Рет қаралды 30,154
Polisi hapa Nairobi wanawazuilia washukiwa watano waliokuwa wakipanga njama ya kuiba pesa katika tawi la benki ya Prime eneo la Kamukunji. watano hao walifumaniwa walipokuwa wanachimba ukuta wa benki hiyo kutoka orofa ya kwanza baada ya kukodi vyumba vya kulala katika eneo la burudani lililo pembezoni mwa benki hiyo.