MWIJAKU AKUTANA NA KISANGA CHA KUMPA MIMBA MWANAMKE / AKIMBILIA POLICE

  Рет қаралды 307,487

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

MWIJAKU AKUTANA NA KISANGA CHA KUMPA MIMBA MWANAMKE / AKIMBILIA POLICE
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 587
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg Жыл бұрын
Kitu napenda kuhus mwijaku he’s always proud of his wife Mashallah 🥰
@kbmsouth
@kbmsouth Жыл бұрын
Dada ang VING’AST wote ndyo style zao dada ang ILA huyu yuko REALLY kwa MKEWE .
@rahmaalphonce7684
@rahmaalphonce7684 11 ай бұрын
Always proud of his wife or proud of her money?!!
@rukiyanaeba7894
@rukiyanaeba7894 11 ай бұрын
Is a good man ❤❤❤❤
@zuenampandeni3347
@zuenampandeni3347 11 ай бұрын
anaajiosha tu, si ndiio alimdhalilisha dada wa watu
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Ай бұрын
Kbs yan hat hakiwa malaya ila mkewe❤❤mbele kwa mbele
@benboyburundi2429
@benboyburundi2429 Жыл бұрын
Alafu izi siku unauwa Sana Sanya kama unakubali Gong link apa love from🇧🇮
@georgeascona5457
@georgeascona5457 Жыл бұрын
huyu dada ni mwigizaji mzuri sanaaa aendeleze kipaji chake
@LeylatVlogs
@LeylatVlogs Жыл бұрын
Dada ni 🔥🔥🔥anajua anajua na anajua tena
@jaylazorschannel5681
@jaylazorschannel5681 Жыл бұрын
Mwijaku is a good Actor😂😂😂
@shabanibosss9151
@shabanibosss9151 11 ай бұрын
😁
@sein.208
@sein.208 Жыл бұрын
Masha Allah Kaka anajielewa sana Mwjk Allah akuongoze zaidi
@ziadamauwa4196
@ziadamauwa4196 Жыл бұрын
Mwijaku kalamba maziwa ya papa 😂😂😂😂😂
@OnlyRuky
@OnlyRuky Жыл бұрын
Ahahahhahaahha hatimayee kapatikana😂😂😂😂😂😂😂😂 Alafu dada mrembooo check miguu yake🔥🔥🔥🔥
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 Жыл бұрын
Maisha ya mwijaku huyu bhana, ni kama wavuta bangi kabisa!
@abbashussein-hz4dr
@abbashussein-hz4dr Жыл бұрын
Yote tisa huyu dada anajua kuigiza bongo movie wamuone jamani😂😂😂😂
@naomimavura2239
@naomimavura2239 Жыл бұрын
Sanaa
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Жыл бұрын
Sanaa
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын
Mwijaku shehe wa mchongo😂😂😂😂
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
Eti yeye hawezi kuonana na nguo ya uchi lakini hao anaohangaika nao ni uchi mtupu
@godloveemanuel1417
@godloveemanuel1417 Жыл бұрын
😂😂😂 Mdada yuko vizur alafu pia mzuri na sauti nzuri
@Igweezysirleem
@Igweezysirleem Жыл бұрын
Mko vizuri kuigiza jama mpo serious kama kweli vile😂😂😂😂
@shaababy2570
@shaababy2570 Жыл бұрын
Mwijaku kasema hawezi, kumuanglia sababu hjajistir 😂😂😂ikabid avue miwani
@Makenzisana
@Makenzisana 3 ай бұрын
Ila mwijaku😅
@way9tv821
@way9tv821 Жыл бұрын
Kama na wew umegundua motown Sanya kashindwa kuwa serious kwa mwijaku gonga like tujuanee😂😂😂😂😂😂
@mnyamwezijuma1140
@mnyamwezijuma1140 Жыл бұрын
😅
@user-py6mn1uq7z
@user-py6mn1uq7z Жыл бұрын
Tatizo mwijaku ana chamba sana ndo maana Motown sanya akawa hayupo serious
@hassansaul7098
@hassansaul7098 Жыл бұрын
Mzee kwa mwijaku ni muongeaji sana Kisha ni mtangazaji anauzowefu sana, anaemuwez ni Babalevo tu😅, wa
@officialkamdudu
@officialkamdudu Жыл бұрын
like unazipeleka wapi kenge wewe ? acha ushamba 😏
@saidseleman2829
@saidseleman2829 Жыл бұрын
Jaman na mm sija chelewa sana kipindi cha leo nipeni like zangu
@makenaOG
@makenaOG Жыл бұрын
Kwani ulikuwa umetupa tukuekee hizo "like" unazodai
@saidseleman2829
@saidseleman2829 Жыл бұрын
@@makenaOG Watakao towa watatowa Kam we unaona vp kausha
@makenaOG
@makenaOG Жыл бұрын
@@saidseleman2829 basi twambieni mwazifanyia nini coz kila mmoja "nipeni likes zangu"
@officialkamdudu
@officialkamdudu Жыл бұрын
yaani mwanaume unaomba like hata aibu huna ? like unazipeleka wapi kenge wewe ? acha ushamba 😏
@adamsegeja875
@adamsegeja875 Жыл бұрын
@@makenaOG nambiee my
@dannykatahunga5452
@dannykatahunga5452 Жыл бұрын
Kwakweli Sanya nakubali mwijaku umemuweza kabisa😂
@umfahad2609
@umfahad2609 Жыл бұрын
Mwijaku anaogopa msimuache peke yake. Acje akaolewa. 😂😂😂😂😂
@sampachino5184
@sampachino5184 Жыл бұрын
Dada apo unatakiwa ujiengeze ndio ushajulikana usipoyeze nafasi iyo ❤❤❤
@user-em3uf8wz6r
@user-em3uf8wz6r Жыл бұрын
Ahahhahaa
@lilyrose7983
@lilyrose7983 Жыл бұрын
Hivi kujulikana kunakusaidia nini?,Kutaka umaarufu Dunia lkn mbinguni hamna anae kujua inasaidia nn?
@buoliofficial
@buoliofficial Жыл бұрын
Mwijaku unapenda kufunga dah😢😢😢😢😢
@Officialkeeler
@Officialkeeler Жыл бұрын
😂😂 huyu jamaa leo kanichekesha kuliko siku zote dah Mwijaku
@shabanibosss9151
@shabanibosss9151 Жыл бұрын
Hivi ni kweli nimeipenda sana uwaga naalia anytime
@Life_of_collin
@Life_of_collin Жыл бұрын
This nigga mwijaku is a comedian ....this shit is funny asf 😂
@Jazzy_patternz
@Jazzy_patternz Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@nicolausmapunda9470
@nicolausmapunda9470 Жыл бұрын
Hahahqh mwijaku fara kweli hapa nina nini 😂😂😂😂😂😂😂
@yazidusaidi8843
@yazidusaidi8843 Жыл бұрын
Nataka nikutie ndani, namtia ndani, nataka nimtie ndani, watu kama wewe wanatakiwa watiwe ndani😀😃😁😆
@user-up1tb7sj2f
@user-up1tb7sj2f 6 ай бұрын
Ni mwendo wa kutiwa tyu
@dicksonmwita9263
@dicksonmwita9263 Жыл бұрын
😂😂😂 Hapa Nina nini in mwijaku's voice 😂😂
@IdrisaChambaty-dr1dx
@IdrisaChambaty-dr1dx Жыл бұрын
Hahahaha
@mnyamwezijuma1140
@mnyamwezijuma1140 Жыл бұрын
😂😂Sanya alivyo chungulia simu ya mwijaku sasa😂😂😂
@mrwadata34
@mrwadata34 Жыл бұрын
Wakuanza leo yani mwijaku 😂😂😂😂
@giddie_barnabas
@giddie_barnabas Жыл бұрын
Oya saiv unaua sana hii imeenda kwa ukubwa mno😂😂😂
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 Жыл бұрын
Nipeni izo like za kumuwahi sanya jaman
@meditation5min
@meditation5min Жыл бұрын
Mzeee Barton anapenda sana Polisi asee 😅😅😅
@shabaniddy9967
@shabaniddy9967 Жыл бұрын
Interview ni Ile TU Moja ambayo mwijaku kwa mara ya kwanza kufanya exclusive na wasafi but hii interview sio hit kama Ile
@nextchapterpro
@nextchapterpro Жыл бұрын
AAahahahaah Mwijaku ni Profesa! apewe maua yake
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 Жыл бұрын
Mwijaku hapo hata kama unachepuka mkewako hawezi amini lazima ajue uko pekeyako 😅😅😅😅😂😂😂
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k Жыл бұрын
Demu anajua 😂 ira na mwijaku yuko vizuri kujitetea
@felicianboss6953
@felicianboss6953 Жыл бұрын
😂😂😂😂ule msemo wa diamond umeingia cha kike 😂😂😂😅mwijaku nae kashaingia°°°🤣
@nyotajules1732
@nyotajules1732 Жыл бұрын
Mwijaku leo kapatikana ni cheka nyiyeeeeee😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤niipenda sana
@ummusuley9524
@ummusuley9524 Жыл бұрын
Watching you frm Kenya nawapenda wasafi group
@annievibes8794
@annievibes8794 Жыл бұрын
Mwijaku yupo cloud fm
@hassansammy1076
@hassansammy1076 Жыл бұрын
Mwijaku amekiri kweli amekamatika😂😂😂😂😂😂😂😂
@neemajob2905
@neemajob2905 Жыл бұрын
Mamae leo mwijaku kapatikana
@shabanibosss9151
@shabanibosss9151 Жыл бұрын
Mwijaku ni pumbe sana ni mwanaume Asiejielewa 😂😂
@ziadamauwa4196
@ziadamauwa4196 Жыл бұрын
Nikuwa naisubiri kwa makini sana 😂😂🥹
@gimdatdee1812
@gimdatdee1812 Жыл бұрын
so creative 😅😅🤣🤣
@danielimeshack3712
@danielimeshack3712 Жыл бұрын
😆😂😂😆😆 mamae chezea mwanamke wewe hatari sana
@JohnMahundi
@JohnMahundi Жыл бұрын
Nice....!🎉
@ibrahimsaid4263
@ibrahimsaid4263 Жыл бұрын
Na pochi lako la bei rahic😂😂😂😂 mwijaku ❤❤❤❤❤
@SaidHamisi-ng4pv
@SaidHamisi-ng4pv 4 ай бұрын
Motown mwambie mwijaku apunguz ujinga anaoufanya kwawatoto wakike .naitwa saidi hamissi from rwanda
@agathaabogast4598
@agathaabogast4598 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana nyie mwijaku kapatikana
@athumanfuko199
@athumanfuko199 Жыл бұрын
Amekazaaa mwishoo kaingia cha kike yani wakitikiswa kidogo wanakimbilia polisi😂😂😂😂
@Bongo.255
@Bongo.255 Жыл бұрын
Talented Sanya
@williamnsonda2070
@williamnsonda2070 Жыл бұрын
dada mzuri huyu kuliko mkeo mwinjaku,sema unafanya vizuri kweli kumsifia mkeo
@benymathew4277
@benymathew4277 Жыл бұрын
Siku hizi mnaigiza tu. Mo!! Binafsi siku hizi sioni kama kitu kipo ni serious. Naona mnapanga kwanza
@westcijosh
@westcijosh 10 ай бұрын
M mwenyewe siwaamini ni scripted hii kabsa
@willyjulius3304
@willyjulius3304 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂mwijaku kayakanyaga😂
@vicentmlumba591
@vicentmlumba591 Жыл бұрын
Alivo wahi simu kupigia police na kanzu yakooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
@saudalilingani9264
@saudalilingani9264 11 ай бұрын
Loool Mwijakuuuu pole sana, Leo umepatikanaaa
@mashiassenga8849
@mashiassenga8849 Жыл бұрын
Kubali umepatikana 😂😂😂😂😂
@Mbisamazembe
@Mbisamazembe Жыл бұрын
😅😅😅😅😂😂😂😂😂mwijaku kalamba maziwa ya papa
@clevermngao7565
@clevermngao7565 Жыл бұрын
Napenda sana kipindi chenu! Nimecheka sana 😅😅😂
@ahmadhassani3499
@ahmadhassani3499 Жыл бұрын
Kali sana next week noma
@tobiasjuma395
@tobiasjuma395 Жыл бұрын
Hii nimeipenda baba😂😂
@giftlema9478
@giftlema9478 Жыл бұрын
Kwl Content ya Leo mmekwama Wakuu Gar wakat mwanzo wakufungua Kipind Mo_town hamkuwona Gar ilo gar la mwijaku kule mwisho mkatoa Mmechomaa hii 😅😅😅😅😅😅😅😅
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 Жыл бұрын
Dada anasauti nzuri nimeipenda shogaangu 😊
@rogersiddy
@rogersiddy Жыл бұрын
😂😂😂😂hujamgusa wap wakati umemgusa😂😂😂😂
@shacool9627
@shacool9627 Жыл бұрын
kumbe alama ni muhimu kiasi iko😂
@user-vt4zc7by8j
@user-vt4zc7by8j Жыл бұрын
Tangia nikufatilie ktk kipnd chako SEMA Leo umeyumba bro ndomana wanageria wanatupita Sana boi plz work hard Om boi hapa umefeli seriously boi trust me pull up ur socks iyapa easy Sana nadhani umeniekewa
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Жыл бұрын
Unavyozungumzia wanageria kwani hichi kipindi ni chakuigiza movie au,hichi ni kipindi cha kuzibua akili mfano ukitokewa na kitu cha gafla utajipanga vip so acha kujiona waelewa sana
@mussamc641
@mussamc641 Жыл бұрын
Tulokua hatuna kaz kumbe ndo tunafatilia .maana kipind kipo siku zote. Iweje mwinjaku asishtuke au hafuatilii haya mambo.
@dannykatahunga5452
@dannykatahunga5452 Жыл бұрын
Napochilako la bei raisi meijaku weeeeee😂😂😂😂😂😂😂
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 Жыл бұрын
Dada yuko vizurii hebu Juwa kalii na Huba" wamuangaliee😂😂😂🙌 vipaji vipo vya serious kweli, Mwijaku kaingia cha kike" Sanya fanya nyengine tafuta mtoto umpeleke kwa Baba Levo Ajifanye ni mtoto wakee alimzaa nje ya ndoa kisha mtoto Akaze nakulia😂😂😂😂
@silasila3111
@silasila3111 Жыл бұрын
Ata Mimi naona ivyo
@LutfiaAlly-pw6yi
@LutfiaAlly-pw6yi 11 ай бұрын
Duh chakike
@madechambila6683
@madechambila6683 Жыл бұрын
HAHAAA MWIJAKU KAKAMATIKA HADI UNAKIMBILIA POLICE IMEKULA KWAKO
@eng.hamisim.maliki9133
@eng.hamisim.maliki9133 Жыл бұрын
Sikuhz uhalisia unapungua inaonyesha kabisa kuwa mnaigiza na watu wanapangwa..uhalisia unaanza kupotea
@MwitaJohn-rt4hu
@MwitaJohn-rt4hu Жыл бұрын
hongera kwa kipindi umetengeneza vizur
@emiryfaida2437
@emiryfaida2437 Жыл бұрын
Nimeipenda hiyo
@user-px3yf1mz7q
@user-px3yf1mz7q 10 ай бұрын
Daaaah mwijaku so bravo 🔥🔥🔥🔥🔥
@francoisbalebangasaid2443
@francoisbalebangasaid2443 Жыл бұрын
Haaaaaaa 😂😂😂😂😂😂 ni mependa Sana
@kibetyegon6281
@kibetyegon6281 Жыл бұрын
Dads hapa ameweza kuigiza ameweza
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 Жыл бұрын
Mwijaku utanivunja mbavu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@lilyrose7983
@lilyrose7983 Жыл бұрын
😂😂😂
@arushalivetv4021
@arushalivetv4021 Жыл бұрын
Huyo dada mzuri kinoma daah
@agnestemu8382
@agnestemu8382 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 dada wa watu mzuri hv alafu mwijaku analeta mdm
@deluxwoiso999
@deluxwoiso999 Жыл бұрын
Noma sanaa
@khadijarashidy9304
@khadijarashidy9304 Жыл бұрын
😂😂😂😂Ety hapa nina Alama gan mwijaku bhna huyu dada anajua kuigiza kuliko fahima
@crizeyaden6158
@crizeyaden6158 Жыл бұрын
Sophia ana mguu mzuri jamaniiii 😍🧐
@umfahad2609
@umfahad2609 Жыл бұрын
Sana. Namwenyewe ni mzuri sana. Mwijaku anajidai dio type yake. 😂😂😂😂
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm Жыл бұрын
wenye miguu mizuri wapo wengi sema wanajistiri tu
@ommy_king
@ommy_king Жыл бұрын
😂😂😂😂dah mwijaku
@mcgb5725
@mcgb5725 Жыл бұрын
Hivi n kwel .Mo Town sanya. 🔥
@nadildylan6124
@nadildylan6124 Жыл бұрын
sikuwahi kujua mwijaku uko smart sanaa
@FatimaFatima-xu2ff
@FatimaFatima-xu2ff Жыл бұрын
Mwijaku itabidi utuambie una nn apo😂😂
@yousouph8792
@yousouph8792 Жыл бұрын
Aisee mwijaku anafurahisha eti vidume sita dada anarekodi eti chagua hapoo🤣🤣🤣
@grangerbenjamin4241
@grangerbenjamin4241 Жыл бұрын
Show yake mostly inajulikana na wanajua watafanyiwa prank ni better watafute a way forward ya kuadvance hiyo scenario
@sportskijiwe781
@sportskijiwe781 Жыл бұрын
Hizi ni za past siku buying before kuitroduce style hii ya prank zamani haikuwa hivyo
@yussbreezy918
@yussbreezy918 11 ай бұрын
Hizi videos zilirekodiwa muda tu nyingi so sahv zinaachiwa ,hawapangwi hao
@adamelly6051
@adamelly6051 Жыл бұрын
Hahahhaha mwijaku ako smart sana anajielewa
@laxbtz9096
@laxbtz9096 Жыл бұрын
Wanaoamini kuwa hawa hawajui kuigizq gonga Like hapa
@januarymwingwa2962
@januarymwingwa2962 Жыл бұрын
Limwijaku lilikuwa dogoooo😂😂😂😂
@azizaawadh4439
@azizaawadh4439 Жыл бұрын
😂😂😂😂 mwinjaku kapatikana😅😅😅
@marlodemarlove9281
@marlodemarlove9281 Жыл бұрын
Kali kabisa 😂😂😂
@Nalitumpaboy-dm4tk
@Nalitumpaboy-dm4tk Жыл бұрын
Mwijaku ana alphald ipo pale afu kelele nyingi kwa mondi mwenye Rolls
@ebenezerchurchsupremetv9490
@ebenezerchurchsupremetv9490 Жыл бұрын
Umekamatwa vizuri san😂😂😂
@MikeFuraha-rw6dr
@MikeFuraha-rw6dr Жыл бұрын
Kuna sehemu dada anakosa uhalisia Kwa kucheka
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 Жыл бұрын
Halafu mwijaku anauliza tumekutana wapi? Akajibu sisemi kwenye media hahaha
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 Жыл бұрын
Nimecheka kwa Nguvu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz Ай бұрын
Nimeipenda iyoo
@manase_fast_courier
@manase_fast_courier 19 күн бұрын
Huyu dada ni actor mzuri sana…apate pa kufanya aseee
@user-uh3pq6uf1t
@user-uh3pq6uf1t Жыл бұрын
Sema content ya hichi kipind inazingua maan hawa wanapangwa wasanii wanakifatilia kila siku kipindi kwahivyo wanapoalikw wanajua kabis watakutan na hizi drama
@ElvisDavid-qn5vd
@ElvisDavid-qn5vd Жыл бұрын
Bora wew umeliona hilo
@ukhtysadabakari360
@ukhtysadabakari360 Жыл бұрын
Vipindi vyote vinavyotakiw kurushwa vinakuw vimeaharecodiw ndomaan wanakuw hawajui nini kitatokea
@yussbreezy918
@yussbreezy918 11 ай бұрын
Hivi vipind vili rekodiwa vingi muda tu kwahyo sas hv ndo wanapostiwa
@jafarykadinda6385
@jafarykadinda6385 Жыл бұрын
Aisee mo sanya ni 🔥🔥🔥
@sedrickmwimbi4089
@sedrickmwimbi4089 Жыл бұрын
Iyi Una weza ila tuna subiriya wewe na boss wako Diamond
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 56 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,3 МЛН
MAZUZU HAKUNA KUINGIA NDANI
5:22
mazuzu
Рет қаралды 70 М.
MWIJAKU ALIVYO PEWA PESA NA CHIEF GODLOVE, ONA VURUGU ZAKE
9:31
A young mother couldn't calm down her baby at the lesson #shorts
0:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 12 МЛН
ToRung short film: i sell watermelon🍉
0:38
ToRung
Рет қаралды 20 МЛН
Matt Kills Dexter's Deer | Dexter: New Blood S1E1 | #Shorts
0:51
Clashed PR
Рет қаралды 12 МЛН