Mungu akubariki maalim Ali kkk uko sawa kwa darasa Zuri sana
@user-wn6bj7fb3j2 ай бұрын
Mimi ni Abdul Safi Asante Sana kwa somo lako
@AhmedAli-ur3uc Жыл бұрын
That true broo mm mpaka leo niko ndani nikitoka nje nahisi nitadhurikaaaa kwaiyooo tufanye nini mkuuu
@user-zz1yn1tp8i10 ай бұрын
Dah ipo kwangu hii kitu naogopa Dunia,naogopa kufa
@user-zz1yn1tp8i7 ай бұрын
Tupo wengi ni jasili lakini ni mtu wa wasi wasi sanaa
@NachaKing-nj7cp2 ай бұрын
Tupo wadau
@anlaueamisse8656Ай бұрын
É Verdade Meu Irmão/ Ni Kueli Ndugo Yango...
@Ajuboy-we2jm4 ай бұрын
Asante sana kaka darasa zur
@Winie-ht3zq2 күн бұрын
True bro
@user-vq2hl4jp1j Жыл бұрын
Ni kweli kaka Ally boyfriend wangu yupo ivyo...yani anamisimamo sana anajiamini na anaakili sana za kimaisha pia ana hasira za haraka sana mpaka sometimes mnaweza mkagombana na kama hauna uvumilivu mnaweza mkaachana kwasababu Kuna mda anakuwa kama mkorofi 😭yani sisi utakuta tunagombana then tunarudiana😭😭😭na hapo kwenye ubishi ndo kabisa😭
@suzypeter7951 Жыл бұрын
mimi huyu
@amineahmed57811 ай бұрын
Allhamdulilah assante moilimu dio mayecha Nîme ya inshi hapa
@BilungoJohn7 күн бұрын
Mtu anaweza kuwa na nyota zaidi ya moja
@WardaAlly-lt5pb Жыл бұрын
Asante kwa Elimu
@mariamomran6144 Жыл бұрын
Good
@shamilakitwana-we5fk Жыл бұрын
100%
@AllyKelemba2 ай бұрын
Ni kwelii kabisaa
@aronjohn8818 Жыл бұрын
Mimi hadi leo kichwa kinauma hatari
@PARTCOVERS3 ай бұрын
Unaumri gan😮
@NachaKing-nj7cpАй бұрын
Miakaa 27@@PARTCOVERS
@iqrahiqrah37710 ай бұрын
Naomba kuuliza. Herufu hizi A hizi sifa inasimamia hata kwa A wanawake. Pia
@user-rg5sg1xz8p4 ай бұрын
Hapo kuhusu kichwa 🎉🎉🎉🎉🎉
@asaahamad31212 ай бұрын
Upo sawa yaani 100%
@Rosefrances-bx4wo Жыл бұрын
Mh hatarii,,,, sana jamani
@AllyKipanguzi22 күн бұрын
Nikweli broo
@abuuqamar582 ай бұрын
Nikweli kabisaaaaa
@awalimustapha724210 ай бұрын
Erufi I Ninyota yann
@anwarsaid2008 Жыл бұрын
ALLYKK MIMI NI NYOTA YANGU YA PUNDA SAYARI YA MOTO NA MWENZANGU NI MAJI YAAN A NA H MAELEKEZO NIMEYAPATA JINSI GANI YAKUEPUKANA NA CHANGAMOTO
@DusilaMirigo3 ай бұрын
😂😂😂
@AhmadSaid-gh7lu5 күн бұрын
Mengi ulio yasema nimeyapitia
@user-sj4jh2rd6h4 ай бұрын
Duuu hapo kwenye ubishi. Umeninasa kwelinilibisana na kaka yangu kuaniza saa tano usiku mpaka sasa tisausiku hapa tumebakisha kusalimianatuu
@sabrinahassan18288 ай бұрын
Mie S mwanaume wangu A
@wardaally7233 Жыл бұрын
💯💯🇹🇿🇹🇿👏👏👏👏
@JaclineSalala21 күн бұрын
😢😢asee mchumba wangu kbs 😭😭yanamtokea sana aya
@JaclineSalala21 күн бұрын
😢😢naogopa sana mm ni J na yeye ni A ajali azimuishi matatz apa na apa ndan ugomv auishi ni kweli kbs 😭😭nampenda snaa sitaki kumpoteza ila lazima nimuoneshee hii crip siwez mficha cz naishi nae nyumb moja sijui nifanyaje kushida Aya sahv anamiaka 33 😪nipe ushauri nifanyaje
@JaclineSalala21 күн бұрын
Nimwambie afanyaje kuepukana na hili Dr plz help 😭
@JaclineSalala21 күн бұрын
Ni kweli kabisa nilimwambia asiondoke na gar akaforce akaenda kupata ajali nikimwambia usishike hv anafanya anapata shida ni kweli kaka naomba uniambie cha kufanya plz
@user-wn6bj7fb3j2 ай бұрын
Kaka Mimi nipo Mozambique lakini siyamini kwa mambo unayo Sema yani kama unaniona ivi
@PARTCOVERS3 ай бұрын
Aliye wahikuvunjika kama mm agonge like hapa
@Awadhimohamed-dj3of2 ай бұрын
Nakuelewa A
@azizauwase92072 ай бұрын
Apo kaka nakubali juu nina mtoto jina lake linaanza na A anapenda kucheza sana na moto tena ai mtu mwenye hasira sana kwa wandugu zake sijui ni fanye nini
@aweisali1723Ай бұрын
Aweis. Nimepata ajali ya goti 😢
@VenaEliki3 ай бұрын
Sana gonga like
@user-wn6bj7fb3j2 ай бұрын
Kaka unanigusa Sana wewe msomi kaka
@alexikabakilwa266310 ай бұрын
What about I and M jenimara fiki wa A
@hadijaismail3619Ай бұрын
Mimi kweli amiri ina nitokea na mimi ni mtoto ninamiaka 13
@Aishatheboss117Ай бұрын
Apo haujakosea hata mimi niko hivo
@allygunda361611 күн бұрын
Hakika yote ulosema yana niandama
@AlexMboya-vf6nkАй бұрын
Mim uyo
@abdullymohamed45812 ай бұрын
Mm jina langu linaanza na A na mke wangu linaanza N na tunawatoto 3 wa kwanz ni R wa 2 ni K na wa 3 s niambie tufanyaje tuwe na maisha mazuri?
@Agricola-gj5uh2 ай бұрын
Jmn mbon mm ni A na mwenxangu ni A pia itakuwaj hp.
@JeanNIYONZIMA-dk7ij10 ай бұрын
Baba upewe mauwa yako Kira kitu unasema ukwel
@abubakaripasto2696 Жыл бұрын
Samahani kaka naomba niulize kama miaka 28 mpaka 35 umepita unamiaka 42 wanamke wako anaitwa halima majanga bado yapo au yashapita
@allykk1459 Жыл бұрын
Kama mmeishi muda mrefu na bado mnaendelea kuishi atakutanguliza
@allykk1459 Жыл бұрын
Sema sio jambo lakuogopa ila ni kuelewa maana kifo kipo tu
@abubakaripasto2696 Жыл бұрын
Asante kaka
@amonkalungula-tf9wt Жыл бұрын
Si kweli mimi jina a na baba ni a na mke ni v sujawai kupitia tabia hizo
@NachaKing-nj7cp2 ай бұрын
@@amonkalungula-tf9wthaya jakukuta ndugu mm vyote hv vimenikuta