No video

RAY KIGOSI AMJIBU CHUCHU HANS/NIKIKAA KARIBU NA WANAWAKE NA VIMBAVIMBA/ANAPENDA YEYE KULIA

  Рет қаралды 130,451

Wasafi Media

Wasafi Media

4 жыл бұрын

#wasafi #refresh

Пікірлер: 235
@mathildemwangaza109
@mathildemwangaza109 4 жыл бұрын
Ray siezi kukulaumu kaka uko sawa na uko tofauti na wasani Wa Tz
@zennakailo8106
@zennakailo8106 4 жыл бұрын
Nmecheka sana Huy ndo Ray 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😝😝😝😝🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼etiiii nn akikaa na wanawake karibu anapat malenge malenge 🤣🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼
@jenfan8781
@jenfan8781 4 жыл бұрын
Pole chuchu, wakat unamliza Johari ulitegemea ninii, pole sana
@monicamwanjisi693
@monicamwanjisi693 4 жыл бұрын
Muosha huoshwa
@sifathabit4969
@sifathabit4969 4 жыл бұрын
Kwa mwali uliwa na kwa somo huliwa pambana
@wemaomarywema6852
@wemaomarywema6852 4 жыл бұрын
Alijua akizaa nae ndio ataishi nae milele
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 4 жыл бұрын
wanawake tufike mahali tukae mbali na mwanaume wa wenyewe"""watu mnakaa na mbavu za wa2 zikianza kuwasumbua mnaanza kulalamika""Cha mtu MAVIIIIII"""aaaa!!!nasikia hasiraaa
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 4 жыл бұрын
alipenda aanze kuziniwa halafu nyumayake afkiri ataolewa, never 😏
@zuhrajafari7006
@zuhrajafari7006 4 жыл бұрын
Hahaha! et labda anapenda yeye kulialia... Kama hili neno limekufurahisha kama mm gonga like apa 2juane
@henriettenkuba7078
@henriettenkuba7078 4 жыл бұрын
😀😀😀😀
@sabringwal3079
@sabringwal3079 4 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂
@hassanhancha1413
@hassanhancha1413 4 жыл бұрын
😂😂mi limenichekesha sana
@wabaremasandiko1024
@wabaremasandiko1024 4 жыл бұрын
Safi umejibu kiume bro!!
@mariabora1358
@mariabora1358 4 жыл бұрын
Joharii Dada Yangu chukua kapu ukavune
@ashaally6662
@ashaally6662 4 жыл бұрын
Ushangingi ushangingo😂😂😂😂😂
@stellandege5594
@stellandege5594 4 жыл бұрын
Msimchafue Ray bnaaa mtakula magumi 👊👊👊👊ya uso aiseee
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 4 жыл бұрын
Huyu mtu anavyo foka kwenye movie zake nyinyi wenyewe majibu mnayo
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free 4 жыл бұрын
Tatizo media hawasapoti bongo movie why wasiwaite kwenye show kama wanavyofanya kwenye bongo fleva,wape support please!!!sio umbea tu
@bakarymray4288
@bakarymray4288 3 жыл бұрын
ray baba una teseka sana
@hussenyassin3499
@hussenyassin3499 4 жыл бұрын
Nakubal xn
@celinamgundoi5601
@celinamgundoi5601 4 жыл бұрын
Kwel Rey wewe noma yaan ukikutana na wadada bac kwako majanga ujumbe umewafikia haoo mashakugongoo
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 4 жыл бұрын
Hahahaha Ray buana eti labda yeye anapenda kulialia.
@stellandege5594
@stellandege5594 4 жыл бұрын
Kaka Rey ww uko poa wala siwezi kukuhukum sawa katika mtu hana skendo mbaya moja wapo ww wakuache
@divinebernard2624
@divinebernard2624 4 жыл бұрын
Kabisa
@shufaaabdulla4961
@shufaaabdulla4961 3 жыл бұрын
Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake
@ukhtyrayyan7884
@ukhtyrayyan7884 4 жыл бұрын
Majibu yake kama anaect.mchezo.ivi
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 4 жыл бұрын
Nimechek majibu ya ray🤣🤣🤣🤣hatak maswal ya chuchu kuulizw jmn Haw ndio wanaume bhna 👌ana vimba
@tatuheke1483
@tatuheke1483 2 жыл бұрын
Natamani kuigiza na wew
@merveillekasai8936
@merveillekasai8936 4 жыл бұрын
eti sina tabiya ya shagigi na ushagogo ahhha kasema kweli tu na kukubali sana ray
@jokhasuley3661
@jokhasuley3661 4 жыл бұрын
Ushangingi na ushangingooo🤣🤣🤣
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 4 жыл бұрын
Jokha Suley weee🤣🤣😂😂🤣🤣
@mwanaidimzeeonar3252
@mwanaidimzeeonar3252 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂
@fatumaabdallah7498
@fatumaabdallah7498 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@bifezadofra4453
@bifezadofra4453 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@maimamood7033
@maimamood7033 4 жыл бұрын
Ahahaaaaaaaaaaa
@esterkimario1126
@esterkimario1126 4 жыл бұрын
safi ray labda anapenda kulia
@leymundjr5011
@leymundjr5011 4 жыл бұрын
Ooh
@deborasalum1015
@deborasalum1015 4 жыл бұрын
Ushangingi na ushangingooo😂😂😂😂😂😂 duu rey
@Queen-be1uf
@Queen-be1uf 4 жыл бұрын
Huyu ray ana choyo sana. Hapendi mtu apate alimkaa kooni kanumba sasa na yeye kafa kama kanumba. Bora mwenzie kazikwa kajulikana yeye kapotea duniani
@teresiamwende8606
@teresiamwende8606 3 жыл бұрын
Jama Rey n mu handsome 😍. wana mwonea tu. Iia ata ukipeana aijiandiki kisogoni nimepeana inje leo😜🤣🤣🤣🤣 Ela kuwa makini kaka
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenifurahisha sana rey atiii ninaalaji na wanawake zeen ushangingii na ushangongoooo😅😅😅😅😅😅nakupenda sana rey
@salamamsusa199
@salamamsusa199 3 жыл бұрын
Yaliomkuta kibeku ungo nae yamemkuta🔥🔥🔥
@jumaradhm3926
@jumaradhm3926 4 жыл бұрын
Mtangazaji anavotngsha kchwa,utasema Ni JINI.🤣🤣😂🤣😂Oyaaaaah gonga like hapa,Kama mmemuona JINI anamuhoji RAY KIGOSI???
@chachabeauty9780
@chachabeauty9780 4 жыл бұрын
😂😂😂
@ashuraalijma6659
@ashuraalijma6659 4 жыл бұрын
Hahahaha
@sikudhanjuma3987
@sikudhanjuma3987 4 жыл бұрын
Hahahahaaaaaa mbvu zngu
@elizabethlizy2731
@elizabethlizy2731 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@farhatrashid2063
@farhatrashid2063 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣umeona eeee
@mathildemwangaza109
@mathildemwangaza109 3 жыл бұрын
Ray uko sawa
@twalib09
@twalib09 4 жыл бұрын
Aaaliyah mwaaahest
@davejoe5949
@davejoe5949 4 жыл бұрын
Acha usenge play boy sio Pub na disco, may be una piga house Girls www 😂😂😂😂
@tiffatzhemedy9485
@tiffatzhemedy9485 3 жыл бұрын
Hahahahaaaahaaaa rey umenifulahisha et huna ushangingi Wala ushangingo
@winfridamwamban1078
@winfridamwamban1078 3 жыл бұрын
Aaaaa alegi hiyoo veeeep
@dottnatta310
@dottnatta310 4 жыл бұрын
Ety ana areji na wanawake anavimba vimba malenge renge 😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️
@OmanOman-sm6dv
@OmanOman-sm6dv 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@Queen-be1uf
@Queen-be1uf 4 жыл бұрын
Ray mjinga tuu. Ana majisifu sana, anajiona kama boss lady wa uganda hahaaaaaa
@akshaydavid159
@akshaydavid159 3 жыл бұрын
Duh! Boss lady Tena??!
@davejoe5949
@davejoe5949 4 жыл бұрын
Kuku wa kienyeji😂😂😂😘
@fatmaamran1335
@fatmaamran1335 4 жыл бұрын
Umekuwa black mjuba..maji yalikauka au 😀😀😀😀
@johnco8756
@johnco8756 4 жыл бұрын
Savage 😂😂
@FatmaAli-oy7yu
@FatmaAli-oy7yu 4 жыл бұрын
Nana anaonesha anapenda kudanga
@vivianlucas6389
@vivianlucas6389 4 жыл бұрын
Sanaa
@veeJesus
@veeJesus 4 жыл бұрын
Danga mdogo anakuja kuja kuja
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 4 жыл бұрын
Wajinaaa!
@natalyaneyzar2093
@natalyaneyzar2093 3 жыл бұрын
Aaaah naona ray unajibu shot Kati tu duuuuh 😅😅 Aya Baba nmependa kauli yako eti labda anapenda kulia duuuuh hatari sana
@sumayahfathi9413
@sumayahfathi9413 4 жыл бұрын
Tatizo Wagogo wanajisikia huyu wa Mpwapwa hana tafauti na Wagogo wenzake Dodoma
@ashazubere3837
@ashazubere3837 4 жыл бұрын
Ww hataree sana wagogo tuko good 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@emanuepeter765
@emanuepeter765 4 жыл бұрын
Nampenda rey baba tandi
@sumatraveler1957
@sumatraveler1957 4 жыл бұрын
Media za BONGO noma ndo maana amhendelei yaana maswali yenu upuuzi tu sasa badala yakuoji maswali muhimu eti mna focus kwenye maswali yakipuuzi tu lini Bongo movie ita songa mbele.
@zabibunduwimana4612
@zabibunduwimana4612 4 жыл бұрын
Eti anapenda kuliya😂😂😂
@sheysarahnjeno9326
@sheysarahnjeno9326 4 жыл бұрын
Rày umezungmza vizur
@sheysarahnjeno9326
@sheysarahnjeno9326 4 жыл бұрын
Ray kweli huna sikeñdo mbaya
@sarahsimon8060
@sarahsimon8060 4 жыл бұрын
Nana we malaya kwann unaharibu ndoa za watu
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 4 жыл бұрын
Ray bana et anaushangingi na ushangingo 😂😂😂
@modricnoma3686
@modricnoma3686 4 жыл бұрын
Ila jamaa huwa yupo na majibu ya fasta sana yani 🤣🤣🤣🤣
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 4 жыл бұрын
😀😀😀
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 4 жыл бұрын
ujuwe huyo Ray ni mcheza cinéma kwa migeuzo humuwezi...
@salmaalbarwani2618
@salmaalbarwani2618 4 жыл бұрын
Brother usibadilishe tabia good guy Disco hazina maana
@salhaphilmon4436
@salhaphilmon4436 3 жыл бұрын
Kama uliskia ushangingi na ushangingo gonga like
@volo-music2263
@volo-music2263 4 жыл бұрын
this journalist hawezi kabisa
@lightnessdominick3947
@lightnessdominick3947 4 жыл бұрын
Mmmh
@liciouscharles3370
@liciouscharles3370 4 жыл бұрын
Nlikuwa nasubir aseme UNASEMAAAAAAAA
@hamidsaid2572
@hamidsaid2572 4 жыл бұрын
Sina uzoefu na uandishi wa habari lkn mtazamo wangu huyo jamaa hajuwi kuuliza maswali!!!
@janenana5891
@janenana5891 4 жыл бұрын
Nkweli kabisa
@lupandesimukindje8170
@lupandesimukindje8170 4 жыл бұрын
Bila shaka ndugu yangu mtangazaji ovyo sana
@lailamohammed320
@lailamohammed320 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣 sina ushangingi na ushangingoo
@salhamrishoaish9292
@salhamrishoaish9292 4 жыл бұрын
Kumbe umesikia
@luckyrasulyrasuly9823
@luckyrasulyrasuly9823 4 жыл бұрын
Jaman huyu Ray mbona kawa mweus au ni hii lockdown mchina akakosa usafir. Au. Mapipi yameisha maji
@chumemarehema8328
@chumemarehema8328 3 жыл бұрын
Aliacha kunywa maji mengi na zoezi😂
@pamelaclaud4520
@pamelaclaud4520 4 жыл бұрын
Hii tam🤣🤣
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Udaku!!!
@junuferjinu1444
@junuferjinu1444 4 жыл бұрын
😀😀ushangingo😂😂😂😂
@alimohd1240
@alimohd1240 4 жыл бұрын
Njoo kwangu chuchu achana nae uyo play boy
@rehemaahmed4804
@rehemaahmed4804 4 жыл бұрын
watanzania sijui watakuwa lini mwanamme mmoja anatembea na wasichana karibu wote leo huyu kesho huyu yaani mnabadilishana kama dala dala panda shuka
@hawasandale5595
@hawasandale5595 3 жыл бұрын
Hahaha Rey hana tabia ya ushangingi na ushangingo
@akshaydavid159
@akshaydavid159 3 жыл бұрын
Huyo ndo Kigosi bhana.
@deboss5935
@deboss5935 3 жыл бұрын
Huyu Jamaa Alimchamba Soudy brown, dah yule brown alijichanganya sanaa😁😂
@davejoe5949
@davejoe5949 4 жыл бұрын
I never New Ray is super Ego 😳
@fatumachagudadui3138
@fatumachagudadui3138 3 жыл бұрын
Exactly
@katushaberinah3376
@katushaberinah3376 3 жыл бұрын
Kumbe unayo..yaigiza it's not kuigiza..ndo urivo??very disappointed🙄
@januarymwingwa2962
@januarymwingwa2962 4 жыл бұрын
eti nikionana na wanawake navimbavimba malengelenge😆😆😆😆😆
@doi255
@doi255 3 жыл бұрын
Malengelenge😆
@sisterttrouble4331
@sisterttrouble4331 3 жыл бұрын
Ray munamsingizia sio play boy
@ashrifaabdalla3868
@ashrifaabdalla3868 4 жыл бұрын
Huna ushangingi wala ushangigo
@aamyaamy8504
@aamyaamy8504 4 жыл бұрын
Mimi nanyamaza maana NANA alikua akisema kistarabu kweli kama hana mahusiano n rayvan lkn mwisho siyuko n rayvan junior so mtashindana n huyu kigosi husu n msanii mkubwa anajua kupanga maneno,,,,,langu n moja watajijua wenyewe😂😂
@daisyajanga325
@daisyajanga325 4 жыл бұрын
Naongea kiswahili lakini ya TZ imenishinda. .waaaah! !!!!
@daisyajanga325
@daisyajanga325 4 жыл бұрын
@Change Mindset sure
@zaitunijuma7831
@zaitunijuma7831 4 жыл бұрын
kwa sababu ni kizuri mnoo nakipenda sn kiswahili lugha yetu
@danneismail5442
@danneismail5442 4 жыл бұрын
@@zaitunijuma7831 na hao wanaipenda ya Mombasa
@zaitunijuma7831
@zaitunijuma7831 4 жыл бұрын
@@danneismail5442 sijuwi man siwez kusemea mioyo ya wtu
@husseinchea5524
@husseinchea5524 4 жыл бұрын
Acha cha TZ tu ata kiswahili cha Mombasa (Pwani ya Kenya) kinaweza kukushinda😁
@liciouscharles3370
@liciouscharles3370 4 жыл бұрын
🤣😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣maisha ya nini ray????
@neemathomas2008
@neemathomas2008 4 жыл бұрын
Hicho kichwa Cha mtangazaji hakitulii Kama robot mweeh...Ana vitukooo
@khatibkhatib2249
@khatibkhatib2249 4 жыл бұрын
Hili sengee saanaa nalo
@fauziakitenge8061
@fauziakitenge8061 3 жыл бұрын
Mnafeli na maswali yenu kwa kweli...mnauliza watu maswali yanayaoudhi
@fatmamakalo3068
@fatmamakalo3068 4 жыл бұрын
Mahinda nayy alilia sana zamu yko
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 4 жыл бұрын
sasa nyie watangazaji kwa kweli mnashuhulikia kusapiti zina, huyu Ray hajamuowa huyo chuchu, wameanzia zina, na Ray yuko anatafuta mchumba mbichi wacheni kumsumbuwa, awo wabibi wanopenda kuzalishwa bila ya ndowa wataingiza akili mwaka huu 😏...
@akshaydavid159
@akshaydavid159 3 жыл бұрын
Fact
@janewashe7276
@janewashe7276 4 жыл бұрын
Ray uliacha kunywa maji mengi?
@zaitunijuma7831
@zaitunijuma7831 4 жыл бұрын
kaacha naon
@janewashe7276
@janewashe7276 4 жыл бұрын
@@zaitunijuma7831 😂😂😂😂😂😂
@zaitunijuma7831
@zaitunijuma7831 4 жыл бұрын
@@janewashe7276 ndio my ss tusemej
@fatmaomaomar1514
@fatmaomaomar1514 4 жыл бұрын
Umeona we pia🤣🤣🤣🤣
@janewashe7276
@janewashe7276 4 жыл бұрын
@@zaitunijuma7831 shidaaaaaa😂😂😂
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 3 жыл бұрын
Mtangazaji huyu ana maswala ya maudhi 😁😁😁!!
@shufaiyammohd5623
@shufaiyammohd5623 4 жыл бұрын
Wakati kamuondoa johari alijiona mwamba xx yamemkuta yeye
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 3 жыл бұрын
Kabisa alilinga ngoja nae aone
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 4 жыл бұрын
HEEEE HUYU MTANGAZAJI MWANAUME😢😢MBONA USHUNGI 😁😁😆
@fatmamansour2369
@fatmamansour2369 4 жыл бұрын
Wamempata show siku hizi watangazaji Wa bongo kuvaa shungi wanaboa
@ashourahsaleh8958
@ashourahsaleh8958 4 жыл бұрын
Huyu ndo zake ushungi sjui anann
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 4 жыл бұрын
ehéee ndo wote hawo wa Juma Lokole 😂😂😂
@veeJesus
@veeJesus 4 жыл бұрын
Hii ni for security reasons
@shakylahamad8326
@shakylahamad8326 4 жыл бұрын
😁😁😁
@deborasalum1015
@deborasalum1015 4 жыл бұрын
Anaaleji na wanawake
@beautywithnay5974
@beautywithnay5974 4 жыл бұрын
Yaani ray unazingua eti labda anapenda kulia kulia😂😂😂😂
@lizychris4776
@lizychris4776 3 жыл бұрын
Mbn huo mdomo wako hauko sawa kama nilixoea
@esterbidogo635
@esterbidogo635 4 жыл бұрын
Wanaume bhn mmhh
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 жыл бұрын
Yaani chuchu kazi unayo, uyu ray atakuliza mpaka macho yafumbe, anavyo ongea tu unaelewa
@maulakilumile2252
@maulakilumile2252 4 жыл бұрын
Eti nikikaa na wanawake navimbavimba
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 жыл бұрын
Mh nyie wote nimajini kisirani
@zigespagogba8849
@zigespagogba8849 4 жыл бұрын
RAY:Kuna tofauti ya Playboy na Malaya MTANGAZAJI: Ww tukuweke wapi apo? Me: Hii ndo WCB 😀😀😀😀
@danisrael8358
@danisrael8358 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@danisrael8358
@danisrael8358 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@beatycosta9306
@beatycosta9306 3 жыл бұрын
Mtangazaji mbona kama huwa unackitika sana hadi kichwa unainamisha nn tatizo?
@sarahogama9540
@sarahogama9540 3 жыл бұрын
Alafu hili jomba halijui kudanganya haahaa laonekana tu lapenda madem ata venye laongea haahaa
@ukhtyrayyan7884
@ukhtyrayyan7884 4 жыл бұрын
Chuchu ray hakutaki
@aminamwangile4020
@aminamwangile4020 4 жыл бұрын
Itakuwa
@Bam268
@Bam268 4 жыл бұрын
Huyu mtanzaji choko?
@coletashirima2193
@coletashirima2193 4 жыл бұрын
Kwa majibu ya Chuchu tu inaonekana kabisa hamjali Chuchu .
@nehanasri4531
@nehanasri4531 4 жыл бұрын
😂😂😂 ushangigi na ushangongo kumbe Ray anaongea ivi!
@samiaarimkonekonko5096
@samiaarimkonekonko5096 3 жыл бұрын
Jamani🤣🤣🤣🤣🤣
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 4 жыл бұрын
UNALIA NINI CHICHU KWANI AMEKUOA WANAWAKE BADILIKENI MNAWEZA MBONA BILA MWANAUME
@queenwinnie256
@queenwinnie256 4 жыл бұрын
Tena sana. Tunaweza sana,
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 4 жыл бұрын
kama sio umalaya ni nini 🙄🤔, halafu mtoto wa kiarabu, hovyooo mchiiiiiii
@zaitunijuma7831
@zaitunijuma7831 4 жыл бұрын
nashangaaa
@queenwinnie256
@queenwinnie256 4 жыл бұрын
@@zaitunijuma7831 kulilia ona sasa huyo mwanaume sasa anavyojibu,
@zaitunijuma7831
@zaitunijuma7831 4 жыл бұрын
@@queenwinnie256 yan anajibu utumbo2
@sabringwal3079
@sabringwal3079 4 жыл бұрын
Huyu mtangaz mke au muume
@khadidjaniyonkuru4171
@khadidjaniyonkuru4171 4 жыл бұрын
Mbona ray iko namajibu yakaribu Ata muvion zake nizaku fok sana
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 193 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 10 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 16 МЛН
MZEE MTITU APAGAWA NA AZIZ KI | APEWE MAUA YAKE HAYUPO KAMA YEYE
18:51
RAY KIGOSI: MAMA KANUMBA ANALIA NJAA/ YALIYOMO NI BALAA
11:30
Wasafi Media
Рет қаралды 126 М.
🔴LIVE:GOOD MORNING NDANI YA WASAFI FM 06-08-2024
Wasafi Media
Рет қаралды 51
CHEKA TU: NDARO - RAY KIGOSI / JINI MAHABA / AU BASI
7:46
Wasafi Media
Рет қаралды 281 М.
Soudy Brown, Mwijaku Watimba Nyumbani kwa Barnaba na Raya
28:12
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 327 М.
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 8 МЛН