No video

ALI KAMWE AMTETEA INJINIA HERSI, AMCHANA VIBAYA MAGOMA, AJIBU HOJA ZAKE

  Рет қаралды 31,967

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 133
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 Ай бұрын
Nikweli Mimi Leo Sikuwa Sawa Nimeonba Ruhusa Kazini Kwavile Siko Sawa.. Asante Sana Semaji..Allah Akuhifadhi Na Kilashari Fitna Zawaja Kwa Choyo...
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Ай бұрын
Umeswali Swala ya Asubuh Fajir
@SwediramadhaniJuma
@SwediramadhaniJuma Ай бұрын
Ally huna hoja mbele ya mzee magoma, unatetea ugali tu mpuuzi ww! Hy mzee anaijuwa yanga kabla hujazaliwa
@SurprisedAstronomicalMod-lp7eh
@SurprisedAstronomicalMod-lp7eh Ай бұрын
Huyo mzee yeye aliijulia wapi
@sulemanaman605
@sulemanaman605 Ай бұрын
Nan wa ovyoo 😂😂😂😂 mmeweka viongozi majambazi😂😂😂 magoma kawanyooshaa bisha kwa hoja dogo af ukumbuke uyo n baba ako😂😂😂
@vanemmy6043
@vanemmy6043 Ай бұрын
Kwenye taasisi ,weka ubaba pembeni😅
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc Ай бұрын
Mimi ni mkenya lakini NI mwana Yanga damu damu!!! Wazee watuwachie Yanga yetu! Yaani sisi huku diaspora tuko pamoja huko!!!
@EzekielGittu
@EzekielGittu Ай бұрын
Semaji upo vizuri sanaaaa kwa maelezo yako.
@mussandikumana3561
@mussandikumana3561 Ай бұрын
Ila tuu Manara kesi akifunguliwa watumike pamoja bila chuki ao maneno ya mambo yalio pita wewe Kama wale Bros wa Azam Hadji anaitajika (Oublier le passe )
@DulaMudi
@DulaMudi Ай бұрын
m semaji m somi ongea kaka
@MuslihiHassan-bi2nj
@MuslihiHassan-bi2nj Ай бұрын
Unatoa wapi NGUVU ya kupingana na mahakama
@SwediramadhaniJuma
@SwediramadhaniJuma Ай бұрын
Wewe kiazi kwel umekuja kutetea uozo, tuambie mahakama imeamuanini
@JohnMasonga
@JohnMasonga Ай бұрын
acha kuongea uongo na kudanganya watu ujui historia ya magoma na injinia wenu
@mckobatz5861
@mckobatz5861 Ай бұрын
Ali mdogo wangu tone yako tu inaonesha panics na hasira ndani yake ikumbukwe iliyotoa hukumu ni mahakama ukisema hoja zao ni za hovyo na watu ni wa hovyo means chombo kilichotoa haki kwa hoja za hovyo na chenyewe ni hovyo is that what you exactly mean? Vyema kujifunza kuwa calm kwenye changamoto zinapotokea makasiriko hajawahi leta suluhu sahihi
@SwediramadhaniJuma
@SwediramadhaniJuma Ай бұрын
Kama mlifanya marekebisho ya katiba mbn hamkuirudisha kwa wanachama Kama wanahaki.
@FrankCharles-gv5cs
@FrankCharles-gv5cs Ай бұрын
Hao wazee hawajitambui wazoea kutuludisha nyuma.Hii ni level nyingine tunataka mafanikio ss watuache vijana tufanye kazi.
@franccoz94
@franccoz94 Ай бұрын
WAZEE WA YANGA WAPEWEE TEAM YAO,ACHA JANJA JANJA
@likubaro7443
@likubaro7443 Ай бұрын
Jambo hili lilipelekwa muda mrefu Sana,mpaka leo mahakama wanataka hukumu ndio mnaona Kuna mamluki
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Ай бұрын
MZEE MAGOMA HAKUTAMBUI NYAMBAFU WEWE😅
@williammapunda1012
@williammapunda1012 Ай бұрын
Waache porojo wazingatie Sheria. Kumbuka unaposema hoja za hovyo maana yake MAHAKAMA ni ya hovyo. Waandishi hawataenda mahakani jipangeni kisheria
@user-sj2rw5ev2v
@user-sj2rw5ev2v Ай бұрын
Pimbi ww
@WakaliFashionTz
@WakaliFashionTz Ай бұрын
Hata mahakam ni ya hovyo unatoaje hukm Kwa Saini za kughushi
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Ай бұрын
We kaache kahangaike..kamesema wana Members elf 80 na kwenye Mkutano anasema walikuwa wamekidhi AKIDI..? huyu ni Bwege mtoto
@HajiMiraji-hn1dq
@HajiMiraji-hn1dq Ай бұрын
upo sawa kaka
@sulemanaman605
@sulemanaman605 Ай бұрын
Iv wew all kamwe unaakil kwahyo unakinzana na maaakamaa au umedharau au umekuja kujifunza kujibu
@sulemanaman605
@sulemanaman605 Ай бұрын
Mmebaka katiba
@veelmng7746
@veelmng7746 Ай бұрын
Ndiyo maana vyombo vya habari vingine hata sitaki kusikiliza mwandishi baada ya kuhoji na kuuliza maswali ya msingi anasikiliza umbea
@IsmailAthuman-tr1wr
@IsmailAthuman-tr1wr Ай бұрын
wewe una adabu namana unahizarau mahakma sindiyo
@IsmailAthuman-tr1wr
@IsmailAthuman-tr1wr Ай бұрын
na bado mpk mishipa ya mkundu isimame
@IsmailAthuman-tr1wr
@IsmailAthuman-tr1wr Ай бұрын
wewe wa rini unawazarau ao wazee sasa ngoja uwaone
@KhalidAlly-je8ky
@KhalidAlly-je8ky Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂kwetu furaha
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 Ай бұрын
Leo umekuwa mkweli mna wanacha elfu 80 tu hahahahahaaaaa
@EsteR-dt9iw
@EsteR-dt9iw Ай бұрын
Huyo mzee asiturudishe nyuma kwani iyo miaka minne iliyo pita hakuona tulivyo teseka? Leo tunakwenda vizuri anataka kutualibia atuachie yanga yetu
@emanwelmsuya7320
@emanwelmsuya7320 Ай бұрын
Ivikwanini watu hawapendi kuzungumza vitu vizuri ivi yanga ikikorofishana simba unafurahia yanisielewi hii
@user-lp2vw3oz8g
@user-lp2vw3oz8g Ай бұрын
Watuachie yanga yetu
@hamzayusuph6052
@hamzayusuph6052 Ай бұрын
Ukipenda kukaa katika MATAKO ya matajiri mengi yatakukuta,WEWE KENGE ALI KAMWE BADO MDOGO USITAKE WAPA HUZUNI YA MAISHA WAZAZI WAKO HUYO MZEE UNGEKUWA NA HEKIMA NA BUSARA HUYO NI UMRI WA WAKUBWA ZAKO KWENU UNAMWITA KAMA MTOTO MWENZIO BASI SUBIRI BACK BURST YAKE.
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 Ай бұрын
Wananchi wote hatuwezi kwenda Bungeni ndio maana kuna wawakilishi
@omarbaabad2706
@omarbaabad2706 Ай бұрын
Bahati hawa wazee wasasa wengi wao walikuwa wavuta bangi katika ujana wao Leo anaonekana Mzee kumbe nijitu la hovyo kabisa
@LovelyPipette-ew7lv
@LovelyPipette-ew7lv Ай бұрын
Wana yanga tupo pamoja kuiombea timu yetu pendwa hakika mungu atatushindia dhidi ya waovu.
@HawangaMohamed
@HawangaMohamed Ай бұрын
Inamaana bungeni tungeingia wananchi wote bungeni ndo maana kuna wawakilishi
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu Ай бұрын
Waawakilishi wa wap??rais gan anaye chaguliwa na watu watanoo??
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Ай бұрын
Huo ukumbi wa Bunge sijui ingekuwaje😅😅😂
@PacchaYassin
@PacchaYassin Ай бұрын
Anataka vile visent alivyokuwa anakula avifaid na sasa.
@IvanSaid-ef8tb
@IvanSaid-ef8tb Ай бұрын
Kwahyo wanachoma wote waende mkutanoni ukumbi upi Sasa utatosha mfano bungeni badala ya wabunge wananchi waende watatosha au utaratibu up
@IbniAbbas-yz3kt
@IbniAbbas-yz3kt Ай бұрын
Pamoja na yote ila isifikie hatua ya kumvunjia heshima mzee watu mana huyo ni kama baba yenu pia!mana nimeona wengi wenu hamna hoja bali ni mihemko na kukosa busara!huyo mzee mngemwita kwenye kamati zenu huko muyaongee kwa sababu huyo mzee sio chizi mpaka kufika huko alipofika!heshima ishike hatam hauwezi kumwita mzee wako ni mtu wa hovyo huko ni kukosa hadabu
@MaryMsenga
@MaryMsenga Ай бұрын
Ana miaka mingap yanga
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 Ай бұрын
Soka la bongo ovyo sana
@zakaria924
@zakaria924 Ай бұрын
Kuni zikiwaka huteketea na kugeuka kuwa majivu! Bundi katua na hizo ndiyo kasheshe zake!
@jumakuchele3624
@jumakuchele3624 Ай бұрын
Huyo magoma kumanina zake ataka kuturudisha nyuma kwenye mabakuri tulikotoka sisi hatutaki kuteseka kama mikia fc
@yassinhabibu
@yassinhabibu Ай бұрын
Hao wazee wa ovyo xana badala wawe watu wa maana ndo wanakuwa wa ovyo,nyie wazeee acheni njaa kama mlijisahau kutengenez maisha yenu ujanani Leo ndo mnakumbuka?,acheni njaa
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 Ай бұрын
Nyie angaikeni na mipira wenzenu huko wanapiga pesa
@MaryMsenga
@MaryMsenga Ай бұрын
Bora usemaji tumpe ommy wa dubai
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc Ай бұрын
Watu wa hovyo!!!! Semaji kama semaji!!! Leo semaji kacharuka mbaya!!!!
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 Ай бұрын
DUH! NJA ZINAWATESA HAWA ( ) WALIZOEA KUGAWANA VIJISENTI 😂😂😂😂😂😂
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 Ай бұрын
Muongo wewe huna Members elf 80 na uwe na Adabu kwa wazee wako..we ni mtoto mdogo sana kwenye Yanga...shauri yako..we idharau Busara utaona...but hata hiyo Katiba ulitakiwa uirudishe kwa Members waipitie..siyo kwa Kamati...acha kurukaruka
@user-hl9xu4vo1q
@user-hl9xu4vo1q Ай бұрын
Hao ndiy waliokiendesha maisha yao kupitia yanga, kumkataa Eris ni uchuzi
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 Ай бұрын
Madram kawashika tayari nyie nendeni mahakani kabla hawajakazia hukum haya mambo ni ya kisheria semaji
@user-yd1pc8uy8x
@user-yd1pc8uy8x Ай бұрын
Mpira una mahakama zake
@emmanuelnyakunga8320
@emmanuelnyakunga8320 Ай бұрын
Wazee walizoea Kutumika kama kamati ya Ufundi wameona saiv hawaitwi soka limekuwa la kitaalam mno kuliko walivokuwa wanatumika hao wazee kwakupiga Ndumba😂
@moneycreator5736
@moneycreator5736 Ай бұрын
Wazee wakacheze na wazee wenzao
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l Ай бұрын
BUNDI KAHAMIA JANGWANI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MrMatikiti_kudondoka
@MrMatikiti_kudondoka Ай бұрын
kahama na mamako
@omarbaabad2706
@omarbaabad2706 Ай бұрын
Huyu mtu dressing code yake inaonyesha wazi kabisa ni jitu ambalo halijitambui na hata huyu hakimu inaonyesha wazi hakutumia busara na yeye inaonyesha anajambo lake
@MaryMsenga
@MaryMsenga Ай бұрын
Au ndo Dubai
@SHERANasibu
@SHERANasibu Ай бұрын
Sis yanga tumeridhia kumpa tim mzee wetu mzee kagomaaa
@user-wb9gy2xx3p
@user-wb9gy2xx3p Ай бұрын
Anachomaanisha kuwa alikuwa na hoja za hovyo, kikundi cha watu wa hovyo yaani hadi wanasheria,karani wa mahakama na hakimu nao n wa hovyo
@user-yd1pc8uy8x
@user-yd1pc8uy8x Ай бұрын
Aliamuaje maswala ya mpira wakati caf wapo?
@user-zn5vu5yi1d
@user-zn5vu5yi1d Ай бұрын
Mbona serikali hawailalamikii kuhusu wabunge wachache kuwakilisha watu wengi?
@nurukimario-ob7dr
@nurukimario-ob7dr Ай бұрын
Aowazee wapuuuuz akilizao zipo kwawake zao awana akili awajajielewa bado ndowauni walio zeeka ao
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu Ай бұрын
Wew ondoka hujulikan kikatiba mbumbavu wew"tuachie yanga yetuuu!nani aliwachaguaa??
@MrMatikiti_kudondoka
@MrMatikiti_kudondoka Ай бұрын
unatombw na aliemtoa bikra mamako
@SurprisedFullMoon-gg9vu
@SurprisedFullMoon-gg9vu Ай бұрын
@@MrMatikiti_kudondoka takutomba kama nilivyo mfira mama yakooo
@shaameshaame2837
@shaameshaame2837 Ай бұрын
Simba mulichelewa. Timu ipo Avic na inasubir kuwashenyeta mungelianzisha kabla hatujasajili na kwa taarifa yenu mumelichokoza mtapigwa 10 huu msimu. Watu wenu wanaenda kifungoni kwa kosa la kuhushi sahihi ya mama mwenye heshima na jina lake
@FeydhullahTwalib
@FeydhullahTwalib Ай бұрын
Kelele za chura
@WilliamuPaulo
@WilliamuPaulo Ай бұрын
Upo.sswa ndugu chapeni kazi tupo nyuma yenu
@user-cr5jy8mk6r
@user-cr5jy8mk6r Ай бұрын
Nyinyi MAKOLO mwambieni MANGOMA aje klabuni kwenu kupiga ngoma hana lolote huyo hivi anafikiri uendeshaji club ni sawa na kuuza KAHAWA NA KASHATA huyo hata kama ni Mwanachama yeye na mwenzake wafukuzwe hawatufai waende huko waache UPUMBAVU
@YohanaMagembe-vz7rg
@YohanaMagembe-vz7rg Ай бұрын
Yaani mpaka mseme😂😂😂
@MrMatikiti_kudondoka
@MrMatikiti_kudondoka Ай бұрын
unatiw
@fadhiliabasi6585
@fadhiliabasi6585 Ай бұрын
IPO SIKU MAGOMA ATAELEWEKA LAKINI ITAKUA WAMECHELEWA
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Ай бұрын
Mkiambiwa usemaji kazi za watu mnabisha😊,,sasa huo mziki angeucheza manara aaah we ujanuna kabisa uko hapi.
@MonaMaiko
@MonaMaiko Ай бұрын
Katumwa huyo akome akome akome Israel mtoa roho huyo mangoma
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 Ай бұрын
Watu Nataka Nafasi Hiyo Ulio Kalia Aliy Kamwe Kama Hujuwi Na Mzungu Msuwali Yupo Nyuma Yao Wanakuonea Choyo Kuhusu Wandishi wahabari Wa Tanzania Wanapenda Unafiki Na Kufanya Fitna Hawana Mazungumzo Wala Hawajuwi Kumuhoji Mtu Wapo Wapo Tuu...
@MaryMsenga
@MaryMsenga Ай бұрын
Huyu dogo kakulia wapi ili tuangalie michezo alicheza
@Williammkandawile
@Williammkandawile Ай бұрын
Shower
@evaristgaspa6074
@evaristgaspa6074 Ай бұрын
Huyo mchawi
@JolotaErastoJuma
@JolotaErastoJuma Ай бұрын
SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ MAJILANI MKOWAP😢😢😅😅😂😂
@VictarKeya
@VictarKeya Ай бұрын
Alli kamwe akili aina unamtukana mzee wa watu anae kuzaa laana inakuadama mamake wewe ndio wa ovyo
@AminaAmina-cr8jq
@AminaAmina-cr8jq Ай бұрын
Huyo mxee akaongoze familia yake
@AbdulmarickLuhoma
@AbdulmarickLuhoma Ай бұрын
Muuwen uyo mpumbavu anaetaka kuivunja yanga
@IbrahimOmar-tu5tc
@IbrahimOmar-tu5tc Ай бұрын
Akaongoze familia yke kwanza yanga nguv moja
@YohanaMagembe-vz7rg
@YohanaMagembe-vz7rg Ай бұрын
Et yanga nguvu moja
@YohanaMagembe-vz7rg
@YohanaMagembe-vz7rg Ай бұрын
Daaa!!😂😂
@salumhamad
@salumhamad Ай бұрын
uhakik🎉
@sulemanaman605
@sulemanaman605 Ай бұрын
Mtajua nyie mmeweka vibaka watoke
@SylivesterKilunga
@SylivesterKilunga Ай бұрын
Wakati unafukuzia kazi yanga ulikua mwanachama wa yanga?
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 Ай бұрын
Acheni timu yetu
@RajabuMkonje
@RajabuMkonje Ай бұрын
Wakwanza wa hovyo niwewe unakula hunenepi ka mchawi
@nestoryMlenge
@nestoryMlenge Ай бұрын
Unareweka somaji
@user-nz8uq5lq6x
@user-nz8uq5lq6x Ай бұрын
Simba nyie acheni midogo
@NyabasindiRutayagi-q3i
@NyabasindiRutayagi-q3i Ай бұрын
Huyo katumwa na hataweza
@mrajani786
@mrajani786 Ай бұрын
Semaji nunua hao wawili kamamagoli matano
@LeonardNilongo
@LeonardNilongo Ай бұрын
Oya nachatak injinia habak
@experymassawe3521
@experymassawe3521 Ай бұрын
Unatetea ugali dogo kushabikia team sio, Sawa ita ovyo ila mahakama ndo walisha amua
@MrMatikiti_kudondoka
@MrMatikiti_kudondoka Ай бұрын
wameamua kulal na mamak
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 Ай бұрын
Nyamaza kimya wee mfungwa. Umepinduliwa na mahakama. Kama unaendelea kudharau mahakama utaenda keko kunyea debe.
@MuslihiHassan-bi2nj
@MuslihiHassan-bi2nj Ай бұрын
Unatetea ugali wako 😂
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 Ай бұрын
Na wewe si wewe ni njaa zako tu
@hassan-sarumbo
@hassan-sarumbo Ай бұрын
😂😂😂ubaya ubwera kumbe yanga mnqsiri na hamsemi
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA Ай бұрын
HAYA MAELEZO KAYATOE MAHAKAMANI
@user-id5oc7hm4n
@user-id5oc7hm4n Ай бұрын
We dogo2 unajua habari za wazee acha kuchongaa
@bakariiddy5387
@bakariiddy5387 Ай бұрын
Mwehu wewe huna hata kadi
@franklaurent216
@franklaurent216 Ай бұрын
Kawashika vibaya
@FeydhullahTwalib
@FeydhullahTwalib Ай бұрын
Kunanini unajua kulumbiza wewe
@RenatusFumbuka-gw4jo
@RenatusFumbuka-gw4jo Ай бұрын
Hayo maelezo mngetoa mahakamani
@Shabani-uz1sb
@Shabani-uz1sb Ай бұрын
Ww, Unatetea, Ugali, Hunaunachokijua, danganya, matutusa
@rizikylaizer1602
@rizikylaizer1602 Ай бұрын
Nenda mahakamani acha porojo😂😂
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA Ай бұрын
UKIZUNGUMZA OVYO KUHUSU MAHAKAMA NI UTOVU WA NIDHSMU KWA MAHAKAMA .....UNA WATUSI WAANDISHI WA HABARI
@AllyMwitu
@AllyMwitu Ай бұрын
Haahaha
@johnsonsamwel7207
@johnsonsamwel7207 Ай бұрын
Bwabwabwabwaaaaaaana bado,toka waachie wenye timu yao
@abdalahzungu6264
@abdalahzungu6264 Ай бұрын
Wanaojua kuzungumza wanazungumza mahakamani hapo unabweka tu kama jibwa koko
@user-pm7oe5gj8g
@user-pm7oe5gj8g Ай бұрын
Kwanini maelezo hamkuyatoa mahakamani? Sahv hata ukiongea sana haisaidii....
@barakagashaza8516
@barakagashaza8516 Ай бұрын
umesikiliza alichosema wakili wa yanga ???
@abdalahzungu6264
@abdalahzungu6264 Ай бұрын
Umezoe kumtukana na kumsemea hovyo baba yako sasa jiangalie usije kuitukana mahakama na maamuzi yake utakwenda jela,hiyo miwani yalo ya buku jero isikupe kiburi
@amanijampion3045
@amanijampion3045 Ай бұрын
Sasa mbona unaongea kwa kupanic. Ongea smart na nenda hoja kwa hoja. Pia usimkalipie kana kwamba ni mtoto
@PiusMnzajila
@PiusMnzajila Ай бұрын
Mm naambatana na Ali kamwe alicho kisema kwenye mkutano
@abdulrahmanramadhanabdul-wv1jb
@abdulrahmanramadhanabdul-wv1jb Ай бұрын
.....m .. .m😅😅😅
Raila's AUC Bid Launch: Tanzania President Samia Suluhu's speech
7:05
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 20 МЛН
OMG what happened??😳 filaretiki family✨ #social
01:00
Filaretiki
Рет қаралды 13 МЛН
Incredible Dog Rescues Kittens from Bus - Inspiring Story #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 27 МЛН
The Story Book: ''Tufanye Mapenzi Ufe '' Kisa Cha Tiger Jike.
36:53
Wasafi Media
Рет қаралды 320 М.
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 20 МЛН