbinga6543 Жыл бұрын
Ahahahahahahaha
@SheikhNassorMuhammad
@SheikhNassorMuhammad Жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆
@lucymoris1707
@lucymoris1707 Жыл бұрын
Hahahahahh
@hawaoo3130
@hawaoo3130 Жыл бұрын
🤣🤣😂😂😂
@mkongomanidrc849
@mkongomanidrc849 Жыл бұрын
Allah Akbar mwenyezi mungu ndie muumbaji wa mbingu na ardhi na wana Adam
@mohamedramadhani2868
@mohamedramadhani2868 Жыл бұрын
Dunia ina maajab
@mtabiriwanyotashekhadinans7494
@mtabiriwanyotashekhadinans7494 Жыл бұрын
Aisee nimecheka sana hii nchi ni ngumu sana
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 Жыл бұрын
Nimegundua uzaben hawamjui allykiba wanamjua diamond,we diamond umemfanya nini allykiba!! "Kamongo umemfanya nn pegelee hana maketi"😂😂😂
@Johny255Official
@Johny255Official Жыл бұрын
Love this from kenya
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 Жыл бұрын
Wana lafudhi nzuri ya Kiswahili kuzidi Masai na Wachaga.
@palokuthereza2555
@palokuthereza2555 Жыл бұрын
Mtuache wachagga
@ahz6907
@ahz6907 Жыл бұрын
Wachaga zero kabisa na wezi haoooo
@palokuthereza2555
@palokuthereza2555 Жыл бұрын
@@ahz6907 zero kwenye nini na wezi wamekuibia nini ebu jaribuni kuwa na respect jamani
@emmanuelzani2889
@emmanuelzani2889 Жыл бұрын
@@palokuthereza2555 pole sana, mengine yaache yapite.
@pus.4506
@pus.4506 Жыл бұрын
Sio vizuri kuingiza ukabila humu ndugu unakosea
@aishawhite1107
@aishawhite1107 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Tanzania nakupenda nchi yangu wewe
@neemaruhembe6360
@neemaruhembe6360 Жыл бұрын
Wapo mkoa gani jamani kumbe Tanzania ni story nzuri aisee
@Willem_Mah
@Willem_Mah Жыл бұрын
Mandishi be like; jina lako nani? Hadzabe; Oleh-ka-fuf-dwa-ah-su-du-ika. Kwa kiswahili haiwezekani 😁😁😁😅😅 Mwandishi; de ka brrizz!!! 😁😆😆😆
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 Жыл бұрын
Subhanaallah kuna lugha jamani duniani watu wamanyala ndio wanao zungumza hivyo nilifikiria kuwa watu wa Africa ya kusini
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 Жыл бұрын
Huku siyo Manyara, ni Wilaya Karatu mkoa wa Arusha... Lake Eyasi
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 Жыл бұрын
@@georgemassebu2083 Makongoro Nyerere ni Mkuu wa mkoa wa Arusha !!!😂😂😂?? .Hapo Manyara sikiliza uzuri utaelewa.
@manyaraboy
@manyaraboy Жыл бұрын
MANYARA is my home and it's blessings for everything tanzanite tarangire mbuga maziwa tribes yani full fululu mpka mbulu
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
@@manyaraboy nakubali
@maigecharles301
@maigecharles301 Жыл бұрын
Daaaaaah noma sana hata mtoa talifa kashindwa kulitaja hilo jina 😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣
@peninamsuko4858
@peninamsuko4858 Жыл бұрын
Jamani unaezasema huko nidunianyingine mungu aliumba kwrli
@vibetz9991
@vibetz9991 Жыл бұрын
Majina yao yana swaga kinomaa😍😍😍
@kreamagdfsa1697
@kreamagdfsa1697 Жыл бұрын
😀😀😀
@mwaneyseifseif3059
@mwaneyseifseif3059 Жыл бұрын
Dudu kwaya
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 Жыл бұрын
Nimependa huyo mwenye miaka tatu🤣🤣🤣
@mariamomar1735
@mariamomar1735 Жыл бұрын
Miaka 3 alafu kwa kujiamini mjanga kweli huyo hajui miaka yake alafu kamuiga diamond
@teychriss3248
@teychriss3248 Жыл бұрын
Makarani wa sensa kazi mnayo!!
@ommythetruth5449
@ommythetruth5449 Жыл бұрын
MY WANGU POPOTE ULIPO NALETA KWENU DUME 3 ZA NYANI NA DEBE MOJA LA ASALI KAMA MAHARI 😋😋😋
@saidymatejoe2212
@saidymatejoe2212 Жыл бұрын
😂😂😁 niwenzet hawa kwelii. Nchi ya mama iyooo
@magidalenarauya4286
@magidalenarauya4286 Жыл бұрын
Mwanangu diamond unakubalika mpaka Kwa hadzabe huko porini hebu wanunulie TV ya Sola wawe wanaangalia wasafi
@teychriss3248
@teychriss3248 Жыл бұрын
Point! Aende hata aiapige show bila vyombo mradi wamuone live tu
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
hayo majina huwezi andika eti . lakini wamepata heshima yangu
@salumjrsaidjr7150
@salumjrsaidjr7150 Жыл бұрын
Hapo wahesabu sensa kazi wanayo!!
@hadeeegahalmawali504
@hadeeegahalmawali504 Жыл бұрын
Jmn tz yetu kubwa 🤣🤣🤣👌👌
@khalidngwembele9075
@khalidngwembele9075 Жыл бұрын
Hilo jina Ol'enka soe w'an'usuein'ka!🙌😂
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 Жыл бұрын
Kwa hawa form six wa miaka hii,hawatoweza kuandikisha hayo Majina.
@kasukukasuku3896
@kasukukasuku3896 Жыл бұрын
Majina yao yanatamkwa kwa klick language🤣🤣🤣🤣🙌hii jamii inahitaji kumulikwa zaidi Ina kitu Cha kujinfunza ni kivutio kwakweri
@mariammkwabi7101
@mariammkwabi7101 Жыл бұрын
😂😂
@hijazhija316
@hijazhija316 Жыл бұрын
Oya kausha
@estermathias8354
@estermathias8354 Жыл бұрын
Hahaaaa umetishaaq
@eliassteven5575
@eliassteven5575 Жыл бұрын
Duuuh hayo majina ni hatari 🔥🔥🔥🔥
@eliaspeter4017
@eliaspeter4017 7 ай бұрын
Tanzania nchi yangu, du!! Mungu alitupatia kila kitu, hawa ndugu na hii lugha sambamba na watu wa NIDA kazi wanayo
@neemazee1864
@neemazee1864 Жыл бұрын
Huyo alovaa kofia jina lake 🤣🤣
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 Жыл бұрын
Ila analafudhi nzuri ya kiswahili kuliko Masai na Wachaga.
@Masai_kifimbo
@Masai_kifimbo Жыл бұрын
💚 TANZANIA
@ignaszyinzile5094
@ignaszyinzile5094 Жыл бұрын
Millrd ayo daaaaaaaaaaaa hiii noma sanna
@ruu6592
@ruu6592 Жыл бұрын
Mungu isaidie Africa
@rich.kizza10
@rich.kizza10 Жыл бұрын
Mwanangu Charles TZA tumesoma wote chuo🔥
@charlesmangwe7510
@charlesmangwe7510 Жыл бұрын
Hakika Kaka
@yusrashabani2983
@yusrashabani2983 Жыл бұрын
Ilo jina la mtu wa pili nimecheka sana hata kwa mzizi siwezi kulirudia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@makereziron2918
@makereziron2918 Жыл бұрын
Nmesikia majina mengi ya kihadzabe Ila huyo wa pili duu....
@stinaismail846
@stinaismail846 Жыл бұрын
😂😂😂nimekubali aisee majina magumu mtangazaje kasema jina unalijua mwenyewe 🤣🤣
@faustinewilliam4908
@faustinewilliam4908 Жыл бұрын
Hahahahahahahahah Waliyopangiwa uko kazi wanayo😂😂😂🤣🤣🔥
@mwaneyseifseif3059
@mwaneyseifseif3059 Жыл бұрын
Watajidownlod
@chanjamtagwa8565
@chanjamtagwa8565 Жыл бұрын
Ayo mwambie mondi akapige show huko awape burudani jamani wa tz wenzetu ikiisha sensa
@nemesapollo4846
@nemesapollo4846 Жыл бұрын
Aaah hyo Kwa kiswahili haiwezekani
@janetdaniely7945
@janetdaniely7945 Жыл бұрын
Jamn Tz 🇹🇿 yanguu pend sana inchi yangu
@bujimucharles153
@bujimucharles153 Жыл бұрын
Duh! Nimependa sana majina yao na yanafurahisha kinoma japo kuyatamka ni magumu
@tumaliciou8889
@tumaliciou8889 Жыл бұрын
Makarani wajipange na kuandika ayo majina Dah😂😂😂😂
@kelvinjustin8168
@kelvinjustin8168 Жыл бұрын
Ebu nitajie jinamoja2 ulio sikia
@mmn7480
@mmn7480 Жыл бұрын
@@kelvinjustin8168 dododonkoteaj
@majaliwajohn481
@majaliwajohn481 Жыл бұрын
Mmmmh haya majina tema mate chini so powa kama umeskia jina la mshikaji wa pili vizuuuri litaje.
@kachubemaulid717
@kachubemaulid717 Жыл бұрын
Salut Sana 🔥🔥 dudu kwee
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 Жыл бұрын
Jamani jamani serikali iwaongoze hao watu japo dini wajuwe kwamaana hayo majina tu mimihata moja sikuweza kulishika hata elufi mojatu viongozi waongozeni vizuri hawanduguzetu
@yanickmustafa7221
@yanickmustafa7221 Жыл бұрын
Diamond platnumz 👑🙌🙌🙌🙌🦁🦁🦁
@leahally4618
@leahally4618 Жыл бұрын
Chibuu km chibuuu 💪💪💪
@anordjoseph6644
@anordjoseph6644 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂 yaani w mwaandishi unanifurahisha kweli kweli ndugu zangu ni jamii wasandawe
@professorbenjamin1027
@professorbenjamin1027 Жыл бұрын
Dahh Huku sijui kama nitapaweza nimeomba kuamishwa mtu anaitwa dudukwaaa mara kwakwakuokwaako 😂😂
@mwaneyseifseif3059
@mwaneyseifseif3059 Жыл бұрын
Ako kakuku ni kakwako kaka wew😂😂😂
@zainakibiki3489
@zainakibiki3489 Жыл бұрын
Atarii sana kitoweo nyani!!!!
@kasukukasuku3896
@kasukukasuku3896 Жыл бұрын
Jamii hii Ina kitu Cha kujinfunza kwasababu iko tofauti sana
@barakamwita1506
@barakamwita1506 Жыл бұрын
Duuuh dume tatu za nyani ndo mahari😁😁 big up Tanzania tuko pamoja na wahadzabe
@highmedland9280
@highmedland9280 Жыл бұрын
Hawana dini hao au wanaadubu jua au.mbn hujawauliza wanachokiabudu , ungewambia mwenyezi mungu ni mmoja tu ,Allah s,w,t. Na mtume Muhammad s,a,w.
@kreamagdfsa1697
@kreamagdfsa1697 Жыл бұрын
Allahu Akbar Allah tabaraq rahman
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 Жыл бұрын
Mi napenda sana wanavyoongea eti.🤣🤣🤣🤣
@gakatheboy4494
@gakatheboy4494 Жыл бұрын
Mamb mtoto mzur
@mariambwambo9885
@mariambwambo9885 Жыл бұрын
Jamn...nimewapenda🙈
@mosesg.pendael8381
@mosesg.pendael8381 Жыл бұрын
Huyu "Ole ka kuku kiswaika" aoe sasa!.... Ok, kuna swali umeli skip sana mtangazaji! Hao nyani ni chakula au ufahari?
@johnbernad3990
@johnbernad3990 Жыл бұрын
Jamani hayo majina duh! Yani kumbe Tanzania inamakabila mengi hiv
@mohamedabdullahi8874
@mohamedabdullahi8874 Жыл бұрын
They have links with south Africa tribes u use clicking sound dialect 4 communication
@AbuubakarJuma-se9cp
@AbuubakarJuma-se9cp 7 ай бұрын
Dah ndoa
@mwanziadavid5570
@mwanziadavid5570 Жыл бұрын
Huyo dogo ako na miaka mitatu🤣🤣
@nkelamei2870
@nkelamei2870 Жыл бұрын
😂😂😂kidogo nicheke
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
😂😂
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
@@nkelamei2870 😂😂
@kreamagdfsa1697
@kreamagdfsa1697 Жыл бұрын
Duh.......
@pilabiliani9394
@pilabiliani9394 Жыл бұрын
Mama Samia angalia Raia wako hukuu😭
@davidcurtis175
@davidcurtis175 Жыл бұрын
Hata mimi na kwavile wanajua naana pia ya majina yao, sio mswahili mweusi tii utasikia anaitwa Krishna jina la kihindi au mtu anaitwa anorld kisa baba alikuwa anapenda kuangalia movie acha niishie hapa
@athumanisalimu7771
@athumanisalimu7771 Жыл бұрын
Kweli kabisa daimond anastahili kuitwa simba
@mkobaofficial8037
@mkobaofficial8037 Жыл бұрын
Diamond Platinum
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 Жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Jmn mim mwenyewe nimeshindwa ayo majina watu wa sensa kazi wanayo
@tumainimtingitingi4883
@tumainimtingitingi4883 Жыл бұрын
Mwenyewe nimechoka iyo lugha
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Hapa ndio pale panaponifanya hata niwe katika hali gani nakumbuka tuu kuwa Mungu ni fundi. Angalia kwa nje tunaona lugha ngumu lakini wao huona wanaelewana.MUNGU wa mbinguni sifa na utukufu ni zako - wachaga ...aika RUWA mbee - wamasai .....Ashe ENGAI - wapare ....Havache MULUNGU - wameru ...,Haika IRUWA
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Hy kwa kiswahili haiwezekani 🤣🤣😁
@tedyokachu5013
@tedyokachu5013 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😄😄😄😄😄😄hilo jina la huyo mwenye kofiaaaaaa😆😆😆😆😆
@benjamininyambaso5041
@benjamininyambaso5041 Жыл бұрын
Mpaka ulimi unalia dodod
@ummuhafswa8980
@ummuhafswa8980 Жыл бұрын
Subuhanallah..!!
@mcback4384
@mcback4384 Жыл бұрын
Huko ni bangi free zone wanaburuza msuba ile ngumuu 😂😂😂😂
@mwajumahamisi2006
@mwajumahamisi2006 Жыл бұрын
Sasa hapo hilo jina unaliandikaje sasa 🤣🤣🤣 maana mmh kaz
@aboubaqarally9834
@aboubaqarally9834 Жыл бұрын
Hilo jina sasa mamae😁😁😁
@peterdotto4055
@peterdotto4055 9 ай бұрын
Majina hayo yanaandikika vipi asee, raisi watakuwa hawamjui wanamjua diamond tuu
@eriminewilsonpjo9540
@eriminewilsonpjo9540 Жыл бұрын
Waulize kama wanamjua Raisi watanzania watakuambia Diamond
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Anajua kiswahili dogo
@modysultan6170
@modysultan6170 Жыл бұрын
sasa hayo majina karani kazi anayo hayaaandikiki hayo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zaituniselemani3247
@zaituniselemani3247 Жыл бұрын
Hahaaaa yaani ni shida sijui ataandikaje do! Tanzania kubwa
@mwanaidyhassan2315
@mwanaidyhassan2315 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Watu w sensa kuandika haya majna mnalo
@zikirination6769
@zikirination6769 Жыл бұрын
Duduke ndo mayele wa apo kati😁
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 Жыл бұрын
Ukioa huku ujiandae kila wiki ng'ombe.
@husseinguyo4929
@husseinguyo4929 Жыл бұрын
Nyie Tanzania muapenda kutaja mambo ya usanii tuu
@yolenimocheng8745
@yolenimocheng8745 Жыл бұрын
Kazi kwenu makarani kwa majina hayoo😂😂😂😂 lazima mtudanganye..
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
😂😂😂
@mariammkwabi7101
@mariammkwabi7101 Жыл бұрын
Haki😂😂😂
@freddychristopher8915
@freddychristopher8915 Жыл бұрын
Simbaaaaaaaaaa 🦁
@johnbernad3990
@johnbernad3990 Жыл бұрын
Huko ndo pakwenda kuolea sasa yani dume tatu za nyani na asari unachukua jiko raha sana achana na huku mpaka uwe na milioni mbili na zaid ndo uowe
@mwaneyseifseif3059
@mwaneyseifseif3059 Жыл бұрын
Nyani sasa kumpta inshu sio km zamani wanapita ovyo kijjn kwetu
@kilimohub580
@kilimohub580 Жыл бұрын
Wonderful names , dont make fun of them just bcoz una jina la kikoloni
@abelmbilinyi1262
@abelmbilinyi1262 Жыл бұрын
Diamond platnumz
@masolavachui1728
@masolavachui1728 Жыл бұрын
Tanzania kubwa sana 🤣🤣🤣🤣🤣
@leahmollel6589
@leahmollel6589 Жыл бұрын
Wapatiwe nyama sawai ila sasa kazi ipo kwenye uandishi wa majina yao🤣🤣🤣
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 Жыл бұрын
😂😂😂😂ni balaaa
@mariamramadhani3860
@mariamramadhani3860 Жыл бұрын
Jamani naomba watuonyeshe vitabu majina yao walivyoandika 😄 🤣 😂 😆 msitupige watu wa sensa
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 Жыл бұрын
Dudukwe
@mariammkwabi7101
@mariammkwabi7101 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@vumbakingvumbaking9571
@vumbakingvumbaking9571 Жыл бұрын
Chibu 🦁🔥🏁
@jumakibe5032
@jumakibe5032 Жыл бұрын
Dah hii interview mbona fupi sn milard ayo
@zulfahamissi9266
@zulfahamissi9266 Жыл бұрын
Hiv hawa wa2 wapo tanzania hii😆😆😆🤣
@goodneighbour2638
@goodneighbour2638 Жыл бұрын
hawa jamaa wanaweza kuwa wapiga mabiti ya mdomo wazuri sana wakatumika kwenye sanaa
@farhatomar78
@farhatomar78 Жыл бұрын
Hahaha
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 Жыл бұрын
Duh😀😃😄😁😆😅🤣😂 hayo majina
@athumanfuko199
@athumanfuko199 Жыл бұрын
wanavitambulisho vya NIDA hao Millard Ayo hujauliza hilo swali
@jamesmgimwa1932
@jamesmgimwa1932 Жыл бұрын
Noma sana😂😂😂
@wajawemaonlineTv
@wajawemaonlineTv Жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/ecCIkq6n2d25cpc.html MZUNGUMZAJI SHEIKH ABDUL RAUFU AL MUNAAWI
@mrmhenipm
@mrmhenipm Жыл бұрын
Hayo majina hatari Sana ,,, lakini nimewapenda
@chawawaally2020
@chawawaally2020 Жыл бұрын
Unaoji watoto
@ananiamaduke2655
@ananiamaduke2655 Жыл бұрын
Wapo nchi gan
@sheikhsharifmaduatz2871
@sheikhsharifmaduatz2871 Жыл бұрын
*INATISHA NA INAUMIZA JINSI WACHAWI NA MAJINI WALIVYOMSHAMBULIA HUYU MTU DAH😭😭😭 INAUMA SANA TAZAMA HAPO CHINI UKAONE 👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽**kzfaq.info/love/Fe4_eicCAHCXppuPY3_9xw** 👆🏾👆🏾👆🏾👆🏾👆🏾 WANGA NA WACHAWI WAONEKANA LIVE* 😔😔😔😔
@anuarinyangasa9414
@anuarinyangasa9414 Жыл бұрын
Unalijua mwenewe, mmmh mtangazaji gani
@eliudijustinyindi5939
@eliudijustinyindi5939 Жыл бұрын
Apo ndoutajua hujui sijui utamwandikaje jina lake😂😂
@rehemamayende552
@rehemamayende552 Жыл бұрын
Uyu mwanahabari wa mchongo amalize jina vipi😃😃😃😃😃
@nadanasser1020
@nadanasser1020 Жыл бұрын
Ahaaaa
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 34 МЛН
Homemade Professional Spy Trick To Unlock A Phone 🔍
00:55
Crafty Champions
Рет қаралды 61 МЛН
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
WAHADZABE NOMA.! ONA WANAVYOKULA ASALI BILA KUOGOPA NYUKI
3:17
TBConline
Рет қаралды 113 М.
NILIKUWA NA MAHUSIANO NA RAY/ MTOTO SIO WAKE  - JOHARI
2:34
Wasafi Media
Рет қаралды 116 М.
🔴Kumekucha Michezo ...Julai 02, 2024
ITV Tanzania
Рет қаралды 10
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 34 МЛН