No video

GHETTO LA KWANZA LA HARMONIZE KIJIJINI KWAO / SIJAZALIWA TAREHE 3 OCTOBER

  Рет қаралды 1,995,118

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

@harmonize_tz Akituelezea Safari Nzima ya alivyokuwa akiishi kijiji kwao na nini amepanga kubadilisha kijijini kwao,amepiga story nyingi na @motown_sanya
#wasafi#motown_sanya

Пікірлер: 1 000
@azizamkindi1784
@azizamkindi1784 5 жыл бұрын
Bora anapeleka mpenz wake nyumba kwao sio wengine wanaongopa naomben like zen umefanya kitu kizuri
@ramsokhamis9262
@ramsokhamis9262 5 жыл бұрын
Aaahh umetishaa saanaa ni kwelii kabisa best...
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 5 жыл бұрын
Aziza Mkindi sanaaa
@yasiniselemani2412
@yasiniselemani2412 5 жыл бұрын
Hajafunga ndoa hivo ni umalaya tu
@emanueljohanes4090
@emanueljohanes4090 5 жыл бұрын
Sure
@azizamkindi1784
@azizamkindi1784 5 жыл бұрын
Kila laher mfunge ndoaa sio mzin
@gordonobado5359
@gordonobado5359 5 жыл бұрын
kuonyesha ulimwengu ulikotoka si suala rahisi.........it's grateful to appreciate your background
@ellenkamanzi3505
@ellenkamanzi3505 4 жыл бұрын
Nahasa uwe umetokea sehem kama iyo kweli uyukaka kafanya jambo la busara
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 3 жыл бұрын
Hongera sana Konde boy kwa kuenzi maisha ya kijamaa pia kwa kukumbuka nyumbani uliko toka, Hizo ni baraka brother.
@Kobe_254
@Kobe_254 5 жыл бұрын
Tokea Seattle, Washington... bado tuko na wwwe kijijini.. like what you doing bruh.. kipeth real forever.. happy birthday!!
@somoemmanu3513
@somoemmanu3513 5 жыл бұрын
Nimefurah kuona yupo happy na baba yake km rafiki yake hongera rajabu
@juniorbayyo9209
@juniorbayyo9209 5 жыл бұрын
Somoe Mmanu @@xo kama bossi wake amby ni kama adui na baba ake
@maryammohd1826
@maryammohd1826 5 жыл бұрын
Amshaur na mond amrudie babake
@navaanyuki4436
@navaanyuki4436 5 жыл бұрын
Huyo sio bb yake mzaz
@somoemmanu3513
@somoemmanu3513 5 жыл бұрын
@@navaanyuki4436 uyo baba yake mzazi
@paulmahila995
@paulmahila995 5 жыл бұрын
R
@saidahj2543
@saidahj2543 5 жыл бұрын
Real men never FAKE life...ako muwazi na familia yake ameweka ustar kando...mahusiano mazuri na wazazi majirani na marafiki...much love harmonize 😍😍😘😘😗😗😗
@owenijackson3421
@owenijackson3421 3 жыл бұрын
XXX video
@TheSudMedia
@TheSudMedia 4 жыл бұрын
Sarah didn't react when Harmonize said I was born here...God bless my brother with a Queen!!!! Melbourne, Australia.
@managermipango2843
@managermipango2843 5 жыл бұрын
Kitu ambacho nimekipenda huna fake life una really life, huna maisha ya kuigiza ni mkwel na muaz. Mastaa kbao wanaficha vijiji vyao,
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 5 жыл бұрын
Abasi Makunguru kweli kabisa
@sylviemutwale9527
@sylviemutwale9527 5 жыл бұрын
Kweli umeongea point
@pichunakichuna2111
@pichunakichuna2111 5 жыл бұрын
Well said I really like that
@eventelias3566
@eventelias3566 5 жыл бұрын
Nmemuelewa sana kwa kweli imeondoa fikra tofauti nlikuwa namchukulia
@managermipango2843
@managermipango2843 5 жыл бұрын
@@eventelias3566 Dah, hata Mimi bro, nilivyokua namchikulia tofaut. Na naamin kafungua milango Kwa wasanii wanao ona haibu kujiweka wazi,wataona kumbe kawaida tu,wataiga
@thomasponera6018
@thomasponera6018 5 жыл бұрын
konde boi you are amazing guy, uko real sana Mungu akubarki
@mwajumaally2918
@mwajumaally2918 5 жыл бұрын
Mashallaha rajabu🙏🙏mungu azidi kukupa ela usidi kujenga kwenu
@skylarshebby8235
@skylarshebby8235 5 жыл бұрын
duuh good sanaaaa kaka harmonize Nimeipenda sanaaaa hiyoooo couple....kma na wewe umeipata hiiii gonga like
@LK-dj6fw
@LK-dj6fw 5 жыл бұрын
I really love what you did my brother........so sweet
@khadijaqatar9080
@khadijaqatar9080 5 жыл бұрын
Mashallah mungu akubarik uzid kutimiz ndoto zako inshallah
@samwelmahenge52
@samwelmahenge52 4 жыл бұрын
Khadija Qatar konde boi mungu akupe wepesi ktk maisha yako
@antoinebakevya8911
@antoinebakevya8911 5 жыл бұрын
Congrats and HAPPY BIRTHDAY my favorite artist
@malaikaizegelle4428
@malaikaizegelle4428 5 жыл бұрын
Ivi wanaombaga like uwa mnazifanyiaga nini😩😩😩basi na Mimi naombeni like🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@deborapaschal3582
@deborapaschal3582 5 жыл бұрын
😄😄😄
@gracejoseph3455
@gracejoseph3455 5 жыл бұрын
Malaika Izegelle
@dadjustarboy2078
@dadjustarboy2078 5 жыл бұрын
Zinamaanayake😀😀😀
@allyogen9173
@allyogen9173 5 жыл бұрын
Mashalla hamonainzi uko vizuri bur
@iamkixankiller6973
@iamkixankiller6973 4 жыл бұрын
daaaaaaah
@edwardnjiuka7403
@edwardnjiuka7403 5 жыл бұрын
Dogo HARMONIZE upo sawa sana nyumbani ndiko kwenye baraka zote na wasanii wengine waonyeshe nyumba walizozaliwa huko vijijini kwao wengi hawawezi maana wanaogopa kudhalilika big up sana dogo
@allywally5799
@allywally5799 5 жыл бұрын
mzee kichwa kinakribia kupasuka doooooh
@willymwanza8813
@willymwanza8813 5 жыл бұрын
nice brother
@hawata7614
@hawata7614 5 жыл бұрын
ma sha Allah hongera kaka ang mung akufikishe sana
@fadhillawisoniadam7767
@fadhillawisoniadam7767 4 жыл бұрын
Baku kubali sana harmonize kama na ww upon miongoni mwa watu mnaomkubali tafdhali naomba LIKE yako
@mevicesifuna2134
@mevicesifuna2134 11 ай бұрын
2023 watching this I love you harmonize❤❤❤❤
@khadijamadry7822
@khadijamadry7822 5 жыл бұрын
HAMORNIZE uwe na moyo huo hup wa kuthamin wazaz wako muache mond alemee upande mmoja big ap sana kaka Allah atakulipa kheri mbona ukijenga hapo kweni hizo vila swawabu nying sana
@madolovetanzani248
@madolovetanzani248 5 жыл бұрын
Haaale nmekuwa watono kuko menti naomben like zangu
@kasimuallyakome1864
@kasimuallyakome1864 5 жыл бұрын
Mado love Tanzani nc
@mbodzebemasika7477
@mbodzebemasika7477 5 жыл бұрын
Mzungu kwanza anapenda mazingira ya mwitu mwitu Allah awasimamie..nimempenda huyu baba..sara uvaege nguo ukienda kwa wakwe
@lipymuscat4779
@lipymuscat4779 5 жыл бұрын
Huyu sara ndio nini kuvaa nguo za mjini...
@mbodzebemasika7477
@mbodzebemasika7477 5 жыл бұрын
@@lipymuscat4779 yaani....siku.nyengine avae hata dress ya mikono mirefu angalau
@julianamaadam7375
@julianamaadam7375 5 жыл бұрын
Afadhal umeongea😅😅😅😅
@lovenessdiva7132
@lovenessdiva7132 4 жыл бұрын
Good point
@justawachawachezesinimtoto398
@justawachawachezesinimtoto398 4 жыл бұрын
Apo sasa kwani hakuambiwa wa naenda wapi? Ndio avalie nguo unafunia uchi wake
@laizsuke8265
@laizsuke8265 5 жыл бұрын
Huyu na shilole hawajivungi wapp social sana, big up home ni home tu
@samwelimoshi4442
@samwelimoshi4442 5 жыл бұрын
Diamond jee
@ricardodeazo2070
@ricardodeazo2070 5 жыл бұрын
big up boy, hongera sana kaka, much love for family
@omanoman-gs4zb
@omanoman-gs4zb 5 жыл бұрын
MashaaAllah. Raji Umefanya Jambo la mana. Allah Azid kukupa kheir zaid
@gambagumu6531
@gambagumu6531 5 жыл бұрын
Acha kutumia maishalah Kwa jambo LA shali mziki ni haram
@wazirigorge366
@wazirigorge366 5 жыл бұрын
@@gambagumu6531 kweli kabisa bro
@mudyiabas4812
@mudyiabas4812 5 жыл бұрын
masha Allah unajuamaana yake inavotumik??????
@omanoman-gs4zb
@omanoman-gs4zb 5 жыл бұрын
@@mudyiabas4812 labda weye Unajua mana yake. Na ndiye Uliye soma Mpk Ukahitim.
@felisterhaule7423
@felisterhaule7423 3 жыл бұрын
Mashaallah kwa mamb ya kijinga, miziki yao inakufu disha nn Bali inakufundisha kuzini tu na I nashawishi zinas tu
@eznahsue5782
@eznahsue5782 5 жыл бұрын
Napenda kiswahili ya konde boy nakupenda....nipee likes Aki leo msininyime
@adreckmgombela8069
@adreckmgombela8069 3 жыл бұрын
Iyo
@mrthreesix280
@mrthreesix280 5 жыл бұрын
Big up bro..mshauri basi hata na boss wako...we mamako alikosana na babako ukiwa miaka miwili na unamuenzi babako na hizo ndo barraka kakangu vipi mond...mshauri bana aishi Kama wewe
@zulfamohamed4549
@zulfamohamed4549 5 жыл бұрын
mama nababa kukosana nisiyo wazazi mumusishe mtoto kwenye ugov weni yan ikitokea mzazi mmoja wapo amemusisha mtt kwenye ugovu wawao wazazi bas itakuwa atali mtoto akisha ipokea ile sumu yamaneno yamzazi mmoja wapo ila mama mond amekosea mtoto kumlea kwakisasi chakumlipizia mama yake mzazi mgovi waliokuwa nao wao wawili
@bennyasseralfred3811
@bennyasseralfred3811 5 жыл бұрын
Wellington Ndoro bro hilo niwazo nzuri ila inategemeana labda huo mama armo anadini sana nakueshimu allah sana. na yule mama wa mond labda ameshapekekwa na Dunia unakuta c mshauri muzuri kwa mond
@zakyahya4645
@zakyahya4645 5 жыл бұрын
Safa wewe mashallah uko na mapenzi ya kweli yani uko unaosha masufuria ya jiko la kuni mmmh honger
@omanoman-gs4zb
@omanoman-gs4zb 5 жыл бұрын
Ni kweli wazungu Wa Realy love haswa na popote wao wataishi Alimradi Anakupenda. Ni kweli Raji Ulichokiongea.
@tumainimango8140
@tumainimango8140 5 жыл бұрын
Mzungu kampenda hamornize hadi namwonea huruma
@georgematahimba5242
@georgematahimba5242 5 жыл бұрын
Hana makuu. Safi sana
@georgematahimba5242
@georgematahimba5242 5 жыл бұрын
Jamaa yuko simple sana. Nimempenda.
@mussahmanyehe267
@mussahmanyehe267 5 жыл бұрын
Hahaha Huyo mbongo was lushoto
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 5 жыл бұрын
oman1212 oman1212 Nikweli kabisa
@user-qs9rn2je4c
@user-qs9rn2je4c 5 жыл бұрын
duuu uko vizuri km jina lako hongera sana sana
@saumujengi5911
@saumujengi5911 5 жыл бұрын
Mkataa kwao ni mtumwa""" kama umemkbli Harmonise gonga like
@ramagirik9785
@ramagirik9785 4 жыл бұрын
Kwel
@carolshiru4374
@carolshiru4374 5 жыл бұрын
Team kenya wapi likes za rajab 🙌🙌
@abuhermano8172
@abuhermano8172 4 жыл бұрын
Owh sory
@ramagirik9785
@ramagirik9785 4 жыл бұрын
Jamn wap apo kw kin harmonez
@Jolly_Jollyk
@Jolly_Jollyk 5 жыл бұрын
Harmonize may God bless you . you are a real man
@maryamoman5926
@maryamoman5926 5 жыл бұрын
Masha shallah rajab ❤👍👍👍
@alexndombondombotermo5841
@alexndombondombotermo5841 5 жыл бұрын
Konde boy big up I'm one of your supporters from beira mozambique💪💪💪🔥🔥🔥❤❤
@niitengozi6268
@niitengozi6268 3 жыл бұрын
OK l
@samburuonlinetv
@samburuonlinetv 5 жыл бұрын
Konde boi nashukuru unapenda sana baba yako hapo sawa kwa kumjali baba, bosi wako du !
@anthonyfaru9908
@anthonyfaru9908 5 жыл бұрын
Safi sana kukaa ukapatana na wazazi wako, wakafurahi hata kama mzazi alikufnyia sivyo, usiweke bifu bora ukanyamza utaonekan bora
@pendojohn7962
@pendojohn7962 5 жыл бұрын
hbd Mungu akupe maisha marefu yenye baraka tele
@anetaaneta1216
@anetaaneta1216 5 жыл бұрын
Wow kwni tulisherekea pamoja na ww pia mm bathday yangu ilikua jana,nakukubali kaka yani hauringi kama wengine waaah mungu akujalie mafanikio mema am from 🇰🇪🇰🇪
@johnnyzilla6499
@johnnyzilla6499 5 жыл бұрын
we ni star wa kweli unakumbuka palipo kukuza big up chaliii
@madolovetanzani248
@madolovetanzani248 5 жыл бұрын
Mashallah safi sana mkataa kwao mtumwa hamonaiz ujakataa kwako very nice ila ujitahisi msaidie uyo mpenzi wako wa zamani
@jordlynwoods9684
@jordlynwoods9684 5 жыл бұрын
I like this boy harmonise he is very open with his life he does not care keep it up boy ,diamond jifunze kwa hormo
@shambiraghasi2777
@shambiraghasi2777 5 жыл бұрын
Mmh hukuona diamond kuna siku alienda home akapea watu zawadi mmm shem on you
@mwanahamisiabdi3320
@mwanahamisiabdi3320 4 жыл бұрын
Iyo t shet ya baba ulinunulia karriakoo nzr
@joharajohara4355
@joharajohara4355 5 жыл бұрын
That's great Harmonize...being proudly of your village.
@mimah1547
@mimah1547 5 жыл бұрын
Hamonize umefanya nizid kukupenda yaan dah!!! Mungu akupe maisha maref na mafanikio tele inshaallah
@mussakassim299
@mussakassim299 5 жыл бұрын
Ndo maana nakukubali mwana harmonize
@imaninasoro7527
@imaninasoro7527 5 жыл бұрын
nitakua mchoyo wa comend uko vizuri sana konde boy kitu kilichonivutia uko mkweli sana
@pichunakichuna2111
@pichunakichuna2111 5 жыл бұрын
Wow big up hammonize u don’t leave fake life ❤️💕💔💔💔
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 2 жыл бұрын
Very green street pazuri Sana Nice one
@karimusindi8574
@karimusindi8574 5 жыл бұрын
Konde boy I'm appreciate Rajabu and all member from W.C.B ila umenikosha na singenge mzee baba
@deearacemarg450
@deearacemarg450 5 жыл бұрын
Harmonize Chelsea Fun like me...I love your village big up bro
@fallymetoo191
@fallymetoo191 5 жыл бұрын
Allahumma bareek Inshallah Mkataa kwao mjinga Home Sweet home Enjoy 👏👏👏
@aysherothman4447
@aysherothman4447 5 жыл бұрын
Amiin
@joshuamakub4353
@joshuamakub4353 5 жыл бұрын
katisha sn mwamba like kma unamkubl @kondeboy
@alghurabaa6884
@alghurabaa6884 5 жыл бұрын
allahumma barik kwenye zinaa subhana llah ..wew wa wapi
@margarethsaramaki1100
@margarethsaramaki1100 5 жыл бұрын
Hii safi sana Rajabu, na hata wazungu uwa wanapenda ile nature yetu.Sarah ana enjoy
@tedymwandara5480
@tedymwandara5480 5 жыл бұрын
Yani Harmonize utafika mbali zaidi Mungu hupenda tuwasaidie watu tunapofanikiwa, mpango wa kujenga villa ili ukoo ndugu zako wakae pamoja ni jambo kubwa sana, wasomi wakisoma wanatokomea peke yao ht kwao hawaendi, ninayo mifano take it from me!
@manuelhealth100channel7
@manuelhealth100channel7 5 жыл бұрын
Wekeni crip ndefu bwana wengine tunajifunza mengi kupitia harmoniz
@jennifermsungu8230
@jennifermsungu8230 5 жыл бұрын
Loh nawe huwach
@nicholausmbilinyi3587
@nicholausmbilinyi3587 5 жыл бұрын
Kabisa aisee
@pichunakichuna2111
@pichunakichuna2111 5 жыл бұрын
True
@JosephMhecha
@JosephMhecha 5 жыл бұрын
Jamaa yuko poa.
@zaynabali6109
@zaynabali6109 4 жыл бұрын
Ukweli 🙏🙏
@zennakailo8106
@zennakailo8106 5 жыл бұрын
Kupendwa Raha kweli cheki Sarah 😘😘😘😍
@xaviersalimo6558
@xaviersalimo6558 3 жыл бұрын
Wewe uja way kupedwa?
@christianabelly6329
@christianabelly6329 5 жыл бұрын
Daaah harmonize big up sana broo kumbe hata mm nawez fanikiwa kua kama ww kweli maisha ni safari ndefu
@daniellamaellysp.3448
@daniellamaellysp.3448 5 жыл бұрын
I don't understand anymore but just saying i Love them , Harmonize Lavalava, Rayvann, Diamond, Big up bro's
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 5 жыл бұрын
ila jitahidi uwabadilishie sipendi mutoe misaada kwa watu wakati ndugu zenu wanapata shida
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 5 жыл бұрын
Zumbe Shauri huyu jamaa anasaudia sana ndugu pia tatizo mtwara nyumba zao hawapendi kukarabati nje sababu ya udongo wao na wanapenda still kuwe kam kijijini ile culture isipotee
@julianamaadam7375
@julianamaadam7375 5 жыл бұрын
Kumbuka kasema kuanzia mwakan ataanza kuwajengea ndg zake sa cjui awabadilishe ngoz
@user-mu4lk1ux1q
@user-mu4lk1ux1q 5 жыл бұрын
Nice nimeipenda hy
@babanjuru8738
@babanjuru8738 5 жыл бұрын
Safi Sana Harmonies sio diamond baba yake Amsaidii
@hamedal-shruiqi2123
@hamedal-shruiqi2123 5 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki hongera Sana hormo
@manyaniinc3579
@manyaniinc3579 5 жыл бұрын
Nice this is documentary
@jokhakhalef822
@jokhakhalef822 5 жыл бұрын
Hongera baba kwa kweli umefanya jambo zuri saaana.
@alisterkaijage6517
@alisterkaijage6517 2 жыл бұрын
Nimeipenda iyo man upo fresh kabisa
@jazimuseremani947
@jazimuseremani947 5 жыл бұрын
real love forever will stay in hart
@zakaboy1305
@zakaboy1305 5 жыл бұрын
uko vizuri harmonize mwambie diamond nae aonyeshe asiri yake
@bizoojoh9145
@bizoojoh9145 5 жыл бұрын
Ssa kakuria dar anaonesha nni tandale hajawai oneshaa
@nancysubira8905
@nancysubira8905 5 жыл бұрын
Baba Harmonize anajiskia kwa vyienye ajatolea jasho😢 Harmonize nakupenda bure coz u are not like vijana wengine baba zao wakiwatelekeza hawaezi msaidia baba
@dkensmopainvevo3683
@dkensmopainvevo3683 5 жыл бұрын
Konde boy unatisha saana bro I love it unanipa hamasa 💪💪💪💪🙏
@cestlaviecestlavie4606
@cestlaviecestlavie4606 5 жыл бұрын
hmmm mzungu hacoki kutembeya dah!, hivi kwa kweli Mondi akiona haya haoni kuwa Condeboy amemzidi maarifa 😏
@nicholausmbilinyi3587
@nicholausmbilinyi3587 5 жыл бұрын
Kama haoni bas hana macho kabisaa..dogo anampa ujumbe amsamehe baba yake.
@jamesmayunga5802
@jamesmayunga5802 5 жыл бұрын
mimi mimi kabisa
@abubakarmbarouk9454
@abubakarmbarouk9454 4 жыл бұрын
@@nicholausmbilinyi3587 nimeikubali Asili Yako unatakiwa uidumishe Hishima Yako Rajabu
@faithnzilani651
@faithnzilani651 5 жыл бұрын
Harmonize you don't fake life....bigup en God bless you
@farhanaiqbal8803
@farhanaiqbal8803 4 жыл бұрын
Hi I'm mommy sarah
@lareinemere1329
@lareinemere1329 5 жыл бұрын
I very appreciate Harmonize you keep your dad company love you 😘
@avitrujweka2113
@avitrujweka2113 5 жыл бұрын
Sarah ana upendo wa kweli kwa Harmonize na yuko naye kila wakati, hakika ni wife material... 🙌
@sschacha7122
@sschacha7122 5 жыл бұрын
Big up Harmonize......
@petermwanja459
@petermwanja459 4 жыл бұрын
Harmonize nice my brother
@mimaakenirram1405
@mimaakenirram1405 5 жыл бұрын
mashallah me nakuombea ujenge hizo nyumba lnshallah kumuezi babu yako
@tawandanyamtuwa1000
@tawandanyamtuwa1000 5 жыл бұрын
How are you Harmonize keep the fire burning How is Da es Salaam today
@mhudinihassani5670
@mhudinihassani5670 5 жыл бұрын
yooo upo vzr konde boy
@mhudinihassani5670
@mhudinihassani5670 5 жыл бұрын
yooo upo vzr konde boy
@emmanueloola3502
@emmanueloola3502 5 жыл бұрын
Walikuwepo watu maarufu sana na sasa hawapo Walikuwepo wenyesifa nasasa hawapo Dunia inapita kasi Na wewe utapita tu Niheri ukayaweka mambo yako sawa maana kuna kiyama Ila lipo tumaini jipya la maisha baada ya haya Kuna Mbinguni uzima wa milele au motoni kifo milele Chagua uzima Chagua Yesu Olewake atakaye simama upande wa shetani Olewake adharauye wokovu Ghadhabu ya Mungu inakuja
@gaudensiamganga8140
@gaudensiamganga8140 2 жыл бұрын
Hakika Ubarikiwe maisha Mali bila wokovu Ni Buree
@faridabakari8511
@faridabakari8511 5 жыл бұрын
MashaAllah watu tanatoka mbali I say big up Rajab Hammond 🇰🇪❤👆👌
@babailu2133
@babailu2133 5 жыл бұрын
Dah Harmonize umetisha sana Big up kwa ulichokifanya.
@mridanyadunia8540
@mridanyadunia8540 5 жыл бұрын
Huyo dadangu anaupendo thabit mana mazngra anayotembezw af haonesh chcht ila mbongo xx nae pangechimbka angeomb kurdshw mjin
@veronicacharles9197
@veronicacharles9197 5 жыл бұрын
He he he
@missyabdull142
@missyabdull142 5 жыл бұрын
hahaha
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 5 жыл бұрын
Siyo upendo tu,asiri ya wazungu wengi wao wanapenda sana maisha ya uswazi wanakuwa wanajifunza vitu vingi.kwahiyo mm Sara simshangai ndivyo walivyo hawana ubaguzi wa mazingira
@yustinhhari5085
@yustinhhari5085 5 жыл бұрын
mbogo angeact mbele ya kamera
@joycejohn7754
@joycejohn7754 5 жыл бұрын
Au angejfanya awez kutembea
@lulanatty8474
@lulanatty8474 4 жыл бұрын
Huyo ndio mume jeshii hajasahau mila za kwao mtu mwema 😍 tembo much lv 😍
@IsdoryDominic-dd8wg
@IsdoryDominic-dd8wg Жыл бұрын
Hongera cn we ni mwamba,,,kuna wengne hawayakubali maisha yao ya zaman
@emmypc8362
@emmypc8362 4 жыл бұрын
Wallah nimejikuta nafurahi tu Rajabu mungu akuongoze uzidi kunufaika nakuwanufaisha wazazi wako ,,,...eeh mungu nami niongoze niwe na afya nguvu uzima nipambane niwaflaishe wazazi wangu jmn baba Amo anajua kudundika
@eliaturinayo6375
@eliaturinayo6375 5 жыл бұрын
Happy birthday to you Brother Harmonize♥🙏🙏
@jescanyerere2068
@jescanyerere2068 5 жыл бұрын
Safi bro happy Birthday
@salimudochi1315
@salimudochi1315 5 жыл бұрын
Ndo uhalisia wake yeyeanajali sana kwao tafauti nawengine
@binthassancollection.6308
@binthassancollection.6308 5 жыл бұрын
Mm sio shabiki lkn umenifurahisha but ukienda home kama hivyo mwambie Sara avae dera 🤣🤣🤣🤣
@rosekhamis3511
@rosekhamis3511 4 жыл бұрын
Halima Hassan kabisaa
@issaboytv8290
@issaboytv8290 4 жыл бұрын
Da kweli
@justawachawachezesinimtoto398
@justawachawachezesinimtoto398 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@nasrishemvuni3097
@nasrishemvuni3097 4 жыл бұрын
maisha nisafari
@mongeramatondo416
@mongeramatondo416 5 жыл бұрын
Yn huyu kaka jmn yuko vzr hanaga majivuno km wasanii wengine, big up nmekupenda bureee
@estergodfrey4126
@estergodfrey4126 4 жыл бұрын
Kwa mara ya kumuona msanii wa bongo akionyesha kwao bila kuona aibu, hongera sana kwa kujiamini,
@naslamgollowatuacheee9852
@naslamgollowatuacheee9852 5 жыл бұрын
Nimependa mazingira yenu hamo hadi raha mungu akusimamie kwailo kukuza familia natamin ningekua miongon mwa familia piya nifamilia ya heshima na dini mungu awabarki ila sara mvalishe madira kwanza kijijin
@mwanaishambili241
@mwanaishambili241 5 жыл бұрын
Uyo sara ungempa dera akawa na uwalicya wa nyumbani mashaallah rajab ivyo ndio inatakikana ikujuwa ulikotoka daima utakazana
@nshimirimanafelix7493
@nshimirimanafelix7493 5 жыл бұрын
Harmonize kitu kizuri unataka kukifanya plz hio micungwa minazi isikatwi iwe sehemu nzuri kabisa weusi hawana love uliongea point
@andygreat1534
@andygreat1534 5 жыл бұрын
diamond inabidi ujifunze kutoka kwa harmonize, this guy is super humble and nice, anampenda baba yake sio wewe unayejifanya huwezi kumsamehe baba yako.
@saddyclassicfashion9577
@saddyclassicfashion9577 5 жыл бұрын
Uko saw kwakutujuza mashabiki wako maisha yako like zang wadau
@albertinemacimu1247
@albertinemacimu1247 5 жыл бұрын
Nani mwingine alivyoona mzee alivyokuwa anadunda kwa mwendo wa kujivunia...😄😄😄😄😄 naona tu coments ila sijaona mnatakia heri ya kuzaliwa HBH2UUUUU\UU
@carolineedwin867
@carolineedwin867 5 жыл бұрын
Hahaha
@aggygenge1157
@aggygenge1157 5 жыл бұрын
nimemuonaaaa hahaaa then akawa anapiga story na Sarah
@witnesschezue6794
@witnesschezue6794 5 жыл бұрын
Hahahaa dingi na mwendo kabadil chezea ww
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 4 жыл бұрын
Anajivunia huyo
@Pilijoson
@Pilijoson 5 жыл бұрын
Hongera harmonize kwahicho ulicho kifanya
@silvanusladislaus1693
@silvanusladislaus1693 5 жыл бұрын
Harmonize uko vizuri Sana kijijini kwenu ahsante kuingezee ujuzi zaidi nimependa Sana unakumbuka kurudi nyumbn kujumuika na familia
@tellalemnje372
@tellalemnje372 5 жыл бұрын
Safi congrats
@bajunihilali95
@bajunihilali95 5 жыл бұрын
Unani nifanya niwe mshabiki wako sana harmo
@yusufahmed7393
@yusufahmed7393 5 жыл бұрын
Bless up 🙌🙌🙌
@julianamaadam7375
@julianamaadam7375 5 жыл бұрын
Me ameshanipata kwakwel kwenye ushabik
@tulivupaulo9914
@tulivupaulo9914 5 жыл бұрын
noma ham
@halloummasuod3722
@halloummasuod3722 5 жыл бұрын
HARMONiZE wewe ni msani tofauti hakuna kama baba hakuna kama mama llove so much Sarah mabruk enjoy
@gideonkalumbu5220
@gideonkalumbu5220 4 жыл бұрын
Kama unamwona ba, Harmonize,anaringa na mwanae,nipe likes kama zote ee
@gg-fq4mf
@gg-fq4mf 5 жыл бұрын
Wazungu wana true love, wangekuwa wale dada zangu wenye kidigree kamoja alikokapata duce wangetaka watembezwe na gari,
@dickchobs3026
@dickchobs3026 5 жыл бұрын
Good job konde boy. You did something Great...!! Historian hutunzwa
@innocentguynizeyimana6088
@innocentguynizeyimana6088 3 жыл бұрын
Kwel
@zenaamani371
@zenaamani371 5 жыл бұрын
Safi sana,Home sweet Home.
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Nilikuwa staki kucoment eneo kubwa kama bahar honger bb harmonize
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 5 жыл бұрын
Nimekupenda sana Mdogo wangu kwa kujuwa nyumbani ni nyumbani
MPENZI WA KWANZA WA HARMONIZE / BADO NAMPENDA SANA / SARAH SIMJUI
6:44
Wasafi Media
Рет қаралды 1,4 МЛН
Harmonize Home visits (MAHUTA / CHITOHOLI) Part 3
21:28
Harmonize
Рет қаралды 54 М.
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 21 МЛН
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 84 МЛН
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 7 МЛН
拉了好大一坨#斗罗大陆#唐三小舞#小丑
00:11
超凡蜘蛛
Рет қаралды 12 МЛН
WAMEYATIMBA NDARO NA STEVE MWEUSI
14:56
Ndaro Tz
Рет қаралды 1,8 МЛН
Mpaka Home MAISHA YA RAYVANNY NA JUMBA LEKE LA KIFAHARI UTAPENDA
10:32
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 21 МЛН