Рет қаралды 12,123
KING OF THE NIGHT: Ni Mfaume Mfaume na Iddy Pialali wakioneshana ‘undava’ na ubabe leo katika viwanja vya Leaders kwenye tukio la kutia saini kwaajili ya ‘kuzichapa’ hapo Septemba 2023.
Ni kuelekea kwenye usiku wa #KingOfTheNight hapo mwezi Septemba mwaka huu.