Рет қаралды 3,074
Zaidi ya malori 100 yenye shehena ya mahindi yaliyokuwa yamekwama katika eneo la njia panda kwa takribani wiki moja hatimae yameruhusiwa baada ya kulipa faini ya kati ya sh laki tano hadi sh laki nane.
Wafanyabiashara na wakulima wanaosafirisha nafaka hizo wamelalamikia masoko ya mazao ya kilimo wakihoji vikwazo vingi wakati wa kutafuta masoko huku serikali ikitoa ruzuku kwa wakulima kuwainua