Knock Down raundi ya saba imempa ushindi wa pointi Juma Choki dhidi ya Nasibu Ramadhan katika pambano kuu (main card) la Usiku wa Vitasa Dar Boxing Derby kwenye viwanja vya Posta , Kijitonyama, Dar es Salaam.
Пікірлер: 109
@philipomapundaa6801Күн бұрын
Daaaa awa wote nindugu zangu nawapenda sana choki nasibu najifunza kitu kwaho
@GeorgeMihambo-mo4gx2 күн бұрын
Nimefurahi sana aisee
@andrewmmassy5204Күн бұрын
Nanukuu"Ili uwe mkubwa lazima upigane na wakubwa"Samahani brother Ibrahim class you are next.
@aaroneu07Күн бұрын
Nassib alipoteza umakini (concentration) akaanza kushangilia kabla ya mechi kuisha. Choki alikuwa na nidhamu ya mchezo na muda wote alizingatia game plan yake.
@quswaisizya71972 күн бұрын
Bila knockdown nasibu alikuwa ameshinda hili fight. Ila chok aliweza kum counter vizuri round ya saba
@allymagariКүн бұрын
Sasa ndo ishatokea kwahyo hajashinda
@NelsonKayingaКүн бұрын
Nakukubali sana choki hujawahi kuniangusha
@ismailsoud363421 сағат бұрын
Choki alifanya vizuri, Ila Nasibu alikuwa mzuri sana. Nice ile knckdown tu . na sana uwanja ulikuwa unateleza kwa kiasi fulani.
@JustineNyome-j1g2 күн бұрын
Hiyo knockdown ni hatari, nadhani nasib alihis knockdown ya pili last round angereact ndo maana akaamua amalize pambano bila kujali kilichotokea. Akili kubwa kwa bondia... It was a clinical fight,🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@YbsgibsondanielyКүн бұрын
Yaan ukihesabu laung kalubia 5-6 chok kaongoza lichaya hata ya nokdawn nasibu kapigwa vizuri2
@FatimaFati-pu4lbКүн бұрын
Nasibu alikua vizur Tu Ila kuanguka ndio kume mpa ushindi juma
@samunasary1449Күн бұрын
Pambano lilikuwa kali sana na tume enjoy,NASIBU NA JUMA CHOKI WOTE WA KALI ILA LAZIMA TUPATE namba 1 na 2,hatimaye JUMA CHOKI AMEKUWA CHAMPION👑👑 kitu ambacho binafsi kime nifurahisha sana JUMA CHOKI KUWA CHAMPION😂😂😂.Watangazaji wetu wa ngumi miyeyusho sana wana msifia NASIBU kila kitu kazi ya choki hawaioni sasa hao wote ni watanzania mnahalibu sana yani.
@JamesReuben-gt8up20 сағат бұрын
Juma choking anajuaa sanaa me ni moja ya fan wakee
@abdallahkambangwa721523 сағат бұрын
kweli hii ni derb, maana ngumi zimechomoka balaa 💥💥💥💥
@dattyjeremiah5877Күн бұрын
Champion choki #26
@ShokiRamadhani-qq3dsКүн бұрын
Choki best boxer up coming hongera yke sana kwa usugu alionesha mabondia wengine hawatamgusa,mkongwe shoo kaielewa ya dogo kaweza kumuonyesha
Choki aliscore Sana hata ile knock down Choki hakutaka tu kumdhalilisha nasib maana alivyodondoshwa aliamka anayumba Kama kuku mwenyekideri
@joelgeorge9985Күн бұрын
Nasibu talented sana, Choki aliotea tu, bado sana kwa jamaa
@user-ul6cs6kk7vКүн бұрын
Hapo siwezi kubashili wote wakali ❤
@SaidiMkome-qq7hy2 күн бұрын
Oya mwanangu choki💪🙌
@JohnsonDickson-ry6hzКүн бұрын
Dah Lkn watangazaji Kama mngefurahi zaidi naseb angeshinda .. 😂😂😂 Kuna mmoja naseeb akipiga anasema safiii.. Mara nice... Ila knock down 😁😁😁
@wazirisaid8326Күн бұрын
Nasibu amedhulumiwa na alistahili kushinda hili pambano kwa maana kila round inajitegemea na Nasib ameongoza round zote hata hiyo ya Saba Kama sio kuangushwa pia alikua anaongoa. Sasa vipi aliyeongoza round Saba apigwe na aliyeongoza round moja? Turudi nyuma kidogo, ktk mechi ya Kiduku na Dullah Mbabe. Kiduku aliangushwa round ya kwanza na akaongoza round zilizofuata na akawa bingwa!! Sasa hizi Sheria Ni tofauti au Ni maamuzi ya chuki?
@jokha-rp5puКүн бұрын
ina maana nock down ina pont kubwa sna lakin tukiangalia round sote nasib aliscoo sana lakin wote ni mabondia wazur najivuna kuona vijana wetu wanapafom vizur nazani watafanya haya nje ya Tanzania pia inshallah mungu awasaidie kufka katika malengo yao
@mr.performance2533Күн бұрын
Sijapata Kuona wakali wenye kila kitu kama hawa daah Kwa kweli nimeona boxing tamu sana
@giftprosper235521 сағат бұрын
Choki ni king off the ring siku zote habahatishi
@DavisMajor-sb2oz9 сағат бұрын
Watangaziji mume mchambua nasibu au ngumi msiwe wasenge Kuna za mama zenu nasibu nasibu kapigwa sasa😊 11:22 😊
@mnanasuly2585Күн бұрын
Nasib ni kamzidi sana juma choki kwa kila kila kitu. Nasibu is more technical than juma na nasib ana hands speed kubwa kuliko juma na nasib ana counter nzuri zaidi kuliko juma. Nasib is more skilled than juma. Knockdown to nasib imekuja kibahati tu. From 1st to 6th round nasib dominated the fight. Huu ndio ukweli
@MosesKilumileКүн бұрын
Nasibu fundi zaidi ya choki ila Kwa Jana one mistake one goli Tunaomba rirudiwe chapu.
@user-sk2cr8pm1e2 күн бұрын
yote kw yote nassibu n bondia mzur sana mkongwe anaesumbua kizaz kipya ongera broo👍👍👍
@mwaramially265122 сағат бұрын
Sasa Naseeb wamtaka Ibrahim class Kisha hao wa chini wanakushinda
@silvanokepher6441Күн бұрын
Duuuuh hiii gem ni dangerous 🔥 🔥🔥🔥
@JamesJoramu2 күн бұрын
mgumi kali sana sioo wa kina mandonga nikukumbatiana tuuuu apa ni ngumiii jiwe tuu mpakaa mwishoo🔥🔥🔥🔥
@barakayesaya500021 сағат бұрын
Hii ni fighting bora kuliko hao wakina mwakinyo sijui twaha... Wanakumbatianakumbatiana tu, hawa wauni wanatupa mawe tu
@jumanneally330320 сағат бұрын
mwakinyo kaingiaje kwenye kukumbatia ni mchezo wa twaha mwakinyo foot steps zinatembea na kujilinda na anacount fuatili ngumi
@barakayesaya500020 сағат бұрын
@@jumanneally3303 sijamtaja pekeake, nimetaja mabondia wawili wanaofahamika kuwakilisha wengine. Na maana yangu ni kwamba kuna watu wanashawishi mtu afuatilie ngumi si wao tu. Hata yeye amesema hapo hakutegemea kuona watu wengi hivyo. Hatuwezi kuwapa kichwa watu wawili tu kilasiku
@greysonmandai132Күн бұрын
huyu juma choki ni bondia mzuri sana kama atapata watu wakumfundisha vizuri atakuja kuwa nembo ya taifa .
@GibsonNtamamiloКүн бұрын
Umri umri
@greysonmandai132Күн бұрын
@@GibsonNtamamilo sema umri ndio tatizo
@msemakweli243Күн бұрын
Choki ndo King kwenye boxing 🇹🇿 kwa sasa
@AyubuMuhanga22 сағат бұрын
Unaumwa mavi kweli yaan Choki ndio king kwenye boxing nchin,🇹🇿, 😂😂😂,, je uliwah kumfuatilia yule Mnyarukolo wa Iringa,, mweny kisauti nyembamba,, Wanamuita MAWE.. 🤣🤣🤣
@msemakweli24322 сағат бұрын
@@AyubuMuhanga wewe ni mpumbavu nadhani
@user-ms1xg1fp4vКүн бұрын
Wanamichezo hupunguza sana umri lkn Naseeb kimichezo tayari ni mtu mzima.Nasibu tunaemjua asingeweza kupoteza kwa bondia aliecheza kwa kiwango kile.Yote kwa yote Nidhamu yake na Heshima inatulazimu tuendelee kumpenda nakusimama nae hata apigwe mara mia.
@nas_2761Күн бұрын
Huyo mchanganyaji picha wa Azam tv hayupo sawa
@SiwaMudrick-ny3cc16 сағат бұрын
Bwanga,juma,ton, nimefurai sana
@user-ex7bh1np4tКүн бұрын
Choki kiukweli anajua sana, Kila round alikuabors
@fadhilisanga3679Күн бұрын
Aibu sanaa michambuzi yote ilikuwa inamsifia mno naseeb
@AlexismadimoКүн бұрын
Ni kawaida yao hawa ni team kiduku team class na timu kidunda,mfaume pia yan wakipigana hawa watu wenywe wanawasifia tu wapo upande wao
@Bakari-dr1ifКүн бұрын
Kweli kaka imepata aibu
@JamesReuben-gt8up20 сағат бұрын
Haswaa yule wa wasafi George job alimponda sana chokii
@daudiraphaeli292816 сағат бұрын
Kama si choki kumuangusha nasibu bas ao watangazaji ad majaji ushindi wange mpa nasibu wakati tangu pambano lina anza choki anachukua pwenti nyingi kila round
@NkondokayaJoeКүн бұрын
Nimegundua kuna wakati hata wachambuzi wa ngumi nao kama wale wanaochambua simba na yanga,mnazidisha mpenzi wa upande mmoja.
@hassankistaokazungu270723 сағат бұрын
hii ndio fight 🔥🔥🔥
@TomasIsdor2 күн бұрын
Nasibub kaigwa kwa raund moja
@ASALABOY14 сағат бұрын
Awa jamaa wanavipaji sana🙏🙏
@abelmwakipesile9868Күн бұрын
Ngumi nzuri
@user-sk2cr8pm1e2 күн бұрын
dah wote wanangu na mmecheza vzur ila choki amestail ushind👑👑
@EmmanuelEmmanuel-b5wКүн бұрын
Nasibu unajua Brooo
@jumanneally330320 сағат бұрын
nyinyi wachambuzi waongo kazi msifia mtu mmoja mnabondia wenu mtu anachezea makonde amsemi kapigwa sasa
@AugustinoMateruКүн бұрын
Yani wachambuz wapo kishabik siy kuchambua ngumi haipendez ila kikumbw kila mtu anaona kilichopo ulingon chok yup juuuuu
@FatimaFati-pu4lbКүн бұрын
Daaaa nasibu alikua anashinda
@AshaMwambaКүн бұрын
Mmemdhukumu nasibu
@SelemaniKidundo2 күн бұрын
Woteniwazurisana❤❤❤❤
@user-uq3dq7sr3l2 күн бұрын
Bondia ukiendekeza sana chini kiwango chako lazima kishuke
@Clex-f5s2 күн бұрын
Kazi na umri🤓
@AsiaNgolekaКүн бұрын
Amezowea kuwakosowa wenzake haya ni mapinduzi anayoyaweza ni clace TU.
@gavethhans5242Күн бұрын
Nawibu kapigwa ngumi nyingi sana
@ONEdreamfilmtzКүн бұрын
Kiukweli nimeinjoi sana
@user-hy3en6vk5fКүн бұрын
Hii fight naomba irudiwe
@clemenceleonard1089Күн бұрын
Kilimponza Nasseb Alimdharau Mpinzani Wake Na Ilo Ndo Kosa Kubwa , Akapunguza Umaskini Wa Kujilinda
@saidyusuph-g3xКүн бұрын
Nilikuwa sijui kitakachootokea kwahii fight maana ni moto
@user-dz7wq2ql3p2 күн бұрын
Kaz kaz ni shidaaa
@shebanishebe78662 күн бұрын
Jamaa mko vzr
@abdallahussi2978Күн бұрын
Hii game inahitaji revenge ya haraka mno ili choki athibitishe kama kweli ni mshindi isingekuwa ile knock down round ya saba nasibu alikuwa anaongoza kqa kila hali choki kabahatisha ili kusiwe na maneno pambano lirudiweapema tu.
@ramajuma1071Күн бұрын
Kabahatisha wapi wakati kampiga wote tumeona tuwe wakweli ngumi ni mchezo wa makosa choki katumia nafas aliyoipata haijulishi nasib alkua akiongoza kwa round nying
@shabanimkange35122 күн бұрын
Hawa jamaa wote washindi nimewakubali sana sio yule muimba taarabu wa Tanga😂😂😂
@abdulsintoro5797Күн бұрын
Mwakinyo na Twaha bado sana kwa hawa jamaa
@odingamawe2 күн бұрын
Choki kiboko inabidi ucheze na class
@MoosaMzingaКүн бұрын
Class anaogopa
@Hope-ok9dyКүн бұрын
Wewe class abari nyingine wewe
@yoramnhayo6099Күн бұрын
Class afikii uwezo wa choki .pia choki akipata muekezaji wa pesa mzuri atasumbua sana ndani ya nchi mbaka majuu ana style kama Davis USA
@SaidDilunga-q6eКүн бұрын
Wote mabondia wazr izo ndio ngum
@jumanneally330320 сағат бұрын
wachambuzi waongo waongo chupli chupli amsemi ukweli nassib anapigwa panchi nyingi amsemi mna watu wenu
@halidimgonza59452 күн бұрын
nasibu bondia mzr ila UTOPOLO wamemtia nuksi kusema et watamshangilia na wapo upande wke ndo maana akapoteza 😂😂
@strongfighternal65128 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@user-wq4us6nm8bКүн бұрын
Uyuu mtangazaji ameumia san😢
@JovitusJames-gy4rkКүн бұрын
Jamn tuwapongez hao wote wanaume🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅
@user-ei9xd4qs7oКүн бұрын
Mabondia wa mologolo wajfunze ngumi apa kiukweli tu bila majungu, yan uwez kuacha kununua kifurush au bando
@hasheemabby2583Күн бұрын
Nasibu kashinda huu mchezo 100%
@SamwelMshana-x3lКүн бұрын
Mabigwa wamekutana
@user-wq4us6nm8bКүн бұрын
Ujuu mtangazaji anatim yake apa😂😂
@ndolimanaamani9106Күн бұрын
Hizi ndio ngumi sasa
@MoosaMzingaКүн бұрын
Round ya 6 ndio imekuponzaa Nasibu....uwezi kutoa bikra kama ulivyosema
@user-mm3nr8fv5oКүн бұрын
Ila juma choki ni mwakinyo wa pl kiukwl yn inxhort role modal wake ni mwakinyo
@user-cn8zp3ly7fКүн бұрын
we nawe usifananishe uchafu wako na choki xa mwakinyo anajuwa nn wakati kwa twaha anamhogopa bondia wako mzaaa changa za tanga hko
@SubiraBushiriКүн бұрын
Ila juma choki apewe maua yake
@BrianKazaula-so3zfКүн бұрын
Hizi ndo ngumi sasa za kutufikisha tunapopataka kwenye boxing ya tz
@AshaMwambaКүн бұрын
Nasibu amejitahid
@user-uq3dq7sr3l2 күн бұрын
ila mmmmh nasibu angemuangusha maramoja TU juma choki kama yeye alivyo angushwa majaji wangembeba nasibu ila ndo ivyo Tena aikuwezakana but juma choki anajua sana Mimi namkubali sana choki king of the ring fundi sana huyu dogo big up God bless u
@chayomgonja31312 күн бұрын
Juma choki kuanzia round ya tano alitulia na kupunguza miheuko ya mashabiki…pambano zuri.. huyo Nassib ana umri gani sijui?
@careemissa2502Күн бұрын
31naseeb choki 27 sikosei
@chayomgonja313110 сағат бұрын
@@careemissa2502 ok
@hajjymohamedy-qk4owКүн бұрын
Borà apigwe kinamwaju wanyamaze kushangilia
@felixngaiza3078Күн бұрын
Nasib kashinda, mi sio mshabiki wa yoyote apo ila napenda boxing.
@user-uq3dq7sr3l2 күн бұрын
Jamani nasibu naye kashaanza kuchoka mmmmh mke wake kama namuona vile anavyolia