Hakika kweli anaeongoza ni Allah mungu awazidishie imani karibuni katika dini ya haki
@moanamohammed14064 жыл бұрын
Subhanallah Subhanallah..Kwel Allah humwongoza amtakae Masha Allah
@abujamalaalghammawiy74704 жыл бұрын
Maasha Allah, Allah awasimamie katika Imani yenu, sasa muwe askari wa kweli wa Allah katika kuusambaza na kuusimamia ukweli huu.
@mwawekomiuda57773 жыл бұрын
Takbirrrrrrrr! Kusilimu dió kwa uezo wako ni kwa nguvu Za ALLAH. Karibu ktk dini ya hakhi. Ila tu jitahidi uwarudishe ktk uislamu uliosababisha kutoka ktk uiislam
@rahmaabdi30564 жыл бұрын
maashaa Allah, nawajua hawa mabwana kwa muda mrefu katika mihathara za mtandaoni. Allah amewaongoza kwa ukweli, na inshaa Allah wale wote wana akili na maarifa watauona ukwli. Habari njema kwao ni vile mtume amesema, "uislamu yanavuta maovu na mabaya yote ya kabla yake". 100% mumesamehewa.
@abubakarmpole40003 жыл бұрын
Uongofu unatoka kwa Allah.Masha Allah brother Nimefurahi kukuona ndani ya uislamu.Tushikane mikono hadi peponi.Aamin.
@omakywazamani66964 жыл бұрын
Mashallah hakika Mungu anakupenda sana pale alipo kutoa ktk ngiza kuuweka ktk nuru
@mkongomanidrc849 Жыл бұрын
Tuko pamoja ndugu yangu karibu ktk uislam jisikie huru na tuko na wewe pamoja kwa shida na Raha uislam wenyewe au Imani za kununua
@supumoto68194 жыл бұрын
Waislamu wenzangu anapotajwa mbora waviumbe nilazima tumswalie Kwa uwingi , hapo tutaonesha mapenzi makubwa Kwake rehma na amani zimshukie
@achanifumos10933 жыл бұрын
ALLAHUMA SWALLI WASALLIM WABAARIK ÀLYH
@MohammedMo-ew7el3 ай бұрын
Allahu maswali waswalim alehe
@ummabdulrahman1704 жыл бұрын
Mashallah tabarakallah twawaombea kila la kheri ndugu zetu waislamu karibuni saaanaa katika dini yetu yakiislamu mungu atuongoze sote yaarabb
@mwabwagizojaytummumwabwagi71824 жыл бұрын
Aamin
@kenyadawahtv904 жыл бұрын
Amin
@Awatee3 жыл бұрын
Amiin
@hasahm19954 жыл бұрын
Sheikh yahya ningesihi be-ithnillah wajitokeze kwa muhadhara na wa approach head-on na waonyeshe haki ..... Tonawasubiri InshaAllah
@mwabwagizojaytummumwabwagi71824 жыл бұрын
InshaAllah
@shamsiyasalim6866 Жыл бұрын
Mashallah mungu awape Moto huohuo mungu awalinde nawapongeza sana huyo ndacha anajigamba sana nakumtukana mtume mungu awaongoze yote
@ilovejesus6664 жыл бұрын
Ukweli unajidhihirisha Allah akbar
@user-nx7jd3cf1m2 ай бұрын
ALHAMDULLILAH. ALLAH SUBHANAHU WA TA'ALA AMEKUJAALIA NURU. ALHAMDULLILAH THUMMA ALHAMDULLILAH.
@crescentvscross11323 жыл бұрын
Dundi alishakuja arusha. Du subhanallah amesilim maashall
@guyogalora27364 ай бұрын
Alhamdulillah of the gift of islam..
@saidabae71014 жыл бұрын
Alhamdhuliah Allah karim
@ikramukapemba95624 жыл бұрын
Allah awaongoze Uislamu ndo dini ya kweli tangu Mwenyezi Mungu anaumba ulimwengu katuumba katika umbile la Kiislamu. Sijui ndugu zetu waliobakia huko upande wa kushoto wanasubili nini.
@abdulmalikngola92444 жыл бұрын
Masha Allah welcome to islam my brothers I believe u will defend islam from your heart and soul,S.yahya great work
@nak34774 жыл бұрын
Allah anasemehe zambi zote..mumezaliwa upya.zambi less
@mkombozimstaff48304 жыл бұрын
Mmetoa siri kubwa m'mungu awaifadhi insha'Allah 😭😭😭
@mwabwagizojaytummumwabwagi71824 жыл бұрын
Aamin
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Allahuma Aamin
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Nyie Allah keshawasameh na mko kama mmezaliwa upya basi atazidi kuwahifadhi
@Awatee3 жыл бұрын
Amiin
@ilovejesus6664 жыл бұрын
Mashaallah mungu akurehem
@hashimmhashim26634 жыл бұрын
الله أكبر كبيرا والحمدلله كثيرا وسبحان الله بكرة و أصيلا
@ikramukapemba95624 жыл бұрын
Napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu aliyeumba vitu vyote karibuni katika Uislamu kuanzia sasa nyie ni ndugu zetu katika Imani karibuni sana Dar es salaam muafundishe wasabato wanaojiita A.M.R
@mwajumamwajuma37563 жыл бұрын
Mashaallah wisilam ustadh mungu awalipe kheri waliosilimu mungu awafanyie wepes insha'Allah 🤝❤️ 🙏
@hashimmoote35874 жыл бұрын
ماشاء الله تبارك الرحمن Mungu awazidishi imani
@ayubutwalbu65942 жыл бұрын
Mungu awajalie Kila kheri
@happyfraha56493 жыл бұрын
Poleni sana mulipo kua wkristo sura zenu zilikua zime oshwa na YESU angalia sasa hayo unayo ongea
@engineerjuma9876Ай бұрын
Wewe kaa tu uamini msalaba wako basii kwa ukilisto bili msalaba si kitu sasa we baki uko
@kichwayussuf4 жыл бұрын
Ma asha Allah Allahu Akbar sheikh yahya mungu akulipe sheikh
@mwabwagizojaytummumwabwagi71824 жыл бұрын
Aamin
@kenyadawahtv904 жыл бұрын
Amin
@achanifumos10933 жыл бұрын
MashaAllah laaquwwata illa billah...Allah awaongoze na wao waongoze wenziwao waliokua wakiukashifu uislamu..leo wameuona ukweli wa dini ya haqq..nawaombea kila la khairi..na almarhum ndithiAllah atamsameh amtie peponi na jamii islamu
@user-ks4hh8jb6k2 ай бұрын
Mashaallah Alhamdulilah Allah Akbar
@janethfugamila58483 жыл бұрын
Allah hamndulillah mwenyewezi mungu Awalinde
@saadali8382 жыл бұрын
Allahu Akbar, Allah awanusuru InshaAllah.
@foodcook3626 Жыл бұрын
Karibu sana tena sana katika uislamu hao ndio wachungaji watumiyao akili yao kutafuta ukweli khalisi na hao hao ndio mwisho wao Allah hujifunua kwao akawapa uislam na kesho wakawa vidume kweli kweli vya dini ya Allah na kuitangaza dini bila shaka wasabato mumekwisha!!!!!! Faida gani upewe mapesa kupiga vita uislam pesa ambazo hazikununulii starehe ya jana?!!!
@abuhassan95524 жыл бұрын
Mashaallah Allah awatilie Tawfiq dunia na akheyra thamani yenu iwe pepo
@kenyadawahtv904 жыл бұрын
Amin
@sammotv69204 жыл бұрын
Shekh tunaomba uendelee kurusha clip nyingi zaidd
@guyogalora27364 ай бұрын
Bila shaka dini ya haki na ukweli mbele ya mwenyenzi mungu ni uislamu
@muradomer6844 жыл бұрын
Alhamdulillah hakika wengi wanatafuta ukweli Leo Allah awaonyesha katika njia ya haki ambae ni uislamu wallahi mimi nawapenda kwa ajili ya Allah na mzidi kwaita ukweli walio potea
@d-manb-free34784 жыл бұрын
Karibu kwenye Nur’,Allah awalinde
@ilovejesus6664 жыл бұрын
Allah bless you
@kenyadawahtv904 жыл бұрын
Amin
@asdfnfmd54664 жыл бұрын
SubhanaAllah kweli ukiona mtu kapotea muombe duaa badili yakuwalaani
@lachariteamani28423 жыл бұрын
Muna amini ni vema Mungu awalinde nyote
@mwanaishamlima20474 жыл бұрын
Mashallah
@mwajumamwajuma37563 жыл бұрын
Mashaallah wisilam 🤝
@ibrahimkhamis86484 жыл бұрын
Maa Shaa Allah Alhamdulillaah Karibuni kwenye dini ya haki ya Uislamu Dini ya Manabii wote. Allah Awahifadhi na Azidi kutuongoza sote In Shaa Allah.
@rayaali75513 жыл бұрын
BISMILAAAH MAASHA ALLAAH TUNAO AKILI ZETUU TUNAAMINI KUWA MUMESILIMU KWA KHIYARI YENUU NA KWAAJILI YA DINI YA ALLAAH NA NDIO DINI YA HAKII HAMUKUSILIMU KWAAJILI YA PESAAAA KAMA NI PESAAA MUMEZIWACHA MAKANISANIII NA ZILETWAZO NA MISWADA YA MAKANISAAA KWAAJILI YA KUPOTOWA WATUU ILAAA NNAKUNASIHI POWA NA UTULIEE NA WALAA USIWE NA HASIRA KWANII AMAANII HULETWA KWA IMAANI KUWA NA SUBRA NA UVUMILIVU HUOO NDIO UISLAAM KWANI HATAA KIONGOZI WETUU MTUME MUHAMMAD YALIMKUTA KULIKO HAYOO NA KAIPIGANIA DINI NA UISILAAM NDIO MAANA MPAKA LEO HII MIMI NAWEEEE YUKAIJUWA IPI NI DINI YA KWELII NA NI YA HAKI YAARABY MMUNGU AZIDI KUTUONGOWA NA KUTUONGOZA KATIKA NJIA ILIYO NYOOKA NA TUSIKATE TAMAA KATIKA NEEMA NA REHMA NA USAMEHEVU WAKE ALLAAH KWANI ALLAAH AMETUWAHIDI KUWA TUTAPO RUDII NA KUMUOMBA MSAMAHAA KWA MAKOSA TULIYOYATENDAA HATAKAMA WINGI WA BAHARII BASI ANATUPOKEAA NA ANATUSWAMEH SOO TUEGEMEE KUPOKELEWAA NA KUSWAMEHEWA NA MOLA WETU KWANI NDIE YEYE PEEKEYAKEE ALIE GHAAFUUR RAAHEEM AAMEENA YAARABY LAALAMEENA🤲🤲🤲🙏🙏🙏NNAWAPENDA NYOTEE KWAAJILI YA ALLAAH
@raymondngajagu663 жыл бұрын
Haujamkomoa yeyote sisi tuko na Yesu utahangaika Ndudi alishatangulia wewe ndio unahangaika tu Mungu akusamehe
@ilhamswaleh34282 жыл бұрын
Kwani wale waisilam walookoka walimkomoa Nani ?si maamuzi ya mtu
@mariamali18874 жыл бұрын
MashaAllah mashaAllah Allah barik. Wallahi Allah atawalinda hatakama wakiwakashifu. Msijali ninyi mollah amewachagua. Mko ktk nuru wallahi
@huseinshedrack61803 жыл бұрын
Wallah sichok kuingalia hii video Mungu ni mwema
@godsservantrimo98444 жыл бұрын
Inna Allah yahdi man yashaa ila swiratil mustaqeem..Hakika mwenyezi Mungu humuongoza anayemtaka katika njia iliyonyooka... May Allah reward you the best for the sacrifice you have done🤲🤲
@kenyadawahtv904 жыл бұрын
Amin
@ilovejesus6664 жыл бұрын
Takbiiiiiiiir
@saradubai69743 жыл бұрын
Allahu Akbar!!!
@lacroquetalacroqueta68134 жыл бұрын
MashaaAllah sheikh nawakumbuka vizuri sana tena waziri alikuwa mkaidiiiiiii, Alhamdulillah, Allah anaweza chochote sisi wanadamu tunaweza fikiria hakiwezekani kama kuondoa usiku kuleta mchana Allah Akbar, inshaallah,,,,,Allah awazidishie hekma na Elimu Wahubiri wetu na afya nzuri kwa umri wao wote💚💚💚💚💚🤲🤲🤲🤲
@evalettmuthoni59963 жыл бұрын
Allahu Akbar
@supumoto68194 жыл бұрын
NDUGU waziri , shkuru ALLAH kukuondoa katka ukristo. Jitayarishe kwa mapambano zaidi , HIO ni dhihirisho Kua una imani yakisawasawa, SUBRA ndio itahitajika na sisi kama NDUGU zangu waislamu tuko pamoja na WEwe tunawaombea DUA , ALLAH atawhifadhi in sha ALLAH
@kenyadawahtv904 жыл бұрын
Allahuma Amin
@ramadhanmalick43124 жыл бұрын
Mashaallah Allah awajaze imani in shaa allah
@saradubai69743 жыл бұрын
Ndacha huyu ana chuki ya kuuwa mtu hilo sio ajabu kabisa maanake tumeshuhudia misemo zake mbovu dhidi ya waislamu bt nataka nimpe mawaidha kuwa atamuua mwislamu lakini hautauua Uislamu...chuma dhambi ww Ndacha na kesho akhera utalipa mbele zake Allah....karibuni ndugu zangu katika uislamu in shaa Allah
@AbdulAbdul-vp2np4 жыл бұрын
Sheikh Yahya Allah azidi kukuhifadhi na kukulipa kwa kila la kheri hapa duniani na kesho akhera kwa kazi njema mnayoifanya.
@jamilshisia59294 жыл бұрын
MashaAllah mimefurahia sana kalima ya huyu aliyesilimu mwenyeziMungu aendelee kumuongoza
@kenyadawahtv904 жыл бұрын
Amin
@mohdibnsaleh99494 жыл бұрын
Mashallah Allah akubariki sana na akuongoze katika dini ya haki
@idrisamlondwa9195 Жыл бұрын
Mungu akubariki waziri na allah akupe rehma zake duniani na akhera aamin
@AbdulAbdul-vp2np4 жыл бұрын
Mashallah Allah yuko pamoja nanyi nothing will affect u Inshallah, Alhamdulillah for Allah guiding u to straight path. Allah Akbar
@issakaroli15173 жыл бұрын
Tunahitaji Mwanga mwingi kwa kila mtu nuru husababisha ufahamu ufahamu husababisha upendo upendo husababisha uvumilivu uvumilivu husababisha umoja ukweli unauma Allah atuwekeye wepesi sisi wote waislamu
@hamadamabali28954 жыл бұрын
Baada ya CORONAVIRUS kuisha tutaitaji muhadhara wa nguvu dhidi ya Wakina Ndacha maana nahis patakapo kuwa na hawa ndugu zetu walio Silimu itakua vizur Zaid In sha Allah
@ndikumanainnnocent77962 жыл бұрын
Asalam alykum www karibu kwa dini yahaki mungu abaongonze ishallah
@mwanahamis54873 жыл бұрын
Takbiriii takbiriiiiii
@tumajunior60804 жыл бұрын
Mashaallah Allah awalinde kwa wale wanaowapiga vita kwa kuingia dini ya haki
Mungu awasamehe Kwa ubaya wote mliofany na Kwa wale mliowapoteza Nao waone mwangaza
@kenyadawahtv904 жыл бұрын
Amin
@samanthaali8734 жыл бұрын
Taqabirrrr nawafahamu vzr hawa wallah mola ww ni mtukufu wetu Sheikh Mazinge wa Tz anawajua vzr hawa duh
@latifamkulazi83784 жыл бұрын
Daduyako itakutetea sheikh Mohammad Allah akutilie Nuru katika kaburilako🤲🤲🤲
@bashazashaks45544 жыл бұрын
Hakuna yeyote anaye uwezo wa kuwadhuru kwani Allah atawalinda wacha Ndacha hamna wa kuwadhuru InshaAllah
@qhatramohamed70063 жыл бұрын
Mashaa-Allah sheikh yanya ALLAH akulipe hapa duniani na kesho akhera
@ukhtyalpha13444 жыл бұрын
Umesema kweli kabisa imani hainunuluwi labda la wakiristo ndio wanonunuwa kwa maskini Allaah atakuzidishieni imani
@nak34774 жыл бұрын
Mashaallah. Allah akulipe kheri..
@ahmedsalim28004 жыл бұрын
Alhamndulilla kweli mwenyezi mungu huongoza amtakae nakumbuka huyu bwana alikuwa mbishi sana lakini mungu ni mkubwa nilifatilia hoja zake
@jamaljama10934 жыл бұрын
Maasha Allah. Nur ala nur
@ugaascashaale18694 жыл бұрын
MashaAllah
@kelvinmurithi7255Ай бұрын
Ole wenu jianamu inawangija
@abukulthum65984 жыл бұрын
Allah akbar!!
@sadikiathumani7115 Жыл бұрын
Allah ni mjuzi
@shirs59173 жыл бұрын
Mashaallah taqbiiiir Allah akibar
@domansalim91113 жыл бұрын
Masha Allah Great Guys. Mungu Atakusameheni.
@rilkabuya65194 жыл бұрын
Mashaallah tabarak allah takbiriiii
@rehemanduli37814 жыл бұрын
Mashaallah
@akhuumpweche.79353 жыл бұрын
Maa shaa Allah 💖
@salmasele13272 жыл бұрын
Takbiriii
@Noahhersi4 жыл бұрын
AllahuAkbar ×3 Allah awape kila la kheri awasamehe yote mlio mkosea Allah. ManshaAllah
@kenyadawahtv904 жыл бұрын
Amin
@aishasalim50934 жыл бұрын
Ma sha allah mshasamehewa tayari kwa kuukubali uislam
@jajjxjx8762 Жыл бұрын
Takbiiiir . Mashaallah
@fatmaali47943 жыл бұрын
Mashallah 👌👌👌
@glorynoely49554 жыл бұрын
Allah Akbar
@sabrinapogal94634 жыл бұрын
Mashallah Allah amewaongoza
@juariaswabrina45494 жыл бұрын
Karibuni kwa dini ya haki hakika mmenusurika Allah awaongoze inshaAllah
@supumoto68194 жыл бұрын
ALLAHUMA swalli wasallim wabaarik aleyhi
@omarynguli59103 жыл бұрын
Kila ktk zuri hapakosi majalib ata izo shutma ni majalib tu kwakua muko ktk kheir bakin tu na msimamo wenu aliokupen Allah Insha Allah
@mahmoudjellanial-waily14604 жыл бұрын
قال تعالى: " والله يدعو الى دار السلام ويهدي من يشاء الى صراط مستقيم " Allah invites to the Home of Peace, and guides whomever He wills to a straight path.
@omarjumaan27354 жыл бұрын
MashaALLAH ALLAH AKUZIDSHIE IMANI NA SUBRA NA KILA KHERI
@kenyadawahtv904 жыл бұрын
Amin
@mimahmimah87934 жыл бұрын
Allah akikutaka uongoke utaongoka tu ata ukiwa nani Allahu Akbar huyu waziri alivyokua mbishi lakin leo amelainika subhanallah
@kijanahodari20804 жыл бұрын
Allahu Akbar,Allah umuongoza amtakae mm pia nilisilimu na siwez nimefahamu uislamu ndio dini ya Mwenyezi Mungu
@mwanaishamlima20474 жыл бұрын
Mashallah
@frankrichard57122 жыл бұрын
Ukristo n every things hatuigizi mbingu ipo wazi wazi kwa maan tupo sahih dini yetu inauponyaji na inamtenga mtu mbali na shetan
@frankrichard57122 жыл бұрын
Din safi haina ugaidi na hailazimish mtu kuokoka lakn mamia ya watanzania wanaokoka maan wanajua iliyo kwel
@frankrichard57122 жыл бұрын
We umeslim wapi ww acha mbwembwe khaa ahaha sema wew umezaliwa umekuta wazaz wako n waislam ndio maan acha kudanganya
@frankrichard57122 жыл бұрын
Na nnavo jua mm katika ukristo shetan hana urafik na mungu hata kidogo sasa nyie inakuweje mseme kuna jini mwema na jini mwovu ,,ahahaha ..kuweni makin nyie mnatakiwa mjihoji