MBUNGE ATINGA NA POMBE BUNGENI, K.VANT, KONYAGI, AZIPANGA MEZANI - "KWANINI MNAZUIA GONGO?"

  Рет қаралды 357,104

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

MBUNGE ATINGA NA POMBE BUNGENI, K.VANT, KONYAGI, AZIPANGA MEZANI - "KWANINI MNAZUIA GONGO?"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 351
@HafidhKhamis-ph8qg
@HafidhKhamis-ph8qg Ай бұрын
Ili bunge la vp mbona wazungumzia kunywa tembo tu kwani sdhida nini ili sio la walevi tungumzuni mengine walev wacheni watajib kwa Mungu midhambi hiyo
@NasiriAcramYusra-rf8dl
@NasiriAcramYusra-rf8dl Жыл бұрын
Huyu MWANAMKE nimempenda sana
@khadjamhozya
@khadjamhozya Ай бұрын
Anaitwa nani
@frankfrancis5736
@frankfrancis5736 Жыл бұрын
Ana Hoja Kweli Aiseee ❤ Ajengewe Sanamu pale dodoma
@monicambuya-sq9ms
@monicambuya-sq9ms Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@ibrahimuizack8244
@ibrahimuizack8244 7 ай бұрын
Askari kumbukeni mlikotoka na maneno ya huyo mama niukweli mtupu
@daudmbwile352
@daudmbwile352 Жыл бұрын
Nakushukuru Sana mbunge kwa hoja nzuri, Cha msingi gongo ihararishwe na isiuzwe kwa kificho ili wananchi wajiajiri. Wasambaa wa lushoto wanatengeneza pombe ya miua ambayo haina utofauti na gongo.
@denismugisha2
@denismugisha2 Жыл бұрын
Hongera dada japo mimi natambua pombe ni dhambi
@welcometoeat165
@welcometoeat165 Жыл бұрын
Tanzania nchi ya ajabu sana khaaa 😢😢😢😢😢vitu vya nje vina thamn kubwa kulko vya kwetu tunajidharau
@KalomoBulugu
@KalomoBulugu 9 ай бұрын
Wapo viongoz wanaopnda maendeleo nchini hongera sana muheshimiwa MUNGU akujaarie
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 Жыл бұрын
Muheshmiwa hujui tu unatia watu kiu😂😂 Halafu cku nyingine uje na kopo la ulanzi kwa kutambua uwepo wa wahehe kwenye sekta ya viwnda
@MariamSimbe-fo1ce
@MariamSimbe-fo1ce 7 ай бұрын
😂😂😂😂
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 Ай бұрын
😅😅😅
@ManeMsenegal
@ManeMsenegal Ай бұрын
Umeongea pointment madam salute
@user-bd4uy4ck6y
@user-bd4uy4ck6y 7 ай бұрын
Huyu mbunge jamani apewe maua yake anaujua ukweli , pia ni jasiri na hodari ,hongera sana
@HemediAhmedi
@HemediAhmedi 7 ай бұрын
Asante sana mh mbunge samahani je umeolewa au ujaolewa nimekupendasana unahojamzuriww aisee
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 27 күн бұрын
Tanzania mko vizuri. 🇰🇪
@ahmesaofficial9611
@ahmesaofficial9611 22 күн бұрын
🎉🎉🎉 upo vizur mama
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Watu wako busy na ushoga, ila tz Kuna vijana wengi wanavipaji
@amanimakury-cv5lw
@amanimakury-cv5lw Жыл бұрын
Huyuu anaongea point kubwa
@veronicamikoma9687
@veronicamikoma9687 Жыл бұрын
Halalishen gongo jaman hajui watu wanaendesha familia kupitia hiyo pombe na wengine imewasomesha. nyie hamjui tu yan
@eddyclassicfunture
@eddyclassicfunture Жыл бұрын
Kiumweli Tanzania tunafeli sana halalisheni gongo iuzwe madukani shida yetu nini badala muiboreshe mnaipiga vita mna kubali mpaka pombe zinazotoka mpaka Uganda hacheni izo bwana
@wilsondavid9741
@wilsondavid9741 Жыл бұрын
Tatzo Hii Nchi haitaki watu wenye akili inapenda watu wajanja janja Tu! Tuvipe thamani vyakwetu!
@peemsafi6068
@peemsafi6068 Жыл бұрын
huyu ndo kaupiga mwingi sio hao mnao wasujudu🙏
@abelchacha5977
@abelchacha5977 Жыл бұрын
Kweli mtupu. Maana hata wenzetu wanapotaka kulewa na wanakipato kidogo, wanakunywa gongo.
@Maichampiongirl
@Maichampiongirl 18 күн бұрын
#mbunge❤❤❤❤ pokea maua yako mmy ❤❤❤❤❤❤ champion girl 💪 l love you so much we nibonge la kiongozi
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 Жыл бұрын
Umelazimisha ni dhambi kwa mjibu wa dini lakini Mungu hana dini na serikali yetu haina dini
@AmoceMnyanyi
@AmoceMnyanyi 9 ай бұрын
Mungu akupe maisha malefu kwa kujua ukweli
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 Жыл бұрын
HUYU DADA MBUNGE ANASTAHILI KUWA WAZIRI WA VIWANDA!
@loycenzuki7940
@loycenzuki7940 Ай бұрын
Daaah uyi dada noma❤
@vailethkivuyo620
@vailethkivuyo620 7 ай бұрын
Huyu mbunge anajielewa sana apewe maua yake♥️
@anthonysulula766
@anthonysulula766 Жыл бұрын
Waheshimiwa wabunge,,,hongera kwa kazi nzuri ya kutetea maslahi ya watanzania.tuko nyuma yenu,msichoke kusema juu ya utawala wa mazoea,,kwenye taaluma huku tumeingiliwa na ma bodi ya taaluma yanayojifanya kuwa yapo kwa maslahi ya mtaalam kama vile bodi ya pharmacy, maabara,engineering zote,n.k.badala yake zmeweka mashariti magumu kwa wataalam mwenyewe katika kujiajili na kunufaika na taaluma zako.anae pewa kipaumbele ni mtumishi wa serikali tu.sio mtaalam ktk sekta binafsi.
@nasibukambona2586
@nasibukambona2586 7 ай бұрын
Big up kwa spika wetu kwelii yuko vizuri na msikivu saanaaa
@user-dd5vf3pl6k
@user-dd5vf3pl6k 5 ай бұрын
Huyu mwanamke kweli anawakilisha wananchi
@benjaminmwenda7976
@benjaminmwenda7976 Жыл бұрын
Hoja imejengwa vizuri..!!
@TheKaswahili
@TheKaswahili 7 ай бұрын
Mbunge huyu amenikuna sana 👍👍👍👍👍👍
@user-ho2vp7dq6u
@user-ho2vp7dq6u 18 күн бұрын
Pongeziiii sanaaaaa dadaaguuu mauaaaa kwakoooo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
Sera ya viwanda ilikwenda na shujaa wa Africa JPM.
@khadjamhozya
@khadjamhozya Ай бұрын
Hakika
@BarakaMsigwa-sc5zn
@BarakaMsigwa-sc5zn 3 ай бұрын
Point sana kiongoz
@user-fj3zp2qz3p
@user-fj3zp2qz3p Ай бұрын
Mungu awabadilishe pombe ni dhambi achen kuwadanganya watu
@user-ho2vp7dq6u
@user-ho2vp7dq6u 18 күн бұрын
Wewe ujasikilizaaa vzl ludiaa kusikilizaa tenaa uwelewee
@stamalamkulungwa8708
@stamalamkulungwa8708 Жыл бұрын
Kiupande frani ameongea point sana
@tiffanyakramJr822
@tiffanyakramJr822 Жыл бұрын
Brand iyo unaitangaza bule🤗 tena NCHI NZIMA ipo apo bungeni
@gastonsonnymwaselela4580
@gastonsonnymwaselela4580 Жыл бұрын
Ajengewe Mnara pale Jamanitini 💪
@genarahaswile2990
@genarahaswile2990 Жыл бұрын
Munguuu akuzidishie maisha uzid kutetea
@eugenyraphael4334
@eugenyraphael4334 Жыл бұрын
Ukitoka hapo bungeni nitafute,"Mungu akifunua karatasi zao!!! Watakimbia wrote bungeni'
@danielnyantory5132
@danielnyantory5132 Ай бұрын
Dada Yuko vizuri sana
@mertus.nestory.bishirangon4624
@mertus.nestory.bishirangon4624 Жыл бұрын
Hata.mimi.nimesomeswa.nagongo
@jayzeem14
@jayzeem14 Ай бұрын
Dah!!
@amaniHaji
@amaniHaji 9 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu
@jongosalehe1036
@jongosalehe1036 Ай бұрын
Congratulations
@yudatadeimdoe9215
@yudatadeimdoe9215 Жыл бұрын
😄😄😄😄😄,,, mheshimiwa umenichekesha sana..lakin gongo inakatazwa kwasababu inamadhara makubwasana""" inachoma main"" lakin nyingine zote za kienyeji zinatumika kama kawa
@EliminaSimoni
@EliminaSimoni Ай бұрын
Kweli.tumeisha.mungu.tuokoe.
@KAMTUPE
@KAMTUPE Жыл бұрын
Fact..
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Жыл бұрын
huyu mbunge atafika mbali anasemea creativity ya watanzania inadharauliwa, hii ni kweli kabisa.
@richcompanyfilmtv823
@richcompanyfilmtv823 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥 point
@theophilwhiteheart1997
@theophilwhiteheart1997 Жыл бұрын
Hakika dada amenena kaanza vizuri na kamaliza vizuri.... Utekelezwaji ufanyike😅
@PaskaziaEmanuel-zt6ev
@PaskaziaEmanuel-zt6ev 7 ай бұрын
Mungu akutunze Dada mzurii
@ritchiemuta1092
@ritchiemuta1092 Жыл бұрын
Agenda nzuri lakini msemaji Hana mtililiko wa mawazo haujapangwa
@joachimjoseph239
@joachimjoseph239 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@neemachalamila590
@neemachalamila590 Жыл бұрын
Kiukweli
@ThaisonMsuya
@ThaisonMsuya 9 ай бұрын
Samaha ni no sana wahedhimiwa mnasema pom ebe pombe na wengine mnajisifia pombe dada Mimi nasema mungu aingilie kt wan
@meshackwilson325
@meshackwilson325 Жыл бұрын
Fact
@edwardpasicko
@edwardpasicko 3 ай бұрын
Kiukweli Tanzania tumeludi nyuma
@user-ss3fb6iv2s
@user-ss3fb6iv2s Жыл бұрын
Huyu mbunge wa momba kondester Ana mawazo ya kutetea wanachi, huyo mbunge anaemkashfu na kumthalalisha atumie huo muda wa kumkashifu binti wa watu, tena mtoto wake kabisa, kubtetea wapigakura wake
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 9 ай бұрын
Msukuma ni mjinga kupindukia. Ni mjinga hastahili kuwa Bungeni na Atolewe. Hajaelewa nia ya huyu dada. Usomi wa Msukuma ni za kuungaunga.Anajionyesha kuwa Ana uwezo wa wa kununua. Huyu mwenye kukodisha ni mdini na kakuripuka sababu uarabu umetajwa naye ni mwislamu. Ndo udini huo tunaoukataa. Hongera dada. Elimu tunazozitafuta ndio hizi.
@KuntukumuSadam
@KuntukumuSadam Жыл бұрын
Sioh gongo tu mamaaa kila kitu kikibuniwa na watamzania serikali inakuwa ya kwanza kupinga Hiii nchi ni ya ajabu sana
@NeemaJosephat-gv4ni
@NeemaJosephat-gv4ni 7 ай бұрын
❤❤❤❤ umeongea point
@babudingi-gd7pz
@babudingi-gd7pz 9 ай бұрын
Dada uko powa njoo uku ✌️✌️
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 Жыл бұрын
Kwakweli nami nimekuzwa na pombe kijijni kwetu ambayo Dada alikuwa anatengeneza na kutusomesha
@jamesfrances9342
@jamesfrances9342 Жыл бұрын
😂😂😂 umetisha sana Madam
@maikojohny345
@maikojohny345 Жыл бұрын
Hajui kujieleza, anakula kodi za wananchi kizembe sana
@user-wl6zs4sf5p
@user-wl6zs4sf5p 2 ай бұрын
Welaweraaa safi sana
@user-hm4hk5hi1c
@user-hm4hk5hi1c 7 ай бұрын
Smart girl❤
@TedyChiguru-sm1nr
@TedyChiguru-sm1nr 3 ай бұрын
Hongera muheshimiwa
@neemaneychricious6493
@neemaneychricious6493 29 күн бұрын
safi snaa sister
@charlesmillinga992
@charlesmillinga992 4 ай бұрын
Huyo anayesema kanuni imevunjwa. Yeye na familia yake wanashiba KWa mshahara mkubwa. Hajui mama mhangaikaji anayeuza gongo anakula nini. Yaani bungeni kuna watu humo wanasinzia tu. Badala ya kusikiliza Hoja anapanga namba kupinga Hoja.😂😂😂😂
@user-mo7ri7gy1m
@user-mo7ri7gy1m 4 ай бұрын
Wazo zurisaana dada angu big up
@bekabakari7394
@bekabakari7394 Жыл бұрын
Tatizo ni vipimo Pombe za kieyeji Sio mbaya ila zinauwa Zinafanya watu vipofu Kwa kuchanganya vitu na baadae kua sumu Kama wakaguzi wakivipitia sio vibaya
@MSHUTIMEDIA
@MSHUTIMEDIA 7 ай бұрын
Fact kubwa ❤
@simbawateranga7020
@simbawateranga7020 Жыл бұрын
Dada anakosea sana kutaja taja Morena...
@Dantaata
@Dantaata Жыл бұрын
una mawazo we jichunguze
@Fefetubes
@Fefetubes Жыл бұрын
😂😂😂
@mwas-kg5on
@mwas-kg5on Жыл бұрын
Ukweli hafai kutaja jina ya mfanya biashara
@petermwaghania2882
@petermwaghania2882 2 ай бұрын
Good work mheshimiwa
@josephinaChuma
@josephinaChuma 5 күн бұрын
Dada umezungumza vizur sana maana weng wao hapo mlipo wamesomeshwa Kwa kipato cha gongo nampaka kufikia hapo mlipo sasa
@user-ku7zp2ds4o
@user-ku7zp2ds4o 9 ай бұрын
YOTE NI UBATILI NA KUJILISHA UPEPO OLE WAO WANAOTUMIA MVINYO NA WANAOPELEKEA WENZAO KILEO. TUBUNI NA KUIAMINI INJILI YA YESU KRISTO KWA MAANA UFALME WA MBINGUNI UMEKARIBIA.
@jayzeem14
@jayzeem14 24 күн бұрын
Amen! Mkristo Kiongozi unasimama Kutetea dhambi hadharani kutafuta umaarufu wa kisiasa! Matayo 6:33 Utafuteni kwanza ufalme wa Mbinguni na mengine mtaongezewa !!!pombe haijawahi mbariki mtu wala kumtaja Risha! Sio jana wala kesho! Yako mengi ya kufanya bila kutegemea pombe!
@SadickSued
@SadickSued 3 ай бұрын
Ongera sana dada
@franciscarsongea7948
@franciscarsongea7948 9 ай бұрын
Nimefurahi sana kwa kututetea watu WA Hali ya chini
@WilsonJuma-nl7js
@WilsonJuma-nl7js 3 күн бұрын
Iko sawa sana
@linnusaloyce6559
@linnusaloyce6559 Жыл бұрын
Sanamu linakuhusu dada mingine 10
@officialsuccesschannel
@officialsuccesschannel Жыл бұрын
FACT SANA
@TaboraTabora-lr1dq
@TaboraTabora-lr1dq 3 ай бұрын
Safi sana
@sulemanmadahatv1691
@sulemanmadahatv1691 Жыл бұрын
Mwanasiasa usipomuombea ni hatari kuliko BOMU LA ATOMIC. Tuombee wanasiasa wetu.
@shaniasadick3915
@shaniasadick3915 Жыл бұрын
Safi sañ
@petergirago9408
@petergirago9408 Жыл бұрын
Nmekuelewa Sana 😂😂😂
@elizabethmvumu1881
@elizabethmvumu1881 11 ай бұрын
Nimekupenda bure dada mbunge, pombe ni haram lkn uko vzr ktk hoja zako na zinaeleweka, ❤
@marryhancy1632
@marryhancy1632 Жыл бұрын
Huyu Dada anaakil Sana nimekupenda bure mno
@WitnessKayange-ml1zq
@WitnessKayange-ml1zq 3 ай бұрын
Safi sana kiongozi
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 5 ай бұрын
Umeongea vizuri sana
@TheresiaJoseph-wl1dy
@TheresiaJoseph-wl1dy Ай бұрын
👍👍😍
@YusuphShabani-wk5bv
@YusuphShabani-wk5bv Ай бұрын
❤❤❤
@bonifacesanagu9793
@bonifacesanagu9793 Жыл бұрын
Pombe ni dhambi. ila ushoga wafanyane wakubwa kwa wakubwa 😅
@user-vs5ln1ze3q
@user-vs5ln1ze3q 2 ай бұрын
Point sana😢
@nasibuahmedy2438
@nasibuahmedy2438 Жыл бұрын
9:43 Mwamba Msukuma kafunga Mjadala
@rashidsuleiman9253
@rashidsuleiman9253 Жыл бұрын
Wamekosa mambo ya kuipeleka nchi mbele wanazungumza upuuzi. tusahau maendeleo
@ModestussMashallooh-vd7wx
@ModestussMashallooh-vd7wx 8 ай бұрын
Upuuzii gani
@Pizzomc-wo1qw
@Pizzomc-wo1qw 20 күн бұрын
Ongere
@shaphiasabani5760
@shaphiasabani5760 Жыл бұрын
Jukumu ili wanalo viongoziwa nagazi ya juu ndio maana ukaambiwa viongozi karibu 100% motoni tu
@mariatumaini-nv6oq
@mariatumaini-nv6oq Жыл бұрын
Dada upo sahii sana
@tumainidaudi9900
@tumainidaudi9900 Жыл бұрын
Marekani watu wanaitamani sana Gongo wengine wanaiagiza kutoka Gana
@user-tk6bl3xb4s
@user-tk6bl3xb4s 8 ай бұрын
❤❤❤❤
@dinabenard1569
@dinabenard1569 Жыл бұрын
Nimecheka akii
Happy 4th of July 😂
00:12
Pink Shirt Girl
Рет қаралды 21 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 46 МЛН
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
Happy 4th of July 😂
00:12
Pink Shirt Girl
Рет қаралды 21 МЛН