No video

MWANASHERIA wa YANGA AFAFANUA UKWELI RAIS HERSI KUNG'OLEWA YANGA

  Рет қаралды 97,547

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 272
@patrickfulano5282
@patrickfulano5282 Ай бұрын
Big up My brother Hon. Patrick Advocate of the Champions
@abedihussenikhalfan4007
@abedihussenikhalfan4007 Ай бұрын
Huyuuu mzeeee ananjaaaa sanaaa fanya kazi mzeeee uza ata kahawaaa
@allidehunter3223
@allidehunter3223 Ай бұрын
Team magoma - tukutane kwenye like apaaa. 👇
@muunganopetermtemi1535
@muunganopetermtemi1535 Ай бұрын
Jamani yanga ilikuwa yabakili sasa imekuwa yanga imara watu wanaanza chocho chocho lengo kuturudisha nyuma,jamani tusikubari hali hiyo iendelee,
@martinlema4192
@martinlema4192 Ай бұрын
Nimegundua hata mimi nawezakuwa hakiku jamani... mnikumbuke!
@dullywa9973
@dullywa9973 Ай бұрын
😂😂
@salmamustapher5611
@salmamustapher5611 Ай бұрын
hakiku ndo nini
@HalimaMaulidi-sv7le
@HalimaMaulidi-sv7le Ай бұрын
Juz mlicheka ya mangungu leo kwenu ama kweli mwenzio akinyolewa zako tia maji leo kwenu chekeni xaxa
@josephlorri431
@josephlorri431 Ай бұрын
Mashauri mawili tofauti..
@user-id5oc7hm4n
@user-id5oc7hm4n Ай бұрын
Mlungu chibiduuuuu 😂😂
@ANAFIMATUMLA
@ANAFIMATUMLA Ай бұрын
Haujitambui wew sabab hazifanan
@AishaJuma-py7ve
@AishaJuma-py7ve Ай бұрын
😂😂ubaya ubwela
@SwediramadhaniJuma
@SwediramadhaniJuma Ай бұрын
Acha wajichanganye tu sisi kwetu furaha
@ZainulKiondo
@ZainulKiondo 4 күн бұрын
sio waliojiita wanachama wa Yanga hebu nyoosha kiswahili
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz Ай бұрын
Haki itendeke na yanga yetu iendelee kuwa salama.Mungu na azidi kuibariki yanga.
@RoseMalley-dt9ub
@RoseMalley-dt9ub Ай бұрын
Amina
@bethmahela2182
@bethmahela2182 Ай бұрын
Asante mwanasheria umefafanua vizuri
@khalifasaidi7001
@khalifasaidi7001 Ай бұрын
Kiukweli hawa watu sio wa kuwaacha salama lakini swali langu kwa viongozi kwanini timuyetu inakumbwa na mambo ya kisheria ya mala kwamala? Mnge tafakari hili kama panapwaya tafuteni watu sahihi inatuumiza sisi wanayanga
@peterphilipo5103
@peterphilipo5103 Ай бұрын
Afuu kweli😂😂😂😂
@rajabukitego1662
@rajabukitego1662 Ай бұрын
Kutishana,,Kama,kawaida
@rajabukitego1662
@rajabukitego1662 Ай бұрын
Mwanasheria,hao,wazee,wanachama,na,ukienda,kitoto,atakushinda,na,kazi,yako,si,uchunguzi
@ipyanamwaisekwa8209
@ipyanamwaisekwa8209 Ай бұрын
Hao wazee walimletea noma Marehem Manji, na kuna tukio manji aliwafokea waka nyamaza. Mie nnafikiri wanahisi kuna watu wanafaidika sana na mafanikio team inapofika kwenye pick wanasahau kuendesha team ni mziki mnene.
@AbdallahMgaya
@AbdallahMgaya Ай бұрын
Kila la kher Inshallah😢
@johnmmbwanga5251
@johnmmbwanga5251 Ай бұрын
Huyoooo mzee mchawii
@benOfficial36
@benOfficial36 Ай бұрын
Nyie siasa ni mbaya sana, Hawa wazee ukweli wametumwa na SIMBA na sio kitu cha ajabu 😂😂
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 Ай бұрын
Kitaalamu imekaaje hii. Kesi ilishaamriwa na mpaka imefika kukazia hukumu ndio muombe kuingezewa muda. Lakini pili what if mahakama ikatupilia mbali ombi lenu. Lakini swali la kiakili ni kweli watu wanawezaje kuendesha kesi mahaka kuu taarifa zisiwafikie kipindi chote mpaka kumalizika kwake hasa ukizingatia ukubwa wa timu na upana wa mashabiki waliokuwepo katika kila kada? Nina wasiwasi na hili.
@MussaMathias-d1w
@MussaMathias-d1w Ай бұрын
Hao wazee hawawezi kuiongoza yang ni njaa tu inawasumbuua
@Daniel_89_89
@Daniel_89_89 Ай бұрын
Why press, kapambaneni mahakamani kwa hoja na nyie mahakama itoe hukumu
@amanimwalimu1293
@amanimwalimu1293 Ай бұрын
Wazee noma sana
@geofreymwinuka-zu3fw
@geofreymwinuka-zu3fw Ай бұрын
Mdaa wotee huu kesi inaendeleaa mlikuaa wapi kama wanasheriaa hadi hukumu inatokaa ya upandee 1
@barakamachard1944
@barakamachard1944 Ай бұрын
Walikua hawajui kitu
@user-gy3wo2ez4d
@user-gy3wo2ez4d Ай бұрын
Eti sain zimegushiwa ina maana mnataka kuwafanya mahakama kuu ni wajinga sana 😂😂😂 au hawana ueled na kaz yao
@josephlorri431
@josephlorri431 Ай бұрын
Kama yanga sporting club haikuwa na wito wala taarifa yoyote kuhusu kesi hadi ikatolewa hukumu labda kuna yanga nyingine ilopelekwa mahakamani..
@user-gy3wo2ez4d
@user-gy3wo2ez4d Ай бұрын
Uyo mwanasheria muongo sana ... yaan kaongea utumbo mtupu nna wasiwasi na elimu yake
@josephlorri431
@josephlorri431 Ай бұрын
@@user-gy3wo2ez4d tatizo ni viongozi wa yanga kumdharau mzee magoma na team yake..mwanasheria anasubiri agizo la viongozi. Magoma alikaa na hukumu yake tangu mwaka jana akisubiri yanga wavurunde kwenye ligi,yeye achochee kuni..akaona kwa usajili huu, ni sawa na kusubiri meli Airport kwa yanga kupata matokeo mabaya.. akapata usaidizi wa simba ili kuitoa yanga kwenye mstari..ubaya ubwela. Mzee kayatimba
@benedictodaniel1842
@benedictodaniel1842 Ай бұрын
Niwachawi hao mungu kuweka kifo alikuwa sawa,
@KitumbiAbraham
@KitumbiAbraham Ай бұрын
Mbona unatumia nguvu nyingi kujieleza. Maneno yako yanaoneasha Kuna shida ndani ya Yanga.
@mkudemkoba1489
@mkudemkoba1489 Ай бұрын
Wasizan kuongoza timu ni sawa na kuongoza familia. Safi mwanasheri kwa ufafanuz wako
@shaameshaame2837
@shaameshaame2837 Ай бұрын
Wananchi tumfunge mtu tuweke mbali ubinadamu. Kufoji sahihi ya mtu tuikomalie maana wajinga wapo wengi ili tuwakomeshe
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 Ай бұрын
Unaushaidi na hilo ?
@shaameshaame2837
@shaameshaame2837 Ай бұрын
@@abdallahmzee4335 ukweli ukidhihiri uongo utajitenga mama Fatma karume yupo hai kama wamemsingizia atakuja na sahihi yake
@samwelmasunga8293
@samwelmasunga8293 Ай бұрын
Kaka magoma ana uwezo apeleke guu lake clubuni
@ErickRichard-kh7tj
@ErickRichard-kh7tj Ай бұрын
Hakuna aliyebushi sahihi. Inavyoonesha walisaini kweli Lkn mmewatafuta mmewapa ela wakane sahihi zao Tena mnawakana wanayanga wenzenu Tena mnajificha kwenye kivuli cha kusema ety makombe na vyote ni batili Kiongozi kamili huwajibika ili kutoa funzo Mkiongea mbele za umma ni muhimu kuzingatia aina ya watu mnaowafikishia ujumbe sio wote ni akili kisoda
@Maryc2G
@Maryc2G Ай бұрын
Hao wazee hatuwataki kuongiza timu. Tunaupenda uongozi wetu wa sasa wa ENG Herse Saidi
@babycandycharles7816
@babycandycharles7816 Ай бұрын
Wafungulieni kesi ya jinai hao matapeli hao namuwafukuze kabisa uwanachama hatuwataki fukuza hao wasitualibie timuyetu wehu hao
@AmirAbdul-v5f
@AmirAbdul-v5f Ай бұрын
Mhhhhhhhh mpaka nimeshanga Kwan kuna panapovuja wambie wazee hao hawatofika mbinguni make ni wa hovyooooooooooo injinia jipange kuiongoza yanga miaka 100
@mamboleoomary2723
@mamboleoomary2723 Ай бұрын
Yanga bhana eti Kila kitu wanakanusha wanasheria gan wanasubiri hadi kesi itolewe uamuzi ndio wanaamka usingizin,wanasheria wa utopolo sijui kama wana vyeti halali
@DStarTz-if2ko
@DStarTz-if2ko Ай бұрын
Hawana akili inamana wanatuaminisha mahakama haijui vitu fek
@user-gy3wo2ez4d
@user-gy3wo2ez4d Ай бұрын
Mwanasheria umepuyanga sana yan umejaribu kupindisha ukweli lakin hayo mambo ni ya kisheria sio ya kishabiki na mahakama kuu imeamua kisheria , maelezo yak hayaoani pili unaelezea uko unakwama kwama ni waz unajarib kuongea kuwalizisha wanayanga that is too bad lete hoja lete fact lete evidence
@ibrahimkasim922
@ibrahimkasim922 Ай бұрын
Huyu mwanasheria anayeongea hapo ana njaa Kali anatetea kibarua chake wakat ameshindwa kutetea kisutu
@johnmwasilu7087
@johnmwasilu7087 Ай бұрын
Kweli kabisa na muongo mkubwa
@EmmanuelChrispin-bo5xh
@EmmanuelChrispin-bo5xh Ай бұрын
Wapolowapolo wahuniii!
@user-mi3jn7rq3k
@user-mi3jn7rq3k Ай бұрын
Jopo hili ndiyo lilimshindwa Bm3 Wanasheria uchwara hawa
@masoudmpenda9058
@masoudmpenda9058 Ай бұрын
Ss tunataka maendelee ya yanga hao wazeee njaaaa ila muwasameee yanga ilivyo moto hata kama waliingia kwa mtutu wa bunduki kwetu ........ ❤❤
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 Ай бұрын
Rita nao wanasema hii katiba ya 2020 iliyowaweka viongozi kwenye madaraka ni batiri kwa maana haijasajiliwa je hii nayo Rita niwahuni pia?
@David-mq6cs
@David-mq6cs Ай бұрын
Wewe ni mwanasheria wa Klabu au wewe pia ni mwajiriwa unayepoteza kazi yako kwa hii hukumu? Huwezi kuwa fair… step out and speak from outside.
@salmyhussein6255
@salmyhussein6255 Ай бұрын
Kama timu ni yao wapeni, mushakula pesa sana ni mda wao sasa
@bakarirajabu3783
@bakarirajabu3783 Ай бұрын
Yana kuhusu wewe
@fazo-kl9fu
@fazo-kl9fu Ай бұрын
Jaman aje mikoan uyo ndo atajua Kaingia Cha jeshi
@ericrukamba6802
@ericrukamba6802 Ай бұрын
Wapumbafu hao, wametumwa kufanya uhuni ,katika Kilabu ya Yanga? Wafutwe kwanza uwanachama alafu wachukuliwe hatua kali,wahaini nafikili wametumwa na wahuni
@dietrichoswald34
@dietrichoswald34 Ай бұрын
Ukubwa wa taasisi ya yanga uendane na uwezo wa wanasheria wake kukabiliana na maswala ya kisheria, iwe kitaifa au kimataifa. Kujirudia rudia kwa matatizo yanayohusu mikataba na kesi za ndani na kimataifa ni kiashiria tosha kuwa tunahitaji kujiongeza capacity, exposure na experience ya ku handle legal matters za klabu kubwa tena kisasa. Kitengo kiongezewe nyenzo na competent supporting staff.
@user-gy3wo2ez4d
@user-gy3wo2ez4d Ай бұрын
Ww mwanasheria usifanye mahakama kuu yetu haina akili wala ueledi ina maana watu wagushi sain wagush uanachama alafu mahakama isijue 😂😂😂😂
@SurprisedAstronomicalMod-lp7eh
@SurprisedAstronomicalMod-lp7eh Ай бұрын
Huyu mzee magoma anadhani timu inaendeshwa kwa bei ya kofia ama?yani hawezi hat kumlisha msheri kwa siku halafu anaitak timu,huyu mchawi tutamponda mawe
@adelnabukuku7144
@adelnabukuku7144 Ай бұрын
Wasione vyaelea vimeundwa jamani tamaaa itawauwa kiukweri yaani time imekaa vizuri wanaanza kuleta chokochoko
@adudeswalehe8724
@adudeswalehe8724 Ай бұрын
Unasema sio wanachama wa yanga halafu mnachunguza muwapeleke mkutano mkuu wa club ??? 😂😂😂 sema KIMEUMANA
@Machozihussen-er8cp
@Machozihussen-er8cp Ай бұрын
Mpira wa Bongo ni siasa na upuuzi mtupu uchunguzi gani ufanyike kuhusu uanachama wao? Wakati ukiingiza jina tu kwenye system itaonyesha kwamba huyu si mwanachama au huyu ni mwanachama halali mwenye kadi ooxxy hivyo y mnawafanya wadau wa soka hawajitambui hata kidogo? Issue ya kughushi sahihi huenda nikakuelewa kidogo, baadhi ya viongozi wa soka Bongo janjajanja nyingi sana na hiyo AFCON ambayo tutakuwa wenyeji kama hatutobadilika tutatolewa mapema sana, klabu tunazotegemea sana kutoa wachezaji wenye uwezo wa kupambana kwenye international football ni simba, yanga na nyinginezo, mara Leo uwekazaji wa batili, mangungu na try again hawafai, kesho Hersi na jopo lake la uongozi wapo kibatili yaani! Stupid kabisa!!!
@user-kv8sq6qz7g
@user-kv8sq6qz7g Ай бұрын
Matapeli walizani wataingusha Yanga hahahaha Yanga iko pale pale
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Ай бұрын
Akakae ndani huyu Mzee mchawi huyo sio bure
@BatistaNgwiso
@BatistaNgwiso Ай бұрын
Mimi nilijua tu kwenye msafara wa mamba na kenge wamo huyozee hafai kwa lolote
@chescomolla5557
@chescomolla5557 Ай бұрын
Uongozi wa yanga uko kiboya sana inakuaje jambo limeanza 2020 hadi leo hawalijui ngoja wangolewe na midude isiyojua hata kusoma na kuandika ndio itajua
@johnmwasilu7087
@johnmwasilu7087 Ай бұрын
Ujuaji mwingi
@DStarTz-if2ko
@DStarTz-if2ko Ай бұрын
Wanawadanganya mbuz wao si waishtak mahakama kama wanaonew
@britishsaid1700
@britishsaid1700 Ай бұрын
Ali komwe kibarua kimeota nyasi
@FloraMunis-nt7lf
@FloraMunis-nt7lf Ай бұрын
Jamani wafatilieni hao watu wanataka kututoa kwenye mudi yetu tena wnatakiwa watuache kbis
@hakimundabila7940
@hakimundabila7940 Ай бұрын
Hayo unaonaje ukayapesleka mahakani badala ya kwenye vyombo vya habari
@ManenoMwakyoma
@ManenoMwakyoma Ай бұрын
Watoke TU yanga ni yawatu wengi sio ya kikundi
@SHIJADAVIS
@SHIJADAVIS Ай бұрын
Hapa kuna walakini, hata kitengo cha sheria cha sheria kujitathimini maana Yanga sc kuna kesi nyingi klabu imeshndwa kwenye kesi za wachezaji. Hapo kuna kitu.
@MkuuuJafari
@MkuuuJafari Ай бұрын
Anawatetea mabosi zake nawe ni batili😂wazee hawakujuwi😂 (Principle )
@herbertluoga2904
@herbertluoga2904 Ай бұрын
Huo ni mpango wa Simba,siyo wazee wa yanga.mamluki hai
@user-hl9xu4vo1q
@user-hl9xu4vo1q Ай бұрын
Mi nawatakia kila la heri chama langu
@RevoVkiiza
@RevoVkiiza Ай бұрын
Injiner hersi piga kazi mwamba usitishiwe nyau
@user-xm5xg1tt6d
@user-xm5xg1tt6d Ай бұрын
Utapeli mtupu
@ayubunangigi829
@ayubunangigi829 Ай бұрын
Mmeyatimba ujanjaujanja mwingi,kama munaweza muipinge mahakama kenge nyie ,haiwezekani mtu mmoja afoji saini ya watu watatu,pia kama viongozi makini kwanini kesi tangu 2022 ndio ijulikane leo,mpaka muda wa rufaa umeisha nyinyi hamjakata rufaa mmejichanganya.
@YustardNkongoki
@YustardNkongoki Ай бұрын
Wafukuzwe na tena wachukuliwe hatua kali ya kisheria wanataka kuvurugia furaha zetu
@josiacharles2778
@josiacharles2778 Ай бұрын
Yani izi timu zetu zinapenda kiki, jambo linatengenezwa tu ili kufuraisha watu
@dullaswahiba843
@dullaswahiba843 Ай бұрын
NYIE MAKO MNAPO MZUNGUMZIA RAIS WA YANGA MNAZUNGUMZIA DUDE KUBWA LINALOISHI ANGANI SIKU LIKISEMA LISHUKE LITAIFUNIKA DUNIA MZIMA 💪
@NyorokaNyenge
@NyorokaNyenge Ай бұрын
Mimi ni wa simba lakin wazo langu naomba haki itendeke.hawa wazee wanyooshwe ili iwe fundisho kwa wengine.
@kazinaimwishehe-ec3xu
@kazinaimwishehe-ec3xu Ай бұрын
Acha ujanjaujanja watu tunajua kinachojiri
@ntulloboy2916
@ntulloboy2916 Ай бұрын
Unaongea maajabu mzee asikilizwe anahoja za msingi acheni dhalau
@amiroamiroboa8724
@amiroamiroboa8724 Ай бұрын
Wazembe sana Yanga yaani Kesi inafikia hatuwa hiyo nyiye Viongozi Hamuelewi nini kinaendelea 😦😦😦 Club itauzwa na Hamuna Habari 😀😀😀Hata mukishinda kesi hii lakini Munafaa Kujiuzulu na Kuwaomba Radhi Wanachama na Wapenzi wa Yanga..
@batistamkwele2061
@batistamkwele2061 Ай бұрын
Wanamchango gani katika yanga hao wazee wala mihogo
@MalakiaMwantage-y5c
@MalakiaMwantage-y5c Ай бұрын
Mbona timu iliyumba hamkugombania hivo viti
@FaridahKisalu
@FaridahKisalu Ай бұрын
Wazee noma na nusu eti Tiwakabiz timu; hadi Chama na Azizi k? Dube, Pacome hata mdaka mishale? Weee unataka kuwauza kkkk Wazee nyie no shikamo from kwangu lakin mume trend
@fazo-kl9fu
@fazo-kl9fu Ай бұрын
Yaaan kama wakijitokeza hazaran du Bora tuwapige mawe
@user-gy3wo2ez4d
@user-gy3wo2ez4d Ай бұрын
Ili swala sio swala la propaganda ni swala la kisheria..... note this points wanayanga
@nathanmateow9455
@nathanmateow9455 Ай бұрын
Mwanasheria gani anasema wamegushi kabla jeshi alijasema na anasema wamefanya kosa la jinai kabla vyombo husika havijasema,yeye ni polisi yeye mahakama.chuo gani Cha Sheria kasoma.
@VictorChangula
@VictorChangula Ай бұрын
Daa kidogo roh imetulia maana duu
@rajabukitego1662
@rajabukitego1662 Ай бұрын
Unakes,mahakaman,hadi,hukumu,inatolewa,wewe,haujui?inamaana,,mahakama,,haiwajui,yanga,duuu,kuna,kitu😊😅😮
@RajabuMkonje
@RajabuMkonje Ай бұрын
Hivi ile kesi ya mkuu wa wilaya na changudoa imeishaje jamani , kesi ya mwijaku na kipanya imeishaje jamani, kesi ya mkuu wa mkoa imeishaje jamani
@EkaeliNassari
@EkaeliNassari Ай бұрын
Hao watu wanaoibua uvunjivu wa amani Kama wakidhibiti bc Sheria ifuate mkondo wake wanakuwa Kama watu waliotumwa
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Ай бұрын
Mzee huyu sio mzima kabisa
@fazo-kl9fu
@fazo-kl9fu Ай бұрын
Yaaan ata alivyo kaaa tu kama katuni
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc Ай бұрын
Mimi ni mkenya lakini NI Yanga damu! Hao wazee wasiwatishe,mkitaka tuwaletee GenZ huko wa deal nao!!
@reveliusmuchruza7952
@reveliusmuchruza7952 Ай бұрын
Walete mkawachukue hawa mbwa takataka
@DulaMudi
@DulaMudi Ай бұрын
uyu akimu inabidi apimwe akiri
@JescaMartha
@JescaMartha Ай бұрын
Mzeeeee fanya kazi bwana
@abdillahimohd8614
@abdillahimohd8614 Ай бұрын
Kweli kizuri hakidumu Kweli njaa mbaya
@user-sq1pg2fe6l
@user-sq1pg2fe6l Ай бұрын
Kama nikosa la jinai kugushi nyaraka za club ya Taasisi ya Yanga na kugushi sahihi hili nikosa la jinai inatakiwa kuchukuliwa hatua
@isaiahtzee975
@isaiahtzee975 Ай бұрын
Kama kesi imeendeshwa na watu feki, na kufoji sahihi za watu, mi nadhani kesi imeisha na hao jamaa wahukumiwe kwa mujibu wa sheria!
@kharashbabar7393
@kharashbabar7393 Ай бұрын
Mmh nyie wanasheria niwaongo kinoma....munauwezo wakugeuza ukweli kuwauongo nauongo kua ukweli....mm sinaimani nahawa watu....
@vom84
@vom84 Ай бұрын
Mwanasheria anatishia watu,
@johnmwasilu7087
@johnmwasilu7087 Ай бұрын
Mwanasheria anatapatapa ngoma nzito. Anaongea kuwapoza wananchi lakini ukweli usemwe viongozi ni batili
@user-ty5uo3pp9f
@user-ty5uo3pp9f Ай бұрын
Tupeni location wanapoishi tuachieni sisi kazi
@mustaphajuma2051
@mustaphajuma2051 Ай бұрын
tukacheze nao
@vedastusmlavumba1158
@vedastusmlavumba1158 Ай бұрын
Nawachukiaje?
@user-vp6ol3kq6g
@user-vp6ol3kq6g Ай бұрын
Kwa hiyo yanga inakatiba mbili nyosheni maelezo
@amanimwalimu1293
@amanimwalimu1293 Ай бұрын
Sio 2013 ni 2023 boya ww
@danielandrew9892
@danielandrew9892 Ай бұрын
Ndio kwanza mechi bado mbichi utopwinyo mmekosa wanasheria
@bakarirajabu3783
@bakarirajabu3783 Ай бұрын
Hatutoki relini kamwe nyie fanyeni yenu hao wa zee ni wachawi wametumwa na makolo njaa nyingi
@fredymasuka8685
@fredymasuka8685 Ай бұрын
nina mashaka makubwa na uwezo wa huyu mwanasheria. kila kesi anashindwa. hakuna mwanasheri hapo.
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 Ай бұрын
UTOPOLO wamejaa uhuni na usela safi sana mr Magoma 😂😂😂😂
@veraisaria
@veraisaria Ай бұрын
Ikiwa kweli walifoji sahihi aisee jela inawaita😂😂😂
@MataulaMikusi
@MataulaMikusi Ай бұрын
Wataiweza Tim au wanatafuta migogolo,2
@davidsimbeye1548
@davidsimbeye1548 Ай бұрын
Hàpo hamna wanasheria inawezekanaje club kila wakati timu inafanya vitu bila kuzingatia sheria? Angalia huku kwetu huwezi kusikia vitu kama hivyo
@DStarTz-if2ko
@DStarTz-if2ko Ай бұрын
Mh kwa ss weny akili tunaona unatuingiza chaka iv mahakama mnaichukuliaje na inamaniaha kesi haikusikilizwa pande pande 2 .kiufup wale wasioelew hakuna mahakama inayohukumu bila kusimama pande 2 mpka wameshinda ujue mahakama imejiridhisha mpka hapo mnatakiwa muikosoe mahakama koz washhkumu wadangany mbuz wenzio
@msamiseleman4255
@msamiseleman4255 Ай бұрын
sisimashabikiwayanga atumtakiuyuraisiwayanga aondoke😢😢😢
@tanzaniahabarleotv1424
@tanzaniahabarleotv1424 Ай бұрын
Nyumba ya jilan imeangukaa huko 🤣🤣😁 uwiii
@jumamkwelengala4599
@jumamkwelengala4599 Ай бұрын
Hilo zee ambalo halina akili lifikishwe mahakamani
@manyotanyanguleti2058
@manyotanyanguleti2058 Ай бұрын
Hao ni njaa zinawasubua hao wakamatwe haraka hao arafu wafutwe uanachama
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 16 МЛН
Whoa
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 31 МЛН
Cute kitty gadgets 💛
00:24
TheSoul Music Family
Рет қаралды 14 МЛН
FIFA KUWAFUNGIA YANGA? NINI KITATOKEA? MWANASHERIA wa YANGA AJIBU
2:22
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 16 МЛН