Wakazi kilifi wakanusha kuhusishwa na ukataji mibuyu

  Рет қаралды 3,748

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Жыл бұрын

Wakaazi wa eneo la Tezo Mbuyuni kaunti ya Kilifi sasa wanaitaka serikali kuelezea bayana walioidhinisha kungo’lewa kwa miti ya mibuyu na kusafirishwa hadi nchini marekani. Wenyeji wamedai kushangaza na hatua hiyo na kusema mbuyu ni mojawapo ya tamaduni na historia ya jamii ya Mijikenda. Na kama anavyoarifu Francis Mtalaki, wakaazi waripotiwa kulipwa shilingi laki moja kwa mbuyu uliokuwa hapo kwa zaidi ya miaka 200.

Пікірлер: 6
@steuerveronicah9416
@steuerveronicah9416 Жыл бұрын
Dawa ya. Sukari fruits. Ya mbuyu.msikubali
@duhhuskie2698
@duhhuskie2698 Жыл бұрын
Wacheni makasiriko. Mlimpigia Ruto kura bila kulazimishwa
@steuerveronicah9416
@steuerveronicah9416 Жыл бұрын
Msikubsli. Juu matunda ya mbuyu ni dawa ya Sukari
@Divambi
@Divambi Жыл бұрын
This hurts my heart
@Gwaycee
@Gwaycee Жыл бұрын
If the police were indeed guarding this mutilation activity, then those responsible must be well known.
@d.a.sreallife3414
@d.a.sreallife3414 Жыл бұрын
The fcking ruto
| UZAZI UTOTONI | Mimba za mapema kaunti ya Kilifi
6:45
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 11 М.
Can A Seed Grow In Your Nose? 🤔
00:33
Zack D. Films
Рет қаралды 27 МЛН
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 64 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 23 МЛН
Wakaazi katika kaunti ya Kilifi waanza kunufaika na faida za mbuyu
3:55
Can A Seed Grow In Your Nose? 🤔
00:33
Zack D. Films
Рет қаралды 27 МЛН