😢😢😢😢Bongo mnafuga matatizo sana yani wasani wavae uchi nyie kimya waimbe matusi nyie kimya mmetiwa aibu na wazazibar
@MuznaSaid-hw6kz4 ай бұрын
Yaani ni ujinga watoto wetu wanafundishwa nini aibu kwa watanzania mapusu kuchezeani jukwaani kwani vyumba hakuna masomo yapi kwa watoto wetu au wadogo zetu
@MuznaSaid-hw6kz4 ай бұрын
Yaani wewe umezungumza sawa na mabusu jukwaani kwani hakuna vyumba wanafundisha tabia mbaya watoto wetu hatutaki
@user-hm3qm2nf1v4 ай бұрын
Ni kweli diamond na zuchu ndio zao hizo wamezidi mno
@muuminsaid-bd6cm4 ай бұрын
Ila zuchu ww ni mtoto kisilam acha uhuni mshamba ww
@mohammadoman89634 ай бұрын
Mnaocoment kwa kutumia makalio yenu na wala sio akili kwani ninyi mmekamilika?huyu mnaomnyoshea zuchu vidole hali yakuwa ninyi mnafanya maovu zaidi ya zuchu jitambueni ninyi kwanza kisha ndio mkumbushe watu kwa hekima zuchu ❤❤❤❤kazi iendelee mti mwema hupigwa mawe utavuka tu yashapita hayo ganga yajayo
@user-px3po9lt8g4 ай бұрын
Zuchu ni kiioo Cha jamii ndio akikosea anapotosha jamii ww kama unafanya yako uchochoroni anakujua nani
@MuznaSaid-hw6kz4 ай бұрын
Ni sawa kabisa na pia kuvaa uchi na mabusu hayo sio maadili ya kitamzania ni aibu wanawake wanafundishwa maadili gani ya kitanzania tunaomba wafanye shoo za heshima
@Bahati474 ай бұрын
Zuchu kutembea na chibu anaona km anatembea na raisi wa nchi yaani anaona km yule dai ndio mwenye nchi yke
@MuznaSaid-hw6kz4 ай бұрын
Dharau zimezidi kwani anadini gani sijaona mtanzania mwanamke anatembea chupi yote nje mabusu kunyonyana siupuuzi huu looo
@oscarcharles96244 ай бұрын
Zuchu hana nyimbo za maadili Matusi tu zuchu anaujinga sana Kama una jiona mtt hakuna mtt anatukana
@abdull_hafidh4 ай бұрын
Zuchu anatuharibia maadili kwa watoto wetu ikiwezekana Mungu amchukue tu Maana tuliowengi tumeshamchoka mshamba huyu
@mariammpamka4 ай бұрын
Kha🙌wewe utakuwa mchawi ungependa Mungu amchukuwe mtoto wako?
@FatumaBaruti-qw6jm4 ай бұрын
Unaugonjwa wa akili.au unataka coment😂😂😂😂
@KaizaMfuse4 ай бұрын
Zuchu akafie mbali huko ili kunusuru watoto wetu,hafai kuishi duniani
@ericdaniels26084 ай бұрын
Jamani Mhe. Upitie tena maswali hayo, na majibu yako.
@abdull_hafidh4 ай бұрын
Huyu zuchu ni limbukeni sana
@FatumaBaruti-qw6jm4 ай бұрын
Mi naona apo ni kumbi sio kucheza banaaaa😂😂😂😂😂. Wivu uwoooo.
@adelaidafrancis63744 ай бұрын
BINAFSI NIMEFURAHI MNOOOOOO YAAN KANIKERA KWENYE MANENO YAKE MACHAFU TU YA KWENYE ULE WIMBO ETI HATA NIMPE ........ NIMEKEREKWA MNO😢😢😢😢 ALAFU NIMEGUNDUA WENGI WAMEUPENDA
@user-id8bu6lw8x4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@adelaidafrancis63744 ай бұрын
@@user-id8bu6lw8x 😂😂😂😂😝😝😝😝😝
@user-dl3ns2df4n4 ай бұрын
Utabaduni wa Zanzibar jaman lakini mnaujua kuna watu wanatoka sehemu mbali mbali wanakuja kuvunja utamaduni wa Zanzibar mbn mnawaachia
@AshroffBrownАй бұрын
Masdili my foot acheni kukandamiza wasaniii hakuna jipya na wazanzibari waache ubaguzi
@SilaMinanda4 ай бұрын
Kwani hawa vipngoz wa utawala wa mama samia wameokotwa wapi?
@SelinaMdoe-jv1pu4 ай бұрын
Hakuna aliekamilika duniani ila zuchu ni kioo cha jamii anafu ndisha nini watoto w engi wanaimba nyi mbo zake Sasa ndio waimbe nyimbo hiyo anawafundisha nini watoto na marik a mbali mbali afungi we tu
@SelinaMdoe-jv1pu4 ай бұрын
Mheshimiwa waziri na huku Bara pia mu mfungie hawezi kui ngiza mapenzi yake na diamond kuimba nyimbo za matusi k wenye Halaiki ya wa tu watoto wapo naki la rika mimi naona a fungiwe na huku bar a
@mbwanarajab72384 ай бұрын
Zuchu aache uhuni na ujinga na arudi kwenye Imani yake, kwani inakataza machafu. Hayo anayoyafanya zipo imani nyingine zinaruhusu.. km anaweza abadili aende kwenye hiyo Imani na hata akiwa uchi kabisa hatazuiwa
@user-yw3kf6ki2o4 ай бұрын
hakuna imani inaruhusu mtu kuvaa uchi,ni watu tu wameamua kuvaa ila kila sehemu imani inakataza....Na kuvaa uchi ni mtu mwenyewe na ujinga wake na kuvaa hijabu hakukufanyi uende mbinguni.....Never
@cheafroby_tz4 ай бұрын
Kabisa.
@judithtitomalyeta40004 ай бұрын
Ni kweli kabisa kama zuchu hajaanza Leo lakini bara awajawahi kukemea watu wanalalamika wapi sijui zuchu ni nani hadi Kuna mwalimu alifutwa cheo chake lakini hakuna tamko bara
@mancholotrasco83504 ай бұрын
Kufungiwa Kwa makosa sawa sawa ila Kwa Hilo la basata ya Tanzania na Zanzibar tofauti basi Bora nchi igawanywe tu coz ni nonsense
@MuznaSaid-hw6kz4 ай бұрын
Yaani waziri watanzania anakuwa amfungie miaka sababu kaifadhahisha bara Zanzibar wanamsimamo wanaogopea watoto wao kua kama zuchu mpiuzi huyu mtoto umalaya umemdhuru Islam gani unamruhusu mtu kua na mwanaume bila ndoa na kuvaa uchi
@user-ol8xz7cp2j4 ай бұрын
Mimi nahis viongozi wote wa BASATA🇹🇿 awaja soma sasa apo kinacho mtetemesha nini 😏 yani ana ogopa swali lifuatalo
@junkloketo94854 ай бұрын
Waziri mwenyewe anatetemekatetemeka tu
@user-mx2tx5eg9x4 ай бұрын
Maneno tu,nyimbo ngapi za matusi ziko hewani na hakuna hatua zozote zinachukuliwa?
@judithtitomalyeta40004 ай бұрын
Zuchu nyimbo zote matusi ujinga mtupu
@MuznaSaid-hw6kz4 ай бұрын
Yaani nyinyi mbazungumza vyaa maana sana huyu mtoto mchafu saana
@KhamisOmar-kt4kz4 ай бұрын
Huyu jamaa Ata cmuelew
@MuznaSaid-hw6kz4 ай бұрын
Muheshimiwa tunakuomba pia kuwa stejini na kubusiana yote hayo yanafindisha nini watoto wetu mapenzi na mziki vitu tofauti yaani mzee wetu tunakuomba maadili ya kinzania yafatwe kama wataka kupoteza watoto waende America muheshimiwa waziri sheria ya Zanzibar iko sawa hata hivo hukum ndogo wamempa waende vyumbani kwao kufanya uvhafu wao watoto wetu hatutaki wapotee muheshimiwa haya ni muhim sana samahani 😂
@nahimanashabani79764 ай бұрын
Wa kwanza
@HussnaMussa-dd2ox4 ай бұрын
Na ndo peke ako😅😅
@richardhezron25884 ай бұрын
@@HussnaMussa-dd2oxxmwylw😢 L😊😮😮😮
@AndrewMoses-cs4ym4 ай бұрын
Mbona faini ndogo sana
@abdull_hafidh4 ай бұрын
Zanzibar hatuna shida na pesa zake tunajitosheleza huku
@OmerSuley-gl7go4 ай бұрын
Huyo Waziri wa wapi? Mbona mm simjui
@ahmadjuma-xx5nd4 ай бұрын
Hana adabu halafu anatembeya uchu anatuharibiya maadili
@kesterkanyala77184 ай бұрын
MAREKEBISHO KIDOGO: - SIO MUUNGANO WA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR.....HAPANA...NI MUUNGANO WA "TANGANYIKA NA ZANZIBAR" -TUKUMBUKE VYEMA ,ZANZIBAR NI NCHI NYINGINE...NA TANGANYIKA NI NCHI NYINGINE....
Bongo mna ruhusu ushoga nyinyi zuzu anatukana nyinyi mna angalia halafu muje kwenye bunge kina babu tale kumwambia mario anatukana kazi kuwa sanna wadogo
@OmanOman-dn6dj4 ай бұрын
Waziri mwenyewe anatetemeka ovyo tu .
@shadiwaigwa92304 ай бұрын
Sielewi hapo, ulipie mara mbili au?
@michaelnehemia49324 ай бұрын
Kwanini hats huku bars msimfungie kwani huku sio tanzania
Kwa hivyo wazanziba ndo wajinga wenyu ama si kila nchi wajipange kivyao huu ni uwonezi iyonekane zenji ni wanafik ama 😢😢😢😢😢
@mbwanarajab72384 ай бұрын
Wewe huna maadili ,kwako uchi mbele za watu na matusi kwako ni sawa. Ungeenda kwenye nchi zipo ili ukanufaike na hayo maisha ila huku utapata tabu
@abdull_hafidh4 ай бұрын
Huyu inaonekana hana watoto wa kike ndio maana hajui madhara ya anachokitetea Mungu akujaalie upate mtoto wa kike halaf awe anavaa uchi na kunyonyana na wanaume hadharani
@fdizzo4 ай бұрын
Wa nzanzibari ni wapuuzi tu kwa wazungu wakivaa ni watalii waona fresh kabisa