Ray siezi kukulaumu kaka uko sawa na uko tofauti na wasani Wa Tz
@zennakailo81064 жыл бұрын
Nmecheka sana Huy ndo Ray 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😝😝😝😝🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼etiiii nn akikaa na wanawake karibu anapat malenge malenge 🤣🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼
@jenfan87814 жыл бұрын
Pole chuchu, wakat unamliza Johari ulitegemea ninii, pole sana
@monicamwanjisi6934 жыл бұрын
Muosha huoshwa
@sifathabit49694 жыл бұрын
Kwa mwali uliwa na kwa somo huliwa pambana
@wemaomarywema68524 жыл бұрын
Alijua akizaa nae ndio ataishi nae milele
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
wanawake tufike mahali tukae mbali na mwanaume wa wenyewe"""watu mnakaa na mbavu za wa2 zikianza kuwasumbua mnaanza kulalamika""Cha mtu MAVIIIIII"""aaaa!!!nasikia hasiraaa
@cestlaviecestlavie40734 жыл бұрын
alipenda aanze kuziniwa halafu nyumayake afkiri ataolewa, never 😏
@zuhrajafari70064 жыл бұрын
Hahaha! et labda anapenda yeye kulialia... Kama hili neno limekufurahisha kama mm gonga like apa 2juane
@henriettenkuba70784 жыл бұрын
😀😀😀😀
@sabringwal30794 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂
@hassanhancha14134 жыл бұрын
😂😂mi limenichekesha sana
@wabaremasandiko10244 жыл бұрын
Safi umejibu kiume bro!!
@mariabora13584 жыл бұрын
Joharii Dada Yangu chukua kapu ukavune
@ashaally66624 жыл бұрын
Ushangingi ushangingo😂😂😂😂😂
@stellandege55944 жыл бұрын
Msimchafue Ray bnaaa mtakula magumi 👊👊👊👊ya uso aiseee
@khadijaomar27234 жыл бұрын
Huyu mtu anavyo foka kwenye movie zake nyinyi wenyewe majibu mnayo
@D-Man.B-Free4 жыл бұрын
Tatizo media hawasapoti bongo movie why wasiwaite kwenye show kama wanavyofanya kwenye bongo fleva,wape support please!!!sio umbea tu
@bakarymray42883 жыл бұрын
ray baba una teseka sana
@hussenyassin34994 жыл бұрын
Nakubal xn
@celinamgundoi56014 жыл бұрын
Kwel Rey wewe noma yaan ukikutana na wadada bac kwako majanga ujumbe umewafikia haoo mashakugongoo
@elizabethmwandu69374 жыл бұрын
Hahahaha Ray buana eti labda yeye anapenda kulialia.
@stellandege55944 жыл бұрын
Kaka Rey ww uko poa wala siwezi kukuhukum sawa katika mtu hana skendo mbaya moja wapo ww wakuache
@divinebernard26244 жыл бұрын
Kabisa
@shufaaabdulla49613 жыл бұрын
Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake
@ukhtyrayyan78844 жыл бұрын
Majibu yake kama anaect.mchezo.ivi
@tausingomeni25684 жыл бұрын
Nimechek majibu ya ray🤣🤣🤣🤣hatak maswal ya chuchu kuulizw jmn Haw ndio wanaume bhna 👌ana vimba
@tatuheke14832 жыл бұрын
Natamani kuigiza na wew
@merveillekasai89364 жыл бұрын
eti sina tabiya ya shagigi na ushagogo ahhha kasema kweli tu na kukubali sana ray
@jokhasuley36614 жыл бұрын
Ushangingi na ushangingooo🤣🤣🤣
@michelinemapendo66524 жыл бұрын
Jokha Suley weee🤣🤣😂😂🤣🤣
@mwanaidimzeeonar32524 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂
@fatumaabdallah74984 жыл бұрын
😂😂😂😂
@bifezadofra44534 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@maimamood70334 жыл бұрын
Ahahaaaaaaaaaaa
@esterkimario11264 жыл бұрын
safi ray labda anapenda kulia
@leymundjr50114 жыл бұрын
Ooh
@deborasalum10154 жыл бұрын
Ushangingi na ushangingooo😂😂😂😂😂😂 duu rey
@Queen-be1uf4 жыл бұрын
Huyu ray ana choyo sana. Hapendi mtu apate alimkaa kooni kanumba sasa na yeye kafa kama kanumba. Bora mwenzie kazikwa kajulikana yeye kapotea duniani
@teresiamwende86063 жыл бұрын
Jama Rey n mu handsome 😍. wana mwonea tu. Iia ata ukipeana aijiandiki kisogoni nimepeana inje leo😜🤣🤣🤣🤣 Ela kuwa makini kaka
@aminahhuawei11334 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenifurahisha sana rey atiii ninaalaji na wanawake zeen ushangingii na ushangongoooo😅😅😅😅😅😅nakupenda sana rey
@salamamsusa1993 жыл бұрын
Yaliomkuta kibeku ungo nae yamemkuta🔥🔥🔥
@jumaradhm39264 жыл бұрын
Mtangazaji anavotngsha kchwa,utasema Ni JINI.🤣🤣😂🤣😂Oyaaaaah gonga like hapa,Kama mmemuona JINI anamuhoji RAY KIGOSI???
@chachabeauty97804 жыл бұрын
😂😂😂
@ashuraalijma66594 жыл бұрын
Hahahaha
@sikudhanjuma39874 жыл бұрын
Hahahahaaaaaa mbvu zngu
@elizabethlizy27314 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@farhatrashid20633 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣umeona eeee
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Ray uko sawa
@twalib094 жыл бұрын
Aaaliyah mwaaahest
@davejoe59494 жыл бұрын
Acha usenge play boy sio Pub na disco, may be una piga house Girls www 😂😂😂😂
@tiffatzhemedy94853 жыл бұрын
Hahahahaaaahaaaa rey umenifulahisha et huna ushangingi Wala ushangingo
@winfridamwamban10783 жыл бұрын
Aaaaa alegi hiyoo veeeep
@dottnatta3104 жыл бұрын
Ety ana areji na wanawake anavimba vimba malenge renge 😂😂🏃♀️🏃♀️
@OmanOman-sm6dv4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@Queen-be1uf4 жыл бұрын
Ray mjinga tuu. Ana majisifu sana, anajiona kama boss lady wa uganda hahaaaaaa
@akshaydavid1593 жыл бұрын
Duh! Boss lady Tena??!
@davejoe59494 жыл бұрын
Kuku wa kienyeji😂😂😂😘
@fatmaamran13354 жыл бұрын
Umekuwa black mjuba..maji yalikauka au 😀😀😀😀
@johnco87564 жыл бұрын
Savage 😂😂
@FatmaAli-oy7yu4 жыл бұрын
Nana anaonesha anapenda kudanga
@vivianlucas63894 жыл бұрын
Sanaa
@veeJesus4 жыл бұрын
Danga mdogo anakuja kuja kuja
@fatmazullu49334 жыл бұрын
Wajinaaa!
@natalyaneyzar20933 жыл бұрын
Aaaah naona ray unajibu shot Kati tu duuuuh 😅😅 Aya Baba nmependa kauli yako eti labda anapenda kulia duuuuh hatari sana
@sumayahfathi94134 жыл бұрын
Tatizo Wagogo wanajisikia huyu wa Mpwapwa hana tafauti na Wagogo wenzake Dodoma
@ashazubere38374 жыл бұрын
Ww hataree sana wagogo tuko good 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@emanuepeter7654 жыл бұрын
Nampenda rey baba tandi
@sumatraveler19574 жыл бұрын
Media za BONGO noma ndo maana amhendelei yaana maswali yenu upuuzi tu sasa badala yakuoji maswali muhimu eti mna focus kwenye maswali yakipuuzi tu lini Bongo movie ita songa mbele.
@zabibunduwimana46124 жыл бұрын
Eti anapenda kuliya😂😂😂
@sheysarahnjeno93264 жыл бұрын
Rày umezungmza vizur
@sheysarahnjeno93264 жыл бұрын
Ray kweli huna sikeñdo mbaya
@sarahsimon80604 жыл бұрын
Nana we malaya kwann unaharibu ndoa za watu
@emmyyahya83584 жыл бұрын
Ray bana et anaushangingi na ushangingo 😂😂😂
@modricnoma36864 жыл бұрын
Ila jamaa huwa yupo na majibu ya fasta sana yani 🤣🤣🤣🤣
@khadijaomar27234 жыл бұрын
😀😀😀
@cestlaviecestlavie40734 жыл бұрын
ujuwe huyo Ray ni mcheza cinéma kwa migeuzo humuwezi...
@salmaalbarwani26184 жыл бұрын
Brother usibadilishe tabia good guy Disco hazina maana
@salhaphilmon44363 жыл бұрын
Kama uliskia ushangingi na ushangingo gonga like
@volo-music22634 жыл бұрын
this journalist hawezi kabisa
@lightnessdominick39474 жыл бұрын
Mmmh
@liciouscharles33704 жыл бұрын
Nlikuwa nasubir aseme UNASEMAAAAAAAA
@hamidsaid25724 жыл бұрын
Sina uzoefu na uandishi wa habari lkn mtazamo wangu huyo jamaa hajuwi kuuliza maswali!!!
@janenana58914 жыл бұрын
Nkweli kabisa
@lupandesimukindje81704 жыл бұрын
Bila shaka ndugu yangu mtangazaji ovyo sana
@lailamohammed3204 жыл бұрын
🤣🤣🤣 sina ushangingi na ushangingoo
@salhamrishoaish92924 жыл бұрын
Kumbe umesikia
@luckyrasulyrasuly98234 жыл бұрын
Jaman huyu Ray mbona kawa mweus au ni hii lockdown mchina akakosa usafir. Au. Mapipi yameisha maji
@chumemarehema83283 жыл бұрын
Aliacha kunywa maji mengi na zoezi😂
@pamelaclaud45204 жыл бұрын
Hii tam🤣🤣
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Udaku!!!
@junuferjinu14444 жыл бұрын
😀😀ushangingo😂😂😂😂
@alimohd12404 жыл бұрын
Njoo kwangu chuchu achana nae uyo play boy
@rehemaahmed48044 жыл бұрын
watanzania sijui watakuwa lini mwanamme mmoja anatembea na wasichana karibu wote leo huyu kesho huyu yaani mnabadilishana kama dala dala panda shuka
@hawasandale55953 жыл бұрын
Hahaha Rey hana tabia ya ushangingi na ushangingo
@akshaydavid1593 жыл бұрын
Huyo ndo Kigosi bhana.
@deboss59353 жыл бұрын
Huyu Jamaa Alimchamba Soudy brown, dah yule brown alijichanganya sanaa😁😂
@davejoe59494 жыл бұрын
I never New Ray is super Ego 😳
@fatumachagudadui31383 жыл бұрын
Exactly
@katushaberinah33763 жыл бұрын
Kumbe unayo..yaigiza it's not kuigiza..ndo urivo??very disappointed🙄
@januarymwingwa29624 жыл бұрын
eti nikionana na wanawake navimbavimba malengelenge😆😆😆😆😆
@doi2553 жыл бұрын
Malengelenge😆
@sisterttrouble43313 жыл бұрын
Ray munamsingizia sio play boy
@ashrifaabdalla38684 жыл бұрын
Huna ushangingi wala ushangigo
@aamyaamy85044 жыл бұрын
Mimi nanyamaza maana NANA alikua akisema kistarabu kweli kama hana mahusiano n rayvan lkn mwisho siyuko n rayvan junior so mtashindana n huyu kigosi husu n msanii mkubwa anajua kupanga maneno,,,,,langu n moja watajijua wenyewe😂😂
@daisyajanga3254 жыл бұрын
Naongea kiswahili lakini ya TZ imenishinda. .waaaah! !!!!
@daisyajanga3254 жыл бұрын
@Change Mindset sure
@zaitunijuma78314 жыл бұрын
kwa sababu ni kizuri mnoo nakipenda sn kiswahili lugha yetu
@danneismail54424 жыл бұрын
@@zaitunijuma7831 na hao wanaipenda ya Mombasa
@zaitunijuma78314 жыл бұрын
@@danneismail5442 sijuwi man siwez kusemea mioyo ya wtu
@husseinchea55244 жыл бұрын
Acha cha TZ tu ata kiswahili cha Mombasa (Pwani ya Kenya) kinaweza kukushinda😁
@liciouscharles33704 жыл бұрын
🤣😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣maisha ya nini ray????
@neemathomas20084 жыл бұрын
Hicho kichwa Cha mtangazaji hakitulii Kama robot mweeh...Ana vitukooo
@khatibkhatib22494 жыл бұрын
Hili sengee saanaa nalo
@fauziakitenge80613 жыл бұрын
Mnafeli na maswali yenu kwa kweli...mnauliza watu maswali yanayaoudhi
@fatmamakalo30684 жыл бұрын
Mahinda nayy alilia sana zamu yko
@cestlaviecestlavie40734 жыл бұрын
sasa nyie watangazaji kwa kweli mnashuhulikia kusapiti zina, huyu Ray hajamuowa huyo chuchu, wameanzia zina, na Ray yuko anatafuta mchumba mbichi wacheni kumsumbuwa, awo wabibi wanopenda kuzalishwa bila ya ndowa wataingiza akili mwaka huu 😏...
@akshaydavid1593 жыл бұрын
Fact
@janewashe72764 жыл бұрын
Ray uliacha kunywa maji mengi?
@zaitunijuma78314 жыл бұрын
kaacha naon
@janewashe72764 жыл бұрын
@@zaitunijuma7831 😂😂😂😂😂😂
@zaitunijuma78314 жыл бұрын
@@janewashe7276 ndio my ss tusemej
@fatmaomaomar15144 жыл бұрын
Umeona we pia🤣🤣🤣🤣
@janewashe72764 жыл бұрын
@@zaitunijuma7831 shidaaaaaa😂😂😂
@maxlattinokiki81053 жыл бұрын
Mtangazaji huyu ana maswala ya maudhi 😁😁😁!!
@shufaiyammohd56234 жыл бұрын
Wakati kamuondoa johari alijiona mwamba xx yamemkuta yeye
@rukiaiddyyahaya95063 жыл бұрын
Kabisa alilinga ngoja nae aone
@bimumaulid11714 жыл бұрын
HEEEE HUYU MTANGAZAJI MWANAUME😢😢MBONA USHUNGI 😁😁😆
@fatmamansour23694 жыл бұрын
Wamempata show siku hizi watangazaji Wa bongo kuvaa shungi wanaboa
@ashourahsaleh89584 жыл бұрын
Huyu ndo zake ushungi sjui anann
@cestlaviecestlavie40734 жыл бұрын
ehéee ndo wote hawo wa Juma Lokole 😂😂😂
@veeJesus4 жыл бұрын
Hii ni for security reasons
@shakylahamad83264 жыл бұрын
😁😁😁
@deborasalum10154 жыл бұрын
Anaaleji na wanawake
@beautywithnay59744 жыл бұрын
Yaani ray unazingua eti labda anapenda kulia kulia😂😂😂😂
@lizychris47763 жыл бұрын
Mbn huo mdomo wako hauko sawa kama nilixoea
@esterbidogo6354 жыл бұрын
Wanaume bhn mmhh
@babyhamisi53314 жыл бұрын
Yaani chuchu kazi unayo, uyu ray atakuliza mpaka macho yafumbe, anavyo ongea tu unaelewa
@maulakilumile22524 жыл бұрын
Eti nikikaa na wanawake navimbavimba
@mutwalesylvie74434 жыл бұрын
Mh nyie wote nimajini kisirani
@zigespagogba88494 жыл бұрын
RAY:Kuna tofauti ya Playboy na Malaya MTANGAZAJI: Ww tukuweke wapi apo? Me: Hii ndo WCB 😀😀😀😀
@danisrael83584 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@danisrael83584 жыл бұрын
😂😂😂😂
@beatycosta93063 жыл бұрын
Mtangazaji mbona kama huwa unackitika sana hadi kichwa unainamisha nn tatizo?
@sarahogama95403 жыл бұрын
Alafu hili jomba halijui kudanganya haahaa laonekana tu lapenda madem ata venye laongea haahaa
@ukhtyrayyan78844 жыл бұрын
Chuchu ray hakutaki
@aminamwangile40204 жыл бұрын
Itakuwa
@Bam2684 жыл бұрын
Huyu mtanzaji choko?
@coletashirima21934 жыл бұрын
Kwa majibu ya Chuchu tu inaonekana kabisa hamjali Chuchu .
@nehanasri45314 жыл бұрын
😂😂😂 ushangigi na ushangongo kumbe Ray anaongea ivi!