No video

KIMEUMANA KARIAKOO! MUHA AMTAJA POLISI ANAYEWASUMBUA, WAZIRI MKUU ACHUKUA JINA LAKE "ANAITWA MPEMBA"

  Рет қаралды 382,152

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

KIMEUMANA KARIAKOO! MUHA AMTAJA POLISI ANAYEWASUMBUA, WAZIRI MKUU ACHUKUA JINA LAKE "ANAITWA MPEMBA"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 482
@user-ff9ft1pk2n
@user-ff9ft1pk2n Жыл бұрын
Likes kwa muha 🔥🔥🔥
@jmc2196
@jmc2196 Жыл бұрын
Ewe Mungu tusaidiye utupe Mwingine kama Magufuri 😭😭😭 RIP baba
@ammyskills5588
@ammyskills5588 Жыл бұрын
Huyu muha ameongea ukweli na ndio yanayofanyika na ana uchungu sana daaa 😢
@kastusbonifas2674
@kastusbonifas2674 Жыл бұрын
❤❤waha wakipewa nchi tutakuwa salama sana😂
@samionmdogo520
@samionmdogo520 Жыл бұрын
😁😁😁🤣🤣kabisaaa
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 Жыл бұрын
Muha original amechomoa battery 😂😂😂😂😂
@valentinesyekeye6846
@valentinesyekeye6846 Жыл бұрын
Waha hatuna dogo😄
@kissamwamunyange1018
@kissamwamunyange1018 Жыл бұрын
Poleni wananchi wenzangu. Ni MUNGU tuu aingilie Kati. insha'Allah 🙏
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Жыл бұрын
Poleni sana nimependa sana mzee wetu alivyojilipua❤😂😂😂😂
@aloycesamba998
@aloycesamba998 Жыл бұрын
Huyu mwamba apewe 💐🌹💐 yake mapema
@luisojr3480
@luisojr3480 Жыл бұрын
Muha kavurugwa😂
@user-rr1lw7sz6h
@user-rr1lw7sz6h Жыл бұрын
Asante baba kwa kutuongerea wanyonge mimi nilifunga biashara kisa tra
@joelmwita3592
@joelmwita3592 Жыл бұрын
Muha Amechoka, kaamua Mwamba yuko vizuri kwa kujieleza
@aminaasia-jl8fk
@aminaasia-jl8fk Жыл бұрын
Huyu kweli kigoma
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 Жыл бұрын
Hatari sana 😂😂😂 anaongea kama brother k,,,watu wamechafukwa
@apollobupolo9884
@apollobupolo9884 Жыл бұрын
Hahahahaa
@aminaasia-jl8fk
@aminaasia-jl8fk Жыл бұрын
MAGUFURI angemaliza toka juzi RIP MAGUFURI
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Жыл бұрын
Maliza wewe bwegest
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Mijizi ndo inatawala, wenye pesa nyingi wanaachwa na wenye kipato kidogo ndo wanaumizwa. Tumbua wote hao, fukiza kazi ndo wengine wapate fundisho. Alisema tutamkumbuka Kwa mazuri ndo haya yanafanya tumkumbuke. RIP Magufuli
@AdamFundikira-kk5oj
@AdamFundikira-kk5oj Жыл бұрын
​@@marcokaroje8980 wewe ni mpumbavu mbwa koko kwani amesema vibaya magufuli alikuwa fast kutatua changamoto
@achsahcharles6728
@achsahcharles6728 Жыл бұрын
Hilo Ndo tatizo la Watanzania na aliwajulia kweli kweli, mtu mmoja hawezi beba nchi, mtu mmoja hawezi tatua matatizo ya nchi nzima, kiongozi wa kweli ni anayehakikisha taasisi za serikali ziko imara, sheria ni za haki, na hakuna mianya ya rushwa! Kiongozi wa kweli haongozi kwa yeye kusimama akatoa tamko tatizo likaisha, siku huyo kiongozi akitoka hali itakua mbaya kuliko mwanzo , alitaka asifiwe yeye kwamba anadhibiti kila kitu na mkafurahi lakini mkasahau hiyo ni njia ya mkato na hailisaidii taifa!! Taifa lenye taasisi imara hata likipata raisi mbovu nchi itaenda tu! Yeye alihakikisha bunge linajaa wabunge wa hov**** wanatunga na kupitisha vitu vya hovyo ili yeye aje asimame atoe suluhu mpige makofi
@ikouwasi7644
@ikouwasi7644 Жыл бұрын
@@achsahcharles6728 wewe ni bwege hujielewi
@masikitikomwakyonde1259
@masikitikomwakyonde1259 Жыл бұрын
Safi kabisa. Mua maisha ya kukuamini kwenye Ukweli safi sana polisi hayo ni mavazi tu IPO cku utavaa nguo ya kawaida maisha yanabadilika mwache MUNGU aitwe MUNGU
@martintssoray5352
@martintssoray5352 Жыл бұрын
Huyu jamaa apewe pia ulinzi na serikali kagusa sehemu nyeti sana
@richkinji2583
@richkinji2583 Жыл бұрын
R.I.P JPM Mungu akufanyie wepesi huko uliko Mkuu wetu
@bigdad1816
@bigdad1816 Жыл бұрын
Rest in peace Peace Mjomba ulisema mtanikumbuka wamekuita majina Mengi lakini Mungu Yupo Leo ulijaribu kuirudisha nchi kwenye misingi Leo walijaribu kuku sabotage today Nchi imeoza imeoza Rest in peace the true son of Africa a True muchwezi Rest in peace Magufuri.
@magembekisabo9632
@magembekisabo9632 Жыл бұрын
Mfuate. Kwani hii mifumo ya kufilisi wafanyabiashara ilianza Kwa nani?
@zaharahassan-et7ui
@zaharahassan-et7ui Жыл бұрын
​@@magembekisabo9632 Kimekuumaeeee
@zeralucyntazimila6600
@zeralucyntazimila6600 Жыл бұрын
​@@zaharahassan-et7ui tena kimemuuma sana
@hassanihussein4479
@hassanihussein4479 Жыл бұрын
Kati watu wapumbavu ktk hii Dunia basi watanzania ni wapumbavu wakati Magufuli yupo hai si mlikuwa munamtukana mpk ikafika sehem Magufuli anasema malaika ikatokea anashuka basi atamuambia kitu ambacho anatk ktk hiii Dunia kifutwe basi ni mitandao na kasem mitandao kwa sababu mlikuwa mkitukn na leo hii hyp leo hii mwasem mnamkumbuka
@georgemaganga3804
@georgemaganga3804 Жыл бұрын
Huyu kaeleza ukweli sana na huo ndiyo mwanzo wa nchi yetu kuyumba kiuchumi.
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Kiongozi wetu Majaliwa hakika umejaliwa. Tunakuombea Mungu akulinde baba yetu mpz. Yaani ni kweli kufanya kazi na Uganda ni simple kuliko hapa kwetu. Yaani corruption imezidi jamani
@allykimeru944
@allykimeru944 Жыл бұрын
Daah uyu Muha apewe ulinzi, Kisha apewe 🍀🌼🏵️🌺🌷💐yake
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 Жыл бұрын
Awa Tra wanapenda rushwa sana, yaani washenzi, wasumbufu kote Airport Bandarini Boder,
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 Жыл бұрын
Uwanja wa ndege ni balaaa😭😭😭😭😭😭😭😭 jamani hata vi toy vya kuchezea watoto vikija kama zawadi wanatoza kod 🥹🥹🥹
@rosemongi5273
@rosemongi5273 Жыл бұрын
Tunakukumbuka J,PM, na mwenyezi mungu mwenye kurehemu tunaomba urehemu Tanzania.😢😢
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
😂😂😂😂 muha oyeee
@richardmuyango9157
@richardmuyango9157 Жыл бұрын
Oyeeeeeee
@soberhousetv2245
@soberhousetv2245 Жыл бұрын
Muha kafunguka duh
@thatboywithakeyboard9292
@thatboywithakeyboard9292 Жыл бұрын
Mama Akimaliza Kasim Aongoze, Father PM Yupo na Usikivu sana.
@olomympwa4211
@olomympwa4211 Жыл бұрын
From the bottom of his heart fazaaa kaongea kwa uchungu sana
@majidimussa8678
@majidimussa8678 Жыл бұрын
Dah!,umeongea kwa uchungu kaka inauma sana Aisee
@nassorntandu4513
@nassorntandu4513 Жыл бұрын
Inaumiza Sana! Wizi mtupu kwa watu wanyonge!
@zahramoo4760
@zahramoo4760 Жыл бұрын
Hawana adabu hataaaa chembeeee
@salha6596
@salha6596 Жыл бұрын
Apo angekuepo magu angetumbua Leo Leo 😭😭😭😭
@addo1899
@addo1899 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@partnersah8802
@partnersah8802 Жыл бұрын
Great speech.... Ila watu wa Kigoma wanafanana kuongea nikimsikiliza huyu namsikia Baba Levo kwa mbaaaaaali 😂
@samionmdogo520
@samionmdogo520 Жыл бұрын
😁😁sure 😃
@magokola2376
@magokola2376 Жыл бұрын
watu watakuja kuipindua hii nchi kama matani
@nitumesokoni3164
@nitumesokoni3164 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@isayajustin
@isayajustin Жыл бұрын
Nasemajeeh muhaaa kuvurugwa leo
@Jeff_Tz
@Jeff_Tz Жыл бұрын
Huyu Muha aliongea kwa uchungu sanaaa
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Wezi sana hawa TRA! Kiboko yao alikuwa Magufuli.
@rabwarab574
@rabwarab574 Жыл бұрын
Brother k noma sana😅😅
@fahminasser3855
@fahminasser3855 Жыл бұрын
Hii nchi inapoteza mapato mingi sana kwa sbb ya watumishi wa TRA na polisi tanzani pia wanachangia wao hawaangalii kazi yao wao wanashirikiana na TRA kutesa watu na kuwachukulia pesa kwa sbb ya dhamana ya kazi zao ni tatizo sugu hili katila hii nchi
@fredymwinuka5133
@fredymwinuka5133 Жыл бұрын
Safi sana kaka umenisemea hadi pa kwangu👍👍
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 Жыл бұрын
Muhakikishien usalama wake huyu baba jamani anaongea point sana TRA ndo habar zao
@eminenceboy8386
@eminenceboy8386 Жыл бұрын
Huyu brother k au 👏👏👏👏
@elishapaul9423
@elishapaul9423 Жыл бұрын
Muhaaaaaaa saf sanaaaaa waseme bn wamezd hawatoshek
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 Жыл бұрын
Hongera Sana Muha umeongea vizuri bila kuficha chochote uliyokuwa nayo moyoni yote umeyatapika ili yaweze kufanyiwa kazi na waziri mkuu.Mungu akulinde akukinge na watu wote walio kinyume na kile ulichokiongea .
@jacksonjamesndyabawe495
@jacksonjamesndyabawe495 Жыл бұрын
Mzee umeongea ukweli Sana.. Mungu Akulinde na hili swala lichukuliwe hatua
@masaimollel2525
@masaimollel2525 Жыл бұрын
Nakuomba sana mh.waziri mkuu upitie na maliasili kule Kuna huozo mkubwa sana.. km kweli unasali na unapenda haki pita maliahasili uone yanayowakuta watu wa mkaa.. na kma serikali hamtaki watu wakate mkaa pls kuweni wakweli tangazeni tuu hakuna kukata mkaa. Kuliko mnachukua ushuru wa watanzani alaf bado vikwazo kibaooo yaaan.. yaan Hao Vijana mnaowapa madaraka hawajui maisha ni nn,wamesomeshwa na Ada zetu hawajapitia msoto wowote wanakuja kutunyanyasa,watu wanateseka porin wanakuja kushusha mkaa wanabaki nao kwa kweli ipo Mungu atawalipa ianuma sana
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 Жыл бұрын
Inasikitisha sana
@vumiliamtakati-zd3nc
@vumiliamtakati-zd3nc Жыл бұрын
Aiseeee inauma sanaaa
@victormneney1307
@victormneney1307 Жыл бұрын
Magufuli angekwepo simu inapigwa chap simamisha takukuru kamata waziri chini weka mwingine 🇹🇿 twende mbele
@addo1899
@addo1899 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 Жыл бұрын
Fanyeni mpango ile nidhamu ya woga irudi tu, iliondoa kwa kiwango kikubwa haya mazingira ya rushwa na rushwa maofini. Sasa hivi kuna mahali tumerudi na watu hawakubali sababu walishaanza kusahau shida kama hizo.
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Onaona eeeeh! Watu waliomchukia Magu na kuna wanaomchukia hadi Leo, lakini Mimi nasema Tanzania tunahitaji kiongozi kama yeye, yaani sasa hivi mambo ya hovyoo kabisa. Badala ya kuwakaba koo wenye vipato vikubwa wanawaonea watu wenye vipato vya chini na rushwa imeshamili bila aibu. Mama awe mkali. Bora wawe na nidhamu ya woga lakini haki itendeke kuliko kukaa kuoneana kama huku.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Kuna wapuuzi eti hawaoni kazi aliyofanya Magufuli. Nidhamu ilikuwepo nchini hivi sasa rushwa kuliko kokote.
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
Magufuli alikuwa dawa ya haya mambo
@owoyesigirehannington6822
@owoyesigirehannington6822 Жыл бұрын
Uganda ni tambararee kweli
@israelimjema4573
@israelimjema4573 Жыл бұрын
Viongozi wetu jaribuni kusikiliza nawanchi vizuri. Niwasomi sana wako mitaani wanashuka point
@danniellussendela4382
@danniellussendela4382 Жыл бұрын
Huyu muha kweli
@Binti-wakinyakyusa
@Binti-wakinyakyusa Жыл бұрын
Rushwa ni jipu kwa taifa!!
@vedastamalekela8711
@vedastamalekela8711 Жыл бұрын
Mama upo vzr Sana unaangaika kuleta wawekezaji lakini watendaji wall wanakuangusha fukuza mfano wafanya biashara wa kigoma ,mwanza wanaeda Uganda tunakosa Kodi
@erickmsaki9383
@erickmsaki9383 Жыл бұрын
Uganda ni Tambarare kbsa unapata POSHO in muha's voice
@geladjuma6897
@geladjuma6897 Жыл бұрын
Mpeni mauwa yake muha og
@aronjmabindo8544
@aronjmabindo8544 Жыл бұрын
Polisi wa tanzania ni wanadiasa wa ccm sio walizi wa raia wa tanzania hawaijui kazi yao masikini mungu awasamehe
@priscajackson240
@priscajackson240 Жыл бұрын
Hata mza tunasumbuliwa na asikari
@SALIMUmshaharaMshahara-zb1qd
@SALIMUmshaharaMshahara-zb1qd Жыл бұрын
Mm naitwa Salimu nipo Tanga tulikamatiwa mizigo ikapelekwa KIPATA rushwa MILIONI 1 na laki nane na RISITI ninazo za MZIGO
@nairathamad2584
@nairathamad2584 Жыл бұрын
Roho Imeniuma kwakwel 😙
@fredrickmandia1741
@fredrickmandia1741 Жыл бұрын
Hapa ndio tunamkumbuka magufuli kwakwel R.I.P Joseph.P.Magufuli
@isaacphilemon5599
@isaacphilemon5599 Жыл бұрын
Waziri mkuu anatamani kutoa maamuzi maguma kama ya JPM lakini anakumbuka ambaye yupo juu yake kwa sasa siyo kama Magu,anaamua kuumia na kulia rohoni harafu anayaacha yapite hivohivo.,😭😭😭
@LudelemulaMabula-cn3mw
@LudelemulaMabula-cn3mw Жыл бұрын
Uyo ndo kanyasha maneno
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
Askar Wa Tz wanyonyaji sana Kiukwel wanachosha yani atakudai risit ukimpa analeta lingine ilimradi tu apate Ela dhambi yenu inaandikwa mbinguni mtailipia tu
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 Жыл бұрын
Apew ulinz 💪💪💪👍👍
@maherzain2555
@maherzain2555 Жыл бұрын
Pale DIT kwenye mataa kuna askari wapumbavu sana, baada ya kuwapa risiti wakaomba kitambulisho cha taifa nilivowapa wakaleta sababu hazieleweki, ilimradi kutengeneza mazingira ya rushwa...baada yakuona namchelewesha niliyekodi usafiri kwake ikabidi niwape hela niondoke, pia wakasema hela haitoshi ukilinganisha na mzigo niliyonao baadae wakakubali ila wanatesa Sana wafanya biashara na hakuna pakusemea
@damianimarusu721
@damianimarusu721 Жыл бұрын
P
@damianimarusu721
@damianimarusu721 Жыл бұрын
Pp P
@kazikazini1042
@kazikazini1042 Жыл бұрын
Force number
@ikouwasi7644
@ikouwasi7644 Жыл бұрын
eti ikabidi niwape hela kidogo yaani mnatoa rushwa badae mnalalamika kwa nini utoe pesa wakati kila kitu unacho
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 Жыл бұрын
​@@ikouwasi7644 unaongea tu kwakua hayajakukuta, we kaa kimya tu
@bensonjr4879
@bensonjr4879 Жыл бұрын
Rest in Peace Magufuli we Missing you
@danielhumphreykileo1043
@danielhumphreykileo1043 Жыл бұрын
100% i miss him
@barnabasmafuru6735
@barnabasmafuru6735 Жыл бұрын
Inabidi itokee sikumoja anapigwa risasi hata wawilii wafe kaa wezi ndio watajielewaa
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 Жыл бұрын
Mungu awasaidie watz kweli kuna uonevu sana
@sekelamwasomola1864
@sekelamwasomola1864 Жыл бұрын
Kweli watu wamechoka hii serikali hapana angekuwepo mwamba hao viongozi wangeisoma
@stevensimtowe
@stevensimtowe Жыл бұрын
Aya mambo nilyamiss sana jamani,Yani kama vile namuona Jpm kasimama apo anawasikikiza,,ila najiuliza kwanini uyu mama na yeye asingekuja apo asikilize ili tuone ujasiri wake jamani
@user-up1pp5is3z
@user-up1pp5is3z Жыл бұрын
Baba jpm uko wapi jamanii????yan hakika tunakukumbuka pumzika kwa aman ule muozo uliokuwa una piga vita ndo huu baba
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj Жыл бұрын
Muha nimekupenda❤❤
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 Жыл бұрын
Wasafi bwana eti Muha 🤣🤣kwa hiyo kulikuwa na wafanyabiashara na Muha
@dn.n4983
@dn.n4983 Жыл бұрын
Kweli sumu taifa inabudi warekebishwe uganda itapanda juu kweli mbaya
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 Жыл бұрын
Sema baba
@user-es6wx3dh6z
@user-es6wx3dh6z Жыл бұрын
Greatness isn't about protecting yourself from people. It's about being accepted by people that's the best leader.
@anordgerison8639
@anordgerison8639 Жыл бұрын
Proudly to be a man from KIGOMA capital 🔥🔥🔥🌟
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 Жыл бұрын
Nacheka tu yani Enzo ya magu sasaiv wote hao hawanakazi
@rahimadam662
@rahimadam662 Жыл бұрын
MUHA kachachamaaa anakwambia Hilo ni Hiloo
@mwaiphamkuruto1087
@mwaiphamkuruto1087 Жыл бұрын
Kama angelikuwa Maguu hapo tumbua hapo hapo huyo mzee alikuwa kiboko from *254
@stanleynombwe4865
@stanleynombwe4865 Жыл бұрын
Japokuwa sifanyii biashara dar Ila imenikela vibaya
@wasaficlassicshoes
@wasaficlassicshoes Жыл бұрын
Kimewaka💯💯💯💯💯💯💪💪💪💪💪💪
@andrewemanuel2213
@andrewemanuel2213 Жыл бұрын
Hongera baba umeongea point kabixa maana mikoani tunalipa tra na tuna tni lakini ukienda dar kweli ni xumu
@TheSalma1999
@TheSalma1999 Жыл бұрын
Tanzania ni nchi ya ovyo sana sio hata ya kukaa sasa huku ulaya ovyo Tanzania ovyo tunaenda wapi jamani kha
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa polisi .na tra... Wapi kwa wapi
@DealDeskPro
@DealDeskPro Жыл бұрын
TRA wamezidi sana, iko siku tutawatoa baruti kama wezi, kunyanyasana kumezidi sana yaani..
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Hapa ndo namkumbuka Magufuli aisee
@husseinmagari3245
@husseinmagari3245 Жыл бұрын
sema port polis tra ndiyo chanzo cha kuzolotesha mapato ya nch wanafaidika wao tu na familiya zao
@jumamavind7713
@jumamavind7713 Жыл бұрын
TRA tatizo katika nchi hii waalaniwe hawa watu
@peterkissiry6432
@peterkissiry6432 Жыл бұрын
Ongea poti ndugu yangu hakia'mungu
@agnesssanga6544
@agnesssanga6544 Жыл бұрын
Police na mambo ya TRA wapi na wapi😂😂😂😂
@thenthesecretrevealedministry
@thenthesecretrevealedministry Жыл бұрын
Nani amempa Muha 🎤
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 Жыл бұрын
Nchi Ishakuwaa Shamba La Bibi Saiv R.I.P NGOSHA MAGUFURI
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Жыл бұрын
Watumwa wa magufuli mnakera kwa mini hammfuati huko aliko mkashitaki?
@brendajulius2995
@brendajulius2995 Жыл бұрын
​@@marcokaroje8980 wivu mpka kwa marehemu duh😅😅😅 ndo washamsifia ka hupendi Kanye boga Fala wewe
@danieldm92
@danieldm92 Жыл бұрын
Ahsante sana mdogo wake brother K.
@raymonddaud9835
@raymonddaud9835 Жыл бұрын
Ungechelewaa angeenda na maiki, Mha kachukia kwelii
@yusufwazili5359
@yusufwazili5359 Жыл бұрын
Mmhh!!! Ya kaisali,,,ya mungu mpe mungu,,hii nchi ngumu,,watawala wanapitiliza kutawala,,hadi wanajiona wao ndiyo watu wengine siyo watu,,,
@ramadhanisalum7547
@ramadhanisalum7547 Жыл бұрын
Tatizo ata tukimwambia wazili mkuu ana meno sikuizi sijui nini tatizo aya maneno ndo yameishia hapo hapo
@raphaelmlewa1901
@raphaelmlewa1901 Жыл бұрын
Shida inakuja kila mtu anae enda kufanya kazi TRA anataka kua na maisha ya juu na hii dhana imeharibu wanao ajiriwa
@danielshauri9054
@danielshauri9054 Жыл бұрын
Ukweli wanatunyoosha
@user-bb3lf6sr3r
@user-bb3lf6sr3r Жыл бұрын
Nafikiri mama inabidi atengue kauli yake ya kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake..!
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 Жыл бұрын
😜😂😂😂😂😜
@PLAYPROGAMING568K
@PLAYPROGAMING568K Жыл бұрын
Please given security this transportation guy otherwise he will been in troubles with this tra and police officer dear we requested mp 😢
@magangiralucas6516
@magangiralucas6516 Жыл бұрын
Ao dawa yao kichapo tu wapgwe visu matapel majambazi ao so kuwachekea wafilisi wapgwe washazoea mmbwa mm ao napga lisasi
@ezeedi871
@ezeedi871 Жыл бұрын
Mm huwa nashangaa sana kwann kwetu kodi ziwe kubwa Sana kuliko nchi nyingine wakat bandar asilimia kubwa wanatumia bandari yetu??
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funny
00:47
SKITS
Рет қаралды 19 МЛН
Советы на всё лето 4 @postworkllc
00:23
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 50 МЛН
الذرة أنقذت حياتي🌽😱
00:27
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 11 МЛН
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funny
00:47
SKITS
Рет қаралды 19 МЛН