MBOSSO AFUNGUKA UKWELI KUZAA NA ALIYEKUWA MKE WA ABDUL KIBA | BIG SUNDAY LIVE

  Рет қаралды 273,705

Wasafi Media

Wasafi Media

2 жыл бұрын

MBOSSO AFUNGUKA UKWELI KUZAA NA ALIYEKUWA MKE WA ABDUL KIBA | BIG SUNDAY LIVE
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 237
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Yaani dunia imezunguka mpaka inarudi enzi za ujahilia,kuzini siku hizi imekuwa kitu cha kawaida na kuzaa ovyo, imekuwa sifa,,Inna lilah waina ilayhi rajiun
@indirimbotv59
@indirimbotv59 Жыл бұрын
Wawesema ni fashon
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 Жыл бұрын
Huyu mbosso mwaka uliopita palitokezea kijana akasema yeye ni ndugu yake hata hakumtia mani Léo vile sifa za zina kajitengeneza kuzijibu inalilah wainailayhi radjioun. Mungu tupe mwisho mwema yarrabi🙏🙏🙏🙏🙏
@estheroyondi4908
@estheroyondi4908 2 жыл бұрын
Napenda story zako sana,,,mabiliani ilileta mtoto wa kike,,much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 2 жыл бұрын
sema Abdul aliojiwa na media moja hivi jamaa akamwambia kwamba mbosso amezaa na mtaraka wako aliumia sema alijikaza tu kiume inaonesha alikuwa bado anampenda mkewe na kama alisema ajampataraka hivi sema mboss ukumjua kweli jamani
@mamakeaisha4926
@mamakeaisha4926 2 жыл бұрын
Ivi Mwenyewe waona sifaaa???? Tena huna Ata waswas vijana wa kiislam tunaangamia jamaniii yarrab tusimamie na utupe ufahamu wa kufunguka akili turudi kwako inshaallah....
@japhetizo4613
@japhetizo4613 2 жыл бұрын
Noma sana naitwa japhetizo kutoka njombe kusin nafanya mziki ingiza youtb sachi japhetizo utapata ngoma zangu kali zote huko asante
@DJDOPEEPISODE
@DJDOPEEPISODE 2 жыл бұрын
He is good storyteller
@stuartkudeba
@stuartkudeba 2 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/ettggtqjnbbJkqs.html
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 Жыл бұрын
Pesa zimewachanganya hawa vijana mpaka wanamsahau . Mungu bora murudie. Mungu wenu kwani shetani anawapandia juu ya utosi😡😡😡😡😭😭
@asaadalbusaidi1870
@asaadalbusaidi1870 2 жыл бұрын
Tajiri wambegu nakubali😂😂
@mwigakatumpula5695
@mwigakatumpula5695 2 жыл бұрын
Kupenda ngono nisawa na kuendekeza sifa za kijinga maana mwisho wa siku unaibuka na ukimwi bure, umalaya sio dili vijana wekezeni kwa mungu inatosha sana 🙆🙆🙆😄
@mariamsaid4381
@mariamsaid4381 Жыл бұрын
Yaani having an unprotected set seems very normal to this guy... so unfortunate...
@mwajumabakari3730
@mwajumabakari3730 2 жыл бұрын
Jmn inawezekana ni kweli hakumfahau kwa mda huo mbosso ni star anakutana na watu wengi hasa wanawake
@naturalbeautynkatha5725
@naturalbeautynkatha5725 Жыл бұрын
Mbosso nampenda sana
@esthermoraa6648
@esthermoraa6648 2 жыл бұрын
Kumbe huyu kaka malaya kwel kwel kuliko boss wake mwenyewe 😂😂😂😂
@jumakassim8718
@jumakassim8718 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@jumasoli7818
@jumasoli7818 2 жыл бұрын
😅😅😅😅 wanaume wengi tupo hivyo maana nanynyi mmezdi kuwa warembo😅😅😅
@carinamatt1031
@carinamatt1031 2 жыл бұрын
Huyu hatari ana watoto balaa
@sophiahmedza929
@sophiahmedza929 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@ashuramzeru5982
@ashuramzeru5982 2 жыл бұрын
😂😂😂😂nimecheka sn
@shimadosun
@shimadosun 2 жыл бұрын
Mbosso 💞✨️
@zenassylvester125
@zenassylvester125 2 жыл бұрын
Hata Mimi simfaham mke wa Abdul kiba kwakwel na mwamba tumecheza mpira wote jangwan 😂
@jonathankasembi9217
@jonathankasembi9217 2 жыл бұрын
Huyo mdada alitaka kuzaa na wasanii ndo sababu Ivo alisubiri akijua siku zake ziko sawa Basi akaja kumsuoporti mbosso...kiufupi alipenda bengu damu za kiusanii
@saidwayawaya5356
@saidwayawaya5356 2 жыл бұрын
Mbosso ww sio msema kweli.
@zeinababdulla8137
@zeinababdulla8137 2 жыл бұрын
Hufai kujisifu machafu ulifanya kwa siri Mungu akakustiri leo wasema hadharani.hata umeulizwa hufai kusema mambo yako.Mungu alikustiri leo wajiumbuwa subhannallah.Allah atuongoze,owa kuzini madhambi saana
@neamusic2601
@neamusic2601 2 жыл бұрын
Umeongea vizuriii ndg yng.
@zeinababdulla8137
@zeinababdulla8137 2 жыл бұрын
Shukran
@neemazee1864
@neemazee1864 2 жыл бұрын
Naisi uwo ugonjwa wa kutetema umeambukizwa, umezidi umalaya!!!!
@khojaAfrique
@khojaAfrique 2 жыл бұрын
Wimbo Ya Harmonize "Wapo" inaongea mengi.
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 2 жыл бұрын
ETI HAKUJUA HUYO DEM ALIKUWA BIBI WA ABDUKIBA AWACHE UWONGO LAZIMA AWE ANAJUA JU ABDUKIBA ALIKUWA RAFIKI YAKE.
@khadijakdj8640
@khadijakdj8640 2 жыл бұрын
Yaani Ww unazalisha tu si owowe au ndo unazalisha wagumba dume la Taifa 🤣kwa umri ulionao kuja kufikisha 80 idadi ya wazazi wenziyo itakuwa wengi siyo vizuri
@OnyangoLucas
@OnyangoLucas 2 ай бұрын
Duuu mbosso kweliii napenda story zakooo😢😢😢😢
@Zahrazahra-ue7bp
@Zahrazahra-ue7bp 2 жыл бұрын
Yeye katupa watu wameokota achen kumuandama ata akizaanae ariomuacha ndio ajiurize aritaka afedheeke
@timochazze9845
@timochazze9845 2 жыл бұрын
Bili bili bili 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣❤❤❤
@mstaraabusantiago747
@mstaraabusantiago747 2 жыл бұрын
Sijui nmecheka nini🤣🤣🤣🤣 eti utashootia wapi🤣🤣🤣
@babyhamisi1437
@babyhamisi1437 2 жыл бұрын
Hii ni hatari sana kupata ugonjwa ni rahisi sana
@luganoromance8877
@luganoromance8877 2 жыл бұрын
🙏🙏
@minnahhassan2229
@minnahhassan2229 2 жыл бұрын
Naombaaa kuzaa na mbosso🙈🥰😅
@speroachpaulsen
@speroachpaulsen 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 2 жыл бұрын
Mikumi10 tena mboss
@Official83640
@Official83640 2 жыл бұрын
Sasa ndy unaona bora uzae nje ya ndoa kila mwanamke kuliko kuoa ukapata watoto wa ndoa muislam mzima basi utapewa watoto wengine wasiokuwa wako maana ushaona ufahari kuzaa hovyo acha wabebe mimba kwingine waje kukutegeshea ww uwalelee
@fatumajumanne5961
@fatumajumanne5961 2 жыл бұрын
Huo n umalaya unamwanamke ndan halafu unahangaika nnje.
@GoEunbeol_049
@GoEunbeol_049 2 жыл бұрын
Tajiri wa mbegu ,anawahonga na Wana 😂
@dorcaskemmy738
@dorcaskemmy738 2 жыл бұрын
Si kwa ubaya but 1hr enjoyment can lead a lifetime Arvs,cheza hiyo careful
@shadyaloaf8694
@shadyaloaf8694 Жыл бұрын
Yaani mbosso nakupenda bureeee
@ARAFATVSHOW
@ARAFATVSHOW 2 жыл бұрын
Manshallah ❤️
@barinesnanjala
@barinesnanjala Жыл бұрын
Manshallah
@azooclassic2543
@azooclassic2543 2 жыл бұрын
Khan unama scene mtu wangu😃😃😃😂
@zayanazayana5353
@zayanazayana5353 2 жыл бұрын
Kw hio dalili ya kuoa hamna nnachokushauri punguza bata kajitibu Gonjwa lko uje ufanye kazi kw bidii watoto 10 kusomesha Sio mchezo na huyo doctor kakudanganya" M'ke ndio kuzaa inakuwa hatar Sio M'me
@TwalibuMsharaba-xh5xz
@TwalibuMsharaba-xh5xz Жыл бұрын
Uwa nakukubali sana mdogo mbosso lakin kwa ili amna umezingua sana ulikuwa unajua tyu ata kama wameachana lakin unajua dem wa mwamba inakuwaje unachomchapia mwezako naww utachapiwa hivyo hivyo kwa md ambao utojua malipo hapa hapa
@aishahaji3128
@aishahaji3128 2 жыл бұрын
Mbosso ,wanangu ukihitaji biriani niambie nitakupikia tena tabu cyo za kisikuhizi
@THEMADOLLAHSHOW
@THEMADOLLAHSHOW 2 жыл бұрын
Mbosso my guy
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 2 жыл бұрын
Shikamoo mbosso
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 2 жыл бұрын
Eti mboso na wewe kidogo tu tayari
@jamesobedy3940
@jamesobedy3940 2 жыл бұрын
Mabiliani,😂😂😂😂😂
@merrysister5871
@merrysister5871 2 жыл бұрын
Unataka umsaidie kumlea😂😂😂
@queenlaty6788
@queenlaty6788 2 жыл бұрын
Wanawake na sie wapumbavu mtu anajinadi ivo alaf kunamwanamke atamvulia nguo kesho
@maryammwinyi932
@maryammwinyi932 Жыл бұрын
Yan wanawake tun akil mbov kwel😔😔😔
@hassansammy1076
@hassansammy1076 2 жыл бұрын
Mbosso biriani respect bro🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 2 жыл бұрын
African young boy never broke again.
@OMANOman-qc1lm
@OMANOman-qc1lm 2 жыл бұрын
lakini Safi sanaaaaaa mbosso dawa Yao ao madem wanajifanya wao wanataka kuwajua sana wanaume kila mwanaume wanata kulala nao iyo kazi Yao anae kuja karib yako piga mimba ukisha maliza kwaher sababu au awana maana kabisa utawatunza na kukaa nao vizuri lakini awaridhiki kabisa uko sahihi kabisa mbosso wanyosheeee
@khanniebaraka6047
@khanniebaraka6047 2 жыл бұрын
Kweli kabisa hatuna adabu
@andrewmmbaga1665
@andrewmmbaga1665 Жыл бұрын
🤣🤣🤣 tena chapa kwelikweli
@shaneshane4175
@shaneshane4175 2 жыл бұрын
Bas simuwe mngoja mtu aongee kuliko kuingilia kwajuu tena acheni ajieleze bas
@zena4746
@zena4746 2 жыл бұрын
Sasa akiza nae kunaubaya gani simwanamke 😀😀😀😀
@hassanmohammed3421
@hassanmohammed3421 2 жыл бұрын
Angemuowa ingekuwa vizuri zaidi
@zena4746
@zena4746 2 жыл бұрын
@@hassanmohammed3421 kuowa ninia nanimoyo pia brother sio kila mtu yupo tayari kuingia kwenye jihadi iyo ndoa ohoo wangine bado wapowapotu hata wanawake pia nivoivo ndoa ohooo nimamuzi makubwa sana
@hassanmohammed3421
@hassanmohammed3421 2 жыл бұрын
@@zena4746 basi wasizae zae tuu vitoto vya njee hata mtoto wenyewe akikuwa anajua kapatika kwa njia ya uzinzi tuu
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌ila mbosso 🤣🤣🤣🙌
@luendosabah2047
@luendosabah2047 2 жыл бұрын
Biliani Biliani
@janetahmed6948
@janetahmed6948 2 жыл бұрын
Mbosso mi shabiki yako rakini weye malaya sana tu utakuja kuugua ukimwi tu
@nasrahjumah6935
@nasrahjumah6935 2 жыл бұрын
Na kama anao je!!!
@salimumohammedsalimu1720
@salimumohammedsalimu1720 2 жыл бұрын
Nijambo baya saana kujidhulu nasfri kisha unaeleza ubaya ulofanya hakika mungu hapendi na vitendo hivyo vimekemewa kwa umma wa kiislam
@isaiahbaruani8849
@isaiahbaruani8849 Жыл бұрын
My gosh " biliani" is what really I need to know it literally
@maryndinda4864
@maryndinda4864 Жыл бұрын
Wasafi wanapenda gono kweli
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 2 ай бұрын
Uko sahihi mboso wanawake wengi wanachanganya wanaume
@stonnerke7901
@stonnerke7901 2 жыл бұрын
Mbosso story kibaooo kweliiiii🐵🐵
@daudimagendero4694
@daudimagendero4694 2 жыл бұрын
Wizara ya afya inakukumbusha msanii Mbosso kutumia condom kwa afya yako ',bado tunaman kuskiliza mzki wako maana unaimba vizur ahsant kwa kusoma
@marrymaganga8585
@marrymaganga8585 2 жыл бұрын
Kabisa
@sukariyao6537
@sukariyao6537 2 жыл бұрын
😨🤣🤣🤣🤣
@mwanahamisijaheka8078
@mwanahamisijaheka8078 2 жыл бұрын
good message
@mlenglewis1747
@mlenglewis1747 2 жыл бұрын
Wizara ya afya🤣🤣🤣😂
@nyamwinukankwera3749
@nyamwinukankwera3749 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣aaaah
@jeda1234
@jeda1234 2 жыл бұрын
Toba uwe na fikira hizo bor kuzini so vizur
@chipulavevo4441
@chipulavevo4441 Жыл бұрын
Diamond
@princessbim6096
@princessbim6096 2 жыл бұрын
Uowe sasa upate watoto wengine ndani ya ndoa
@kolethafabian2618
@kolethafabian2618 2 жыл бұрын
Story tamu.
@zarmussa2695
@zarmussa2695 Жыл бұрын
God
@nancykisero4604
@nancykisero4604 2 жыл бұрын
Kijana Malaya kushinda hata huyo boss wake Simba.
@farahanafarer7588
@farahanafarer7588 2 жыл бұрын
Yaani ni rahisi sana kupata Ukimwi nyie dhu. Sasa kwanini usioe wewe acha ujinga
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 2 жыл бұрын
Hii point🔥
@annievibes8794
@annievibes8794 2 жыл бұрын
Hao Freemason ndiyo wamempa hayo masharti muongo huyo
@MohammedAli-mf3ln
@MohammedAli-mf3ln 2 жыл бұрын
Unalaya tanzania ni nwingi sanaa hata ushoga nwingi hata issa katajwa
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
Hayo maradhi ya moyo kmbhutofanyia bidii, hata huko kuenjoy, hutoenjoy
@abuukamanda.s.mkenga6687
@abuukamanda.s.mkenga6687 2 жыл бұрын
Kweli we ni tajiry wa mbeggu🤣
@ARAFATVSHOW
@ARAFATVSHOW 2 жыл бұрын
Nimependa unavyo ugeya
@teddyelizabeth9358
@teddyelizabeth9358 2 жыл бұрын
Kajielezea vzuri sana😍😍😍😍
@siara7exclusivemedia
@siara7exclusivemedia 2 жыл бұрын
Mhuu Mambo
@pamanyango8917
@pamanyango8917 2 жыл бұрын
Kwani wewe mbosso na abdulkiba, mna testi moja kwa wanawake? Ndio tukio itoke kama Mara tatu, inamaana mna testi moja
@mnyamapaslee6111
@mnyamapaslee6111 2 жыл бұрын
Wakwanza leo
@PUKTTAMEDIA
@PUKTTAMEDIA 2 жыл бұрын
Wakuu Pitieni kwangu
@barakakatana5398
@barakakatana5398 Жыл бұрын
Baada ya Biryani Mbosso akaabiria
@khadijakdj8640
@khadijakdj8640 2 жыл бұрын
Kwahiyo ndo Maana unazalisha hivyo kisa wamesema madokita🤣je m/mungu ndo mpangaji
@zuqkazii
@zuqkazii 2 жыл бұрын
mbosso
@meallimwamoyo6524
@meallimwamoyo6524 Жыл бұрын
Mbona kigugumizi
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 2 жыл бұрын
hakuna watoto wa nje ya ndoa hawana baba ila tu muhusika wa mimba anafaa amsaidie mama mtoto majukumu acheni kupotosha vijana wa kislam zingatieni mipaka ya dini
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 2 жыл бұрын
"Watoto wa nje ya ndoa wapo kwa mujibu was sheria ya kiislam".Mipaka gani izingatiwe?
@emmadora7848
@emmadora7848 2 жыл бұрын
Hawana baba mbegu zao zimetoka kwa nyani?
@zubeidashabhan2188
@zubeidashabhan2188 2 жыл бұрын
@@emmadora7848 🤣🤣🤣🤣
@zubeidashabhan2188
@zubeidashabhan2188 2 жыл бұрын
@@emmadora7848 wanaharamu hao
@bettyshikoh6191
@bettyshikoh6191 Жыл бұрын
Mbosso ata mashairi yamuishe,atafanya comedy🤣🤣
@margaretnyamwilahila292
@margaretnyamwilahila292 Жыл бұрын
Huyu anafikiri ni sifa kuwa na watoto kila kona?? Kwanza haheshimu wanawake!! Jamaa mpuuzi sana!
@mhoranomuno7358
@mhoranomuno7358 2 жыл бұрын
Ila Mbosso anajua kuhadithia
@mishimwarabu1824
@mishimwarabu1824 2 жыл бұрын
😂😂😂😀😀waitwa waume
@pastorGentil1990
@pastorGentil1990 2 жыл бұрын
Mbosso zaasana pls Kama mngu amekujalia kuasaidia totoa baba
@fadyasnednassor
@fadyasnednassor 2 жыл бұрын
Basi hukumpenda km ungempenda usingejali kuhusu Kuwahi kuolewa kwake na Abdu you weren’t a man enough na yeye haina umuhimu kukwambia ameamua kuweka life style yake private Sio lazima aweke wazi Maisha ya zamani kwako coz that is her Past you Man up and be real Maana you aren’t real …
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 2 жыл бұрын
Hii ni aibu kweli kweli.
@estherkimario7940
@estherkimario7940 Жыл бұрын
Kwan yule mke wa abdukiba alofunga nae ndoa siku moja na Ali kiba walishaachana jaman
@mvumoextratv
@mvumoextratv 2 жыл бұрын
mabiliani hayo😂😂
@zennahmtoto1867
@zennahmtoto1867 2 жыл бұрын
Mabirianii😂😂😂😂😂😂😂😂
@officialgrace1844
@officialgrace1844 2 жыл бұрын
Please mwambieni mboso ana copy yake huku wanafanana sana
@binthkhamisi1097
@binthkhamisi1097 2 жыл бұрын
Alf mujulish kuwa yko na mtt wkiume tyumemyoan kafanana nae naende kushulikia damu yke...naende kuangalia mbengo Tv mtt kavaa su2 ya rangi y dongo...
@najimahgomez3334
@najimahgomez3334 2 жыл бұрын
Mmmmm kk wewe una mwaga tu eeeee
@farahanafarer7588
@farahanafarer7588 2 жыл бұрын
Muongo uliona ndoa kabisaa sii kweli weqe muongo kabisa acha ujinga inamaana hukuona Abdul alioa.Acha ushamba na ulimtumia DM ulinuaje
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 2 жыл бұрын
Usilazimishe ulichokiona et lazima nae aone🙄🙄
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 2 жыл бұрын
Mbona makasiriko😂
@duhrurhhddhheud8575
@duhrurhhddhheud8575 2 жыл бұрын
​@@TM.Sullusi Wanadhan kila mtu ana muda wa kufata ya watu
@ibrahsulley6962
@ibrahsulley6962 Жыл бұрын
Ukala biriani na mpishi wake😂🙌
@idatonymassawe
@idatonymassawe 2 жыл бұрын
Dem mtangazaji anashobo sna
@nurdinahmed9063
@nurdinahmed9063 2 жыл бұрын
Wcb majungu tu
@tatudevis6525
@tatudevis6525 2 жыл бұрын
Si mtuliye ww dada kiherere tulia
@daawatsalaftz1510
@daawatsalaftz1510 2 жыл бұрын
Mnajifanya wasaani vioo vya jamii kumbe ni Public Toilet
MBOSSO - "ASLAY ANATAKIWA APEWE HESHIMA KUBWA KWENYE MUZIKI"
13:45
Wasafi Media
Рет қаралды 653 М.
EXCLUSIVE |MBOSSO NA SIRI YA MAFANIKIO YAKE
14:01
Vimba Media
Рет қаралды 74 М.
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 89 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 204 МЛН
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 11 МЛН
Mbosso Arrives in Canada for his Upcoming Show
2:11
Konki Media
Рет қаралды 3,1 М.
❗️XOTINI HAMMASINI URMOQCHI 😱😱😱
0:14
HUSAN_SHORTS1
Рет қаралды 2,7 МЛН
КЕПКА КОМАРОВ
0:16
KINO KAIF
Рет қаралды 15 МЛН
这是王子儿子吗
0:27
落魄的王子
Рет қаралды 18 МЛН
Did you like the picture with my cat? #cat #cats
0:28
Prince Tom
Рет қаралды 5 МЛН
Anxiety panic attack (Inside Out Animation)
0:11
FASH
Рет қаралды 11 МЛН